afya njema

afya njema

Share

page hii inahusiana na masuala ya afya ambapo inalenga kufundisha watu kuhusu afya zao

05/09/2025

“Sukari Leo Ni Rafiki... Kesho Inaweza Kukugeuka Adui Hatari ⚠️”

Asubuhi unapoamka unaona mwili uko sawa.
Una nguvu, unaendelea na shughuli zako k**a kawaida...

Lakini ndani ya damu yako, kuna mchokozi asiyeonekana aitwaye Glucose.
Ikizidi kiwango, huwa muuaji wa taratibu — huku ikicheka kimya kimya. 😏

📍Kisukari si ugonjwa wa matajiri pekee...
📍Si tatizo la wazee peke yao...
📍Si mpaka uwe mnene kupita kiasi ndio ukipate...

👉 Ni ugonjwa wa kila mtu asiyejijali.

Ndiyo, hata wewe kijana — ukiishi maisha ya mitindo mibovu, muda wowote unaweza kulamba.

Mfano mdogo wa tabia zetu:

Unachagua soda baridi kuliko maji safi.

Kila siku ni vitumbua, chapati na chai yenye sukari kibao.

Hujawahi hata kupima sukari kwa mwaka mzima.

Mazoezi? Huoni k**a ni ya lazima.

Kisha siku moja unafika hospitali na kuambiwa:
“Sukari yako iko 400mg/dL, unahitaji insulin mara moja.”

Ndipo safari ya vidonge na sindano inaanza...
Kidole kinachomwagiwa sindano kila asubuhi, hadi kufikia upofu, figo kushindwa, kiharusi, na hata kupoteza nguvu za kiume.

Lakini bado unaweza kujiepusha leo ukiamua...
✅ Kula vyakula vya asili
✅ Tumia maji kuliko soda
✅ Fanya mazoezi dakika 30 kila siku
✅ Pima sukari angalau mara 2 kwa mwaka
✅ Elimisha familia yako mapema, hasa mkiwa na historia ya kisukari

NB: Usisubiri kuwekewa insulin ndipo useme “Laiti ningejua...”

Afya yako ni mali yako, na kisukari hakina huruma.
Leo ni siku bora ya kuamua kuliko kesho ya majuto.

K**a tupo pamoja, acha alama ya 👍 Like moja inatosha kuonyesha unajali afya yako. 🫡

(Na k**a ukihisi nakufokea, usijali… 😊 Ni upendo tu wa kukuokoa kabla haujachelewa 🙌)

Tinah
Health consultant
0768 557 525

22/08/2025

Kila ugonjwa una suluhisho, na afya yako bado ina nafasi ya kupona
Magonjwa sugu yamefanya wengi wapoteze matumaini, lakini Stem Cell Therapy imekuwa njia ya kisayansi inayorudisha mwili kwenye hali yake ya kawaida.

👉 Fikiria maumivu ya muda mrefu yakipotea…
👉 Fikiria mwili wako ukianza kupata nguvu tena…
👉 Fikiria maisha yako yakibadilika bila hofu ya dawa za kila siku.

✅ Tiba salama
✅ Tiba ya kisasa zaidi duniani
✅ Tiba inayokuja na matokeo ya kweli

Usikae kimya ukiwa na maumivu. Hii ni nafasi yako ya pili ya maisha yenye afya.

0768 557 525

14/05/2025

Unapoishi na kisukari, kila hatua unayochukua ina maana.
Uelewa sahihi wa lishe, mwili, na dalili ni msingi wa maisha yenye utulivu na afya bora.
Tunaweka mkazo kwenye elimu, ushauri na mbinu salama zinazosaidia kudhibiti kisukari kwa ufanisi.
Usiruhusu kisukari kikutawale jifunze jinsi ya kukidhibiti kwa njia salama na sahihi.
Huduma zetu ni kwa ajili ya afya yako ya kila siku.

Kwa ushauri na msaada zaidi Tupigie kupitia
0768557525

09/04/2025

Tiba zetu hazidanganyi, sikiliza ushuhuda huu wa mgonjwa wa kansa/saratani

21/03/2025

USHUHUDA WA KUSHANGAZA! MTOTO HUYU ALIKUWA NA KANSA YA JICHO, SASA AMEPONA! 🙏🏽

Mtoto huyu mdogo alikuwa akiteseka na kansa ya jicho, hali yake ilizidi kuwa mbaya, na madaktari walitoa matumaini finyu… 😔 Lakini baada ya kutumia tiba yetu ya seli shina (stem cells) mabadiliko makubwa yalitokea kwa muda mfupi! Leo hii, yupo hai, mwenye afya njema na tabasamu jipya! 💖

Je, wewe au mtu unayempenda anateseka na kansa au magonjwa sugu k**a kisukari, presha, tezi dume, upungufu wa nguvu za kiume au magonjwa mengine sugu?

👉🏽 USINGOJE HALI IWE MBAYA! Suluhisho liko hapa, na wengi wameshapona,usikubali kuteseka au kuwaona wapendwa wako wakiteseka bila msaada

https://chat.whatsapp.com/Fjh10SANr8WEj6IAXYg5lX

✅ JIUNGE NA GROUP LETU LA AFYA SASA upate ushauri wa kitaalam na tiba asilia yenye nguvu!

Bonyeza hapa kujiunga na group letu la afya sasa kwa elimu, ushauri na tiba madhubuti za stem cells. Maisha yanaweza kubadilika, chukua hatua leo 👇👇👇

https://chat.whatsapp.com/Fjh10SANr8WEj6IAXYg5lX


Maisha yako yana thamani kubwa chukua hatua sasa! 💪🏽

Au waweza wasiliana nasi kupitia namba 0768557525

TIBA SAHIHI NI UFUNGUO WA MAISHA MAREFU NA YENYE AFYA

07/03/2025

USHUHUDA WA KUSHANGAZA! MTOTO HUYU ALIKUWA NA KANSA YA JICHO, SASA AMEPONA! 🙏🏽

Mtoto huyu mdogo alikuwa akiteseka na kansa ya jicho, hali yake ilizidi kuwa mbaya, na madaktari walitoa matumaini finyu… 😔 Lakini baada ya kutumia tiba yetu ya seli shina (stem cells) mabadiliko makubwa yalitokea kwa muda mfupi! Leo hii, yupo hai, mwenye afya njema na tabasamu jipya! 💖

Je, wewe au mtu unayempenda anateseka na kansa au magonjwa sugu k**a kisukari, presha, tezi dume, upungufu wa nguvu za kiume au magonjwa mengine sugu?

👉🏽 USINGOJE HALI IWE MBAYA! Suluhisho liko hapa, na wengi wameshapona,usikubali kuteseka au kuwaona wapendwa wako wakiteseka bila msaada

https://chat.whatsapp.com/Fjh10SANr8WEj6IAXYg5lX

✅ JIUNGE NA GROUP LETU LA AFYA SASA upate ushauri wa kitaalam na tiba asilia yenye nguvu!

Bonyeza hapa kujiunga na group letu la afya sasa kwa elimu, ushauri na tiba madhubuti za stem cells. Maisha yanaweza kubadilika, chukua hatua leo 👇👇👇

https://chat.whatsapp.com/Fjh10SANr8WEj6IAXYg5lX


Maisha yako yana thamani kubwa chukua hatua sasa! 💪🏽

TIBA SAHIHI NI UFUNGUO WA MAISHA MAREFU NA YENYE AFYA

08/03/2024

𝗙𝗔𝗛𝗔𝗠𝗨 𝗝𝗨𝗨 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗠𝗚𝗢𝗡𝗚𝗢 𝗞𝗨𝗣𝗜𝗡𝗗𝗔 (𝘀𝗰𝗼𝗹𝗶𝗼𝘀𝗶𝘀) 👇
Tatizo la mgongo kupinda kitaalamu linajulikana k**a "𝘀𝗰𝗼𝗹𝗶𝗼𝘀𝗶𝘀" Scoliosis ni hali ambapo mgongo unakuwa na upinda au mwinuko usio wa kawaida, mara nyingi kuwa katika umbo la "S" au "C." Hali hii inaweza kusababisha matatizo ya maumivu na mabadiliko ya umbo la mgongo.

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗠𝗚𝗢𝗡𝗚𝗢 𝗞𝗨𝗣𝗜𝗡𝗗𝗔 (𝘀𝗰𝗼𝗹𝗶𝗼𝘀𝗶𝘀) 👇
1. 𝗠𝗮𝗯𝗮𝗱𝗶𝗹𝗶𝗸𝗼 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝘂𝗺𝗯𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝗴𝗼𝗻𝗴𝗼 👇 Mgongo unaweza kuonekana kuwa na mwinuko au upinda zaidi ya kawaida.
2. 𝗠𝗮𝘂𝗺𝗶𝘃𝘂 👇
Maumivu ya mgongo au shingo yanaweza kutokea, hasa baada ya kufanya shughuli fulani.
3. 𝗠𝗮𝘁𝗮𝘁𝗶𝘇𝗼 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗽𝘂𝗺𝘂𝗮 👇
Baadhi ya watu wenye upinda wa mgongo wanaweza kuwa na matatizo ya kupumua kutokana na shinikizo kwenye mapafu.
4. 𝗞𝘂𝘀𝗵𝗶𝗻𝗱𝘄𝗮 𝗞𝘂𝘁𝗲𝗺𝗯𝗲𝗮 𝗩𝗶𝘇𝘂𝗿𝗶 👇
Baadhi ya watu wanaweza kupata ugumu kujistiri sawasawa kutokana na upinda wa mgongo.
5: 𝗞𝘂𝗸𝗼𝘀𝗮 𝗨𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶𝘇𝗶 👇
Hapa watu wengi wanapitia pia Changamoto hii ya Kukosa Usingizi ambayo inapelekewa na Maumivu Makali ya Viungo hasa eneo la Mgongo.

📌 𝐌𝐔𝐇𝐈𝐌𝐔
Ni muhimu kutafuta msaada wa kitaalam kutoka kwa daktari au mtaalamu wa afya ikiwa una wasiwasi kuhusu dalili zinazohusiana na upinda wa mgongo.

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Wasiliana nasi
0654741710
Dr Tynah
Seorim Health care

27/02/2024

LISHE YA KUONDOA MAUMIVU NA KUONGEZA UTE UTE KWENYE MAUNGIO
Je umekuwa ukisumbuliwa na Maumivu makali ya maungio k**a magoti na mifupa kulia? ninayo habar njema Kwa ajili yako ambayo itakusaidia kupunguza Maumivu hayo, hakikisha unasoma ujumbe huu mzuri Kwa ajili yako 👇👇
🔥K**a unapata Maumivu makali kwenye goti /maungio mbalimbali na unasikia mifupa inalia basi hiyo inaashiria kuwa mifupa inasagika ambapo hali hii husababishwa na kupungua Kwa Ute ute pamoja na gegedu(cartilage) katika maungio hayo kitendo ambacho hupelekea mtu aweze Kupata Maumivu makali Sana . Ifuatayo ni lishe ambayo ukiitumia basi itakusaidia kupunguza tatizo hilo

🔥 MAHITAJI
Ili kuandaa mchanganyiko huo wa lishe basi hakikisha unakuwa na mahitaji yafuatayo
1:supu ya mchicha
2:supu ya kongoro
3:supu ya bamia
4:chungwa
5:maji
Baada ya kuwa na mahitaji hayo hapo juu👆niliyoyaainisha basi Fanya yafuatayo
📌 Kila siku asubuhi unapoamka chukua maji litre Moja kunywa(maji ni tiba ya magonjwa mengi Sana hivyo Zingatia unywaju wa maji mengi na ya kutosha) kaa saa Moja alafu chukua supu ya bamia au mchicha.
Supu ya kongoro huwa inakuwa na uroto / bone marrow ( hakikisha unapoosha mifupa ya kongoro basi ule uroto unaokaa kwenye mifupa hautoki maana huo ndo tunao uhitaji)
🔥 MAANDALIZI
katakata bamia kisha chemsha bamia Kwa Kutumia supu ya kongoro na siyo maji alafu bamia isiive Sana
🔥 MATUMIZI
Hakikisha unakunywa mchanganyiko huo wa supu ya kongoro na bamia kila siku asubuhi na usiku, katikati hapo( mchana) unaweza Kula mchicha au tunda
NB: hakikisha umeanika mchicha unyauke kidogo kabla hujautumia kutengeneza supu pia hakikisha unachemsha na lile shina la mchicha usichemshe majani peke yake alafu kile kimti/ shina ukatupa lote
🌹 Seorim Bones and joints Health care

Dr Tynah
0654741710

*Tunajari na kuthamini afya yako*

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam City
Dar Es Salaam