sophiauzazi
MSHAURI WA AFYA YA UZAZI🌱 KWA WANAWAKE & WANAUME
🌱PID
🌱FUNGUS
🌱UTI N.K
piga/whatsApp #0766468320
29/08/2025
Share na mimi changamoto yako yoyote ya uzazi
#0766468320
#0766468320
26/08/2025
mrembo umevaa vizuri umependeza lakini baada ya kukutana na mwanaume (sexually)
anachosema ni SIKUTEGEMEA😭
my dear uchafu huwa unaanzia ndani ukiwa unapata uchafu na harufu hatakama utajisafisha kabla ya tendo hata mara tatu kuna moment itafika hivyo vitu vitakudhalilisha tu na ili kuepuka hivyo vyote anza tiba upone.
-kwa ushauri na tiba nipigie
#0766468320
26/08/2025
Suluhisho la changamoto zote za uzazi
#0766468320
#0766468320
26/08/2025
MUHIMU KWAKO MWANAMKE Usinyoe nywele za sehemu za siri para kabisa siku ambazo unategemea kushiriki tendo la ndoa kinyume na hapo utajiweka hatarini kupata maambikizi ya magonjwa mfano magonjwa ya ngono (STIs) na hii ni kutokana na mikwaruzo au vidonda vidogo vidogo visivyoonekana vinaweza kujitokeza wakati wa zoezi la unyoaji (tiny scratches µscopic wound)
ni vyema ukitaka sehemu zako ziwe safi pale ambapo unakwenda kukutana na mwenza wako unaweza kupunguza nywele kwa mkasi(triming) na endapo ukinyoa para basi usubiri mpaka siku 2-3 pasipo kushiriki tendo la ndoa hapo utakuwa umeepuka risky ya kupata maambukizi ya magonjwa
26/08/2025
#0766468320
#0766468320
12/08/2025
Morning🤍
06/08/2025
🤍🤗
05/08/2025
Morning!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam