suzana na afya
Tunatoa huduma za changamoto mbalimbali km pressure, kisukari, bawasiri, vidonda vya tumbo, viungo
TATIZO LA CHOO KIGUMU(CONSTIPATION)
call:0653515701
Tatizo la choo kigumu ni nini?
Tatizo hili husababishwa zaidi na ulaji mbovu wa vyakula na kutojizoesha kujisaidia mara kwa mara pia kula vyakula vilivyo kobolewa.
SABABU ZINAZOPELEKEA TATIZO LA CHOO KIGUMU.
1.Kutokunywa maji ya kutosha.
2.Kutotumia vyakula vya nyuzinyuzi.
3.Kuzuia hamu ya kwenda chooni kwa muda mrefu.
4.Ujauzito.
DALILI ZA TATIZO LA KUTOPATA CHOO.
1.Kuchoka bila sababu.
2.Ngozi kupata chunuzi zisizo kawaida.
3.Gesi tumboni.
4.Kula kidogo na kujisikia kushiba.
5.Kukosa hamu ya kula.
6.Kutopata choo ndani ya masaa 24 hadi masaa72.
MADHARA YA KUTOPATA CHOO
1.Kinga ya mwili kushuka.
2..Saratani ya utumbo.
3.Chanzo kikuu cha bawasiri.
4.Kupata magonjwa ya ini na figo.
5.Pressure kuongezeka.
6.Kupungukiwa nguvu za kiume( wanaume)
7.Kuvurugika kwa hedhi( homon imbalance kwa wanawake).
8.Kuharibika kwa ngozi.( ngozi kuwa mbaya).
K**a wewe ni mmoja wa wanaosumbuliwa na changamoto hii ya choo kigumu, wasiliana nami ili niweze niweze kukushauri na kukusaidia uweze kupata virutubisho vitakavyokusaidia changamoto yako.
Tafadhari piga:0653515701
Je umesumbuliwa na changamoto ya bawasiri kwa muda mrefu bila kupata suluhisho karibu nikuelimishe ni jinsi gani unaweza kupona bawasiri kwa kula vyakula vitakavyokusaidia kupona kwa haraka.
CHANGAMOTO YA CHOO KIGUMU NA KUTOPATA CHOO.
Tatizo hili husababishwa na ulaji mbovu wa vyakula hasa vyakula vilivyokobolewa.
SABABU ZINAZOPELEKEA TATIZO HILI
*Kutokunywa maji ya kutosha.
*Kutotumia vyakula vya nyuzinyuzi.
*Kuzika hamu ya kwenda haja kwa muda mrefu.
*Ujauzito.
DALILI ZA CHOO KIGUMU/KUTOPATA CHOO.
*Kuchoka bila sababu.
*Kupata chunusi zisizo za kawaida.
*Gesi tumboni.
*Kula kidogo kuhisi kushiba.
*Kukosa hamu ya kula.
*Kutopata choo ndani ya masaa 24 hadi 72.
MADHARA YA KUTOPATA CHOO.
*Kinga ya mwili kushuka.
*Saratani ya utumbo.
*Pressure kuongezeka.
*Chanzo kikuu Cha bawasiri.
*Kupungua nguvu za kiume.
*Kuvurugika kwa homoni.
*Kuharibika ngozi.
K**a unachangamoto hii tafadhali wasiliana nami ili upate ushauri, tiba ya tatizo hili.
0653 515 701au 0696 770 540 karibuni.
VYAKULA VUA KUMSAIDIA MTU BAWASIRI.
Vyakula na vinywaji unavyokula ndio vitakusaidia kupona au kutokupona bawasiri.
* Unashauriwa kula vyakula vya nyuzinyuzi.
*Acha kula vyakula vya fast food au vyakukaangwa.
*Pendelea kula vyakula mbegu asili na maji mengi.
*Mbogamboga za majani kwa wingi Kila siku.
*Matunda hasa parachichi, papai, peasi, tufaha, ndizi za kuiva.
*Karoti, maboga, vitunguu swaumu, vitunguu maji,pilipili hoho,mbegubamia, viazi vitamu, viazi mviringo oka oven bila kumenya ngozi yake.
*Maharage, kunde, dengu na njegere.
*Mbegumbegu k**a mbegu za maboga, almond, mbegu za alizeti na nk.
*Ugali wa Dona, mkate ambao haujakobolewa, samaki, kuku wa kienyeji.
*Asali, mtindi, tui la n**i kikombe kimoja Kila siku.
* Uji wa ndizi saga ndizi.
*Supu ya mbogamboga
*Unaweza kula samaki na mbogamboga za majani bila ugali wala wali.
*Penda kutumia tui la n**i kwenye vyakula vyako.
SABABU ZINAZOPELEKEA KUCHELEWA KUPONA BAWASIRI.
*Kutokunywa maji ya kutosha kila siku.
*Kukaa kitako muda mrefu.
*Kula zaidi vyakula vya haraka( fast food) pendelea kula vyakula vya asili.
*Kuchelewa kwenda chooni.
*Kutokula vyakula vya nyuzinyuzi.
VINGINEVYO NI
* Pombe
* Nyama nyekundu
*Fast food
*Vyakula vya viwandani.
BAWASIRI.
Ni kuathirika kwa mishipa ya ndani na ya nje ya njia ya haja kubwa.
AINA 2 YA BAWASIRI.
BAWASIRI YA NDANI
_Hii hutokea eneo la ndani ya mfereji wa haja kubwa.
BAWASIRI YA NJE.
_ Hii hutokea eneo la mwisho wa mfereji wa haja kubwa.
CHANZO CHA BAWASIRI.
*Kupata choo kigumu.
*Kukaa kitako kwa muda mrefu.
*Gesi kujaa tumboni
*Uzito kupita kiasi.
*Matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu.
DALILI YA BAWASIRI.
*Ngozi kuwasha katika tundu la haja kubwa.
*Kupata choo chenye damu.
*Kupata choo kigumu/ kimekatika katika k**a Cha mbuzi.
*Kutopata choo kwa muda mrefu.
*Kutoka damu wakati wa kujisaidia.
*Kuota kinyama katika eneo la tundu la haja kubwa.
MADHARA YA BAWASIRI.
*Kupata upungufu wa damu.
*Kupata tatizo la kutohimili choo.
*Hupungufu wa nguvu za kiume.
*Kuathirika kisaikolojia.
ENDAPO UTAKUWA NA CHANGAMOTO K**A HII KWA MAELEZO NA USHAURI WASILIANA NAMI KWA NAMBA 0766 466723.
KARIBU NIKUSIKILIZE, NIKUSAIDIE.
ASANTE.
Heri ya mwaka mpya marafiki tuendelee kutumia vyakula bora ili tulinde afya zetu.
Maji ni uhai.
Jitahidi kunywa maji mengi kwa siku kwa sababu tunapofanya shughuli zetu mbalimbali tunakuwa tunapoteza maji pia maji yanasaidia mwili kufanya kazi yake vizuri hivyo maji ni nguzo ya miili yetu.
CHANGAMOTO YA BAWASIRI.
Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na ya nje ya sehemu ya haja kubwa.
AINA ZA BAWASIRI.
Kuna aina mbili za bawasiri.
*BAWASIRI YA NDANI.
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa, huwa inambatana na maumivu makali na wengi huwa hawajitambui kuwa wana tatizo hili.
*BAWASIRI YA NJE.
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu na kuwashwa ngozi katika eneo la tundu hilo.
CHANZO CHA BAWASIRI.
1. Kupata choo kigumu.
2.Kukaa kitako muda mrefu.
3.Gesi kujaa tumboni.
4.Uzito kupita kiasi.
5.Matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu.nk
DALILI ZA BAWASIRI.
1.Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa.
2.Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia.
3.Kutoka uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa.
4.Choo kigumu k**a cha mbuzi.
5.Kutopata choo kwa muda mrefu.
6.Kutoka damu wakati wa kujisaidia.
MADHARA YA BAWASIRI.
1.Kupata tatizo la kutoweza kuhimili choo.
2.Kupats upungufu wa damu.
3.Upungufu wa nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa..nk
K**a unachangamoto hii tafadhali wasiliana nami kwa elimu zaidi na ufafanuzi zaili ili uweze kuondokana na changamoto hii.
0766 466 723 au 0653 515 701
Karibu
14/12/2022
Kwa changamoto yoyote ya kiafya tafadhali wasiliana kwa namba 0766 466 723
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Buguruni, Dar Es Salaam
Dar Es Salaam