Good health
Afya Bora ndo kila kitu ,imarisha afya yako maana ndo uhai wako
UGONJWA WA BAWASILI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE
Bawasiri ni nini
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid nk
SABABU YA BAWASILI
Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa Vinyama sehemu ya haja kubwa
DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI
1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.kupata kinyesi chenye damu
5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI
1.Uzito kupita kiasi(Overweight)
Ujauzito
3.Kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali
4.Kukaa sana sehemu eneo moja mda mrefu
5.Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa( tendo la ndoa kinyume).
6.Kujisaidia Choo Kigumu.
Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya Tumbo
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
AINA 2 ZA BAWASIRI
BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.
2.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
Bawasiri ya dani ina hatua NNE ambazo ni:‡‡‡‡
HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.
HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia
HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurudi yenyewe baada ya muda
HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.
ATHARI ZA BAWASIRI
1.Upungufu wa damu mwilini
2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
4.kupungukiwa nguvu za kiume
5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
6.Kupata tatizo la kisaikolojia
Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
8.Mwili kudhoofika mwili na kinga kupungua
TIBA YA BAWASILI
Mara nyingi Tiba ilio zoeleka kwa hospital ni upasuaji. Ambapo unafanyiwa upasuaji baada ya muda mfupi tatizo linarudi palepale kwa sababu unakuta wanaondoa shina la tatizo lakini mzizi wa tatizo unabaki palepale .
Karibu niweze kukusaidia kuondokana na tatizo hili la bawasiri bila kufanyiwa upasuaji wowote ule na unapona kabisa.
SIKILIZA USHUHUDA WA MAMA AMBAE NILIMSAIDIA KUONDOKANA NA BAWASILI BILA UPASUAJI NA AMEPONA KABISA ππππππππππππ
Kwa maelezo ,ushauri na matibabu tuwasiliane kupitia namba ZIFUATAZO hapo chini
πππππππ
Call/ WhatsApp
0711348402
0692615893
Je wewe ni muajiriwa na ungependa kujenga Biashara mbali na ajira yako ya Sasa bila kuathiri muda wa kazi yako??
Je wewe ni mwanafunzi wa chuo ungependa kujenga biashara yako mbali na masomo yako bila kuathiri muda wako wa kujisomea???
Je wewe ni muhitimu wa chuo ungependa kujenga biashara yako kipindi unaposubiri kuajiriwa ???
Je wewe ni muhitimu wa kidato Cha sita ungependa kujenga biashara yako wakati unasubiri kuingia chuo ???
K**A JIBU NI NDIO , TUMA NENO "FURSA " KWENDA WHASP NUMBER 0692615893
Hii ni kwa watu waliopo Dares salaam tu
SULUHISHO LA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAUMIVU YA VIUNGO NA MIFUPA BILA KUFANYIWA UPASUAJI WOWOTE .
MAUMIVU YA VIUNGO NI K**A YAFUATAYO ππππππππ
1. Maumivu ya nyonga
2. Maumivu ya mgongo na kiuno
3. Mifupa kusagika
4. Kuishiwa uteute kwenye maungio K**a magoti ,mgongo , mikono ,n.k.
USHUHUDA WA DADA AGNES MTETE AMBAE ALIKUWA NA CHANGAMOTO YA MAUMIVU YA MGONGO PAMOJA NA NYONGA KWA MUDA MREFU HADI IKAPELEKEA KWENDA INDIA KUFANYIWA UPASUAJI LAKINI HAKUPATA NAFUU, LAKINI BAADA YA KUTUMIA PRODUCT ZETU ALIPATA NAFUU HADI LEO HII YUPO VIZURI KABISA NA ILE CHANGAMOTO YAKE IMEISHA KABISA . MSIKILIZE VIZURI KATIKA VIDEO HAPO CHINI JINSI GANI ALIVYOWEZA KUTIBU TATIZO LAKE πππUSISAHAU KUSHARE ,KULIKE ILI VIDEO HII IWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI
SULUHISHO LA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAUMIVU YA VIUNGO NA MIFUPA BILA KUFANYIWA UPASUAJI WOWOTE .
MAUMIVU YA VIUNGO NI K**A YAFUATAYO ππππππππ
1. Maumivu ya nyonga
2. Maumivu ya mgongo na kiuno
3. Mifupa kusagika
4. Kuishiwa uteute kwenye maungio K**a magoti ,mgongo , mikono ,n.k.
USHUHUDA WA DADA AGNES MTETE AMBAE ALIKUWA NA CHANGAMOTO YA MAUMIVU YA MGONGO PAMOJA NA NYONGA KWA MUDA MREFU HADI IKAPELEKEA KWENDA INDIA KUFANYIWA UPASUAJI LAKINI HAKUPATA NAFUU, LAKINI BAADA YA KUTUMIA PRODUCT ZETU ALIPATA NAFUU HADI LEO HII YUPO VIZURI KABISA NA ILE CHANGAMOTO YAKE IMEISHA KABISA . MSIKILIZE VIZURI KATIKA VIDEO HAPO CHINI JINSI GANI ALIVYOWEZA KUTIBU TATIZO LAKE ππππππππππππππππππππPIA USISAHAU KULIKE , KUSHARE NA WENGINE ILI NAO WAWEZE KUPATA UPDATES MBALIMBALI ZINAZOHUSU AFYA YA BINADAMU
KOMESHA YA UTI SUGU ,FANGASI UKENI ,MIWASHO NA HARUFU MBAYA UKENI PIA INAZIBUA MIRIJA YA UZAZI K**A IMEZIBA BILA UPASUAJI WOWOTE ULE KARIBUNI .
kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia namba zifuatazo ππππ
0711348402/0692615893
NAPATIKANA DARES SALAAM
LAKINI KWA MIKOANI NATUMA KWA NJIA YA BUS NA KWA UAMINIFU MKUBWA SANA
Tuwasaidie ndugu zetu ambao wanapata maumivu ya viungo mfano
1. Maumivu kwenye magoti
2. Maumivu kwenye mikono
3. Maumivu ya mgongo na kiuno
Bila upasuaji wowote ule kwa kutumia tiba asilia na iliyoboreshwa zaidi na KUTHIBITISHWA na MAMLAKA ya chakula na dawa hapa nchini .
KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANE KUPITIA NAMBA ZIFUATAZO ππππ
0711348402/0692615893
USISAHAU KULIKE ,KUSHARE ILI HII TAARIFA IWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI
KARIBU
Good health Afya Bora ndo kila kitu ,imarisha afya yako maana ndo uhai wako
KUISHI BILA BAWASIRI INAWEZEKANA
Bawasiri ni ugonjwa unaojitokeza ktk njia ya haja kubwa, k**a uvimbe au kinyama ambacho huonekana hadi nje.
CHANZO
1-Kupata choo kigum
2-kushiriki tendo la ndoa kinyume na maumbile.
3-kuharisha kwa muda moreau.
DALILI
1-maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa.
2-muwasho sehem ya tundu la haja kubwa
3-haja kubwa inaweza kutoka bila tariff.
MATIBABU
Hii bawasiri inaweza kusababisha upungufu wa Sam mwilini. Sasa ondoa bawasiri bila kufanyiwa upasuaji
Call/whasp 0711348402
Uelewa wa afya yako ni muhimu
PID Ni ugonjwa hatari Sana kwa mwanamke au msichana ,maana ukikaa na tatizo hili kwa muda mrefu huwa linapelekea changamoto ZIFUATAZO πππ
1. Mirija ya uzazi kuziba
2 . Kupata ugumba
3. Kutoweza kushika ujauzito kabisa
4 . Kupata kansa ya shingo ya kizazi . Kansa ya kizazi ndio inayouwa zaidi wanawake hapa duniani
5 . Maumivu makali chini tu ya kitovu wakati wa hedhi .
Hizo Ni baadhi tu ya madhara ya PID usipo hitibu haraka na kwa tiba sahihi
KWA MSAADA ZAIDI ,USHAURI NA MATIBABU TUWASILIANE KWA NAMBA ZIFUATAZO πππ
0711348402
0692615893
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
IlalaBoma Dares Salaam
Dar Es Salaam