Tiba Asili Ya Bf Suma
Ukurasa huu unahusiana na tiba lishe za binadamu
01/07/2024
*HIVI UNAFAHAMU KUWA VIDONDA VYA TUMBO VINATIBIKA?*
Matibabu ya tatizo la vidonda vya *tumbo
Pamoja na uwepo wa sababu zingine chochezi, ugonjwa huu kwa kiasi kikubwa husababishwa uwepo wa maambukizi ya vimelea vya bakteria jamii ya H. pylori pamoja na athari za matumizi ya dawa za kutuliza maumivu.
Hauwezi kusita kuutaja mchango wa tiba asili na tiba mbadala katika kutibu ugonjwa huu.
Fuatilia njia hizi zinazothibitishwa na tafiti mbalimbali ili zikupe uelewa mpana wa namna ya kushughulikia ugonjwa huu kwa njia za kiasili.
1. Ndizi mbichi
Ndiyo. Tunamaanisha ndizi mbichi, siyo ndizi mbivu.
Husaidia kuponya vidonda vya tumbo kwa kusisimua utengenezwaji wa kuta mpya za sehemu ya tumbo iliyochimbwa.
Aidha, huzilinda kuta hizi ili zisiendelee kujeruhiwa na tindikali za tumbo.
Uwepo wa kiasi kikubwa cha pectin, leucocyanidin pamoja na phosphatidylcholine ndiko hufanikisha kazi hii. (1, 2, 3, 4)
Unaweza kuzipika k**a chukuchuku. Zitumie kila mara kwa kadri utakavyoona inafaa
2. Juisi ya kabichi
Kabichi mbichi huwa na aina fulani ya kiambata kinacho fahamika k**a vitamini U.
Kiambata hiki siyo vitamini halisi japo kimepewa jina hilo. Husaidia hupunguza maumivu ya vidonda, huongeza uzalishwaji wa ute rafiki, huimarisha kuta za tumbo pamoja na kuponya vidonda kwa haraka. (5, 6, 7)
Unaweza kutengeneza juisi hii kisha tumia mara mbili kwa siku, asubuhi na usiku
3. Aloe vera
Sifa za mmea huu haziishii kwenye urembo pekee.
Kwa miaka mingi sana, aloe vera imekuwa inatumika katika kutibu changamoto za vidonda kuanzia nje hadi ndani ya mwili.
Tafiti kadhaa zinathibitisha pia uwezo wa aloe vera katika kutibu vidonda vya tumbo. Unaweza sasa kuiongeza kwenye tiba iwapo unakabiliwa na tatizo hili. (8, 9, 10)
4. Manjano
Hauwezi kuzungumzia viungo vya chakula pasipo kutaja manjano. Aidha, hauwezi kujisifu kuwa wewe ni mjuzi wa urembo hasa ule wa ngozi pasipo kutaja manjano.
Leo nakupa kazi ya tatu, manjao hutumika pia katika kutibu vidonda vya tumbo vya aina zote. (11, 12, 13, 14)
Sifa hii hutokana na uwepo wa kiasi kikubwa cha viondoa sumu pamoja na kemikali zingine zinazo dhibiti msisimko wa mwili kwenye kuamsha uvimbe
5. Asali
Asali ni miongoni mwa vyakula vinavyoweza kukaa kwa miaka mingi pasipo kuharibika.
*
Huwa na sifa ya kupambana na *aina mbalimbali za bakteria na virusi, pia hudhibiti ukuaji wa aina fulani za fangasi.
Husaidia pia kutibu aina mbalimbali za vidonda, vile vya tumboni vikiwemo pia kwenye kundi hili.
Haupaswi kuwa na mashaka na asali. Anza leo kuitumia, itakusaidia. (15, 16, 17, 18)
6. Vitunguu saumu
Mojawapo ya sababu ya kutokea kwa vidonda vya tumbo ni uwepo wa maambukizi ya vimelea vya bakteria jamii ya H. pylori.
Vitunguu saumu huwa na uwezo mkubwa wa kupambana na aina hii ya bakteria.
Huongeza pia uwezo wa kuta za tumbo katika kuponya majeraha yake. Huudhibiti mwili usizalishe vichocheo vinavyosisimua kutokea kwa uvimbe. (19, 20, 21, 22, 23)
Vimethibitishwa kwa tafiti kuwa na uwezo wa kutibu vidonda vya tumbo
7. Yogurt
Ulaji wa vyakula vyenye bakteria wanaoweza kuzalisha lactic acid mwilini husaidia katika kupambana na ugonjwa wa vidonda vya tumbo hasa vile vinavyo sababishwa na bakteria jamii ya H. pylori.
Yogurt huwa na bakteria jamii ya Lactobacillus acidophilus La5 au Bifidobacterium lactis Bb12 ambao tafiti nyingi zinathibitisha uwezo wao katika kutibu vidonda vya tumbo. (24, 25)
Acha nadharia ya kuchukulia kuwa yogurt inafaa kwa watoto pekee. Itumie pia, itakufaa
8. Broccoli
Ni mboga za majani ambazo hazipatikani kirahisi k**a zilivyo zingine.
Huwa ni mboga za majani zilizobeba kiasi cha kutosha cha kemikali inayoitwa sulforaphane (SFN) ambayo hulinda kuta za tumbo, huondoa sumu, huua bakteria pamoja na kuongeza uzalishwaji wa ute unaolinda kuta za tumbo. (26, 27)
Ni ngumu kuzipata, pengine hata haujawahi kuziona. Zitafute
9. Mlonge
Karibia kila sehemu ya mti wa mlonge huhusishwa katika kutibu tatizo la ugonjwa wa tumbo. Unao uwanja mpana wa kuchagua kati ya majani, matunda na mizizi.
Tafiti nyingi zinathibitisha kuwa mizizi ya mti huu huonesha uwezo mkubwa zaidi kuliko majani na matunda. (28, 29)
Hata hivyo wanawake wajawazito pamoja na wale wanao nyonyesha hawashauriwi kutumia mmea huu k**a sehemu ya tiba
Tahadhari
Kuna uvumi mtaani kuwa unywaji wa maziwa fresh husaidia kuponya tatizo hili.
Madai haya siyo ya kweli kwani maziwa hutoa ahueni ya muda mfupi kisha baadae kusababisha maumivu makali kwa mgonjwa. Soma hapa.
Badala ya kutumia maziwa fresh, mgonjwa anashauriwa kutumia mtindi* kwa kuwa hufanya kazi sawa k**a zilivyo yogurt ambazo tayari tumeshaona faida zake.
*Muhtasari*
Kabla mgonjwa hajaamua kutumia njia hizi, ni muhimu kwanza kufika hospitalini kupima ili aina ya vidonda vya tumbo vinavyomsumbua iweze kutambulika.
Hospitalini kuna dawa nzuri zinazoweza kutibu tatizo hili ndani ya muda mfupi. Dawa hizi zipo kwenye makundi mengi kulingana na namna zinavyofanya kazi.
Mfano wake ni pantoprazole, heligo kit, omeprazole, cimetidine na rabeprazole
Usikate tamaa, vidonda vya tumbo vinatibika..........
01/07/2024
*GLUZOJOINT Ultra Pro*
*Imetengenezwa kwa PROTESYLYCAN pamoja na glucosamine ambazo kazi yake ni kuzalisha synovial fluid mwilinin ambayo nayo huzalisha uteute kwenye maungio pamoja na maumivu ya maungio*
*Gluzo Joint ni maalum kwa ajili ya maungio zaidi. Binadam anayo maungio takriban Nane yakiwemo Magoti, na mengine. Katika hivi viungio vinayao uteute, huu uteute ukiisha au kukauka ndipo viungio huanza kuuma.*
*Bf Suma wameleta suluhisho bila upasuaji kwa kuongeza uteute mwilini. Nayo ni Gluzojoint.*
*Gluzojoint imetengenzwa kwa Glucosamine Hydrochloride maalum kwa kuongeza uteute kwa samaki aina ya papa/ shark.*
*-KAZI YA GLUZOJOINT:-*
-Kuongeza uteute kwenye maungio hasa magoti. hivyo huwafaa wote wenye shida hizo.
-Huondoa maumivu kwenye maungio. (URIC ACID)
*Dosage : Pamoja na chakula 1x2 pamoja na chakula.*
03/12/2023
X POWER COFFEE FOR MAN
X Power Coffee ni dawa maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.
Dawa hii hufanya kazi zifuatazo:-
✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
✅Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
✅Huondoa Uchovu
✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu
✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege
✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume
Ni Asili yenye viambata zaidi ya Vinne
🌷Haina Madhara yeyote Na inatibu moja kwa moja na Kuweka Kinga.Kwa Mawasiliano zaidi 0719608956
12/10/2021
Je Unachangamoto ya nguvu za kiume usikae
Kutoshiriki tendo la ndoa vizuri.
Unaishia bao moja tu na hurudii teena
Kukosa hisia kabisa wakati wa tendo la ndoa
Upungufu wa mbegu za kiume
Tafadhali karibu tukuhudumie huku kwetu ni siku 15,hadi 20 utakua ushatatua tatizo lako mnakaribishwa wote bf suma inajali Afya yako
My business insurance company and the kids will be there at the same time
22/09/2021
Usikae kimya ukiona tatizo la kukosa hedhi wasiliana na sisi 0713443631Au tembelea ofisi zetu mlimani city🙏🙏
22/09/2021
0713443631 location mlimani city
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mlimani City
Dar Es Salaam