Sweet Cream Products
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Sweet Cream Products, Beauty, cosmetic & personal care, chanika, Dar es Salaam.
11/04/2025
OG Power X Middy Piccolo - Og Power X Middy Piccolo - X KAJICHANGANYA (Official Audio)(Prd by Dupper) Stream Og Power X Middy Piccolo - X KAJICHANGANYA (Official Audio)(Prd by Dupper) song from OG Power X Middy Piccolo. Producer: Dupper. Release Date: April 11, 2025.
22/02/2025
Lotion ni tsh 17,000 kopo kubwa, dogo ni tsh 10,000 na sabuni ni 5,000, serum ni 10,000.
Products zinasaidia kuondoa sugu,madoa,chunusi,vipele,michirizi na kuweka ngozi kuwa na rangi moja. Wasiliana nasi kupitia 0742133733
21/02/2025
Unapendeza kistaa yaani rangi ya pesa na ina ondoa Kila uchafu ,madoa,chunusi ,kuungua ,Michirizi,Weusi, Sugu,makunyanzi,mikunjo na Kila aina ya changamoto ya ngozi.
Kwa ushauri mzuri karibu 0742133733.
Zipo body cream aina mbili ;
Sweet skin cream namba 1, unatakata vizuri kwa rangi yako, kistaa kopo dogo 10000 na kopo kubwa 17000.
Sweet skin cream namba 2,hii unashaini kizungu yaani mweupee, kopo dogo 10000 kubwa 17000.Ipo Sweet vip hii special kwa maharusi ndani siku 2 tu rangi moja ya kizungu kopo ni tsh 25000 na ofa ya sabun.
Warembo wote mnakaribishwa.
Sabuni nzuri ya kahawa na matunda tsh 5000.
Tunapatikana Dar es salaam na tunakuletea mteja mpaka kituo cha daladala ulipo ,usafiri utachangia 2000.
Baadhi ya MIKOA wapo mawakala wetu.
Bado tunahitaji mawakala wateja mikoani wapo wengi _changamkia fursa.
Hii sio ya kukosa,unapendeza na kushaini kistaa bila doa lolote ,njoo nikushauri kwa namba 0742133733.
K**a una jambo lako unatamani kushaini kwa siku 3 tu Tumekuletea Sweet skin VIP hii ni kiboko inapatikana kwa tsh 25,000.
Pia ipo sweet skin namba 1 unashaini kwa rangi yako na sweet skin namba 2 unang'aa rangi ya kizungu bila doa.Kopo dogo 10,000 kubwa 17,000.
SWEET skin soap ipo ni nzuri sana kwenye ngozi aina zote hii inapatikana kwa tsh 5,000.
Matokeo mazuri ni uhakika na wengi wanaotumia bidhaa hizi wabafurahia sana matokeo mazuri.
HIZI bidhaa ni nzuri sana kwa wote wenye changamoto yoyote ya ngozi na pia hata kwa wasio na changamoto .
WATEJA wa Dar Ipo delivery na mikoani wapo mawakala wetu .
Karibuni sana .
16/04/2024
Tunakuhakikishia ukitumia products zetu za ngozi utapata matokeo mazuri sana ndani ya muda mchache.(siku 5 mpaka 7)
Tunakupa ushauri ipi inakufaa pia waweza changua ww mteja kupata muonekano unaoutaka.
Bei zetu ni rafiki sana kopo dogo 10000 na kubwa 17000.Sabuni 5000.
Zipo products za nywele pia zinamatokeo ndani ya wiki 2 tu unapata matokeo mazuri ya nywele.
Bei ni tsh 13000 tu.
Nipigie au njoo WhatsApp 0742133733.
Kwa Dar delivery popote ulipo na mikoani wapo mawakala.
16/04/2024
08/12/2023
Unapendeza kistaa yaani rangi ya pesa na ina ondoa Kila uchafu ,madoa,chunusi ,kuungua ,Michirizi,Weusi, Sugu,makunyanzi,mikunjo na Kila aina ya changamoto ya ngozi.
Kwa ushauri mzuri karibu 0742133733.
Zipo body cream aina mbili ;
Sweet skin cream namba 1, unatakata vizuri kwa rangi yako, kistaa kopo dogo 10000 na kopo kubwa 17000.
Sweet skin cream namba 2,hii unashaini kizungu yaani mweupee, kopo dogo 10000 kubwa 17000.
Warembo wote mnakaribishwa.
Sabuni nzuri ya kahawa na matunda tsh 5000.
Tunapatikana Dar es salaam na tunakuletea mteja mpaka kituo cha daladala ulipo ,usafiri utachangia 2000.
Tunahitaji wakala ;
Njombe
Iringa mjini
Mafinga
Kigoma
Masasi
Mbeya mjini
Baadhi ya MIKOA wapo mawakala wetu.
Nunua body cream iliyotayari kindoo cha lita 10 kwa tsh 420000.Unaweza pack mwenyewe utapata kopo 120 na zaidi faida ipo ya kutosha .Na utapata ofa ya kufundishwa kurusha matangazo bure.Changamkia fursa.
23/10/2023
Karibu G7 beauty salon upate huduma hizi nzuri kwa bei nafuu sana ;
Kusuka mitindo yote.
Make up.
Kupaka rangi za gel na za kawaida.
Kuscrub kwa scrub asilia.
Kusteam kwa kutumia steaming nzuri asilia.
Wale chunusi sugu njoo G7 salon upate ofa ya kufanya scrub ya uso na chunusi zitaisha kabisa。
Njoo na pesa ya kununua sabuni au body cream tu ,scrub utafanyiwa bureeeeee.
Ukija G7 beauty salon utaondoka na bongeeee la zawadi.
Wasiliana nasi 0742133733 tupo chanika mwisho。
Tuna bidhaa nzuri za ngozi nywele utapata dukani kwetu chanika .Pia wakazi wa Dar popote ulipo ipo delivery unalipia nauli 2000 mpaka kituo cha basi na mikoani wapo mawakala wetu.
https://t.me/+boK4jpmlwAMxMzVk karibu kwenye group letu la Teregram.
Karibuni sana.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Chanika
Dar Es Salaam
25/03/2024