Ufumbuzi wako
tunakuhakikishia urejeshwaji wa ubora wa asili wa afya yako dear, karibu tukuhudumie. wellcome
15/05/2022
UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.
Bawasiri - Ni hali ya kupasuka kwa mishipa ya haja kubwa, damu kuganda na kujitokeza vinyama sehemu za haja kubwa.
AINA ZA BAWASIRI
-Bawasiri ya ndani
-Bawasiri ya nje.
BAWASIRI YA NJE- hutokea nje ya mfereji wa haja kubwa, mishipa ya damu (vena) hupasuka na damu kuganda,ikiambatana na maumivu makali (Thrombosed hemorrhoids).
BAWASIRI YA NDANI- hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa, hii haiambatani na maumivu', hapa wengi hawajijui.
Bawasiri ya ndani hupangwa kwa madaraja 4 kulingana na madhara na ukubwa wake
DARAJA LA1
Uvimbe ni mdogo unaotanda a**l ca**l kwa ndani huweza kukua na kuingia kundi la pili.
DARAJA LA 2.
Bawasiri hizi ni kubwa zaidi na huweza kujitokeza nje ya tundu la haja kubwa wakati wa kujisaidia na kurudi mara moja baadae.
DARAJA LA 3.
Ni Bawasiri ambazo zinaning'inia nje ya tundu la haja kubwa wakati ukielekea msalani.unaweza kuisikia k**a kijinyama kimoja au zaidi vinavyoning'inia nje ya tundu. Ni vijinyama ambavyo unaweza kuvisukumiza kwa vidole.
DARAJA LA 4.
Ni vijinyama ambavyo huning'inia muda wote nje ya tundu la haja kubwa na huwezi kuvisukumiza kwa vidole. Mara nyingine vinaweza kuwa k**a vibonge vikubwa vya nyama.
DALILI ZA BAWASIRI.
-Kutoa vinyama sehemu za haja kubwa.
-Miwasho na maumivu sehemu za haja kubwa.
-Kinyesi kuvuja.
- Kinyesi kutoka kikichanganika na damu chenye harufu mbaya.
CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI.
1.Kukaa kitako au kusimama kwa muda mrefu.đź•´
2.Kula vyakula vilivyokobolewa.(sembe, ngano nk).🍞🥞
3.Kufanya mazoezi magumuyanayokaza misuli ya haja kubwa.
4.Uzito uliopitiliza.
5.Kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
6.Tatizo la kutopata choo kwa muda.
BAWASIRI HUSABABISHWA NA:-
/-*Kufunga choo
/-*Mimba
/-*Kuzeeka
/-*Kurithi
TIBA YAKE.
=Mara nyingi watu wenye tatizo hili tiba yake ni kufanyiwa upasuaji, hata hivyo wengi hurudi baada ya kufanyiwa upasuaji.
==SASA unaweza kutibu tatizo hili kwa virutubishokutoka USA vilivyotengenezwa kwa technolojia ya hali ya juu ambavyo havina kemikali kwa asilimia100% ambavyo ni CONSTI RELAX™ pamoja na NOVEL DEPILE ™CAPSULES kutoka BFsuma
KAZI YA CONSTI RELAX™ na NOVEL DEPILE™CAPSULES.
-Huondoa miwasho namaumivu.
-Huweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuanzia mdomoni hadi sehemu za haja kubwa.
-Huondoa Bawasiri bila upasuaji.
-Hulainisha choo.
Hakika tunawapatia furaha watu weeengi waliopokea huduma zetu wamepata kupona yaani wanatushukuru hadi tunaogopa hakika MUNGU atukuzwe sana.🙏🙏
U.T.I. $ P.I.D
JE WAJUA NYANZO NA DALILI PAMOJA NA MADHARA YA UGONJWA WA U.T.I ,000
Na tambua kwamba u.t.i inaweza kuchangia kupata mashambulizi katika kizazi yaani P.I.D
U. T. I ni neno la kiingereza linalotamkwa kwa kifupi lakini kirefu chake ni, “Urinary Tract Infection” likimaanisha, “Maambukizi katika njia ya Mkojo. ”
Ugonjwa huu humpata mtu yeyote bila kujali jinsia au umri.
VISABABISHI VYAKE
Ugonjwa wa UTI unaweza kusababishwa na vijidudu vya namna nyingi.
Bakteria aina ya Escherichia Coli kwa kiasi kikubwa ndo wanaosababisha ugonjwa huu wa UTI japo bakteria wengine wapo.
Upande wa wanawake, tatizo la fangasi katika sehemu za siri imekuwa ni tatizo kubwa sana.
Uwepo wa fangasi hasa kwenye uke na maeneo jirani pia huweka mazingira ya mvuto kwa bakteria kuvamia maeneo hayo na kuleta maradhi ya UTI.
Kwa upande mwingine unapo jitawaza kutoka nyuma kuja mbele hua unakiamisha kijidudu cha u.t.i kutoka katika kinyesi na kuja njia ya haja ndogo
Pia wale wanaoshiriki wanaoshirik mapenzi kinyume cha maumbile husababisha u.t.i na
Unapo shiriki mapenzi na mtu mwenye huo ugonjwa bila kinga pia n rahis kuupata
NOTE: Kwa wanaume mara nyingi kutokana na maumbile yao na mfumo mzima wa mkojo na viungo vyake, hawa siyo waathirika wakubwa wa UTI.
DALILI ZA UTI
1. Kusikia maumivu wakati wa kukojoa.
2. Kuhisi homa
3. Kuhisi uhitaji wa kukojoa mara Kwa mara na pia mkojo kuwa na hali ya kuunguza wakati wa kukojoa
4. Kuhisi maumivu ya tumbo chini ya kitovu au mgongo.
5. Mkojo kuonekana kuwa wenye rangi ya damu au usaha.
6. Kutokwa na uchafu wenye harufu sehemu za siri, hasa tatizo hili linapokuwa la muda mrefu.
MADHARA YA U.T.I
Vimelea wa UTI wanapoingia sehemu ya uke, wanaweza kushambulia na kuharibu sehemu zifuatazo:
Madhara makubwa yanayo tokea hapo ni kuku letea pia ugonjwa wa p.i.d ambao ni maambukiz katika njia ya uzazi
Hivyo madhara ya u.t.i na p.i.d ni k**a haya
1. Tabaka la juu la mlango wa kizazi na kusababisha uvimbe wa shingo ya kizazi.
2. Kuziba kibofu cha mkojo au mirija ya mkojo.
3. Kuharibu figo za muhusika.
4. husabisha homon kutokua balance
5. Husabisha mvurugiko wa hedhi au kusabisha maumivu makali chin ya kitovu
6. Huleta pia maumivu wakati wa tendo na kuleta miwasho harufu na uchafu kutoka ukeni
NINI SULUISHO:-
Kwa Tsh 35,000/=utapatiwa tiba ambayo inaenda kumaliza kabisa tatizo hilo k**a tunavyoshuhudia hapa kwa wenzetu.
Offa hii ni kuanzia leo jumapili hadi ijumaa saa 9 jioni, baada ya hapo ni Tsh 45,000/=
Kwa maelezo zaidi piga namba +255 752 696 319
U.T.I. $ P.I.D
JE WAJUA NYANZO NA DALILI PAMOJA NA MADHARA YA UGONJWA WA U.T.I ,000
Na tambua kwamba u.t.i inaweza kuchangia kupata mashambulizi katika kizazi yaani P.I.D
U. T. I ni neno la kiingereza linalotamkwa kwa kifupi lakini kirefu chake ni, “Urinary Tract Infection” likimaanisha, “Maambukizi katika njia ya Mkojo. ”
Ugonjwa huu humpata mtu yeyote bila kujali jinsia au umri.
VISABABISHI VYAKE
Ugonjwa wa UTI unaweza kusababishwa na vijidudu vya namna nyingi.
Bakteria aina ya Escherichia Coli kwa kiasi kikubwa ndo wanaosababisha ugonjwa huu wa UTI japo bakteria wengine wapo.
Upande wa wanawake, tatizo la fangasi katika sehemu za siri imekuwa ni tatizo kubwa sana.
Uwepo wa fangasi hasa kwenye uke na maeneo jirani pia huweka mazingira ya mvuto kwa bakteria kuvamia maeneo hayo na kuleta maradhi ya UTI.
Kwa upande mwingine unapo jitawaza kutoka nyuma kuja mbele hua unakiamisha kijidudu cha u.t.i kutoka katika kinyesi na kuja njia ya haja ndogo
Pia wale wanaoshiriki wanaoshirik mapenzi kinyume cha maumbile husababisha u.t.i na
Unapo shiriki mapenzi na mtu mwenye huo ugonjwa bila kinga pia n rahis kuupata
NOTE: Kwa wanaume mara nyingi kutokana na maumbile yao na mfumo mzima wa mkojo na viungo vyake, hawa siyo waathirika wakubwa wa UTI.
DALILI ZA UTI
1. Kusikia maumivu wakati wa kukojoa.
2. Kuhisi homa
3. Kuhisi uhitaji wa kukojoa mara Kwa mara na pia mkojo kuwa na hali ya kuunguza wakati wa kukojoa
4. Kuhisi maumivu ya tumbo chini ya kitovu au mgongo.
5. Mkojo kuonekana kuwa wenye rangi ya damu au usaha.
6. Kutokwa na uchafu wenye harufu sehemu za siri, hasa tatizo hili linapokuwa la muda mrefu.
MADHARA YA U.T.I
Vimelea wa UTI wanapoingia sehemu ya uke, wanaweza kushambulia na kuharibu sehemu zifuatazo:
Madhara makubwa yanayo tokea hapo ni kuku letea pia ugonjwa wa p.i.d ambao ni maambukiz katika njia ya uzazi
Hivyo madhara ya u.t.i na p.i.d ni k**a haya
1. Tabaka la juu la mlango wa kizazi na kusababisha uvimbe wa shingo ya kizazi.
2. Kuziba kibofu cha mkojo au mirija ya mkojo.
3. Kuharibu figo za muhusika.
4. husabisha homon kutokua balance
5. Husabisha mvurugiko wa hedhi au kusabisha maumivu makali chin ya kitovu
6. Huleta pia maumivu wakati wa tendo na kuleta miwasho harufu na uchafu kutoka ukeni
NINI SULUISHO:-
Kwa Tsh 35,000/=utapatiwa tiba ambayo inaenda kumaliza kabisa tatizo hilo k**a tunavyoshuhudia hapa kwa wenzetu.
Offa hii ni kuanzia leo jumapili hadi ijumaa saa 9 jioni, baada ya hapo ni Tsh 45,000/=
Kwa maelezo zaidi piga namba +255 752 696 319
06/05/2022
Hili tatizo limenisumbua sana lakini sasa limekwisha, namshukuru sana Dr. Aliyenionyesha tiba nik**aliza tatizo langu, Asante Ee MOLA wangu mpaji wa viumbe vyote.
Hellow guys sasa unaweza kumaliza tatizo la kutokwa na uchafu sehemu za siri, tutakusaidia kukuonyesha njia.
Ufumbuzi wa changamoto zako za uzazi
Na matatizo yoooooote ya kiafya yanapatikana hapa
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mlimancity
Dar Es Salaam
AFYABORA
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 03:00 - 17:00 |