Jali Afya yako

Jali Afya yako

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jali Afya yako, Health/Beauty, Mlimani city, Dar es Salaam.

30/11/2022

*🌹Faida Za Cool roll....*
Moja ya bidhaa nzuri katika matumizi ya nje ya Mwili k**a huduma ya kwanza

*♦️ VIAMBATA..*

🔅 Eucalyptus
🔅 Winter green oil
🔅 Camphor
🔅Menthol

Kutokana na viambata hivi vilivyotumika kutengeneza , vingi viliaminika kutumika tangu zamani huko INDIA

*Bidhaa hii inakuwa na kazi nyingi sana 👇*

*Faida Za Cool roll.....*

▪️Hupunguza maumivu makali ya kichwa

▪️Huondoa hali ya Kutapika hasa Kwa wake wanaosafiri

▪️Huondoa shida ya mafua na kikohozi

▪️Huondoa maumivu ya viungo

▪️Huondoa shida ya Kuwashwa

▪️Huondoa maumivu baada ya kung'atwa na mdudu

▪️Husaidia kufukuza mbu

▪️Husaidia Kuondoa maumivu ya jino

▪️Husaidia kupunguza uvimbe sehem iliyovimba

▪️Husaidia wanawake Kuondoa Miwasho itokanayo na mba

▪️Huduma ya kwanza Kwa mtu aliyeungua

*MATUMIZI..*
Paka eneo lililo na shida

NB: Matumizi kwaajili ya nje tuu
Isitumike Kwa watoto na mama mjamzito

Kwa uhitaji wa bidhaa hii nichek WhatsApp
+255758325828

14/11/2022

JUA ZAIDI KUHUSU
(P.I.D)

Pelvic Inflamatory desease(P.I.D) Ni maambukizi katika via vya uzazi wa mwanamke maambukizi haya ni kwa njia ya kujamiiana bakteria husambaa kwenye mayai ya mwanamke, uke na mji wa mimba.

SABABU
P.I.D inasababishwa na bakteria kupitia katika uke kwenda kwenye mayai ya mwanamke pamoja na mji wa mimba

NB: Magonjwa ya zinaa

DALILI
1.Maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu wakati wa hedhi
2.Maumivu wakati wa tendo la ndoa
3.Homa kali
4.Maumivu wakati wa kukojoa
5.Kutokwa na damu ukeni
6. Harufu mbaya ukeni
7.kutokwa na uchafu mweupe ukeni ukiambatana na harufu mbaya
8. Maumivu ya kiuno na nyonga

MADHARA/MATOKEO YA P.I.D
1. kutoshika ujauzito
2. Mimba kuharibika
3. Kukosa hamu ya tendo la ndoa kutokana na uke kua mkavu
4. Saratani ya shingo ya kizazi
5. Kuziba kwa mirija ya uzazi
6. Kuvurugika kwa mfumo wa homoni

UNACHOTAKIWA KUFANYA KUEPUKA/KUZUIA (P.I.D)
1. Kuangalia afya mara kwa mara
2. Ngono salama

NB: WAHI MATIBABU MAPEMA PINDI TU UONAPO DALILI.

By Dr Mbindani
NICHEKI KWA USHAURI NA TIBA

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mlimani City
Dar Es Salaam