cosmetics originaltz

cosmetics originaltz

Share

Bidhaa za uhakika na Matokeo ya Haraka
Bila Kemikali wala madhara yoyote
Whatsapp/Call : 0785376784

25/08/2026

πŽπ‹π€π˜ πƒπ€π‘πŠ π’ππŽπ“ π‚πŽπ‘π‘π„π‚π“πˆππ† ππŽπƒπ˜ π‹πŽπ“πˆπŽπ! 𝖠𝗏ɑκͺ±αœ’α₯£Ι‘α‘²α₯£ΰ±Ώ κͺ±αœ’𐓣 π—ˆΟ…π—‹ ΰͺ‘π—π—ˆπ—‹ΰ±Ώ, ΰͺ‘π—π—ˆΟ π“£π—ˆβ΅

Hii lotion inaodoa madoa mwilini, discoloration, pigmentation za mwilini yaani inafanya ngozi yako ya mwilini iwe na rangi sawa, Wale wanaotamani kuwa na rangi zao, rangi moja mwili mzima, hizi ni kwa wale wasiopenda kujichubua pair this with a good body wash, body scrub na body oil nzuri yaani matokeo yake utapenda.

Ukipaka hizi Hazinati kwenye ngozi bali inaacha ngozi inakuwa na unyevu siku nzima, ukitumia hizi hakuna tena ngozi kuwa kavu!

Hii ina Vitamin C inafanya Brightening inaacha ngozi ikiwa radiant and rejuvenated

Price: 75,000
Size: 502ml

Photos from cosmetics originaltz's post 25/08/2026
13/08/2026

Piment doux serum Inaondoa sugu Inang'arisha unaweza kuchanganya kwenye lotion au cream yoyote

Bei 35,000/=

0785376784 Whatsapp/Call

13/08/2026

✨ FRESH & GLOW BODY CREAM 🍊

Kwa ngozi yenye unyevu, ulaini na healthy glow 🀍

🌸 Horse Oil – hulisha na kulainisha ngozi
πŸ’§ Ceramide – husaidia kulinda skin barrier
✨ Niacinamide – husaidia kusawazisha mwonekano wa rangi ya ngozi
🍊 Vitamin C – huipa ngozi mwonekano fresh
πŸ’¦ Hyaluronic Acid – huongeza unyevu kwenye ngozi

🀍 Perfect kwa body-care yako ya kila siku!

Price:50,000 Tsh

πŸ“ Tunapatikana Kariakoo Msimbazi A
πŸ“¦ Tunadeliver Tanzania nzima.

13/08/2026

Glow plus face cream
Hii ni face cream nzuri sana kwa wale wanaosumbuliwa
πŸ“chunusi sugu
πŸ“dark sport
πŸ“wale walio fubaaa uso na kutoka utangotango
πŸ“na ina glowisha ngozi mno
πŸ“inakuacha na rangi nzuri usoni na glowish ya huakika

Bei 40,000/=

0785376784 Whatsapp/Call

10/08/2026
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Dar Es Salaam