Mwanamke jali afya yako
Nawasaidia wanawake kutatua changamoto za kiafya k**a vile U.T.I,FANGAS,P.I.D, HORMONE IMBALANCE, FIBROIDS AU UVIMBE KWENYE KIZAZI,
14/05/2022
Kinachosababisha muwasho katika sehemu za siri za mwanamke ni maambukizi ya fangasi ukeni, kuvimba uke wakati wa hedhi, trikomonasi, tatizo la shingo ya kizazi, tatizo la mfumo wa kinga.
➡️ *FANGASI*
Maambukizi ya fangasi ni moja ya tatizo kwa wanawake linalosumbua. Tatizo hili husababishwa na fangasi waitwao Candida.
🔸Dalili kuu ni kuwashwa ukeni, kuvimba na kutoa uchafu mweupe k**a maziwa.
➡️ *UGONJWA WA KUVIMBA UKE ( VULVOVAGINITIS )*
Ugonjwa wa kuvimba uke kitaalamu unajulikana k**a Vulvovaginitis. Ni ugonjwa unaoathiri kwa kusababisha sehemu za nje za uke na uke wenyewe kuvimba.
🔸Dalili kuu ni kuwashwa ukeni, maumivu wakati wa haja ndogo, kukereketa unapokojoa na kutokwa na uchafu ukeni.
➡️ *TRIKOMONASI*
Ni ugonjwa wa zinaa unaosababishwa na kimelea aitwaye trichomonas.
🔸Dalili kuu ni muwasho katika uke au uume na kutokwa na uchafu ukeni.
➡️ *GE***AL WARTS(MASUNDOSUNDO* )
Hivi ni viuvimbe vidogo vinavyotokea juu ya ngozi sehemu za siri.
Vinaweza kuota k**a kamba au vimikia vidogovidogo vinavyokua kwa kurefuka. Ugonjwa unaoenezwa kwa njia ya kujamiiana na husababishwa na virusi vijulikanavyo k**a Human Papilloma Virus (HPV). Vivimbe vinaweza kusababisha muwasho na maumivu na hata kuvuja damu vikikandamizwa.
🌺Kwa maelezo zaidi wasiliana nami
FAHAMU SABABU ZA CHANGAMOTO ZA UZAZI KWA MWANAMKE
P.I.D
Inatibika wahi mapema kabla haijajuletea madhara
14/04/2022
SOMO MUHIMU KWA MWANAMKE TU!!!!
SINDANO YA UZAZI WA MPANGO
WATU wengi leo hii hupenda kufanikiwa maishani. Wengi wakiwa na utajiri na wenzi bora wa maisha kitu kikubwa wanachokitamani ni kuzaa na kuwa na familia yenye furaha. Ili uwe na familia bora ni vyema pia kuzingatia mpango wa uzazi na si kufululiza kuzaa. Baadhi ya wanawake wamechagua sindano za uzazi wa mpango k**a njia yao ya kupanga uzazi. Sindano za uzazi wa mpango ni sindano za homoni zinazochomwa ili kuzuia mimba.
Sindano za uzazi wa mpango zina homoni aina moja tu ya projesteroni. Kuna aina tofauti tofauti za sindano za uzazi wa mpango mfano Noristeral inayozuia mimba kwa wiki nane, Depo Provera inayozuia mimba kwa wiki 12 na Sayana Press inayozuia mimba kwa wiki 13. Aina kuu inayotumika nchini Tanzania ni Depo-Provera. Sindano hizi huwa na homoni za projestini aina ya Depot Medroxyprogesterone Acetate (DMPA au Depo Provera) inayofanana na homoni asilia ya projesteroni inayopatikana kwenye mwili wa mwanamke.
Sindano hizi hazina homoni ya Istrojeni hivyo inaweza kutumika kipindi chote ambacho mama ananyonyesha ikiwa hawezi kutumia njia ya uzazi wa mpango yenye homoni ya Istrojeni. Hufanya kazi kwa miezi mitatu, hivyo mwanamke atachoma sindano hii kila baada ya miezi mitatu baada ya kila sindano atakayochoma. Sindano huanza kufanya kazi saa 24 baada ya kuchomwa.
JINSI SINDANO YA DEPO PROVERA INAVYOATHIRI HEDHI
Sindano ya uzazi wa mpango ya depo provera ina fahamika kwa kuwa na athari mbaya kwa kipindi cha hedhi cha mwanamke. K**a vile kufanya mwanamke atoe kiwango kikubwa cha damu katika hedhi yake. Huenda kukamfanya mwanamke augue hali ya anaemia ambayo ni kupungukiwa kwa damu mwilini.
Baadhi ya wanawake hukosa kupata vipindi vya hedhi kwa muda mrefu, huku wengine wakivuja kiwango kidogo cha damu kisicho jaza pedi.
MADHARA YA KUTUMIA SINDANO YA UZAZI WA MPANGO DEPO PROVERA
Kubadilisha mzunguko wa hedhi wa mwanamke. Baadhi ya wakati, mwanamke huenda akatoa damu nyingi kuliko kawaida, kutoa damu kidogo isiyo jaza pedi, kuvuja damu baada ya kipindi cha hedhi
Kuongeza uzito wa mwili kwa kasi zaidi
Kuumwa na magoti
Kupunguza uzito wa mwili kwa kasi
Wanawake walio na umri chini ya miaka 35 wako katika hatari ya kuugua saratani ya matiti
Kuziba kwa mishiba ya damu ama hewa
Kupasuka kwa mishipa ya damu kufuatia kuganda kwa damu
Mwanamke ana hatari ya kuugua saratani ya kizazi
Kujaa maji kwenye mishipa ya mwili kwa kimombo water retention
Kuhisi kichefu chefu
11/04/2022
MUHIMU KWA WANAWAKE!!!!
VYAKULA VITANO VINAVYOLINDA AFYA YA UKE
Uke ni moja kati ya viungo muhimu zaidi kwenye mwili wa mwanamke hivyo basi ni lazima ufuatilia kwa karibu zaidi afya ya kiungo hiki kwakua makosa kidogo yanaweza kusababisha madhala makubwa kwenye mfumo mzima wa uzazi wa mwanamke
Mara zote inakupasa kuhakikisha kiasi cha Asidi na Alkaline kwenye kiuongo hiki kipo sawa (PH Balance) kwa kula vyakula vizuri na vifuatoavyo ni aina tano za vyakula ambavyo husaidia kuimarisha afya ya uke
1.Vyakula vya Probiotic
Vyakula k**a Yogurt na Mbilimbi husaida sana kuweka sawa kiwango cha PH mwilini mwako kwa njia nyingi sana na hisaidia kuzuia vijidudu kushambulia mwili wako kiurahisi kutokana na utengenezwani wake vyakula vyakula hivi huwa na vijidudu cya amila amabvyo havina madhala kwenye mwili wa binadamu na husaida kulinda mwili
2.Maji
Hiki ni kinywaji muhimu sana na kina uwezo mkubwa wa kuponyesha mwili kwakua asilimia 70% ya miili yetu ni maji hivyo unavyokunywa maji mengi husaidia sana kurekebisha kiswangincha Asidi za ndani ya mwili hivyo hakikisha unakunywa maji mengi kwa siku ili kulinda mwili wako kishambuliwa
3.Matunda
Matunda muhimu zaidi kwa afya ya uke ni k**a mananasi na cranberies (matunda Damu) hakikisha matunda yenye vitamini C k**a Maembe, Mapapai na matikiti maji ni muhimu sana. kwa mujibu wa utafiti ulifanywa na chuo kikuu cha Pennsylvania kituvo cha Tiba wamegunduankuwa kula matunda ya matunda haya mawili au zaidi kwa siku kunapunguza kwa kiasi uwezekano wa kupata uvimbe ndani uke
4.Chai Ya Kijani
Aina hii ya chai husaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza uwezekano wa kupata ugonjwa wa UTI ambao una madhala makubwa kwenye njia ya uzazi ya kwa kinamama
5.Mboga za Majani
Vyakula vya nyuzi nyuzi na protini k**a matunda husaidia kwa kiasi kukubwa kulinda uke kwakua mboga mboga zina protini kubwa ambayo inalinda mwili dhidi ya maradhi mbalimbali
Kwa shida yoyote inayohusu afya ya uzazi kwa wanawake wasiliana na mshauri wa afya uzazi kwa wanawake inbox au whatsapp 0747452497
Inflammatory Disease (P.I.D).
Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke maambukizi haya hushambulia zaidi mirija ya uzazi (fallopian tube) mji wa mimba (uterus), shingo ya kizazi (cervix) na mfuko wa mayai (o***y).
P.I.D Husababishwa na mambo yafuatayo.
1)U.T.I AU FANGASI SUGU
k**a unvyojua U.T.I ni maambukizi ambayo yanakuwa kwenye mfumo wa mkojo sasa ugonjwa huu unapokuwa sugu ndipo hatari ya bacteria wa U.T.I kuingia ndani ya uke inapokuwa kubwa na kwenda kusabisha P.I.D alikadhalika ata fangasi inakuwa ivyoivyo.
2)UTOAJI MIMBA
Unapotoa mimba kuna uchafu ambao hubakia na ndio unaopelekea kupata PID hasa kuathiri kizazi na shingo ya kizazi.
3)MATUMIZI YA UZAZI WA MPANGO.
Hasa Kondom na Lupu husabaisha sana huu ugonjwa japokuwa na izp njia nyingine pia husababisha sana huu ugonjwa.
4)MAGONJWA YA ZINAA(NGONO ZEMBE)
P.I.D inasababishwa pia na magonjwa k**a Gono na mengine yanaysabishwa na kuzinizini ovyo .
5)WAKATI WA KUJIFUNGUA NA KUJISAFISHA KWA KUJIINGIZA VIDOLE KWENYE UKE. zipo sabahu nyingi sana zinazopelekea huu ugonjwa izo ni baadhi.
MADHARA YA P.I.D NI YAPI!?
1)MIMBA KUHARIBIKA MARA KWA MARA
2)UGUMBA
3)MIMBA KUTUNGA KWENYE MIRIJI (ECTOPIC PREGNANCY)
4)MVURUGIKO WA HOMONI MWILINI
5)SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI
6)KUPATA MAUMIVU MAKALI WA TENDO LA NDOA
7)KIZAZI KUJAA MAJI AU KUWA NA MAKOVU
8)KUSABABISHA FIBROID NA OVARIAN CYSTS
9) MWANAMKE ANAKUWA ANATOA HARUFU NA KUMFANYA AKOSE KUJIAMINI NA MUDA MWINGINE NDOA HIVUNJIKA KABISA
01/03/2022
MATATIZO katika ute wa uzazi wa mwanamke kitaalamu tunaita Abnormal Cervical Mucus . Ute wa uzazi anaoupata mwanamke pale anapokuwa katika kipindi cha upevushaji mayai ndiyo unaosaidia mbegu za kiume ziweze kusafiri hadi katika yai lililopevuka katika mrija wa uzazi. Kwa kawaida ute wa uzazi ni mwepesi na unavutika au unakuwa na mnato.
Matatizo ya uzazi yanayomfanya mwanamke asipate ujauzito husababishwa na kasoro katika uzalishaji wa mbegu za kiume na matatizo katika ute wa uzazi. Tunategemea mwanamke yeyote aliye kamili katika uzazi hupevusha mayai na dalili ya upevushaji huu wa mayai ni kuwa anatokwa na ute wa uzazi.
JINSI TATIZO LINAVYOTOKEA
Kupata ute wa uzazi usio wa kawaida kwa mwanamke humfanya awe mgumba, ute wa uzazi unapokuwa na tatizo husababisha mbegu za kiume zishindwe kupenya humo na kuogelea kwenda kurutubisha yai lililo tayari. Pia ute wenye matatizo huua au kuziharibu mbegu za kiume, hata mwanaume atoe mbegu zenye ubora namna gani k**a pale ukeni ute una matatizo basi zitauawa au kukosa ubora wa kwenda mbele zaidi.
Tunapoongelea ute wa uzazi kwa kawaida ute huu tunauweka katika makundi makuu matatu, kwanza ni ute mzito, ute huu baada ya muda mfupi hubadilika kuwa mwepesi na mwembamba huku ukivutika kwa lengo la kuwezesha mbegu za kiume zisafiri humo, mwisho ute wa uzazi unarudi kuwa mzito.
Ute wa uzazi unapokuwa mwepesi na kuvutika unaashiria uwepo wa kiwango cha kutosha cha vichocheo vya Estradiol katika mzunguko mzima wa mfumo wa hedhi wa mwanamke. Hapa tunategemea vichocheo hivi vya Estradiol kuwa vizuri hasa katika kipindi cha uzalishaji mayai kiitwacho Follicular Phase .
28/02/2022
Dawa za uzazi wa mpango hufubaza utengenezaji wa vichocheo(hormones) vya mwili vya Estrogen na Progesterone na kufubazwa huku huweza kupelekea kupata tatizo linaloitwa kitaalamu Estrogen dominance yani nguvu ya kichocheo cha estrogen inakuwa kubwa kuliko kawaida
Dalili za estrogen dominance ni k**a zifuatazo
Kuvurugika kwa mzungiko wa hedhi, kupata hedhi nyenye damu nyingi kuliko kawaida, kuongezeka uzito(hips, mapaja na tumbo) kukosa usingizi, kuikosa hamu ya kujamiiana, uchovu mara kwa mara na uvimbe kwenye matiti na depression
The hormones in birth control pills suppress our own body's production of estrogen and progesterone which can lead to estrogen dominance
27/02/2022
MUNGU AKAMPONYE KILA ATAKE CHUKUA PRODUCTS KWA CHANGAMOTO YOYOTE ALIYO NAYO
➡️FANGASI
➡️PID
➡️UTI SUGU
➡️KUTOKWA UCHAFU UKENI
➡️KUTOA HARUFU MBAYA UKENI
➡️KUWASHWA UKENI
➡️UVIMBE (FIBROIDS)
➡️MIRIJA KUZIBA
➡️HORMONE IMBALANCE
➡️KUSHINDWA KUBEBA UJAUZITO
Tuwasiline kupitia Whatsapp au piga
📞+255 747452497
14/02/2022
Tatizo hili huwatokea zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa. Viungo vya nje vya uzazi vya mwanamke ambavyo huathirika na tatizo hili la uvimbe ni mashavu au midomo ya uke na mlango au mdomo wa uzazi.
Mashavu au midomo ya uke kitaalamu huitwa ‘l***a majora ambayo ni midomo ya nje ya uke, na l***a minora ambayo ni midomo ya ndani ya uke. Mtomo wa kizazi kitaalamu huitwa Cervix.
Uvimbe katika viungo vya nje vya uke hutokea hutokea tu au husababishwa na maambukizi. Uvimbe huu unaweza kuwa na maumivu au usiwe na mumivu. Uvimbe unaweza kuwa mdogo au mkubwa kutegemea na sehemu ulipo na muda tangu ulipoanza. Mwanamke pia anaweza kupata tatizo la midomo ya ndani ya uke ambayo hurefuka na kujiona k**a kero, hiyo ni hali ya ki maumbile na haina madhara.
AINA ZA UVIMBE
Uvimbe wa mashavu ya uke huwa unatokea kwenye tezi iitwayo “Bartholin gland”. Tezi hii huwa haionekani kwa macho na mojawapo ya kazi zake ni kutoa majimaji ya kulainisha uke wakati wa tendo la ndoa.
Bartholine cyst: Huu ni uvimbe mgumu hutokea pembeni ya shavu la uke kwa ndani. Uvimbe huu mara nyingi huwa hauumi lakini huendelea kukua n kuleta shida wakati wa tendo la ndoa, na hutokea wenyewe. Uvimbe huonekana kwa macho au mwanamke anauhisi anaponawa ukeni au wakati wa kujamiiana.
Bartholine Abscess: Aina hii ya uvimbe ni jipu kwani nani yake huwa kuna usaha. Uvimbe huu huwa na maumivu makali huweza kupata homa, kushindwa kutembea vizuri na wakati mwingine uvimbe hupasuka. Maumivu husabbisha mgonjwa ashindwe kuendelea na mambo yake.
Dalili Zake
Dalili kwenye mdomo wa kizazi huwa k**a ifuatavyo;
Kuhisi kitu kigumu k**a gololi wakati mwanamke anapojisafisha
Kizazi kushuka chini
Maumivu wakati ama baada ya tendo la ndoa
Kutokwa na uchafu ukeni mara kwa mara unao ambatana na muwasho na harufu mbaya ukeni
Damu kutoka baada ya tendo la ndoa au kuhisi kitu kinasukumwa kwa ndani wakati wa tendo la ndoa.
Usikubali kupasuliwa njoo nikupe suluhisho la kudumu
Whatsapp au piga
📞0747452497
03/02/2022
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salam
Dar Es Salaam