Ijali Afya yako

Ijali Afya yako

Share

Suluhisho la kuwahi kufika kilelen

12/12/2022
12/12/2022

vm.tiktok.com

05/12/2022

FAHAMU CHANZO CHA UUME KUWA MFUPI,MWEMBAMBA AU LEGELEGE

_zifuatazo ni baadhi ya sababu ambazo huweza kupelekea tatizo hili👇👇👇_

1.Kupiga Punyeto kwa muda mrefu.
2.Kuugua chango la uzazi.
3.Magonjwa ya utotoni.
4.Kutahiriwa Bila Kuzingatia Uelewa.
5.Kurithi kutoka kwa Wazazi .
6 .Unene Kupita Kiasi na kitambi;
7.Umri Mkubwa , Hasa Kuanzia Miaka 45.
8.Kutoshiriki tendo la ndoa mara kwa mara
9.Upasuaji wa tezi dume;
10.Uvutaji wa sigara Kupitiliza , Hasa Ukiwa na Umri Mdogo;
11.Kuoga maji ya moto Sana Mara Kwa Mara.
12.Kuwa na Magonjwa Ya Mfumo Wa Damu , K**a , Pressure n.k.
13.Utazamaji Video za Ngono." X".
14.Kupenda Kuingilia Kinyume na Maumbile.
15.Matatizo Ya Homoni.
16.Udhaifu Wa au Korodani.
17.Lishe Mbaya.
18. Ulevi Kupita Kiasi. n.k.

JE " UTAJUAJE K**A HUNA NGUVU ZA KIUME AU UNA UPUNGUFU ?

*Mtu mwenye tatizo la Ukosefu au Upungufu wa nguvu za kiume huwa na dalili zifuatazo;*
👇👇👇👇👇
1. Kushindwa kabisa kusimamisha uume wake.
2.Uume kusimama ukiwa legelege.
3.Kushindwa Kuhimili Tendo na Kuwahi kumaliza tendo la ndoa Kabla la Wakati Unaoweza Kukidhi Matamanio ya Wote Wawili.

4.Mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya staili (Mara nyingi mwanaume huyu huwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa staili moja tu ). Hapa mwanaume anakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa staili ya ``missionary” pekee.Ikibadilishwa staili, mwanaume anakuwa hana tena uwezo wa kusimamisha uume wake japo katika hali ya u legelege.

5.Uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwashikwa ama kutomaswa kwa muda mrefu au Kuhitaji Mpaka Ukumbuke Zama za Kale.(Mwanamke Mwingine ).

6.Uume kusinyaa ukiwa ndani ya mwanamke.

7.Uume kusinyaa, pindi inapotokea activity yoyote ya kiungo ama Ogani nyingine ya mwanaume wakati wa tendo la ndoa.Kwa mfano, wakati wa tendo la ndoa, ikitokea mwanaume amekohoa au kupiga Chafya ,Uume nao unasinyaa.
TUMA NENO AFYA JAMII KWENDA WHATSAPP NAMBA 0699372594

04/12/2022

Je changamoto ipi umekua nayo kwa muda mrefu umekosa majibu kabisa
Tutafute upate suluhisho la kudumu
🔴chunusi sugu
U.T.I sugu ,uchafu mzito ukeni na wenye harufu kali
🔴miwasho sehemu za siri
🔴maumivu wakati wa hedhi
🔴vipele after shave
🔴mimba kuharibika
Kwa matibabu tuma neno afya kwenda watsap namba 0699372594

04/12/2022

Je changamoto ipi umekua nayo kwa muda mrefu umekosa majibu kabisa
Tutafute upate suluhisho la kudumu
🔴chunusi sugu
U.T.I sugu ,uchafu mzito ukeni na wenye harufu kali
🔴miwasho sehemu za siri
🔴maumivu wakati wa hedhi
🔴vipele after shave
🔴mimba kuharibika
Tuna virutubisho Vya uhakika Vyenye kuondoa changamoto hyo moja kwa moja tuma ujumbe neno Virutubisho kwenda watsap namba 0699372594

04/12/2022

FAHAMU UGONJWA WA UTI, DALILI NA JINSI YA KUEPUKA UTI SUGU

UTI(Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na viumbe k**a bakteria,fangasi na virus. Maranyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na mwili,Wakati mwingine bakteria wanaweza zidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo.

UTIs inaweza athiri urethra,kibofu cha mkojo na figo

MFUMO WA MKOJO

Mfumo wa mkojo ni mfumo wa mwili unaotumika kuondoa uchafu na maJi ya ziada

Mfumo huu unaundwa na ureta,kibofu cha mokojo,figo na urethra sitachambaua kwa undani hizi sehemu

KISABABISHI CHA UTI

Mara nyingi UTI zinasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli) na UTI nyingine zinaweza sababishwa na Chlamydia na Mycoplasma na UTI hizi zina athiri hadi mfumo wa uzazi na wanandoa wanapaswa kupata tiba pamoja,

Maambukizi ya UTI ni makubwa sana dunian Zaidi ya watu milioni 8 pointi 1 wanaathiriwa na ugonjwa huu

MADHARA YA UTI SUGU.
-Kupungua kwa nguvu za kiume.
-kuharibika kwa FIGO k**a unavyoona hapo chini kwenye picha. Mawe ya kwenye figo
-Kwa wanawake kupungua kwa hamu ya tendo, kutoa harufu mbaya ukeni

SULUHISHO: Hakikisha unavaa nguo ya ndani safi, iliyokauka. Kwa wanawake wanahitaji umakini mkubwa sana wanapojiosha sehem zao za siri ili kuepuka kusambaza wadudu.Kwa matibabu tuma neno afya kwenda watsap namba 0699372594

03/12/2022

FAHAMU UGONJWA WA UTI, DALILI NA JINSI YA KUEPUKA UTI SUGU

UTI(Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na viumbe k**a bakteria,fangasi na virus. Maranyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na mwili,Wakati mwingine bakteria wanaweza zidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo.

UTIs inaweza athiri urethra,kibofu cha mkojo na figo

MFUMO WA MKOJO

Mfumo wa mkojo ni mfumo wa mwili unaotumika kuondoa uchafu na maJi ya ziada

Mfumo huu unaundwa na ureta,kibofu cha mokojo,figo na urethra sitachambaua kwa undani hizi sehemu

KISABABISHI CHA UTI

Mara nyingi UTI zinasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli) na UTI nyingine zinaweza sababishwa na Chlamydia na Mycoplasma na UTI hizi zina athiri hadi mfumo wa uzazi na wanandoa wanapaswa kupata tiba pamoja,

Maambukizi ya UTI ni makubwa sana dunian Zaidi ya watu milioni 8 pointi 1 wanaathiriwa na ugonjwa huu

KWANINI WANAWAKE NDO WAHANGA WAKUBWA?

Wanawake ni wahanga wakubwa sana wa ugonjwa huu kulingana na maumbile yao ya nje

1.Urethra(mrija wa mkojo kutoka kwenye kibofu) kwa wanawake ni mfupi sana hivyo kuruhusu bakteria kufika kwa haraka kwenye kibofu

2.Pia mrija huo unafungukia sehemu ambazo zinaweza kuwa ni vyanzo bakteria ambayo ni sehemu ya uke na pili ni puru

Kwa wanaume ni vigumu sana ila wakipata tatizo linaweza kuwa zito kutibu tofauti na kwa wanawake

WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA UTI

‪ #‎Watu wenye vidonda kwenye uti wa mgongo

‪ #‎Mtu yeyote mwenye tatizo katika mfumo wa mkojo

‪ #‎Tendo la ndoa linaweza likahamisha bakteria kutoka kwenye uke kwenda kwenye urethra

‪ #‎Baadhi ya njia za uzazi k**a kutumia diaphragm,spermicides,kondomu nk

KURUDIARUDIA KWA UTI(UTI SUGU)

Mara nyingi wanawake wakipata UTI inaweza ikawa inajirudia mara kwa mara kulingana na sababu zifuatazo

1.Uwezo wa bakteria kujishika kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia tena

2.Sababu nyingine ni wanawake kuwa non sector yani kuwa na damu grupu A,B na AB ambao hawawez kuzalisha kinga nzur kwa ajili ya hao bakteria

DALILI ZA UTI

1.Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa

2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo

3.Maumivu ya misuli na tumbo

4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu nk

5.Kwa mtu aliyeathiriwa figo anaweza kuwa na maumivu mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika

6.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo

JINSI YA KUZUIA UTI SUGU

1.Kunywa maji mengi kunsaidia kusafisha bakteria kwenye mfumo

2.Mtu anatakiwa akojoe mara kwa mara kila anapojiskia kukojoa

Mkojo ukikaa sana kwenye kibofu unaweza zalisha bakteria

Na baada ya kukojoa wanawake wanatakiwa kujisafisha kuanzia mbele kurudi nyuma ili kulinda urethra

3.Vaa nguo za ndani za pamba na ambazo hazibani sana kuruhusu hewa kupita vizuri ,epuka jinsi zinazobana sana ambazo zinaweza kukusanya na kuleta tatizo.

Tuma neno afya kwenda watsap namba 0699372594

03/12/2022

FAHAMU UGONJWA WA UTI, DALILI NA JINSI YA KUEPUKA UTI SUGU

UTI(Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na viumbe k**a bakteria,fangasi na virus. Maranyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na mwili,Wakati mwingine bakteria wanaweza zidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo.

UTIs inaweza athiri urethra,kibofu cha mkojo na figo

MFUMO WA MKOJO

Mfumo wa mkojo ni mfumo wa mwili unaotumika kuondoa uchafu na maJi ya ziada

Mfumo huu unaundwa na ureta,kibofu cha mokojo,figo na urethra sitachambaua kwa undani hizi sehemu

KISABABISHI CHA UTI

Mara nyingi UTI zinasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli) na UTI nyingine zinaweza sababishwa na Chlamydia na Mycoplasma na UTI hizi zina athiri hadi mfumo wa uzazi na wanandoa wanapaswa kupata tiba pamoja,

Maambukizi ya UTI ni makubwa sana dunian Zaidi ya watu milioni 8 pointi 1 wanaathiriwa na ugonjwa huu

MADHARA YA UTI SUGU.
-Kupungua kwa nguvu za kiume.
-kuharibika kwa FIGO k**a unavyoona hapo chini kwenye picha. Mawe ya kwenye figo
-Kwa wanawake kupungua kwa hamu ya tendo, kutoa harufu mbaya ukeni

SULUHISHO: Hakikisha unavaa nguo ya ndani safi, iliyokauka. Kwa wanawake wanahitaji umakini mkubwa sana wanapojiosha sehem zao za siri ili kuepuka kusambaza wadudu.Kw matibabu zaid tuma neno afya kwenda watsap namba 0699372594

03/12/2022

FAHAMU UGONJWA WA UTI, DALILI NA JINSI YA KUEPUKA UTI SUGU

UTI(Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na viumbe k**a bakteria,fangasi na virus. Maranyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na mwili,Wakati mwingine bakteria wanaweza zidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo.

UTIs inaweza athiri urethra,kibofu cha mkojo na figo

MFUMO WA MKOJO

Mfumo wa mkojo ni mfumo wa mwili unaotumika kuondoa uchafu na maJi ya ziada

Mfumo huu unaundwa na ureta,kibofu cha mokojo,figo na urethra sitachambaua kwa undani hizi sehemu

KISABABISHI CHA UTI

Mara nyingi UTI zinasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli) na UTI nyingine zinaweza sababishwa na Chlamydia na Mycoplasma na UTI hizi zina athiri hadi mfumo wa uzazi na wanandoa wanapaswa kupata tiba pamoja,

Maambukizi ya UTI ni makubwa sana dunian Zaidi ya watu milioni 8 pointi 1 wanaathiriwa na ugonjwa huu

MADHARA YA UTI SUGU.
-Kupungua kwa nguvu za kiume.
-kuharibika kwa FIGO k**a unavyoona hapo chini kwenye picha. Mawe ya kwenye figo
-Kwa wanawake kupungua kwa hamu ya tendo, kutoa harufu mbaya ukeni

SULUHISHO: Hakikisha unavaa nguo ya ndani safi, iliyokauka. Kwa wanawake wanahitaji umakini mkubwa sana wanapojiosha sehem zao za siri ili kuepuka kusambaza wadudu.Kwa matibabu zaidi tuma neno afya kwenda watsap namba 0699372594

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Ilala
Dar Es Salaam