RoseAfya Bore

RoseAfya Bore

Share

afya bora

19/03/2022

ZINGATIA HAYA KUIMALISHA MISULI YAKO YA UUME NA UWEZO KATIKA TENDO..
1.Punguza uzito mkubwa na kitambi.
Kitambi na uzito ni adui wa afya yako, si tu katika tendo la ndoa, kitambi ni chanzo cha magonjwa mengi.. wingi wa mafuta mingi mwilini huziba misuli yako ya uume..
2.Mazoezi ni muhimu kwa uume kulegea
Watu wengi wanashindwa kusimamisha uume na kwa sababu tu mwili haupati damu ya kutosha kwenda sehemu mbalimbali. mazoezi husaidia kusukuma damu kwenye njia za uzazi.
3. Punguza msongo wa mawazo
Matatizo ya kisaikologia k**a msongo wa mawazo huathiri uwezo wako wa kufanya ngono kwa uzuri na kukupelekea heshima ya ndoa kupungua, hivo hakikisha unabalansi kazi za kimaisha zisiathiri tendo la ndoa.
4..Punguza Vyakula Vya Ngano na Sukari
Epuka vinywaji vyote vyenye sukari nyingi,vya kusindika. Vyenye vionjo vya sukari, rangi na ladha katika afya yako kwani vyakula hivyo ni adui mkubwa sana wa afya yako. Hasa wakati unataka kurudisha nguvu za kiume.
5.Tumia virutubishi na Tiba asili zenye ubora
Hakikisha mwili wako unaupa madini ya msingi k**a zinc,chuma, selenium, manganese na vitamin nyingi. Madini haya ndiyo yanafanya mwili wako ufanye kazi katika kiwango stahiki kwani huwezesha viendesha shughuli za mwili yani enzymes kufanya kazi katika kiwango kizuri na kuimarisha mwili..

Piga simu +255784212364 au tuma ujumbe WhatsApp

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Buguruni
Dar Es Salaam
255