Afya Kwanza+255

Afya Kwanza+255

Share

Tunawasaidia watu kuboresha Afya ya Uzazi, Kupunguza Uzito na Kitambo, Kuboresha Mmeng'enyo wa Chakula na Afya ya Ngozi.

Tuma neno Afya kwenda namba +255 675 342 245.

05/04/2022

"MWANAUME KAMILI KUMBUKA KUTUMIA LISHE BORA KUIMARISHA MFUMO WAKO WA UZAZI"

Je ? Umekuwa ukiteseka kwa muda mrefu bila kupata suluhisho la tatizo lako kwa muda mrefu ?

KUMBUKA KUTOKUWA IMARA KWENYE MFUMO WA UZAZI SIYO UGONJWA BALI NI UPUNGUFU UNAOHITAJI VIRUTUBISHO NA SIYO DAWA.

Hii Package itakusaidia kuondokana na changamoto k**a;

~ Kuwahi kufika mapema kileleni muda mfupi tu baada ya kuanza tendo

~Kukosa hamu ya tendo la ndoa hasa ukiwa na mwenza wako

~Ukuwaji wa tezi dume

~Kutoa mbegu chache na ambazo hazina Afya

~Kusinyaa kwa nyeti yako na kuwa na umbile dogo

~Maumivu ya misuli ya nyeti yako baada ya kumaliza tendo

~Kushindwa kuludia tendo mara tu baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza

~Kuwahi mapema sana kufika kileleni na kuchoka sana

NB:HIZI SIYO DAWA NI VIRUTUBISHO UNAWEZA TUMIA HATA KWA KUJIIMARISHA TU.

Kwa ushauri na maelezo zaidi
Tuwasiliane 0675342245

10/02/2022

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

2)Kuhisi harufu mbaya, kichefuchefu mara tu baada ya Kimwaga mbegu za Kiume.

3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito.

4)Kuhisi maumivu kwenye korodani baada ya kumaliza tendo la ndoa.

5)Mwili kukinai na kuhisi ganzi mwili nzima.

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na K**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?

Jaribu kuangalia performance yako ya tendo kwa miaka mitatu iliyopita.Alafu lingalisha na performance yako ya sasa, utagundua tofauti kubwa.

Tuma Ujumbe neno AFYA kwenda wassap 0675342245 au piga simu usaidiwe haraka

24/09/2020

HABARI YAKO LEO AM SO EXCITED TO SHARE NA WEWE HII.

Je wajua
CHANGAMOTO ZA AFYA YA MZUNGUKO WA DAMU ZINACHANGIA ZAIDI YA NUSU YA VIFO VITOKANAVYO NA MAGONJWA YASIYO AMBUKIZWA?
KWASABABU ILI KUTUNZA AFYA YA MZUNGUKO WA DAMU NI MOJA YA NJIA KUU SANA KUKUKINGA NA HIZO CHANGAMOTO

LEO AM SO EXCITED KUKUPA TAARIFA HII MUHIMU KUHUSU ARGI PLUS NI MOJA YA BIDHAA BORA SANA KUTUNZA AFYA YAKO

ARGI PLUS HUSAIDIA MISHIPA YA DAMU KUTANUKA NA KUBORESHA MSUKUMO WA DAMU VIZURI MWILINI NA KWENYE MISHIPA MIDOGO NA MIKUBWA AMBAYO NI MUHIMU SANA KWENYE AFYA YA MWILI WOTE IN GENERAL.

FAIDA NYINGINE NI 👇👇
=>KUTUNZA AFYA YA MOYO NA MZUNGUKO WA DAMU
=>KUBORESHA UWIANO WA CHOLESTEROL MWILINI
=>KUSAIDIA KUWEKA SAWA UWIANO WA PRESHA YA DAMU
=>KUBORESHA UFANISI WA TENDO LA NDOA
=>KUBORESHA KINGA YA MWILI
=>KUJENGA NA KURECOVER MISULI HIVYO NI MUHIMU SANA KWA WAFANYA MAZOEZI
=>INABORESHA MIFUPA NA TISSUE ZOTE
=>UMETABOLI WA MAFUTA NA SUKARI MWILINI HIVYO INAWAFAA SANA HATA KWA WENYE KISUKARI
=>UZALISHAJI WA HORMONES ZA KUPUNGUZA KAZI YA KUZEEKA HII INAWAFAA SANA KWA WENYE DREAM ZA KUWA FOREVER YOUNG

KARIBU SANA UPATE YAKO 😍

11/09/2020

"HABARI NJEMA KWA ANAYETAKA KUPUNGUZA KITAMBI,UZITO NA KUSAFISHA MWILI"

UNAJUA NAMNA WATU WENGI WANATAMANI SANA KUPUNGUA ILA WANASHINDWA NINI WAFANYE .
KWAHIYO UNAKUTA MTU ANAFANYA MAZOEZI ANAJINYIMA KULA (DIET) ANAPUNGUA LAKINI BAADA YA MUDA TU HALI YAKE INARUDI VILEVILE .

NINA HABARI NJEMA SANA KWAKO TUNA PROGRAM YA KUPUNGUZA UZITO NDANI YA SIKU TISA TU UNAPATA MATOKEO CHANYA. HII PROGRAM INAITWA C9 MTU YOYOTE ANATUMIA MWANAUME KWA MWANAMKE INAKAZI NYINGI SANA KATIKA MWILI

-INAPUNGUZA UZITO NDANI YA SIKU 9
-INAONDOA TAKA MWILI
-INABURN MAFUTA
-INAKUPA TABIA NZURI YA KULA
-PIA INASAIDIA KWA WASIOPATA CHOO
-INAKUPA AFYA IMARA

KARIBU TUKUHUDUMIE
CALLS/WHATSAPP 0675342245

07/09/2020

"ITUNZE AFYA YA FAMILIA YAKO EPUKANA NA MATATIZO YA FLOURIDE"

-FLOURIDE ; NI MADINI HUPATIKANA KWA KAWAIDA KATIKA KATIKA UDONGO,HEWA NA MAJI.
SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO) LILIPENDEKEZA KIWANGO CHA FLOURIDE KATIKA MAJI YA KUNYWA KIWE 0.5-1 MILLIGRAMS/LITA.

KUTOKUONA NA MADHARA MAKUBWA YA FLOURIDE MATAIFA YALIYOENDELEA YANA MPANGO WA KUIONDOA KABISA KATIKA MATUMIZI YA MWANADAMU

DOCTOR DEAN BURK NI MGUNDUZI WA BIOTIN ALISEMA MADINI YA FLOURIDE YAMEWEKWA KWA KIASI KIKUBWA SANA KATIKA DAWA ZA MENO NDIYO MAANA WAMEANDIKA USIMEZE K**A UKIMEZA MUONE DAKTARI VILEVILE WATOTO WASIMAMIWE WAKIWA WANASWAKI KWANINI WAMESA HIVYO NI KUTOKANA NA ATHARI MBAYA SIFUATAZO

THYROID ; FLOURIDE HUSABABISHA WATU HUSHINDWA KUTENGENEZA THYROXINE HORMONE KWANI HUZUIA LODINE IJISHIKE KWENYE KEMIKALI INAYOTUMIKA KUTENGENEZA THYROXINE HORMONE. MWISHOWE TUNAISHIA KUPATA GOITRE NA MATATIZO MENGINE YATOKANAYO NA UPUNGUFU WA HORMONE HII MWILINI

CANCER ; FLOURIDE NI CHANZO KIKUBWA SANA CHA CANCER INAPO JIKUSANYA KWA MDA MREFU MATOKEO YAKE NI MABAYA SANA

MENO ; FLOURIDE HUSABABISHA MENO KUTOKUWA IMARA NA KUFANYA YASIWE MAGUMU HIVYO HUSHAMBULIWA NA BACTERIA KIRAHISI SANA PIA FIZI HUTOA DAMU

FIGO ; WENYE MATATIZO YA FIGO WANASHAURIWA KUTOKUTUMIA KABISA FLOURIDE INAMADHARA SANA KATIKA FIGO
(Flouride induced nephrotoxicity)

MIFUPA ; KIWANGO KIKUBWA CHA FLOURIDE KINADHOOFISHA MIFUPA NA HUPELEKEA WATU WENGI KUVUNJIKA KIRAHISI

UBONGO ; UTAFITI WA KINA WA KISAYANSI UNAONYESHA FLOURIDE HUPUNGUZA KWA KIASI KIKUBWA IQ(intelligence quotiet) KWA MTU MZIMA NA MTOTO

ZIPO NJIA ZA KUEPUKANA NA HILI JANGA ILI KUBORESHA AFYA YAKO PAMOJA NA UWAPENDAE MIMI NIMEANZA NA WEWE.
KWA USHAURI ZAIDI PIGA/SMS

WHATSAPP/CALLS 0675342245

03/09/2020

"IMARIKA KATIKA TENDO LA NDOA"

-UNAJUA NAMNA WANAUME WENGI WANASHINDWA KUMUDU TENDO LA NDOA KWA MUDA SAHIHI.
KWAHIYO UNAKUTA NDANI YA MDA MCHACHE TU HAMNA INAISHA NA KUSHINDWA KUWAPA FURAHA WENZA WAO NA HAPOHAPO INAPELEKEA MIGOGORO KATIKA MAHUSIANO,USALITI NA KUPELEKEA MAHUSIANO MENGI KUVUNJIKA.

TAFITI ZINAONESHA WANAUME KATI YA MIAKA 35 MPAKA 65 KWA KIASI KIKUBWA SANA WANASUMBULIWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. ZIPO SABABU NYINGI SANA ZINAZOPELEKEA WANAUME KUPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME

1-LISHE MBOVU;KULA VYAKULA VYA KIWANDANI VYENYE KEMIKALI NYINGI
2-PUNYETO;KITENDO CHA KUJICHUA KINAFANYA MISHIPA YA UUME KULEGEA
3-KUTOKUFANYA MAZOEZI
4-UZITO ULIOPITILIZA
5-UTUMIAJI WA POMBE NA SIGARA
6-KISUKARI N.K

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UNAATHARI NYINGI SANA KWA MFANO MTU MWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME INAPELEKEA KUKOSA UWEZO KUMPA MWANAMKE MIMBA, INAPELEKEA MWANAUME KUKOSA KUJIAMINI KILA ANAPOKUTANA NA MWENZA WAKE n.k

ZIPO NJIA ZA KUONDOKANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

KWA USHAURI ZAIDI
WHATSAPP/CALLS +255 675 342 245

Photos 16/08/2020

ALOVERA GEL 🔥🔥

NIKINYWAJI CHA ALOE VERA (Pure100%) KINA VIRUTUBISHO ZAIDI YA 75 VITAMIN 12,12AMINO ACID 18 MADINI 20 NA ENZYMES.
FAIDA ZAKE
1-INASAIDIA KUSAFISHA SUMU MWILINI
2-INASAIDIA KUONGEZA KINGA MWILINI(CD4)
3-KUWEKA SAWA KIWANGO CHA PRESHA NA SUKARI
4-KUBORESHA MFUMO WA CHAKULA
5-INASAIDIA KUONGEZA HAMU YA KULA
6-INASAIDIA WASIOPATA CHOO,CHOO KIGUMU,BAWASILI
7-INASAFISHA UTUMBO MPANA WA CHAKULA
8-INASAIDIA KUONDOA GESI NA VIMBE
9-INASAIDIA KWENYE VIDONDA VYA TUMBO N.K
KARIBU TUKUHUDUMIE
CALL/WHATSAPP +255 675 342 245

Photos 01/08/2020

Unajua namna watu wengi Sana wanapata matatizo ya ngozi bila kufahamu matatizo mengi ya ngozi yanaanza ndani mwili, Kwahiyo unakuta mtu anatumia gharama kubwa kununua vipodozi vyenye kemikali nyingi na matokeo yake ngozi inazidi kuharibika kuleta chunusi,madoa yasiyoisha,wekundu usoni, kuonekana Mzee nk. Karibu tukuhudumie
Wasiliana nasi Call/WhatsApp +255 675 342 245

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Tan House, Makumbusho
Dar Es Salaam