TUNZA AFYA YAK0
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from TUNZA AFYA YAK0, Beauty, cosmetic & personal care, Shekilango, Dar es Salaam.
FOHOW GROUP ni kampuni ya Wachina inayohisika.na.kutibu magoniwa mbalimbali kwa kuangalia mifumo mikuu mitano(5) ya mwili k**a vile Kuna mfumo wa CHAKULA,DAMU, MIFUPA &MISULI,UZAZI NA KINGA
23/08/2021
Karibu kwa kupata virutubisho toka FOHOW kwa ushauri na maelezo zaidi nichek kwa NO 0714889526
18/07/2021
.MWANAMKE FAHAM HII!. Kazi za GUI FEI BAO. 1- Huondoa uvimbe kwenye kizazi na kusafisha mirija ya Uzazi. 2- Hutibu magonjwa sugu ya kinamama k**a vile Uvimbe kwenye mfuko wa mayai ya uzazi,kuvimba kwa misuli inayounganisha via vya uzazi,kibofu na sehemu kidogo ya Utumbo pamoja na maradhi ya zinaa. 3- Huongeza hamu ya mapenzi na kuondosha harufu mbaya ukeni. 4- Huchelewesha kukoma kwa hedhi na kuchel itewesha kuzeeka mapema( kuondosha makunyazi na kulainisha ngozi). 5 -Huimarisha Homoni za k**e . 6 - Hutengeneza kuta za k**e zijirudi katika Hali yake ya awali na kuongeza hisia ukeni. 7- Hukuza mji wa mimba na huondosha ukavu kwenye uke pamoja na fangas. Kumbuka ; Hii sio dawa bali ni virutubisho vyenye mchanganyiko wa mimea zaidi ya 7 ambazo huweza kutatua tatizo moja kwa moja. Kwa maelezo zaidi juu ya bidhaa zetu tuma ujumbe kwenda What's App number 0714889526 au piga simu usaidiwe mapemaa
04/07/2021
🔘MWANAUME FAHAMU HII.!❗️🔘
🔴VYANZO VIKUU VYA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME🔴
1.Upigaji punyeto wa muda Mrefu
2.Msongo wa Mawazo
3.Ugonjwa wa kisukari
4.Shinikizo la Damu(Pressure)
5.Kupooza mwili
6.Kuugua chango la Kiume
7.Ulaji mbovu wa vyakula vya Kisasa na vyakula vyenye mafuta
⚫️SULUHISHO NI......LONGLU CAPSULE⚫️
🔵 LONGLU CAPSULE 🔵
Ambayo ni Tiba Mbadala yenye Uwezo wa Kurudisha Tabasamu la MWANAUME kwa kuondoa magonjwa Tajwa hapo Juu!
🔷USHAURI ZAIDI🔷
MAWASILIANO
📞0714889526 sms/WhatsApp/call
📞0620176790 sms/call
🔸 DAR ES SALAAM 🔸
04/07/2021
JIPATIE TIBA SAHIHI YA BAWASILI (HEMORRHOIDS)
Bawasili ni hali ya kuvimba au kutanuka kwa mishipa ya vena{varicose viens} iliopo ndani ya njia ya haja kubwa. Katika ile misuli imara inayozungunguka na kutengeneza muundo wa njia ya haja kubwa pamoja na puru{rectum}ambapo sasa ugawanywa katika aina mbili ya ndani na ya nje.
Bawasili ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi.
Kuna aina mbili za Bawasiri
Bawasil Ya Nje: Aina hii ya bawasili hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Hali hii huwa na maumivu makali sana na ngoziyake ugeuka kuwa ya blue au zambarau. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina fulan ambalo kitaalamu linaitwa Thrombosed hemorrhoid.
Bawasili Ya Ndani: Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.
JE BAWASILI HUSABABISHWA NA NINI?
• Tatizo sugu la kuharisha
• Kupata kinyesi kigumu
• Uzito kupita kiasi (obesity)
• Kupenda kufanya ngono ya njia ya haja kubwa (a**l s*x)
• Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.kunyanyua vitu vizito, kikohozi cha muda mrefu nk
• Umri mkubwa,
• Vyakula vya kukoboa,
• Kufanya kazi ukiwa umekaa kwa muda mrefu.
• Kuchuchumaa kwa muda mrefu wakati wa kujisaidia.
• Mtu mwenye tatizo la ini
•
DALILI ZA BAWASILI
• Damu kwenye kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)
• Maumivu au usumbufu njia ya haja kubwa
• Kinyesi kuvuja.
• Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
• Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
• Kujitokeza kwa kinyama (bawasili) wakati wa haja kubwa
MATATIZO YANAYOWEZA KUTOKANA NA BAWASILI
• Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
• Strangulated hemorrhoids
• Kushindwa kujisaidia kwa amani
NJIA ZA KUZUIA BAWASILI
• High fibre diet {makapi lishe}, kula mboga za majani, matunda, na nafaka kwa wingi.
• Kunywa maji mengi kiasi cha kutosha.
• Punguza kukaa kwa muda mrefu sana hasa ukiwa chooni, kwa sababu unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa.
• Fanya mazoezi
Utofauti wa hemorrhoids na re**al fissures
• Bawasili ni hali ya kuvimba kwa mishipa ya vena iliopo ndani ya haja kubwa. Re**al fissures ikiwa ni hali ya kuchanika au kuwa na vidonda kwenye njia ya haja kubwa. Na ikiwa ni tatizo ambali hutokana na kupata kiasi kikubwa kupita uwezo wa njia yenyewe. Hivyo basi k**a kutaingia bacteria basi hili huwa ni tatizo la kudumu eneo husika.
KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NASI KWA NAMBA
0714889526/sms/call/whatsaap
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Shekilango
Dar Es Salaam