Afya ni utajili
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya ni utajili, Health/Beauty, Mwenge, Dar es Salaam.
20/09/2021
Uvimbe kwenye kizazi FIBROIDs, Ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndani ya kizazi (ukuta wa kizazi) au ndan ya nyama ya kizazi.
FIBROIDs sio kansa ni uvimbe wa kawaida ambao unakuwa kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormon ndio maan kuanzia kubarehe mpaka kukomaa kwa hedhi ndio wako hatarini na mara nyingi uvimbe huu uwa unaongezeka kukua Sana hasa wakati wa ujauzito Kwan vivhocheo hivi uongezeka wakati huu kulinda makaz ya mtoto, Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi pekee hawapt fibroids.
Zipo aina kuu za fibroids
1: submucosal fibroids (ndan ya kizazi)
2: Intramunal fibroids (ndan ya nyama ya kizazi)
3: subserosal fibroids( nje ya kizazi)
Watu ambao wako hatarini kupata ugonjwa huu wa fibroids
1:mwanamke ambae hajawai kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2: umri kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukomaa
3: kurithi
4: unene
5: kuingia hedhi mapema
Dalili za fibroids
1:kutokwa na dam kwenye via vya uzazi katkt ya mwezi
2: kutokwa na uchafu wenye haruf mbaya au hauna haruf ni mwingi na mweupe
3: maumivu ya kiuno hasa wakat wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe wengi hupata maumivu makali Sana
4: tumbo kuuma Sana chini ya kitovu
5: hedhi zisizokuwa na mpangilio
6: maumivu wakat wa tendo la ndoa
7: kukosa hamu ya tendo la ndoa
8: maumivu makali wakat wa hedhi
Uvimbe ukiwa mkubwa unawez sababisha dalili zifuatazo
1: kukojoa mara kwa mara Kwan uvimbe unakandamiza kibof cha mkojo
2: mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3: haja kuwa ngumu
4: miguu kuvimba
5: kupungukiwa damu
Jinsi fibroids inavoweza kuzuia kupata mtoto
1: fibroids zikikuwa Sana zinakandamiza mishipa yakupitisha mayai kutoka kwenye mfuko wa mayai yaan ovari
2: uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishkiza kwenye kizazi hasa submucosal fibroids (ndan ya kizazi)
3: pia huzuia mfuk wa kizazi kukaz kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa yakupitisha mayai
MATIBABU
Bidhaa yetu ya UGCAREplus itakusaidia wew kwenye tatizo lako.
0659537900 kwa msaada z
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mwenge
Dar Es Salaam