Tibalishe_virutubisho
tibalishe
21/07/2022
𝐎𝐍𝐆𝐄𝐙𝐀 𝐊𝐈𝐍𝐆𝐀 𝐌𝐖𝐈𝐋𝐈𝐍𝐈.
𝐅𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐳𝐚 𝐒𝐏𝐋𝐈𝐍A
Ni kirutubisho kinachotengenezwa kutokana na majimaji ya mmea uitwa White Mulberry Leaves. Ni chanzo kikubwa madini, vitamin, protein, trace elements, na anti-oxidants ambavyo ni muhimu sana katika kusawazisha alkalinity kwenye mwili
Kwa kawaida chakula chetu kinapaswa kuwa na acidic 20% na alkaline 80% ili mwili uwe na afya. Chakula kikiwa na acid nyingi kinapelekea mlipuko wa magonjwa mbalimbali k**a kisukari, presha, lehemu, shinikizo la damu stroke, vidonda vya tumbo nk
Splina liquid inasaidia kusawazisha kiwango cha alkaline mwilini
𝐅𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐳𝐚 𝐒𝐏𝐋𝐈𝐍A
•INATO ACID MWILINI
• Ni chanzo kikubwa cha virutubisho mbalimbali
• Inaongeza damu na kusaidia kuzalishwa kwa seli nyekundu kwa wingi
• Inaongeza kinga ya mwili kwa haraka na kusaidia mwili kupona kwa haraka
• Inaongeza oxygen kwenye damu na kusaidia damu kusafiri vizuri
• Inaondoa muwasho na allergy
• Inaondoa uvimbe
• Inaondoa matatizo ya figo hasa vimawe vya kwenye figo na kuisaidia figo kufanya kazi vizuri
• Inaondoa makunyanzi kwenye ngozi na kuirudisha ngozi kwenye hali yake ya kawaida
• Inasaidia kubalance hormones
• Inaondoa maumivu ya tumbo la hedhi
• Inavirutubisha viungo vya mwili k**a ini kongosho na kurejesha ufanyaji wake wa kazi wa awali
• Inasaidia kwa watu wenye mmeng'enyo mbaya wa chakula kukosa choo na matatizo yote ya tumbo
• Inasaidia.kupunguza uzito kwa haraka
• Inasaidia kwa watu wenye cancer stage 1,2,3
• Inasaidia kwa watu wenye magonjwa sugu k**a malaria sugu, fungus sugu, UTI sugu,nk
• Inasaidia kupambana na infection mbalimbali
WATUMIAJI WA SPLINA
• Inashauriwa kutumika na kila mmoja wetu ili kujikinga na magonjwa mbalimbali
• Wenye matatizo ya kupata choo
• Wenye acid nyingi mwilini
• Wenye upungufu wa kinga mwilini
• Wenye presha
• Wenye kisukari
• Wenye vidonda vya tumbo
• Wenye matatizo ya Gout
• Wenye shida ya ini figo na kongosho
• Wenye uvimbe tumboni
• Wenye shida za hormone inbalances
• Wenye stroke
• Wenye magonjwa ya moyo
• Wenye lehemu nyingi (high cholesterol)
• Wenye matatizo ya ngozi
𝐊𝐰𝐚 𝐬𝐡 𝟖𝟎,𝟎𝟎𝟎
𝐏𝐢𝐠𝐚 𝐚𝐮 𝐰𝐡𝐚𝐬𝐀𝐩𝐩
𝟎𝟕𝟔𝟔𝟎𝟑𝟏𝟒𝟕𝟎
𝟎𝟕𝟏𝟔𝟖𝟎𝟕𝟎𝟐3
26/12/2020
CHANGAMOTO ya UGONJWA wa FIGO.
FIGO ni OGANI inayoshirikiana na MOYO. KUATHIRIKA kwake kuna ATHARI KUBWA kwa MFUMO wa DAMU na MAPIGO ya MOYO.
MAGONJWA SUGU ya FIGO hutokea pale OGANI hiyo inapopoteza UWEZO wa kutenda KAZI zake kikamilifu.
TATIZO huanza TARATIBU na KUDUMU kwa MUDA mrefu hadi kuonyesha DALILI za WAZI .
HUU ni kati ya MAGONJWA yasiyoambukiza kwani UNATOKANA na MIENENDO na MITINDO ya KIMAISHA .
FIGO huwa na KAZI ya kuchuja TAKAMWILI zilizo NDANI MWILINI na kuzitoa NJE kwa NJIA ya MKOJO na KUPUNGUZA kiasi cha MAJI kilichozidi MWILINI.
FIGO hutoa HOMONI inayochochea OGANI zingine MWILINI ikiwamo KUHAMASISHA utengenezwaji wa CHEMBE NYEKUNDU za DAMU,utendaji wa MADINI ya KALSIAMU na HOMONI zinazoongeza MWENDO KASI wa MISULI ya MOYO.
Vilevile ,FIGO hufanya KAZI ya KUFYONZA na KUVIRUDISHA vitu MUHIMU ambavyo vingehitajika kutoka kwa NJIA ya MKOJO.
Hudhibiti MADINI k**a POTASIUMU,MAGNESIUMU,na TINDIKALI ili kuweka sawa MAZINGIRA sawia katika DAMU.
FIGO inapopoteza UWEZO wake wa kutenda KAZI husababisha KUKOSEKANA kwa UFANISI wa SHUGHULI za MWILI.
HALI hii husababisha KUWAPO kwa KUSANYIKO na LIMBIKIZO la MAJI,UCHAFU na SUMU hutokea MWILINI mwa MGONJWA.
Pia husababisha KUTOKEA kwa MARADHI mengine k**a vile, UPUNGUFU wa DAMU MWILINI, SHINIKIZO la DAMU na ONGEZEKO la TINDIKALI kwenye DAMU.
Vilevile husababisha ONGEZEKO la LEHEMU na MAFUTA kwenye DAMU na MAGONJWA ya MIFUPA.
INAELEZWA kuwa karibu WATU nusu MILIONI wapo katika UCHUJAJI DAMU na MASHINE MBADALA wa FIGO ( dialysis ) na huku WAKIWA wameshawahi kubadilishiwa FIGO.
MAMBO kadhaa YANAHUSISHWA na TATIZO la UGONJWA SUGU wa FIGO ikiwamo UGONJWA wa KISUKARI, SHINIKIZO LA DAMU,UNENE ULIOPITILIZA na UZEE.
Vilevile MABADILIKO katika TABIA na namna WATU wanavyohishi.
Ili KUJIEPUSHA na HATARI ya kupata UGONJWA wa FIGO fanya yafuatayo.
1.USICHELEWE kwenda HAJA.
Kutunza MKOJO kweye KIBOFU chako kwa muda MREFU ni WAZO BAYA.KIBOFU kikijaa kinaweza kusababisha uharibifu.
MKOJO ambao unakaa kwenye KIBOFU huzidisha BAKTERIA haraka.
Pia MKOJO unaporudi NYUMA ya NJIA husababisha MAAMBUKIZI katika FIGO pia NJIA ya mkojo "nephritis", pamoja na "uremia".
Wakati WITO ASILI (unahisi mkojo) fanya haraka iwezekanavyo nenda KAKOJOE .
2.Kula CHUMVI kupita kiasi nalo ni TATIZO.
Inatupasa kula Chumvi isiyozidi 5.8 gramu kwa SIKU .
3.Kula NYAMA kupita kiasi.
PROTINI ikizidi sana katika MLO wako inadhuru FIGO zako. MMENG'ENYO wa PROTINI unazalisha AMONIA- SUMU DUTU ambayo ina UHARIBIFU mkubwa kwa FIGO zako. NYAMA nyingi inaleta UHARIBIFU zaidi wa FIGO.
4.UNYWAJI mwingi wa "CAFFEINES".
CAFFEINE hutokana na VINYWAJI vya SODA na VINYWAJI vingine LAINI k**a KAHAWA, RED BULL n.k. Hupandisha SHINIKIZO la DAMU na FIGO zako kuanza kupata MATESO .
Unapaswa KUPUNGUZA kiwango cha COKE, PEPSI, RED BULL, nk. ambavyo HUNYWA kila SIKU.
5.PIA Kutokunywa MAJI.
FIGO zetu LAZIMA zichakatwe VIZURI kutekeleza MAJUKUMU yake VIZURI .Endapo HATUNYWI MAJI ya KUTOSHA , SUMU DUTU inaweza kuanza KUKUSANYIKA katika DAMU ,k**a hakuna KIMIMINIKA cha KUTOSHA kutoa kwa NJIA ya FIGO . KUNYWA zaidi ya BILAURI 10 za MAJI kila SIKU.
Kuna NJIA RAHISI ya KUANGALIA k**a unakunywa MAJI ya KUTOSHA nayo ni kuangalia RANGI ya MKOJO wako,WEPESI wa RANGI ndiyo VIZURI.
6.PIA Kuchelewa MATIBABU .
TIBU CHANGAMOTO zako ZOTE za AFYA kwa UHAKIKA kwa kutumia BIDHAA ZETU na UWE na UTARATIBU wa kuchunguza AFYA yako MARA kwa MARA .
WAPENDWA wa MAKALA zangu, hebu TUJISAIDIE wenyewe kwa kutumia BIDHAA zangu japo MARAMOJA kwa WIKI ili kuondoa SUMU MWILINI na KUJIWEKA katika MAZINGIRA SALAMA..!!
Pia EPUKA VIDONGE hivi ni HATARI sana:-
D- baridi.
Vicks Action- 500
Actified
Coldarin
Cosome
Nice
Nimulid
Cetrizet- D
Hivi VIDONGE vina Phenyl propanol- amide PPA ambayo husababisha STROKE na zimepigwa MARUFUKU huko MAREKANI.
NAMALIZIA kwa KUKUPATIA MAONYO MUHIMU ya AFYA.
1. JIBU (pokea) SIMU WITO na SIKIO la KUSHOTO.
2. Usinywe DAWA kwa MAJI BARIDI.
3. Usile MILO MIZITO baada ya SAA KUMI na MOJA JIONI .
4. Kunywa MAJI VUGUVUGU mengi ASUBUHI na kiasi USIKU . Usinywe MAJI BARIDI KAMWE .
5. MUDA BORA wa KULALA ni kutoka SAA NNE usiku hadi SAA KUMI alfajiri.
6. USILALE mapema BAADA ya KUMEZA DAWA au BAADA ya MLO wa USIKU, Kula CHAKULA laini.
7. Usipokee SIMU yako ikiwa HAINA CHAJI kwani WAKATI huo MIONZI huwa ina NGUVU mara 1000 .
Kwa kupata tibalishe na maelezo zaidi
Call/whatsapp
0716807023
0766031470
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Msasani
Dar Es Salaam