Afya ni mali

Afya ni mali

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya ni mali, Beauty, cosmetic & personal care, Dar es Salaam.

04/04/2022

TIBA VIDONDA VYA TUMBO KWA HARAKA

Napatikana kwa namba 👉0768028725

Vidonda vya tumbo(Ulcers) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi kutokana na mtindo wa Maisha, Ulaj, Matumizi ya madawa.Ugonjwa huu kitaalam unasababisha kuwa na michubuko,vidonda katika kuta za tumbo au utumbo mdogo na hivyo kusababisha maumivu makubwa ya tumbo.

DALILI ZA KUWA NA VIDONDA VYA TUMBO
Maumivu Makali Tumboni
Kuhisi Tumbo Linawaka Moto
Kupata Gesi tumboni(kuvimbiwa)Ukila vyakula Fulani
Kukosa/Kupata Choo Kigumu chenye rangi nyeusi na harufu mbaya
Kupata Kiungulia karibu na chembe ya moyo
Kuchoka bila sababu maalum
Kuumwa mgongo au kiuno
Kupungukiwa nguvu za kiume
Kizunguzungu
Kukosa Usingizi
Kutapika nyongo
Kichefuchefu/Kutapika damu au kuharisha
Sehemu za mwili kupata ganzi
Kukosa hamu ya kula
Kusahausahau na hasira bila sababu

Hizo ni baadhi tuu ya dalili za kuwa na vidonda vya tumbo lakini zipo nyingi, hivyo basi pindi uonapo moja kati ya hizo dalili ni vyema ukaenda kupima vidonda vya tumbo mapema.

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO
Tunatibu kwa kwa dawa yenye Ubora katika kutibu vidonda vya tumbo na kukupa uhakika kupona kabisa na dawa hiyo ina uwezo wa kutibu vidonda vya tumbo kwa kiwango cha juu na bila kuleta madhara kwa mifumo mingine ya mwili hata k**a ikitumika kwa wingi. Watu waliotumia dawa hii na kupona wanaiona k**a tiba ya hali ya juu na ya kwanza kuwahi kutokea kwa mawasiliano piga WhatsApp number 0768028725

03/04/2022

KWANINI ANATIC SOAP
🌹Ni sabuni iliyotengenezwa kwa
*Asali mwitu
*Green tea
*Liwa
*Mbegu za zabibu😋
Hivyo Ni sabuni ya asili asilimia mia🔨
🌹Hupambana na uzee na kuondoka mikunjo mwilini
🌹Hufanya ngozi kuwa na unyevu nyevu (say no to ramani za kwenye ngozi🤭🤭na muonekano nadhifu😋
🌹Kubwa kuliko huondoa
*Mapunye🔨
*Chunusi🔨
*Mafuta yaliyozidi kwenye ngozi🔨
*Sabuni imetengemezwa kwa teknologia ya kisasa kutoka Marekani, haina kemikali yeyote na haijawahi acha kuleta matokeo mazuri* 🌸 *unaipata kwa gharama ya sh elf 20,000 *kuipata nijulishe Mimi* 💃 0768028725

03/04/2022

TATIZO LA KUTOKUSHIKA MIMBA AU MIMBA KUHARIBIKA

Je unafahamu nini chanzo cha mimba kuharibika? Au kutokushika mimba kabisa?

HIVI NI VISABABISHI VIKUBWA MUHIMU

🔴Uvimbe kwenye kizazi au kwenye mayai

🔴Mirija ya uzazi kuziba, kujaa maji au uchafu

🔴Hormone Imbalance

🔴Fungus na UTI SUGU

🔴PID

Ivi ni vichocheo vikubwa sana vinavyopelekea wanawake wengi sana kupoteza matumaini ya kupata watoto tena

Najua umeteseka sana

Nataka leo nikupe Habari njema kwako. Tunazo dawa za kuweza kurudisha tena tumaini lako ambalo lilipotea kwa muda mrefu.

Kwa maelezo zaidi, ushauri na Tiba
Call / WhatsApp 📞0768028725

03/04/2022

PID SUGU INASABABISHA UGUMBA: ITIBU MAPEMA PIGA SM TUMA SMS KUPITIA NUMBER HIZI👇👇👇👇👇👇

0768028725

PID NI NINI?
* Ni ugonjwa unaotokana na maambukizi kwenye via vya uzazi yaani:
1. Uke
2.Mlango wa kizazi
3. Kizazi
4. Mirija ya uzazi
5. Mfuko wa mayai
6. Nyonga

CHANZO CHA PID
1. Magonjwa ya zinaa sugu mfano "Chlamydia, Gonorrhea "
2. Utoaji mimba wa mara kwa mara (multiple abortions)
3. Maambukizi wakati wa kujifungua
4. Kutozingatia usafi wakati wa hedhi

DALILI ZA PID NA MADHARA YAKE
1. Kutokwa na uchafu ukeni unaofanana na maziwa mtindi au uchafu wa rangi nyingine
2. Maumivu ya nyonga, kiuno na mgongo
3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
4. Kuwa na uke mkavu
5. Hormonal imbalance
6. Mvurugiko wa hedhi
7. Mirija ya uzazi kuziba
8. Maumivu ya tumbo la chini
9. Saratani ya mlango wa kizazi
10. UGUMBA

PID INATIBIKA ZAIDI PIGA/WASP 0768028725

03/04/2022

DETOXILIVE ni Bidhaa BORA na ya ASILI iliyotokana na mchanganyiko wa MIMEA na MATUNDA mbali mbali ambavyo vimekua vikitumika kutibu Maradhi SUGU katika nchi mbalimbali Duniani

***Bidhaa HII ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MEILINI na KATIKA organs K**a vile FIGO,INI ,MAPAFU,KONGOSHO,Ubongo

1) Inatoa sumu zote mwilini.
2) Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu
3) Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO
4) Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilin, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi,
5) Inaondoa sukari iliyozid mwilin Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (presha)
6) Inaleta usingizi Mzuri sana
7)Ina ondoa URIC ACID mwilini
8)Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO,INI,KONGOSHO,mapafu

9) Inazuia na kuondosha tatizo la MAWE KWENYE FIGO na KIBOFU cha mkojo

10) Inazuia kuganda Kwa mafuta Tumboni ambayo hupelekea Kitambi

11) NZURI Kwa wenye HOMA YA INI (hepatitis), pia husaidi kukukinga usipatwe na tatizo hilo

NB: Nzuri kwa wagonjwa wa FIGO na INI

kwa mawasiliano

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Culinary Team

Attire

Address


Dar Es Salaam