Wakili wa afya

Wakili wa afya

Share

TUNAWASAIDIA WATU KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIAFYA

06/11/2019

Je umesumbuka na magonjwa Ya UTI.. fangasi.. harufu mbaya ukeni..kutoa uchafu nk.. suluhisho lipo lag kudumu..
JINSI YA KUSAFISHA VIA VYA UZAZI NA KUJIKINGA DHIDI YA MAAMBUKIZI YA U.T.I NA FANGASI

1- Kunywa maji mengi sana kwa siku, ama kunywa maji mengi sana baada ya kufanya tendo la ngono/ndoa, na kabla ya tendo la ngono/ndoa ili upate mkojo mwingi na ukojoe sana. Kwani kufanya hivyo utakuwa unasafisha kibofu chako na kuwaondoa bakteria wabaya ambao yawezekana tayari wameanza kunyemelea via vya uzazi.

Wanawake wengi hawapendi kabisa kunywa maji kwa kuhofia kukujoa mara kwa mara, pia kwao hali hii huchukuliwa kuwa ni usumbufu. Lakini k**a wewe ni mwanamke unayejitambua basi badilisha mtazamo wako dhidi ya unywaji maji, utaepuka maradhi mengi sana zaidi ya u.t.i, kisonono na fangasi.

2- Vaa nguo za ndani zenye matilio ya pamba, maana pamba hufyonza unyevunyevu kwa urahisi na kukuweka mkavu zaidi ili usizalishe bakteria waharibifu.

Wanawake wengi wanavaa nguo zisizopitisha hewa maungoni mwao, tena ni nguo zenye kubana sana kiasi cha kutengeneza fukuto na mseto wa uchafu mwingi sana ukeni, na mbaya zaidi hushinda kwenye mihangaiko ya kiuchumi na umma, hivyo kupata muda wa kufanya usafi unakosa hadi pale warudipo majumbani mwao.

Kwa tabia hii huwezi kujikinga na maambukizi ya bakteria na fangasi hata kidogo.

SWALI

Hivi wanawake mnaweza kujitetea kwanini mnavaa nguo nyingi na zilizobana sana maungo yenu.

Je? mngepewa maungo ya kiume (mobile) si mngeyafunga kamba kabisa! maungo ya k**e yametulia tofauti na ya kiume hivyo hakuna sababu ya kuyabana sana.

K**a hauko kwenye siku zako (hujavaa pad) huhitaji kujitundika minguo mingi na iliyobana, maungo yenu yanahitaji hewa ya oksijeni ya kutosha kuliko kitu chochote, vaa andawea yoyote tepetepe tu ili hewa ipite kwa Wingi.

3.Tumia nguvu kiasi au msukumo wa kaida wakati wa tendo la ndoa; Vijana hufanya ngono kwa lengo la kukomesha mwanamke, Kumbe ndo wanajikomesha wenyewe.

Unapotumia nguvu kubwa sana ni rahisi kutengeneza msuguano ambao utasababisha michubuko kwenye via vyenu hasa kwa mwanamke.

Michubuko hiyo humrahisishia bakteria aidha wa Escherchia Coli anayesababisha ugonjwa wa (U.T.I), Clymidia Trachomadis anayesababisha ugonjwa wa P.I.D, Neisseria Gonorrhoea anayesababisha ugonjwa wa kisonono, pamoja na fangusi wa Candida Albicans wanaosababisha ugonjwa wa fangusi kupenya ndani zaidi hadi kwenye damu na kuleta maambukizi makali sana ambayo yatawaingiza tena kwenye gharama za pesa, muda na maisha kutibisha.

4.Kabla ya kufanya ngono/tendo la ndoa inashauriwa kusafisha via vya uzazi kwanza: K**a mmoja wenu ama wote mmesafiri kutoka maeneo tofauti tofauti na kukutana mahali fulani kwa lengo la kukidhi haja zenu.

Hata k**a ni wanandoa usipuuzie hili, kwani yawezekana wote mmeshinda kwenye majukumu ya kila siku, hivyo lazima maungo yenu yatakuwa na kiwango fulani cha uchafu.

Endapo mtaingiliana maungoni bila kufanya usafi (kuchamba/kuoga) itakuwa ngumu sana kuwaondoa bakteria na fangasi waliojificha kwenye via vyenu wote wawili; na wakati wa tendo la ngono/ndoa watasafiri kuelekea kwenye kibofu na kuwaambukiza.

NB
Umalizapo tendo la ndoa hakikisha unakojoa hata k**a kwakujilazimisha, kwani kutasaidia kuflashi mabaki yote ya uchafu, bakteria na fangusi kwenye mrija wa kibofu ambao yawezekana waliingia wakati wa tendo la ngono/ndoa.

5.Usipendelee kutunza ama kubana
mkojo bila sababu ya msingi. Hakikisha unakojoa kila usikiapo haja maana ukitunza mkojo mchafu na wenye bakteria kwenye kibofu na kusababisha maambukizi yaitwayo PROSTITIS.

Bakteria wengine hudiriki kupanda juu kuelekea kwenye figo kupitia mirija ya Ureta inayoshusha majimaji machafu yaliyochujwa na figo kwenda kwenye kibofu ili kutolewa k**a takamwili iitwayo mkojo.

Maambukizi haya yakifika kwenye figo huitwa PYELOPHRITIS na kusababisha pia utengenezwaji wa mawe kwenye figo.

Pendelea kula sana matunda yenye vitamini C kwa wingi k**a Chungwa, Pera, Embe, Ndimu, Limao, Kiwi, Tikiti Nanasi n.k kwani haya yote yana kiwango kingi cha tindikali iitwayo Ascorbic Acid ambayo pia husaidia kupandisha kinga ya mwili dhidi ya maambukizi ya bakteria na fangasi.

6.Epuka mapenzi kinyume na maumbileโŒ

K**a umeshaathirik na ugonjwa huu tiba ipo

kwa mwanamke tumia *femicare*

kwa Mwanaume tumia.. *Prostate* *relax*

Piga 0759538462

15/10/2019

UJUMBE MAHUSUSI KWA WATU WANAOSUMBULIWA NA BAWASILI ( HEMORRHOIDS)
Kulingana na mabadiliko ya mtindo wa maisha ya watu kwa siku hizi kila mmoja anaweza kuwa mgonjwa mtarajiwa wa bawasili.

Visabishi:
1. Choo kigumu
2.Kuharisha
3.Ujauzito kwa kina mama unaweza kusababisha
4. Kazi ngumu
Dalili za bawasili:
1. Maumivu makali wakati wa haja kubwa
2.Kutokea kinyama sehemu ya haja kubwa.
3. Kutokwa na damu wakati wa haja kubwa.

SULUHISHO PIGA 0759538462

29/09/2019

MKOMBOZI WA WANAUME:
KINGA NA TIBA YA TEZI DUME BILA UPAUAJI.
(0759538462
Tezi dume nini ..ni tezi inayopatikana kwa mwanaume tu..
Ipo kuzunguka njia ya mkojo karibu na kibofu cha mkojo..kazi ya tezi dume ni kutengeneza majimaji ya shahawa,na kurutubisha mbegu za kiume yaani kuzipa chakula..
Mtu anapofukisha miaka arobaini na kuendelea hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.
Hivyo pale unapokojoa mkojo hauishi Kwenye kibofu unabakia..

Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.๐Ÿ‘‡
1.kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku.Mara Tatu au Zaidi

2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.

3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani

4.unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.

5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo

6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.

7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana.

UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI..Yaani unatatizo LA uvimbe wa tezi dume..
Mara nyingi suluhisho imekua upasuaji lakini upasuaji ukifeli watu wanakosa nguvu za kiume..
Sasa KUNA SULUHUSHO..
PROSTATRELAX ni dawa ya asili inayokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana..haina kemikali, imetengenezwa kwa mtishamba unaoitwa prostaep(flavnoids na polypeptide) itakusaidia.imethibitishwa na Tfda,cGMP,na Halal,unaweza tumia kujitibu au kujikinga.
Tazama video hapo chini kwa maelezo Zaidi na piga 0719666456kwa ushauri na matibabu
Tazama ushuhuda hapo chini๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ nini ..ni tezi inayopatikana kwa mwanaume tu..
Ipo kuzunguka njia ya mkojo karibu na kibofu cha mkojo..kazi ya tezi dume ni kutengeneza majimaji ya shahawa,na kurutubisha mbegu za kiume yaani kuzipa chakula..
Mtu anapofukisha miaka arobaini na kuendelea hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.
Hivyo pale unapokojoa mkojo hauishi Kwenye kibofu unabakia..

Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.๐Ÿ‘‡
1.kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku.Mara Tatu au Zaidi

2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.

3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani

4.unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.

5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo

6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.

7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana.

UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI..Yaani unatatizo LA uvimbe wa tezi dume..
Mara nyingi suluhisho imekua upasuaji lakini upasuaji ukifeli watu wanakosa nguvu za kiume..
Sasa KUNA SULUHUSHO..
PROSTATRELAX ni dawa ya asili inayokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana..haina kemikali, imetengenezwa kwa mtishamba unaoitwa prostaep(flavnoids na polypeptide) itakusaidia.imethibitishwa na Tfda,cGMP,na Halal,unaweza tumia kujitibu au kujikinga.
Tazama video hapo chini kwa maelezo Zaidi na piga 0759538462kwa ushauri na matibabu
Tazama ushuhuda hapo chini๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


MAKUMBUSHO
Dar Es Salaam
255