Tibabora_kwa_afya
Virutubisho lishe Bora Kwa afya
DALILI ZA P.I.D
-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa
-Uke kutoa harufu mbaya
-Kuwashwa sehemu za siri
-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
-Uke kuwa mlaini sana
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuvurugika kwa hedhi
-Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Homa, uchovu na kizunguzungu
MADHARA YA P.I.D
-Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha yaliyopi katika mirija ya uzazi
-Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
-Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi
-Ugumba kwa mwanamke
-kupata kansa ya shingo ya uzazi.
Pata suluhisho la KUDUMU Sasa Kwa kutumia Tiba lisha.
Piga/
Madhara yanayoweza kutokea ni pamoja na:
Mimba nje ya mirija (ectopic pregnancy). PID ndiyo sababu kubwa ya mimba kutunga nje ya kizazi. Mimba huweza kutunga nje ya kizazi endapo PID imesababisha makovu ndani ya mirija ya uzazi. Makovu haya husababisha yai lililopevushwa kushindwa kusafiri ndani ya mirija ya uzazi kuelekea kwenye nyumba ya uzazi. Badala yake yai hunata ndani ya mirija ya uzazi . Mimba nje ya kizazi husababisha utokaji wa damu usio wa kawaida unaoweza kukatisha maisha ya mwanamke.
Ugumba. Uharibifu wa viungo vya uzazi huweza kusababisha ugumba – kushindwa kupata ujauzito. Kadiri unavyozidi kupata PID mara nyingi zaidi, ndivyo hatari ya ugumba inavyozidi. Kuchelewa kupata tiba ya PID kunaongeza hatari ya ugumba.
Maumivu sugu ya nyonga. PID inaweza kusababisha maumivu ya nyonga yanayoweza kudumu kwa miaka mingi. Makovu ndani ya mirija ya uzazi na viungo vingine vya uzazi huweza kuleta maumivu wakati wa kujamiiana na wakati yai linadodondoshwa (ovulation).
Tubo-ovarian abscess. PID huweza kusababisha kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya njia ya uzazi. Mara nyingi majibu haya hutokea ndani ya mirija ya uzazi na ovari, ingawa huweza kuota ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi. K**a tiba haitatolewa, unaweza kupata maambukizo hatarishi kwa maisha.
Kwa msaada Zaid wasiLiana nami kupitia 0678589107
23/03/2022
*Bidhaa Hii ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MWILINI hasa katika organs muhimu K**a vile Figo ,Ini ,Mapafu ,Kongosho ,Ubongo na nk ,
Tunatumia SIMU, EAR PHONE n.k vinavyozalisha mionzi isiyo salama kwa afya zetu, vyakula ,Vinywaji na Madawa yenye kemikali na Sumu lakini hatuli vitu vinavyo toa sumu mwilini habar njema ni kwamba DETOXILIVE ni suluisho
Hizi ni Baadhi ya Faida za DETOXILIVE
1.Huondoa sumu mwilini.
2. Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu
3.Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO
4.Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilin, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi,
5. Inaondoa sukari iliyozid mwilin Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (presha)
6.Huondoa hali ya uzee wa sura na mwili kabla ya wakati
7.Ina ondoa URIC ACID ilio zidi mwilini
8.Huondoa maumivu ya viungo hasa kwenye maungio kwan hubalance kiwango cha uric acid
9.Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO,INI,KONGOSHO,mapafu
10.Inaleta usingizi Mzuri sana
11.Huondoa hali ya uchovu uchovu usio na sababu
Ili kupata dose hii wasiliana nasi kwa 📞 au Whatsap
+255678589107
16/02/2022
VITU VINAVYOSABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA NI
____________________
🪄1.Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni (Hormonal Imbalance).
🪄2.Ovaries kushindwa kutoa mayai.
🪄3.Kuziba kwa mirija ya uzazi.
🪄4.Mirija ya uzazi kujaa maji.
🪄5.Uvimbe katika kizazi (uterine fibroid).
🪄6. Magonjwa k**a vile PID, kisonono kisukari nk.
🪄7.Kuwa na msongo wa mawazo.
🪄8.Utoaji wa mimba (Abortion).
🪄9.kuwa na uzito kupita kiasi (over-weight).
🪄10.Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia.
🪄11.Matumizi ya madawa.
🪄12.Endometriosis:-Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuota nje ya fuko hilo au hata sehemu nyingine.
_________________Je Ni wewe au rafiki yako anatafuta Mtoto kwa muda Mrefu? Karibu tukuhudumie,. Wengi WALIOTUAMINI Wamepona, wengine wameshika mimba karibu tukuhudumie🤝
Piga 0678589107
. +255678589107
05/01/2022
SABABU ZINAZO SABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA UJAUZITO.
Tatizo la kutopata mimba linawasumbua wengi na huwapata familia kadhaa katika jamii, huweza kumpata mtu mmoja kati ya wanandoa 12 na ni tatizo linalowapata watu zaidi ya milioni 24 duniani kote.
Ugumba ni hali ya kutoweza kupata ujauzito katika kipindi cha mwaka mmoja au zaidi kwa wenzi ambao wamekuwa wakifanya mapenzi bila kutumia njia zozote za uzazi wa mpango. Mtiririko wa upataji ujauzito ni k**a ifuatavyo;
Baada ya mwezi mmoja wa ndoa uwezo wa kushika ujauzito ni asilimia 20, baada ya miezi mitatu ya ndoa ni asilimia 50, baada ya miezi sita ya ndoa ni asilimia 75 na baada ya miezi 12 ni asilimia 90 mwanamke huweza kupata ujauzito.
Hali hii inaweza kutokea kutokana na tatizo kwa mwanaume au mwanamke, ingawa baadhi ya watu wamekuwa wakidhani wanawake peke yao ndio ambao hupata tatizo hilo.
NINI SABABU ZA KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO
- Kuziba kwa mijrija ya kupitisha mayai
- Ovari kushindwa kutoa mayai ya uzazi au kutoa mayai isiokuwa na nguvu (lazy egg).
Mirija ya kupitisha mayai inaweza kuziba kutokana na;
- Ugonjwa wa Pelvic Inflammatory Disease (PID) ambao unatokana na magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa k**a kisonono na klamidia.
- Mirija ya mayai kujaa maji
- Utoaji mimba usio salama (unsafe abortions)
- Upasuaji maeneo ya kiunoni
- Ugonjwa wa endometriosis
Ovari kushindwa kutoa mayai ya uzazi inaweza kutokana na;
- Umri mkubwa wa mwanamke, hasa miaka 35 – 40 na kuendelea.
- Uvutaji wa sigara
- Saratani ya Ovari
- Mionzi (radiations)
- Ugonjwa wa Polycystic ovarian disease (Ovarian Cyst)
Sababu nyingine za ugumba kwa mwanamke zinaweza kuwa;
- Makovu katika mji wa uzazi kutokana na kutoa mimba.
- Mabonge ya kizazi (uterine fibroids)
- Kuziba kwa shingo ya uzazi
- Kulegea shingo ya uzazi
- Kisukari
- Matatizo ya tezi ya shingo (hyperthyroidism)
- Kufanya mazoezi ya kupitiliza (excessive exercising)
MATIBABU
Wasiliana na 0626079794
31/12/2021
TATIZO LA KUZIBA MIRIJA YA UZAZI,CHANZO,DALILI NA TIBA YAKE
- Mwanamke kuwa na historia ya kupatwa na maambukizi kwenye via vyake vya uzazi mara kwa mara yaani pelvic inflammatory disease(PID)
- Mwanamke kuwa na historia ya kuumwa na kidole tumbo yaani Appendix kisha ikapasukia ndani
- Mwanamke kuwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa(Sexual transmitted diseases-STD's) k**a vile; Ugonjwa wa kisonono(gonorrhea),tatizo la chlamydia n.k
- Tatizo la Endometriosis,ambapo huhusisha kukua kwa kuta za ndani ya tumbo la uzazi kuelekea nje
- Mwanamke kuwa na historia ya kufanyiwa upasuaji tumboni
- Mwanamke kupatwa na tatizo la maji kujaa kwenye mirija ya uzazi kisha kusababisha mirija ya uzazi kuziba na kuvimba,tatizo ambalo kwa kitaalam hujulikana k**a Hydrosalpinx
- Mwanamke kuwa na historia ya kupatwa na tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi yaani Ectopic pregnancy
- Mwanamke kuwa na tatizo la uvimbe kwenye mirija ya uzazi yaani Fibroids n.k
DALILI ZA TATIZO HILI LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
Kwa asilimia kubwa wanawake wengi wenye tatizo hili la kuziba mirija ya uzazi hawaonyeshi dalili zozote,mpaka pale watakapoanza kupata shida ya kutokubeba mimba,ndipo huamua kufanya vipimo na kugundulika shida hii, Lakini endapo watapata dalili,basi miongoni mwa dalili hizi hapa chini huweza kuonekana;
• Mwanamke kupata maumivu makali ya tumbo eneo la kwenye kitovu,chini ya kitovu,pembeni upande mmoja au kwenye kiuno
• Mwanamke kupata maumivu makali sana wakati wa hedhi
• Mwanamke kupata maumivu ya tumbo upande mmoja,hii hutokea sana kwa wanawake ambao tatizo la mirija ya uzazi kuziba chanzo chake ni maji kujaa na kuziba kwenye mirija ambapo kwa kitaalam hujulikana k**a Hdyrosalpinx
• Baadhi ya wanawake hupata shida ya kutoa damu ukeni yaani vaginal bleeding n.k,
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255678589107
28/12/2021
MADHARA YA KUTUMIA P2(SOMA HAPA CHINI)
p2 ni dawa ya dharura (emergency contraceptive),inazuia mtu asipate Mimba kwenye mazingira ambayo umefanya s*x pasipo kupanga na upo siku za hatari,au umelazimishwa kufanya s*x au umebakwa,ili kuzuia mimba zisizotarajiwa unalazima Kunywa hizi dawa
Ni Dawa iliyotengenezwa kutumiwa mara chache tu,inapokulazimu.Sio dawa unayotakiwa kutumia k**a njia ya uzazi wa mpango ya muda mrefu. Kuna wanawake humeza p2 kila mwezi,hii haitakiwi. Katika mazingira ya kawaida,haipaswi kumezwa zaidi ya mara 3 kwa mwaka. Kuendekeza kila mwezi kunywa hizi p2 sio sahihi,Unatakiwa ende hospitali ili upate njia sahihi ya uzazi wa mpango ya muda mrefu.
Baadhi ya Side effects/madhara ni ya matumizi holela ya dawa hizi ni
1.Unaweza kujisikia kichefuchefu au kutapika baada ya kumeza,
2.Maumivu ya tumbo
3.Matiti kuuma na kujaa
4.Pia hedhi zako zinazofuata zinaweza zikawahi au zikachelewa au zikatoka nyingi sana( ukiona zimezidi siku 8 fika muone daktari) au ukawa unapata hedhi nyepesi sana,au pia haupati hedhi kabisa (amenorhoea)
5.Kichwa kuuma na kizunguzungu
6.Mabadiliko ya Ute ukeni (change in cervical secretion,hapa unakuta Ute wa ovulation mtu hapati).
7.Kupata maambukizi ukeni,vaginal infections
8.Hatari ya kupata PID
9.Maumivu wakati wa s*x(dyspareunia)
10.Mama anakuwa hatarini kutungisha mimba nje ya kizazi yaani ectopic pregnancy.
11.Lakini pia kuna wanawake hupata Ovarian cyst,vivimbe kwenye mfuko wa mayai.
Kuna sababu hapo juu k**a PID,kutopata UTE,infections kwenye uke hizi zinakuja athiri mwanamke anakuwa anapata taabu kwenye Kupata mimba
K**a hujapanga kupata mimba,tafadhari fuata njia ya uzazi wa mpango ya muda mrefu inayokufaa,achana na kumeza p2 kila mwezi.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255678589107
16/12/2021
HIZI NDIYO DALILI ZA MTU ALIYE PUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME NA TIBA YAKE KWA SIKU 30 TU...
Mwanaume aliyepungukiwa nguvu za kiume huwa na dalili zifuatazo.
1. Uume kusinyaa na kuwa k**a wa mtoto
2. Uume kurudi ndani
3. Uume kusimama ukiwa legelege
4. Kufika kileleni haraka wakati wa tendo la ndoa.
5. Kushindwa kurudia raundi nyingine kwa uharaka baada ya raundi ya kwanza.
Tuna suluhisho kwa tiba ya asili kabisa na bora kwa uhakika wa mtu aliye athiriwa na punyeto na ulaji mbaya wa vyakula visivojenga afya ya mwili. Tiba hii hufanya mambo yafuatayo:
A) Kuimarisha mishipa na misuli ya uume ulio
legea na hivyo kuurejeshea uwezo wake wa asili
B) Hutibu tatizo la uume kurudi ndani na kuwa k**a wa mtoto mdogo
C) Humaliza tatizo la kusimama kwa uume
ukiwa legelege
D) Hutibu na kuponya kabisa tatizo la kufika
kieleleni haraka.
E) Huongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa hata baada ya raundi ya kwanza .
f)kuunga tendo baada yakufika kileleni.
K**a una tatizo hilo wasiliana nami +255678589107
08/12/2021
* Je PID ni nini ?
* Na je dalili za PID kwa Mwanamke ni zipi ?
- PID ni neno la Kiingereza ambalo kirefu chake ni " Pelvic inflammatory Disease " ambalo kwa lugha ya Kiswahili maana yake ni maambukizi ya magonjwa katika njia au via vya uzazi vya Mwanamke.
- Ugonjwa wa PID ( Pelvic inflammatory Disease ) kwa Mwanamke anapokaa nao kwa muda mrefu bila hata kutibiwa , anaweza kusababisha uharibifu mkubwa katika mfumo wa uzazi hasa katika mfuko wa kizazi ( Uterus ) , vifuko vya mayai ( Ovaries ) na pia kuziba kwa mirija ya mayai ( Fallopian tubes ).
- Pia Ugonjwa wa PID ( Pelvic inflammatory Disease ) kwa Mwanamke anapokaa nao kwa muda mrefu bila hata kutibiwa humfanya Mwanamke kupata tatizo la Ugumba katika maisha yake.
* Dalili za PID ( Pelvic inflammatory Disease ) kwa Mwanamke , nazo ni k**a zifuatazo :-
1.Mwanamke kutokwa na uchafu sehem za siri ( Vaginal Discharge ) wenye kutoa harufu mbaya yenye kunuka.
2.Mwanamke kuhisi maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa.
3.Na pia Mwanamke kuhisi maumivu wakati wa kujisaidia haja ndogo.
4.Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu.
5.Mwanamke kupitia changamoto ya kupata hedhi mala mbili ndani ya mwezi mmoja.
- Hivyo uwonapo dalili moja wapo kati ya hizo , usiwe na wasi tiba ipo njoo tukupatie tiba mbadala itakayokusaidia kuondokana kabisa na tatizo lako linalokusumbuwa.
number / Call number 0678589107
22/11/2021
DALILI ZA P.I.D
-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa
-Uke kutoa harufu mbaya
-Kuwashwa sehemu za siri
-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
-Uke kuwa mlaini sana
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuvurugika kwa hedhi
-Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Homa, uchovu na kizunguzungu
MADHARA YA P.I.D
-Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha yaliyopi katika mirija ya uzazi
-Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
-Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi
-Ugumba kwa mwanamke
-kupata kansa ya shingo ya uzazi.
Pata suluhisho la KUDUMU Sasa Kwa kutumia Tiba lisha.
Piga/whatsapp 0678589107
21/11/2021
DALILI ZA UTI
1.Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa
2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo
3.Maumivu ya misuli na tumbo
4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu nk
5.Kwa mtu aliyeathiriwa figo anaweza kuwa na maumivu mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika
6.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo
JINSI YA KUZUIA UTI SUGU
1.Kunywa maji mengi kunsaidia kusafisha bakteria kwenye mfumo
2.Mtu anatakiwa akojoe mara kwa mara kila anapojiskia kukojoa
Mkojo ukikaa sana kwenye kibofu unaweza zalisha bakteria
Na baada ya kukojoa wanawake wanatakiwa kujisafisha kuanzia mbele kurudi nyuma ili kulinda urethra
3.Vaa nguo za ndani za pamba na ambazo hazibani sana kuruhusu hewa kupita vizuri ,epuka jinsi zinazobana sana ambazo zinaweza kukusanya na kuleta tatizo.
ILI KUPATA HUDUMA ZETU ZA MATIBABU NA USHAUR TAFADHALI PIGA NAMBA ZIFUATAZO +255626079794
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 12:00 - 16:00 |