chado_cosmetic

chado_cosmetic

Share

Tunauza vipodoz aina zote pia tunatoa ushauri kuhusu ngozi

09/09/2025

Clonovate Glow

✅Husaidia kung’arisha ngozi kwa kiwango cha juu. ✅Huondoa weusi kwenye vifundo vya mikono na miguu. ✅Hupunguza na kufuta madoa meusi usoni au mwilini. ✅Husaidia kubadilisha rangi ya chini ya mikono kuwa ya kawaida. ✅Huondoa madoa meupe madogo yanayoonekana kwenye ngozi.
✅Hupunguza mikunjo na dalili za kuzeeka mapema ✅Husaidia kupunguza au kuondoa michirizi

Bei 30,000

Delivery tunafanya mikoa yote
0756242497

30/06/2025

TELESA PINK GLOW FACE AND BODY CREAM

✍️Ina moisture ya kutosha pia hivo inafanya ngozi ibaki laini sana na unyevu mda wote na ngozi kutelez

✍️ Inaondoa michirizi na ule weusi katikati ya mapaja ✍️Inaondoa madoa na kukupa one skin tone Inajitosheleza
✍️ yani unaweza ipaka yenyewe bila kumix na serum na ukawaka ✍️Inatumika kwa ngozi aina zote Bei 55,000

18/07/2024

BIG COMBINATION
hii cyo ya kukosa kbs ifakufanya uwe na weupe wa kuzungu kbs

28/06/2024

EUCERIN SUN SCREEN SPF 50+

✅Hi sun screen inasaidia sana kulinda ngozi dhidi ya miale ya Jua
✅lnaondoa wekundu usoni “ Very water + sweat protection hivyo ukiipata haitoki hata utokwe na majasho au mvua

✅Inasaidia kuondoa wekundu na mikunjo chini ya macho
✅For sensitive & Dry skin bei 45000

26/04/2024

VITAMIN E + COLLAGEN

👏Vitamin E+collagen ni body lotion nzuri sana ambayo kazi kubwa inayofanya ni kujenga collagen kwenye ngoz ili ipunguze kasi ya kuzeeka kwa ngoz

👏Hung'arisha ngoz zilizo fubaa na kufifia gives skin glowing

👏Nzur sana kuitumia pia and kipindi cha ujauzito kuzuia stretch marks maana husaidia sana kutunza skin moisture kwenye ngozi

Bei 30,000

24/01/2024

OLLAGEN FACE SERUM

kiboko ya uzee

👉Hii ni 🔥🔥 kiboko ya uso

✍️Inafanya ngoz iwe na muonekano wa ujana
✍️ Inaondoa mikunjo yote uson

✍️Zile dalili za uzee uson hata K**a ww bado mdogo ila uso umekomaa tumia hii serum inasidia sana

✍️Inaipa ngoz ya uso collagen ya kutosha uso una shine na kuwa na nuru

✍️Kwa walio ungua na cream Kali hii pia ni suluhisho

Ina moisturize ngoz ya uso
Bei 30,000

Tupo: TEGETA NYUKI STAND


simu #0756242494

Tunafanya derivery kwa wakaz wa da na mikoan tunatuma kwa usalama mkubwa

07/01/2024

Tupo waz kila siku

29/07/2023

SEPI WHITE STRONG WHITENING SERUM

✍️Ni serum ambayo unaweza kuitumia usoni mpaka mguuni bila madhara yoyote
✍️Unaweza kuitumia k**a Glowing oil ili ubaki na rangi yako
✍️Yan unaweza kuitumia kung'aa sanaaaaa yani sanaaaa na kuna namna waweza kuitumia ukabaki na rangi yako softiii isiyo na takataka

✍️Ina repair na kutibu ngoz kwa haraka sana
✍️Wale wanaopenda kupendeza ila ngozi zao zinazobagua sana product hii inawafaa sana sababu ni Pure organic haina janjajanja

✍️Unaweza kuchanganya kwenye lotion...serum...sabuni ...face cream
✍️Pia unaweza kuipaka yenyewe bila kuchanganya na mafuta

Bei 40,000

TEGETA KIBAON

Whatssap #0754242494




TUNAFANYA DELIVERY KWA WAKAZ WA DAR MIKOAN TUNATUMA KWA UAMINIFU

25/07/2023

GOLDENGLOW SET NZIMA

✅inazuia chunsui mpya na kuondoa zilizopo
✅inazuia michirizi na kuondoa iliyopo yani ndani ya week 2 michirizi kwisha

✅ inaondoa makunyanzi na inazuia makunyazi
✅ ni anti-ageing Yani wale watu wazima hii ruksa kupaka inazuia uzee

✅ Pia ni ant blemish nyie mungu awape nn chunusi kwisha Hii kitu imetenegwa na mimea tupu Na vitu natural tunaanza na eggy york , carrot , argan oil , collagen,na vitu vingine vingi Alafu pia Inauwezo mkubwa wa kungarisha ngozi hata k**a imeshindikana ndani ya siku 10 umewaka

✅Pia ina alpha urbutin pia ni body repair Wale walio haribika ngozi kwa cream, jua , uzazi, ama hali ya hela Hi kitu unakupa glass skin Usiyo itegemea

✅pia ina sunscren ndani ya spf 55 ndani yani huungui jua hata kidogo ngozi inabaki ku glow
Serum 45000
Shower gel 50000
Lotion 80000

Tegeta kibaon

Whatssap #0756242494




TUNAFANYA DELIVERY KWA WAKAZ WA DAR MIKOAN TUNATUMA KWA UAMINIFU

22/06/2023

LA ROCHE-POSAY SUNSCREEN.

✍️Sunscreen nzuri sana inakinga ngozi isiungue na mionzi ya jua.
✍️ngozi nyingi zinakua naweusi usoni na rangi isiyo nzuri kwa sababu ya jua ukituma sun screen ngozi yakoo itakua vzr.

✍️K**a muda mwingi shughuli zako ni zakutembea juana ngozi inachoka na kuharibika hii cream inasaidia
✍️Hii sunscreen nikwaajir ya kufanya ngozi yakoo iwe vzr bila kuadhiriwa na jua.

✍️ Inasaidia ngozi isizeeshwe na jua
✍️Inatoa mikunyazi usoni.
✍️Sun gel kwa ngozi zote
✍️ Inakausha mafuta na chunusi usoni na kufanya ngozi iwe namuonekan mzuri

✍️Jinsi yakuitumia unapaka baada yakua umeshapaka product zako zingne ndo unapaka hii Suncreen

17/06/2023

TURMERIC OIL
FACE & BODY
Corrector & Repair oil

whitening, ant dark sports & ant_aging
👑hii ni moja ya oil nzr sana kwa wale wanaojal ngoz zao

FAIDA ZA KUTUMIA HII OIL
👉Inalinda ngoz dhidi ya jua
👉Inasafisha madoa/ weus wote mwilin
👉SPF 90
👉smoothing effect
👉Ngoz ku glow na ku shine
👉Inangarisha bila kuleta sugu wala wekundu
👉Haichagui ngoz normal /oil/ dry inatumiwa na mtu yoyote
Ina ujazo wa kutosha unatumia mda mwingi

Bei
Nzima= 50000
Nusu =25000
Ml120 =10000

Tegeta kibaon

Whatssap #0757242494




TUNAFANYA DELIVERY KWA WAKAZ WA DAR MIKOAN TUNATUMA KWA UAMINIFU

15/06/2023

TURMERIC OIL
FACE & BODY
Corrector & Repair oil

whitening, ant dark sports & ant_aging
👑hii ni moja ya oil nzr sana kwa wale wanaojal ngoz zao

FAIDA ZA KUTUMIA HII OIL
👉Inalinda ngoz dhidi ya jua
👉Inasafisha madoa/ weus wote mwilin
👉SPF 90
👉smoothing effect
👉Ngoz ku glow na ku shine
👉Inangarisha bila kuleta sugu wala wekundu
👉Haichagui ngoz normal /oil/ dry inatumiwa na mtu yoyote
Ina ujazo wa kutosha unatumia mda mwingi

Bei
Nzima= 50000
Nusu =25000

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


TEGETA NYUKI STAND
Dar Es Salaam