Rose na afya bora
afya na vilutubisho kupitia dawa za asili
Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ni jumla ya viungo mwilini vinavyofanya KAZI ya kuingiza chakula mwilini, kukisaga, kukisafirisha ndani ya mwili kukimeng'enya.
MATATIZO YANAYO ATHIRI MFUMO HUU WA MMENG'ENYO WA CHAKULA NI PAMOJA NA
BAWASIRI VIDONDA VYA TUMBO KUPATA CHOO KIGUMU/KUTOPATA CHOO KABISA/ KUPATA CHOO KIGUMU K**A CHA MBUZI GESI KUJAA TUMBONI KUHARISHA KUTAPIKA MAUMIVU YA TUMBOKINYWA KUNUKA
BAWASIRI .
Ni Ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na inje ya sehemu haja kubwa na wakati mwingine kwenye njia ya haja kubwa na kusababisha kutoka kinyama au uvimbe.
DALILI ZA BAWASIRI
✓ngozi kuwasha katika katika tundu la haja kubwa
✓Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
✓Kutoka uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
✓Choo kigumu k**a Cha mbuzi
✓Kutopata choo Cha muda mrefu
✓Kutoka damu wakati wa kupata haja kubwa
MADHARA YA BAWASIRI
✓kupata upungufu wa damu
✓kupunguza nguvu za kiume
✓Kuathirika kisaikolojia
✓Kukosa morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali
VIDONDA VYA TUMBO
Ni michubuko au makovu yanayotokea ndani katika Kuta za tumbo au katika Kuta za utumbo mdogo. Vidonda hivi husababishwa na bacteria anayeitwa. Helicobator pylori(H.pyroli)
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
✓kiungulia au maumivu makali k**a kuungua katikati ya kifua
✓Tumbo kujaa gesi
✓Kupata maumivu makali ya tumbo yanayokuwa k**a moto mkali
✓Kutapika damu
✓Kupata haja kubwa ya rangi ya kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana
MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO
✓Kupata saratani ya tumbo
✓Kuziba Kwa njia ya chakula
✓Kuathiri ini na kongosho
✓Kusababisha tundu katika tumbo na kusababisha tumbo kutoboka kwa ukuta wa tumbo
TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CONSTIPATION)
Tatizo hili husababishwa na ulaji mbovu wa vyakula na kutojizoesha kujisaidia mara kwa mara pia kula vyakula vilivyo kobolewa n.k, Constipation ni hali ya ugumu wa kutoa uchafu wote kwenye tumbo , hali hii inasababishwa na utoaji mbaya wa kinyesi ndani ya mwili hivyo kupelekea mtu kupata choo kigumu k**a Cha mbuzi.
DALILI ZA TATIZO LA KUTOPATA CHOO
✓Kuchoka bila sababu
✓Ngozi kupata chunusi zisizo za kawaida
✓Gesi tumboni
✓Kula kidogo na kujisikia kushiba
✓Kutopata choo ndani ya masaa 24 hadi masaa 72
MADHARA YA KUTOPATA CHOO
✓Kinga ya mwili kushuka
✓Saratani ya utumbo
✓Kupata magonjwa ya ini na figo
✓Pressure kuongezeka
✓Chanzo kikuu cha bawasiri
✓Kupungukiwa nguvu za kiume(wanaume)
✓Kuvurugika hedhi (Homon imbalance Kwa wanawake)
✓Kuharibika Kwa ngozi (ngozi kuwa mbaya )
PIGA NAMBA 0656870151
14/09/2021
✓umri mkubwa kuanzia miaka 50
✓nasaba (ukoo wenye historia ya saratan hii)
✓lishe hatarishi( nyama nyekundu kwa wingi,mafuta/isamli maziwa ya krimu)
✓unene uliokithiri
✓ukosefu wa mazoezi
✓upungufu wa virutubisho mfano vitamin D
✓maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume.
Kwa msaada piga namba 0656 870 151.
14/09/2021
~udhaifu katika utoaji mkojo, mkojo hauishi
~kwenda kukojoa mara kwa mara
~damu ndani ya mkojo
~kushindwa kukojoa
~maumivu ya mifupa na nyonga
Kwa msaada piga namba 0656 870 151.
Afya maisha
✓Karibu nikuhudumie changamoto za uzazi
✓UTI sugu,
✓P.I.D
✓uvimbe wa kizazi
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam