Ipende Afya yako
IPENDE AFYA YAKO IPO KWAAJILI YAKO WEWE MWENYE MATATIZO YA KIAFYA . IPENDE AFYA YAKO INAKULETEA V
21/09/2025
AMBAYO UNGEYAFAHAMU MAPEMA USINGETUMIA KABISA..... #0710446222
1. Njia za vidonge (Oral contraceptives)
Kichefuchefu au kutapika
Kichwa kuuma mara kwa mara
Kuongezeka uzito au kubadilika kwa hamu ya kula
Matiti kuwa laini na kuuma
Hedhi kubadilika (kupungua au kutokuwepo)
Kubadilika kwa hisia (mood swings)
2. Sindano za uzazi wa mpango
Hedhi kusimama au kutokuwa na mpangilio
Kuongezeka uzito
Kupungua kwa wingi wa damu mwilini (bone density ikiwa zitatumika muda mrefu)
Kichefuchefu na maumivu sehemu ya sindano
3. Vipandikizi (Implants)
Mabadiliko ya hedhi (kutoonekana kabisa au kuwa kidogo sana)
Maumivu au uvimbe sehemu kilipoingizwa kipandikizi
Kichwa kuuma
Mabadiliko ya hisia
4. Kitanzi (IUD – copper au hormonal)
Maumivu ya tumbo hasa siku chache baada ya kufungwa
Hedhi kuwa nzito na zenye maumivu (kwa copper IUD)
Hedhi kupungua sana au kuisha kabisa (kwa hormonal IUD)
Maambukizi iwapo usafi hautazingatiwa
5. Njia za homoni kwa jumla
Hatari ndogo ya kuganda kwa damu (blood clots) hasa kwa wanaovuta sigara au wenye shinikizo la damu
Kupanda au kushuka kwa shinikizo la damu
Kuathiri mood na kuongeza uwezekano wa huzuni
19/06/2025
🛑 DALILI ZA FANGASI UKENI
▶️Kuwashwa Sehemu ZA Siri
▶️Kuhisi Maumivu Wakati WA TENDO LA Ndoa
▶️Kuhisi Kuwaka Moto Sehemu ZA Siri
▶️Kupata Vidonda
▶️Kupata Michubuko Ukeni
▶️Maumivu Wakati WA Kukojoa
▶️Kutokwa Na Uchafu WA Rangi Nyeupe Ukeni Usio WA Kawaida
▶️Mdomo wa Uke Kuvimba NA KUWA NA Rangi Nyekundu
⚠️Kama Una DALILI Kati YA Hizo Chukuwa Hatua SASA
🔴Sisi Hatutulizi Tatizo Bali Tunakinga,Tunazuia,Tunadhibiti na Kutatua Chanzo Cha Tatizo Au MATATIZO Ya Uzazi kwa Wanawake Na Wadada
🔴Kwanini Unateseka Na Tatizo Linalodhibitika?
🔴Kwa Elimu Ushauri Pamoja Na Tiba
Wasiliana Nami Kupitia No👇👇👇
Via contact us
☎️ 0710 446 222
WhatsApp Call And Text
page 📄 Afya_Yako-Yako
es alaam # Arusha
BF Suma Africa 🇹🇿
12/06/2024
Wewe ni mmoja wanaosema Dokta, natokwa na uchafu, unajaa kwenye Chupi, nimeaambiwa ni U.T.I, nimetumia sana dawa ila tatizo haliishi?
Hii nimeweka spesho kwa wanawake wanaochanganya U.T.I na Fangasi/P.I.D/kutokwa uchafu unaonuka)....
Kwa kawaida mwanamke ana vishimo viwili, kishomo cha juu ni njia ya mkojo na shimo la chini ndo k yenyewe hapa uume hupita, mtoto hupita wakati wa kuzaliwa lakini pia mwanamke akiwa period, damu hupita hapo..
U.T.I (yutiai inahusiana na njia ya JUU tu, yaani njia ya mkojo, na dalili zake ni kuumia wakati wa kukojoa, kukojoa mara kwa mara mkojo kidogo, kutoa mkojo wenye harufu kali sana
kutoka Uchafu unaonuka sana, kuwashwa Ukeni kwa ndani, maumivu wakati wa s*x, chanzo ni NJIA hiyo ya chini, Vagina...inaweza kuwa Vaginal candidiasis yaan fungus, P.I.D, au hata vaginosis, ila SIO U.T.I📌..
Kuna chochote umejifunza?
Una swali lolote kuhusiana na mambo ya uzazi na ungependa kujua namna ya kujitibia kwa kutumia vyakula, mazoezi na tiba?
Wasiliana nasi kwenye comment, inbox au whatsapp 0710 446 222
08/06/2024
BAWASIRI NI UGONJWA UNAOSUMBUA WENGI 0710 0710 446 222
WENGI WANASHINDWA KUIONDOA KUTOKANA NA KUACHA VYANZO VYA BAWASIRI NA MADHARA YAKIENDELEA KUWATESA
ILI KUITIBU BAWASIRI YAKUPASA UKITANE NA MTAALAMU ATAKAYEWEZA KUJUA NINI CHANZO CHA BAWASIRI YAKO NA NINI UFANYE ILI KUPONA VILE VILE YAPI MADHARA ULIYONAYO NA NAMNA YA KUYAONDOA PIA KUONDOA UVIMBE WA BAWASIRI BILA KUFANYA UPASUAJI.
PIGA SIMU NAMBA 0710 446 222 ILI KUPATA USHAURI NA DAWA ZA KUWEZA KUKUSAIDIA KUIONDOA BAWASIRI NA VYANZO VYAKE NA MADHARA YALIYOTOKEA
02/05/2024
*BAWASIRI INATIBIKA BILA OPERATION.*
0710 446 222
‼️•Tumia muda wako
SOMA HADI MWISHO•
➡️ *UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.*
(Miwasho uvimbe na maumivu Katika sehemu ya haja kubwa)HEMORRHOIDS.
➡️Bawasiri ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehemu ya ndani na nje ya haja kubwa na kupelekea wakati mwingine kutoa damu na maumivu wakati wa haja kubwa,
Mara nyingi tatzo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 25-70.
Ila kwa sasa ugonjwa huu unawaathili mbaka watoto wa umri wachini kabisa.
*BAWASIRI YA NDANI.*
Hiki ni kinyama kinacho ota ndani kabla ya kutoka nje.
➖huanza kwa mtu kukosa choo maumivu makali wakati wa kijisaidia
➖pia uvimbe huanza kujitengeneza kwa kutoka ndani ya tundu la haja kubwa hasa pale wa Kati wakujisaidia
*BAWASIRI YA NJE*
➖hi ni ambayo hujitokeza sehemu ya nje ya tundu moja kwa moja baada ya ndani kujiimarisha vizuri.
Bawasiri ni tatizo linalo anzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, huu mfumo ukiwa mmbovu upelekea misuli ya haja kubwa kutanuka, hivyo husababisha kuanza kusikia maumivu na miwasho kwa ndani.
Bawasiri huweza kusababishwa pia na
➖ Kufanya mapenz kinyume na maumbile
➖ujauzito
➖kuhara kwa muda mrefu
➖kutopata choo kwa muda mrefu
➡️ *DALILI*
➖kujisaidia choo chenye harufu Kali
➖kupumua na kushindwa kuzuia kinyesi pale unapo pumua(kujamba).
➡️ *MADHARA YA BAWASIRI*
➖upungufu was damu mwilini
➖kupata maumivu makali wakati was kujisaidia
➖kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote
➖ kuathirika kisaikolojia na kupelekea kutojiamini katika hadhara ya watu hasa pale miwasho inapo zidi.
1)Tiba yake hospital ugonjwa huu ni operation,kukata uvimbe ili usiendelee kukua
2)Tiba hiyo huwa chanamgamoto ya kujirudia tena baada ya muda Fulani,
3)pia upelekea maumivu makali kwa mgonjwa na kutokwa ba damu mara kwa Mara
*MATIBABU YA VIRUTUBISHO LISHE*
Tunatibu ugonjwa wa bawasiri bila operation na unapona kabisa bila kujirudia tena
Tunapatikana Dar es salaam Na Mikoa Yote
0710 446222
29/04/2024
Afya Yako
Uvimbe kwenye kizazi ni Uvimbe ambao hutokea katika misuli laini ya mfuko wa uzazi wa mwanamke (Uterus). Tatizo la uvimbe kwenye kizazi hujulikana kwa kitaalamu k**a “uterine fibroids/leiomyoma/uterine myoma”.
Uvimbe huu husababisha kubadilika kwa umbo na ukubwa wa kizazi. Mara nyingi Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na tatizo hili. Wakati mwingine mwanamke anaweza kupata tatizo hili akiwa kwenye ujauzito, hali hii inaweza kusababisha shida wakati wa kujifungua na kupelekea mwanamke kujifungua kwa upasuaji.
Tatizo hili huweza kuongezeka ukubwa wakati wa ujauzito kutokana na kiasi kikubwa cha homoni ya estrogen. Kuvuja damu na maumivu ya tumbo pia huweza kutokea kutokana na uvimbe kupoteza damu yake. Kwahiyo madaktari wa wanawake hupendekeza mgonjwa kufanyiwa ultrasound mara kwa mara ili kufatilia maendeleo ya uvimbe.
Tatizo la uvimbe kwenye kizazi ni kubwa na linawatokea wanawake wengi sana. Inakadiriwa kwamba 75% ya wanawake hupata tatizo hili katika kipindi fulani cha maisha yao. Kwa mujibu wa jarida la New England Journal of Medicine, kila mwaka zaidi ya wanawake 200,000 wanafanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi chote (hysterectomy) kutokana na tatizo hili.
Via contact us
☎️ 0710 446 222
WhatsApp Call And Text
page 📄 Afya_Yako-Yako
29/04/2024
# Ipende Afya yako
🍀DALILI ZA BAWASILI 🍀
👉maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
👉Damu kutoka wakati wa kujisaidia
👉kupata muwasho sehem ya haja kubwa
👉uvimbe au kinyama kuota sehem ya haja kubwa
👉hajakubwa yaweza kujitokea mda wowote
👉choo kuwa kigumu au muda mwingine kukosa choo kwa siku hata tatu
👉maumivu makali ya kiuno na mgongo
👉tumbo kujaa gesi mara kwa mara
👉kutokushiba vizuri au kupata njaa baada ya muda mfupi kumaliza kula.
👉kukosa usingizi
👉watu wengine macho kuwa mekundu
🍀ATHARI ZA BAWASILI🍀
👉upungufu wa dam mwilini
👉kinyesi kutoka bila kujitambua
👉kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
👉kupungukiwa nguvu za kiume kwa wanaume
👉kupungukiwa uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
👉kupata tatizo la kisaikolojia
🍀NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASILI🍀
👉kula mboga za majani na nafaka zisizokobolewa kwa wingi.
👉kunywa maji mengi lita sita au 12 kwa siku
👉acha kufanya tendo kinyume na maumbile
👉punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kusababisa shinikizo la dam sehem ya haja kubwa.
Kwa Ushauri na Tiba
Call/ WhatsApp
0710 0710 446 222]
29/04/2024
BAWASIRI NI UGONJWA UNAOSUMBUA WENGI 0710 0710 446 222
WENGI WANASHINDWA KUIONDOA KUTOKANA NA KUACHA VYANZO VYA BAWASIRI NA MADHARA YAKIENDELEA KUWATESA
ILI KUITIBU BAWASIRI YAKUPASA UKITANE NA MTAALAMU ATAKAYEWEZA KUJUA NINI CHANZO CHA BAWASIRI YAKO NA NINI UFANYE ILI KUPONA VILE VILE YAPI MADHARA ULIYONAYO NA NAMNA YA KUYAONDOA PIA KUONDOA UVIMBE WA BAWASIRI BILA KUFANYA UPASUAJI.
PIGA SIMU NAMBA 0710 446 222 ILI KUPATA USHAURI NA DAWA ZA KUWEZA KUKUSAIDIA KUIONDOA BAWASIRI NA VYANZO VYAKE NA MADHARA YALIYOTOKEA
26/04/2024
✅HATUA ZA UGONJWA WA BAWASIRI GOLO
Grade 1: Utaona bawasiri ipo kwa ndani ya tundu la haja kubwa, katika hatua hii anakua hajui k**a ana bawasiri.
Grade 2: Bado bawasiri haijatoka nje, ipo kwa ndani ila imeanza kukua.
Grade 3: Tayari bawasiri imetoka nje ila kidogo, na hapa tayari mhanga ameanza kupata usumbufu wa kinyama kujitokeza nje na kuleta maumivu.
Grade 4: Kinyama kimekua kirefu kutoka nje na kimekua kikubwa sana, katika hali hii mtu hawezi kukaa kitako, inabidi akae upande upande.
Madhara: Usipopata tiba mapema unaweza kupata kansa, tatizo likiendelea kwa muda mrefu unaweza kupoteza hali ya kuzuia kinyesi, changamoto za kisaikolojia, kuvuja damu mara kwa mara kupitia njia ya haja kubwa.
Wasiliana nasi 0710 446222
0789 446221
UJUE UGONJWA WA BAWASILI NA MADHARA YAKE
Via contact us
☎️ 0710 446 222
WhatsApp Call And Text
page 📄 Afya_Yako-Yako
Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba. Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
A. NINI KINASABABISHA BAWASIRI ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasiri ni;
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
B. DALILI ZA BAWASIRI
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
C. ATHARI ZA BAWASIRI
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume.
Bawasiri inatibika kabisa bila ya kufanyiwa upasuaji. Kuna programme ya dozi ambazo ni tiba lishe mchanganyiko wa vyakula, mimea na madini inaondoa kabisa bawasiri kwa kutibu mpaka mzizi au chanzo cha bawasiri ili isijirudie tena tofauti na upasuaji au dawa za hospitali. Tumewasaidia wagonjwa wengi sana wenye hili tatizo. Ufafanuzi zaidi na kupata tiba njoo whatsapp 📞 Via contact us
☎️ 0710 446 222
WhatsApp Call And Text
page 📄 Afya_Yako-Yako
11/05/2023
Umepima na kuambiwa una vivimbe vidogo vidogo katika kizazi au kwenye vifuko vya mayai
Kabla hujachachawa na gharama za oparesheni njia hii nyepesi inaweza kukusaidia kufubaza uvimbe.
...Chukua Limao moja (maji yake), changanya na kijiko kidogo cha baking soda kwenye glass moja ya maji. Kunywa asubuhi na usiku walau kwa siku 7
Hii ni formula nyepesi sana ya kufubaza vivimbe k**a daktari aliyekupima alibaini una vivimbe vidogo vidogo chini ya sentimita 2 katika vifuko vya mayai au katika fuko la uzazi.
Epuka sana kutumia vinywaji au vyakula vya kusindikwa na kuwekewa sukari nyingi kwa hivi navyo husababisha uvimbe kuendelea kukua zaidi.
Anyway, .......nambie kwa sasa unapitia changamoto gani kati ya hizi, nikusaidie kuzitatua;
• Fangasi , U.T.I au P.I.D sugu...au Mirija ya Uzazi imeziba au kujaa maji...!
• Una uvimbe kwenye vifuko vya mayai au kwenye fuko la uzazi yaani FIBROIDS or OVARIAN CYSTS...!
• Hedhi yako haina mpangilio maalumu au umekuwa ukitafuta ujauzito bila mafanikio... Huna hisia wala huna ute wakati wa tendo / siku za hatari
• au Mwenza wako ana tatizo la kushindwa kukupa ujauzito kwa sababu ya mbegu / manii yake kuwa dhaifu...
Niandikie changamoto yako ya uzazi kwenda WhatsApp namba Via contact us
☎️ 0710 446 222
WhatsApp Call And Text
page 📄 Afya_Yako-Yako
Nitakupa mwongozo wa kukusaidia kutatua tatizo lako bure
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Ilala Boma
Dar Es Salaam