Chelestino tiba bora
products posted tiba ndo kila kitu
Manara kwenye ubora wake
Tiba Ya U.T.I na FuNguSi sugu kwa Bei Chee
13/03/2021
JE UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO? 0758865936
Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika mfumo wa usagaji wa chakula ( digestive system) ambapo kitaaalam vinaweza kugawanyika katika aina NNE
1. Throat ulcers,( kwenye koromeo)
2. Gastric ulcers( tumboni))
3.Doudenal ulcers ( utumbo mwembamba
4.colon ulcers (utumbo mpana)
Na ni vidonda mabavyo vinawasumbua walio wengi hasa kwa kutopata pia tiba ambayo ni sahihi na wakapona kabisa.
SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Helicobacter phlory huu ni bacteria ambae kwa asilimia kubwa husababisha vidonda vya tumbo kwa kuharibu kuta za tumbo( layers) na kusababisha vidonda .
Lakini pia kuna mazingira ambayo yanaweza kufanya mtu akaugua vidonda vya tumbo k**a
.stress's
.kutozingatia mda wa kula
.kula vyakula vyenye Acid
.uvutaji wa sigara
.unywaji wa pombe
.madawa ya hospitalin (Antibiotics)
Na wengi huwa wnapata maumivu makali sana baada ya kuungua vidonda vya tumbo tunatibu vidonda vya tumbo kwa kutumia food supplement virutubiaho lishe na mtu anapona kabisa hata vidonda viwe vya miaka mingi na moja ya hizo supplement ni
. constirelax
.novel dipel
Zinaondoa changamoto kwenye mfumo wa mmengenyo wa chakula kwa Kutibu vidonda vya tumbo
.kuondoa sumu mwilini ( detoxification)kuondoa shida ya kutopata choo(constipation) Diarrhoea Bawasili ( hemorrhoids)kupunguza uzito kusafisha
Na pia utaipata bidhaa hizi popote pale ulipo kikubwa k**a hakuna afya hatutoweza kufanya shunguli zetu za kila siku. Wasiliana nami kwa tiba 0758865936
13/03/2021
MZUNGUKO WA HEDHI (MENSTRUAL CYCLE)
0758865936
Hiii ni hali ya kawaida kwa kila mwanamke aliyefikia umri wa kuzaa ambayo hutokea kila mwezi. Muda huweza kubadilika lakini wastani ni siku 28, pia huweza kutokea siku ya 35 hii ni kawaida. Hali hii inatakiwa isiwe ya kubadilika badilika mfano mwezi uliopita ulipata tarehe 27, mwezi mwingine tarehe 17, hapo utakuwa na tatizo.
JE NINI KINACHOPELEKEA MABADILIKO HAYA?
Mambo yanayochangia ni mengi sana, mtindo wa maisha yetu, ulaji mbaya wa vyakula, vitu ambacho hubeba viambata sumu n.k
Vitu tajwa hapo juu huchangia kwa kiasi kikubwa katika kubadili utendaji kazi wa vichocheo (Hormones) hali inayopelekea uwepo wa matatizo lukuki katika mfumo wa uzazi wa mwanamke.
UHUSIANO ULIOPO KATI YA VICHOCHEO NA HEDHI
Ifahamike kwmba pasipo vichocheo pia hakuna hedhi. K**a vichocheo haviko katika usawa pia matatizo katika mfumo wa uzazi hutokea.
Vichocheo hivi ni Oestrogen na progesterone ambovyo huwa na umuhimu wake katika kumentaini mzunguko mzuri wa hedhi, ikitokea kuna mvurugano kwa vichocheo hivyo pia mwanamke huanza kulalamika juu ya matatizo mbalimbali, mara tumbo linauma sana, kichwa hadi inafikia kipindi unalala na unashindwa kuendelea na shughuli zingine kila unapoingia katika siku zako. Wakati mwingine tarehe kubadilika, kupata vitone tu vya damu wakati wa hedhi na hali kupotea, hapo ujue kuna shida.
Oestrogen ni kichocheo ambacho huzalishwa kwa lengo la kuimarisha mfuko wa mimba kwa kuuandaa kuweza kufanya mimba iweze kuendelea endapo itatungwa. Kichocheo hiki huanza kutolewa mapema kabisa na huongezeka kadri siku zinavyoendelea kuelekea upevukaji wa yai, hivyo mishipa ya damu hujengwa kwenye ukuta wa mimba ili kuweza kulisha endapo mimba itatatungwa. K**a hakutakuwa na mimba ukuta huu huvunjika na kutoa damu ambayo huitwa hedhi.
Inapotokea kuna kiasi kidogo cha Oestrogen basi mfuko wa mimba hauandaliwi vizuri na hivyo damu huweza kutoka kidogo sana wengine huambulia tone tu na haitokei tena. Hapo hata mimba haiwezi kuendelea yaweza kutoka mapema tu baada ya urutubishaji kufanyika.
Pia progesterone huanza kuzalishwa mara tu ya yai kuvuka na kitu kiitwacho corpus luteum, ambayo badae huanza kuzalishwa na placenta endapo k**a mimba itakuwa imetungwa. Oestrogen na progesterone hujenga ukuta na kufanya mimba iendelee kukua.
MATATIZO YATOKANAYO NA MVURUGANO WA HEDHI
1. Hedhi isyoeleweka
2. Damu nyingi wakati wa hedhi zinazotoka kwa muda mrefu
3.Maumivu makali wakati wa hedhi k**a tumbo, kichwa n.k
4. Uvimbe kwenye kizazi, fibroids,
5.Kutopata hedhi, au kupata tone tu ( kiashiria cha ugumba)
Wasiliana nami kwa tiba ,nambari ni 0758865936
10/03/2021
TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
Wasiliana nami kupona tatizo lako kwa nambari za 0758865936
Kuna sababu zaidi ya 200 zinazosababisha mwanaume apungue nguvu za kiume. Mtu aweza kujiuliza kwa nini kuwe na sababu nyingi namna hiyo?
Nguvu za kiume ni nini?
Nguvu za kiume ni jina la jumla lenye vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na hamu ya mapenzi; kusimama kwa uume barabara; kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa; uwezo wa kurudia tendo la ndoa; pumzi, wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda tendo la lenyewe.
Ni viungo gani vinavyohusika na nguvu za kiume?
Nguvu za kiume ni tukio pana sana lenye kuhusisha viungo na vitu vingi ndani ya mwili. Kuna zaidi ya viungo na vitu 50ndani ya mwili wa mwanaume vinavyohusika na nguvu za kiume ambapo viungo hivi pia hufanya kazi zingine za mwili. Baadhi ya viungo hivyo ni ubongo, moyo, mishipa ya neva mishipa ya ateri, mirija iliyo ndani ya uume iitwayo corpora cavernosa.
Viungo vingine ni neva maalumu za parasympathetic, tezidume (prostate gland), ini, figo, homoni ya testestorone, kemikali za acetylcholine, serotonin, na dopamine, uti wa mgongo, eneo la chini ya mgongo (kiuno), eneo la nyonga.
Viungo vingine ni misuli maalumu iitwayo pelvic floor, tezi pituitari (pituitary gland), utando maalumu wa uumeni uitwao tunica albuginea, misuli iitwayopubococcygeus [PC muscles], kemikali ya nitric oxide, kemikali ya prolactin n.k.
Nini maana ya kupungua nguvu za kiume?
Unapopungua nguvu za kiume ina maana ndani ya mwili wako kuna baadhi ya vitu katika vitu nilivyovitaja hapo juu havifanyi kazi vizuri jinsi ipasavyo na inavyotakiwa. Yawezekana ni figo ndilo halifanyi kazi vizuri, au ini, au tezi dume, au neva ya parasympathetic, au moyo una tatizo au mishipa ya ateri, au misuli ya pelvic au homoni fulani iko juu sana au iko chini sana (hormonal imbalance), orodha ni ndefu sana.
Kitendo cha baadhi ya viungo hivyo kutofanya kazi vizuri basi hapo hutokea upungufu katika nguvu za kiume. Upungufu huo unaweza kuwa ni:
1. Kukosa hamu ya mapenzi; au
2. Uume kusimama kwa uregevu; au
3. Kuwahi kufika kileleni; au
4. Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa); au
5. Kushindwa kurudia tendo la ndoa; au
6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo; au
7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji; au
8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu;
Ndugu msomaji, ili uelewe vizuri zaidi labda niseme kwamba, nguvu za kiume ni kiwanda; na ni zaidi ya kiwanda. Ndani ya kiwanda kuna umeme, maji, madawa, watu (wafanyakazi wa kila taaluma na fani), mashine, mitambo n.k.
Vivyo hivyo nguvu za kiume, mathalani, ikitokea tezidume kutofanya kazi vyema, basi hapo mwanaume hatoona nguvu za kiume, zitapungua au zitaisha kabisa!
Kwa hiyo upungufu wa nguvu za kiume ni upungufu au kasoro za kiutendaji wa viungo ndani ya mwili wa mwanaume. Mwanaume yoyote anapaswa kutambua jambo hili.
Lakini nini kinachopelekea viungo hivyo vishindwe kufanya kazi vizuri?
Kuna maradhi kadhaa, vyakula tunavyokula, tabia na mtindo wa maisha vinavyoweza kupelekea viungo hivyo kutofanya kazi vizuri. Baaadhi ya maradhi hayo na tabia hizo ni kujichua/punyeto (ma********on); kisukari; presha ya kupanda; presha ya kushuka; uvutaji wa sigara; unywaji wa pombe; madawa ya kuleva; kufanya kazi kupita kiwango na kukosa muda wa kupumuzika; matatizo ya kukosa usingizi na kuchelewa kulala usiku.
Sababu zingine za kupungua nguvu za kiume ni kutokunywa maji ya kutosha, tatizo la kufunga choo hasa pale unapotumia nguvu nyingi kusukuma choo; kutofanya mazoezi; ukosefu wa kumbukumbu; uzito mkubwa/unene mkubwa; kitambi; kuvimba kwa tezidume (Benign Prostate )
Sababu zingine ni maumivu ya mgongo/kiuno; baadhi ya madawa ya kemikali (madawa ya hospitali); kiharusi (stroke); upungufu katika utendaji wa kazi za gonadi (hypogonadism); uzalishaji mwingi wa homoni ya thyroid.
Sababu zingine ni kutozalishwa kwa homoni ya thyroid ya kutosha; ugonjwa unaoathiri uzalishaji wa homoni ya cortisol (cushing’s syndrome); ugonjwa wa kupinda uume (peyronie’s disease); kukak**aa kwa mishipa ya damu (atherosclerosis); orodha ni ndefu sana, ni zaidi ya 200.
KOSA KUBWA WANALOFANYA WANAUME WENGI!
Wanaume wengi wanapopungukiwa nguvu za kiume hukimbilia kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume, na siyo kutibu. Hili ni KOSA KUBWA .
Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo; kwa maana ya kwamba mzizi wa tatizo sharti ung'olewe kwanza! Mathalani, k**a tatizo ni la homoni ijulikane kwanza; k**a ni tatizo la tezi ijulikane kwanza, kisha matibabu sahihi yaelekezwe katika maeneo hayo. Hayo ndiyo matibabu, na si vinginevyo. Angalia mwenyewe, upungufu wa nguvu za kiume unaweza kutokana na kisukari kwa mwanume huyu, au shinikizo la damu la kupanda (HIGH BLOOD PRESSURE) kwa mwanaume yule; au shida ya tezidume kwa mwanaume mwingine au shida ya kihomoni (HORMONAL IMBALANCE) kwa wanawake wengine, basi vipi iingie akilini kwamba wote hao watatibiwa na dawa aina moja? Watu wengi wengi wameelewa kimakosa sana ndiyo maana hata matibabu yamekuwa ni tatizo kubwa sana.
kwa mawasiliano kwa ajili ya kuondoa changamoto wasiliana nasi kwa namba 0758865936
10/03/2021
FAIDA ZA COOL ROOL:
0758865936
Hizo hapi juu ni faida za cool roll.
Husaidia ;-
❇️Kuondoa uchovu wa safari ndefu na usingizi wa kwenye gari
❇️Husaidia kondoa maumivu na kivimbe uchungu cha kung'atwa na mbu au na mdudu.
❇️Husaidia kuondoa kizunguzungu na kichwa kuuma.
❇️Husaidia kuondoa au kupunguza maumivu ya mgongo
❇️Husaidia kutibu mafua,kufungua mapufu na kufungua pua iliyoziba kwa mak**asi.
❇️Husaidia kufukuza mbu.
❇️Husaidia kukufanya ujisikie vizuri,
❇️ Pia ni sanitizer.
Cool roll ni ya asili kabisaaa, imetengenezwa kwa mitishamba asilia
K**a .
Menthol.
Winter green oil (gaultheria (pyrola) extract.
Camphor oil.
Eucalyptus oili.
Matumizi.
Paka sehemu iliyoathirika.
Mawasiliano ni 0758865936
Watsapp ni 0622990977
09/03/2021
MAUMIVU YA VIUNGO,KIUNO,SHINGO NA MGONGO,MIGUU KUWAKA MOTO,KUKAKAMAA KWA MISULI,NICHANGAMOTO KWA WAZEE,WANAMICHEZO,WENYE UZITO MKUBWA NA WANYANYUA VYUMA(WANA GYM).
Wasiliana nasi 0758865936
Kwa tiba Bora, utasahau k**a ulikuwa na shida.
CHANZO CHA TATIZO LA VIUNGO (JOINTS TEAR AND WEAR)
-Mara Nyingi Ugonjwa Huu Huitwa ARTHRITIS,Unasababishwa na hitilafu yoyote katika sehemu hizo za maungio ya mifupa.
Inaweza kuwa cartilage inalika,upungufu wa synovial fluid(Maji Maji Katika Maungio),maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo Mbali Mbali,Ikiwemo Uzito mkubwa.
Tabia kuu ya magonjwa haya ni maumivu kwenye maungio ya mifupa (joints) ambayo ni endelevu na ambayo hutokea eneo hilo hilo moja.
Chanzo Cha Arthritis Ni Nini...?
Ili Upate Kuelewa Vyema Chanzo cha ugonjwa huu,hebu kwanza tutazame muundo wa joint au sehemu mifupa miwili inapokutana(Maungio).
Mfano Goti ambapo mifupa miwili mmoja wa paja na mwingine wa mguu vinapokutana:
Maungio ya mifupa-Ligaments;
-Ndicho kitu kinachoshikilia mifupa hii miwili pamoja,hii ni k**a utepe wa plastiki au mpira unaonyumbuka uliozunguka eneo hilo kwa nje,ukikunja goti inanyumbuka na ukinyoosha mguu inarudi.
Cartilage;Huu ni utando unafunika eneo ambalo mifupa hugusana ili kuzuia mifupa hii isisuguane moja kwa moja,Utando huu ambao kwa kiswahili tunauita gegedu huyawezesha maungio hayo kufanya kazi kiulaini pasipo kusababisha maumivu.
Capsule;Hiki ni kitu kinachofunika maungio haya kikizunguka pande zote,ndani ya mfuko huu wa capsule kuna synovial fluid ambayo huzalishwa na synovial membrane.
Synovial fluid ni ute ute wa kulainisha sehemu hiyo ya maungio na synovial membrane ni utando ulio kwenye kuta za ndani za capsule.
K**a nilivyoeleza hapo juu,kuwa kuna aina zaidi ya 100 za ugonjwa huu wa joints au arthritis.
Katika mada yetu ya leo tutatazama aina k**a nne hivi za ugonjwa huu,tukielezea chanzo cha kila aina....
1. Osteoarthritis.
- Hii ni aina ya arthritis inayosumbua watu wengi zaidi kuliko aina nyingine zote...
Ugonjwa huu huwapata zaidi watu wenye umri mkubwa,Osteoarthritis hutokea pale cartilage inapopoteza uwezo wake wa kubonyea na kuwa ngumu hivyo kuharibika haraka.
- Cartilage ni kiungo cha kuhimili migandamizo ya ghafla (shock absorber),Cartilage hii inapopoteza ubora wake,tendons na ligaments huvutika na kusababisha maumivu.
Hali ya uharibifu huu wa cartilage ikiendelea,mwishowe mifupa huanza kusuguana moja kwa moja na ndipo mgonjwa atakapoanza kupata maumivu makali sana sana.
- Athari za ugonjwa huanza taratibu na kuongezeka zaidi,Mgonjwa ataanza kupata maumivu kwenye joint baada ya kufanya shuguli fulani au baada ya mapumziko ya muda mrefu. Joints zitaanza kukaza siku hadi siku,Hasa wakati wa asubuhi unapotaka kuanza shughuli zako za kawaida.
Na siku zinavyosogea ndivyo utakavyoona ni vigumu zaidi kukitumia kiungo chako,Mara nyingine utaona uvimbe kwenye joint.
Osteoarthritis hushambulia zaidi nyonga,mikono,magoti na uti wa mgongo.
2. Rheumatoid arthritis.
- Ugonjwa huu hutokea pale mfumo wa kinga ya mwili unapopungua,viungo huanza kushambuliwa, ikiwa ni pamoja na synovial membrane (synovium) na kusababisha uvimbe na maumivu.
Hali hii isipodhibitiwa,huweza kusababisha ulemavu. Ugonjwa huu unaweza pia kushambulia macho,ngozi,mapafu,midomo,damu na mishipa ya damu. Huu ni ugonjwa ambao zaidi ni wa wanawake na huwatokea zaidi wawapo kati ya umri wa miaka 40 hadi 60.
Mgonjwa atasikia maumivu na kuona uvimbe kwenye joints za pande zote za mwili;
Yaani k**a ni magoti,yote mawili yatashambuliwa na Viungo vinavyoshambuliwa zaidi ni vidole,viwiko vya mikono na miguu.
- Athari zake huonekana zaidi asubuhi unapoamka na maumivu yanaweza kudumu kwa muda wa hadi nusu saa.
Muathirika wa ugonjwa huu hujisikia mchovu muda wote, hukosa hamu ya kula na hupungua uzito,Ugonjwa huu huweza kukua zaidi na Kusababisha matatizo katika viungo vyote vya mwili.
Matatizo yanayoweza kujitokeza ugonjwa ukikua ni k**a yafuatayo:
– Macho kuwa na ukavu,maumivu,wekundu,kutopenda mwanga na kutoona vizuri
– Midomo,Ukavu au kukauka kwa lips za midomo,maumivu na maambukizi ya fizi
– Ngozi,Vijinundu chini ya ngozi kwenye maeneo yenye mifupa
-- Mapafu,Kushindwa kupumua vizuri
– Mishipa Ya Damu,Uharibifu wa mishipa ya damu
– Damu,Upungufu wa chembechembe nyekundu za damu
3. Infectious arthritis (septic arthritic).
- Aina hii ya arthritis inatokana na maambukizi ya bacteria kwenye synovial fluid. Maambukizi haya yanaweza kuwa pia ni ya fungus au virusi.
Wadudu kutoka sehemu nyingine ya mwili iliyo karibu na maungio ya mifupa huweza kusambaa kupitia mfumo wa damu hadi kwenye joint na kuleta maambukizi.
Mara nyingi mtu mwenye aina nyingine ya arthritis ndiye anayepata maambukizi ya namna hii,Mgonjwa ataanza kwanza kupata homa, maumivu na uvimbe kwenye joint.
Maeneo ambayo hushambuliwa zaidi na aina hii ya arthritis ni goti, mabega,kiwiko cha mkono,kiganja (wrist) na vidole na mara nyingi ni eneo moja tu ndilo litakaloshambuliwa
4. Juvenile rheumatoid arthritis (JRA).
- Ni ugonjwa ambao huwapata zaidi vijana walio na umri ulio chini ya miaka 16 na unakuja kwa namna nyingi.
Kuna aina kuu tatu za ugonjwa huu:
I. Pauciarticular JRA.
- Huu ndiyo unaoonekana zaidi na hauna madhara makubwa ukilinganisha na aina nyingine,Mtoto atasikia maumivu kwenye joints zinazofikia nne.
II. Polyarticular JRA.
- Huu hushambulia joints nyingi zaidi, zaidi ya nne na maumivu yake ni makali zaidi.
Kadri siku zinavyoongezeka, ndivyo maumivu yatakavyozidi.
III. Systemic JRA.
- Huu huonekana kwa nadra ambapo maumivu hujitokeza kwenye mifupa (joints),uvimbe kwenye maungio hayo na kukak**aa kwa viungo.
Mtoto huyu atakosa hamu ya kula hivyo kumfanya akonde.
Ugonjwa ukizidi, mtoto anaweza kudumaa (kushindwa kukua), ukuaji wa mifupa yake kuathirika na kupata matatizo ya macho (uveitis).
Mawasiliano kwa matibabu ni 0758865936
Watsapp ni 0622990977
09/03/2021
UKWELI KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda vya tumbo ni vidonda, michubuko au makovu yanayotokea katika kuta za tumbo (peptic ulcers) au katika kuta za utumbo mdogo juu kidogo ya tumbo (deudenal ulcers).Ambapo tumbo ni mfuko wa chakula ambao husaidia kuhifadhi kwa muda chakula na pia husaidia katika umeng’enyaji wa chakula kwa kukichanganya na kemikali(acids)inayozalishwa ndani ya tumbo,pia kuta za tumbo zimekingwa na utando mzito(mucus) ili kuzuia usiharibiwe na tindikali hiyo wakati wa kumeng’enya chakula.Vidonda hivi husababishwa na Bacteria anayeitwa Helicobactor pylori(H.pylori) ambaye huharibu utando unaokinga kuta za utumbo kutokuharibiwa na tindikali,hvo kusababisha ukuta wa tumbo kuharibiwa na tindikali na kupelekea vidonda katika kuta hizo za tumbo.Lakini pia wakati mwingine husababishwa na matumizi mabaya ya madawa k**a vile magnesium,aspirin,naproxen na zinginezo,hizi pia huharibu utando unaokinga kuta za tumbo hivo kupelekea tindikali kuharibu kuta za tumbo na kupelekea vidonda vya tumbo.Bila kusahau mvutaji wa sigara pia anakua kwenye hatari kubwa ya kuwa na vidonda vya tumbo.Pia wakati mwingine husababishwa na mtu kukaa na njaa kwa muda mrefu hivo kupelekea vimeng’enya(Enzymes) kushambulia kuta za tumbo na kusabisha vidonda vya tumbo.
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Unaeza kujua kuwa inawezakana ukawa na vidonda vya tumbo baada ya kuona dalili zifuatazo:
• Kiungulia au maumivu makali K**a ya kuungua katikati ya kifua.
• Maumivu makali ya tumbo
• Wakati mwingine huleta homa kali inayoambatana na kutokua na hamu ya chakula
• Kutapika damu kutokana na damu kutoka ndani kwa ndani(internal bleeding)
• Kujisaidia kinyesi chenye damu.
USHAURI JUU YA TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO
Pindi ujionapo na dalili hizo muone mtaalamu wa afya ili akuafanyie uchunguzi utakao ambatana na vipimo(Diagnosis) ili kujua kwamba una vidonda vya tumbo au laa na pia k**a majibu yatakuwa chanya aweze kujua nini kisababishi cha vidonda hivo ili iwe rahisi kwa yeyea kukushauri nini cha kufanya.
ILA sasa mtu ambaye ana vidonda vya tumbo hashauriwi kutumia matunda na vyakula vyenye asili ya tindikali (acids) k**a vle dagaa, maharage, maziwa mtindi, matunda aina ya citrus k**a vle machungwa, limao, machenza, n.k, lakini pia kabeji, pia usitumie chakula chenye chumvi nyingi, pia epuka sana matunda ambayo bado hayajaiva vzuri k**a vle maembe ,mapapai,nanasi n.k.Ila cha msingi zaidi usivute sigara wala kunywa pombe na pia tumia dawa kawa utaratibu maalumu baada ya kushauriwa na mtaalamu wa afya .
UKWELI KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO
(STOMACH ULCERS)
Vidonda vya tumbo limeendelea kuwa tatizo kubwa sana linalotishia afya za binadamu duniani.watu wengi wamekua wakiteswa na tatizo hili pasipo kujua nini sababu ya wao kupata tatizo hili na nini maana ya vidonda vya tumbo na pia ni tahadhari gani wanatakiwa kuchukua ili waendelee kuishi katika afya njema.Leo nitawaelimisha kuhusiana na hili tatizo la vidonda vya tumbo k**a ifuatavyo:
Vidonda vya tumbo ni vidonda, michubuko au makovu yanayotokea katika kuta za tumbo (peptic ulcers) au katika kuta za utumbo mdogo juu kidogo ya tumbo (deudenal ulcers).Ambapo tumbo ni mfuko wa chakula ambao husaidia kuhifadhi kwa muda chakula na pia husaidia katika umeng’enyaji wa chakula kwa kukichanganya na kemikali(acids)inayozalishwa ndani ya tumbo,pia kuta za tumbo zimekingwa na utando mzito(mucus) ili kuzuia usiharibiwe na tindikali hiyo wakati wa kumeng’enya chakula.Vidonda hivi husababishwa na Bacteria anayeitwa Helicobactor pylori(H.pylori) ambaye huharibu utando unaokinga kuta za utumbo kutokuharibiwa na tindikali,hvo kusababisha ukuta wa tumbo kuharibiwa na tindikali na kupelekea vidonda katika kuta hizo za tumbo.Lakini pia wakati mwingine husababishwa na matumizi mabaya ya madawa k**a vile magnesium,aspirin,naproxen na zinginezo,hizi pia huharibu utando unaokinga kuta za tumbo hivo kupelekea tindikali kuharibu kuta za tumbo na kupelekea vidonda vya tumbo.Bila kusahau mvutaji wa sigara pia anakua kwenye hatari kubwa ya kuwa na vidonda vya tumbo.Pia wakati mwingine husababishwa na mtu kukaa na njaa kwa muda mrefu hivo kupelekea vimeng’enya(Enzymes) kushambulia kuta za tumbo na kusabisha vidonda vya tumbo.
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Unaeza kujua kuwa inawezakana ukawa na vidonda vya tumbo baada ya kuona dalili zifuatazo:
• Kiungulia au maumivu makali K**a ya kuungua katikati ya kifua.
• Maumivu makali ya tumbo
• Wakati mwingine huleta homa kali inayoambatana na kutokua na hamu ya chakula
• Kutapika damu kutokana na damu kutoka ndani kwa ndani(internal bleeding)
• Kujisaidia kinyesi chenye damu.
TIBA IPOO wasiliana nami kwa nambari za simu za 0758865936 au watsapp 0622990977
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Ubungo
Dar Es Salaam
P.OBOX3246DARESSALAAM