Green Afya
✓ Tunaongeza thamani kwenye Afya yako.
✓ We add value to your Health.
16/11/2021
MUHIMU: USITAFUTE SULUHISHO LA MWANAO KUKOSA HAMU YA KULA BILA KUSOMA HII TAARIFA
Neno "Appetite" Mara nyingi hutumiwa kuashiria hamu ya kula chakula.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazopelekea kupungua na kukosa "Hamu ya kula" kwa Mtoto.
• Hali ya "Anorexia Nervosa" - Hii ni hali ya kisaikolojia ambayo inajengeka kwa mtoto kutokuwa na hamu ya kula kuhofia kuwa na uzito mwingi
• Malumbano au Ugomvi ambao hutokea muda wa kula chakula
• Mtoto kuwa na stress ambazo aidha husababishwa (Kufariki kwa Ndugu/Mwanafamilia, Presha za Masomo, Kitendo cha kuonewa na Marafiki) hivyo mzazi inabidi ajue chanzo cha stress ya mtoto
• Kutokuwa na muda maalumu uliopangiliwa kwa ajili ya Mtoto kula chakula
• Kunywa Juisi au maziwa mengi katikati ya Mida ya chakula
• Kutompatia mtoto aina nyingi za chakula na radha tofauti kuanzia umri mdogo
• Ugonjwa; Vidonda katika koo, Maumivu ya Tumbo, mafua, kuumwa kichwa au homa mara nyingi inaweza mfanya akose hamu ya kula
KUNA NJIA TATU (3) AMBAZO ZINAWEZA KUTUMIKA ILI KURUDISHA "HAMU YA KULA" KWA MWANAO
✓ Kubadilisha mitindo ya maisha (Mazoezi, Kufanya muda wa chakula uwe na Furaha, Kula chakula kipendwacho, kutengeneza muda wa chakula)
✓ Matumizi ya Dawa na Matibabu ili kurudisha "Hamu ya kula"
✓ Matumizi ya vinywaji halisi "Nutritional Beverages" vyenye Virutubisho na mjumuiko wa madini ya Zinc, Vitamini B1 na vyenye DHA
07/11/2021
Call/Sms/What's App : +255 655 876 896 for Omega-3 Supplements | functional beverage fortified with DHA for healthy brain development.
07/11/2021
Call/Sms/What's App : +255 655 876 896 for Omega-3 Supplements | functional beverage fortified with DHA for healthy eye development.
07/11/2021
Call/Sms/What's App : +255 655 876 896 for Omega-3 Supplements | functional beverage fortified with DHA for Children's brain and healthy eye development.
07/11/2021
Call/Sms/What's App : +255 655 876 896 for Omega-3 Supplements | functional beverage fortified with DHA to protect yourself.
07/11/2021
Call/Sms/What's App : +255 655 876 896 for Omega-3 Supplements | functional beverage fortified with DHA for Children's brain and healthy eye development.
07/11/2021
Call/Sms/What's App : +255 655 876 896 for Omega-3 Supplements
22/10/2021
Ukweli wa Mambo mawili 2 wasio kuambia dhidi ya Vidonda vya tumbo.
1: Vidonda ya tumbo vinavyosababishwa na Bacteria wa "Helicobacter Pylori" au matumizi yaliyopitiliza ya Dawa za kuondoa maumivu na kushusha joto la mwili zifahamikazo k**a "non-steroidal anti-inflammatory drugs" (NSAIDs) vinatibika ikiwa hali yako haijawa mbaya.
2: Unaweza tumia vitu halisi ukiwa nyumbani kwako na ukapona, kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Unaweza tumia juisi ya kabichi, kwa siku 7-10 na inaweza kukusaidia ukapata ahueni au hata ukapona kabisa.
Wasiliana nasi Green Afya Bure: Tukusaidie jinsi ya kuweza kutengeneza hii Juice ya Cabbage na uanze kuitumia.
Piga Namba/What's App: +255 655 876 896 (Green Afya)
20/10/2021
"Watu wengi wanaunganisha machungwa na Vitamini C, hiyo ni nzuri sana lakini ningependa kubadilisha hili! Matunda aina ya Kiwi,Broccoli na Strawberry yanakiwango kikubwa cha kimatumizi cha Vitamini C" Hayo aliyasema Kate McGowan (Dietitian)
Vitamini C husaidia ukuaji na utengenezaji wa tishu katika mwili (ngozi, misuli na mishipa ya damu)
Pia Vitamini C husaidia mwili kujiponyesha.
Mwili hauna uwezo binafsi wa kuzalisha Vitamini C, inabidi kuipata kutokana na aina baadhi za matunda na mbogamboga au Virutubisho lishe vyenye Vitamini C.
Mbali na hapo "Vitamini C ni "Water soluble" ikiwa inamaanisha mwili unaitumia ila hauna uwezo wa kuitunza na ikizidi mwilini, hupotea kwa njia ya mkojo...Alizidi kuongezea Kate McGowan (Dietitian)
Kundi la wanamichezo, wanariadha na Kina Mama wanaonyonyesha, wajawazito ni watu wanaohitaji sana Vitamini C.
Matumizi ya kutumia Virutubisho lishe vyenye Vitamini C kwa ajili ya haya makundi ni muhimu zaidi kulingana na tafiti zilizochapishwa Januari 2013 katika kanzidata za Cochrane.
Upungufu wa Vitamini C hupelekea msongo wa mawazo, maumivu ya viungo, kushindwa kupona kwa vidonda, na fizi zinazotoa damu au kuuma.
Tumia Virutubisho lishe vyenye ubora wa superbrand au package maalumu ya kinywaji lishe kwa watoto ili kupata Vitamini C kwa OFA yenye punguzo ya asilimia 28% mpaka 42% SASA!
Wasiliana nasi Green Afya: Call/What's App+255 655 876 896
"Tunajukumu la kuongeza thamani kwenye Afya yako"
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 17:00 |
| Tuesday | 08:00 - 18:00 |
| Wednesday | 08:00 - 17:00 |
| Thursday | 08:00 - 18:00 |
| Friday | 08:00 - 18:00 |
| Saturday | 09:00 - 18:00 |