Afya kwanza
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya kwanza, Health/Beauty, Dar es Salaam.
⚠️ KIHARUSI (STROKE) – USIPUUZE DALILI! ⚠️
Kiharusi
❗ DALILI KUU:
🔴 Uso kupinda ghafla
🔴 Mkono/mguu kukosa nguvu
🔴 Kushindwa kuongea vizuri
🔴 Kizunguzungu & maumivu makali ya kichwa
⏰ HARAKA = OKOA MAISHA!
✅ TIBA NA HUDUMA
✔️ Uchunguzi wa mapema
✔️ Ushauri wa kitaalamu
✔️ Dawa & ufuatiliaji wa afya
✔️ Virutubisho vya kusaidia mzunguko wa damu
📲 Wasiliana nasi leo kwa ushauri zaidi!
📞 0759 382 903
🏥 Huduma bora kwa afya yako – Usisubiri mpaka hali iwe mbaya!
14/02/2026
Hospitality is our priority, Welcome to our healthcare clinic and we will help you make your health stable. Start a new life with our food supplements.
INTERNATIONAL HEALTHCARE , CALL US 0759382903.
13/02/2026
Dalili za Vimbe
Dalili hutegemea sehemu ilipo, lakini mara nyingi ni:
Uvimbe au kifundo kisicho na maumivu au chenye maumivu
Maumivu yasiyoeleweka yanayodumu
Kupungua uzito bila sababu
Uchovu wa mara kwa mara
Kutokwa damu isiyo ya kawaida
Mabadiliko ya ngozi au rangi
Kikohozi cha muda mrefu (k**a ni kwenye mapafu)
Kuvimba tumbo au hedhi zisizo za kawaida (k**a ni kwenye kizazi)
❓ Chanzo cha Vimbe
Vimbe husababishwa na:
Mabadiliko ya vinasaba (genetic mutation)
Maambukizi ya baadhi ya virusi (k**a HPV)
Mtindo mbaya wa maisha (uvutaji sigara, pombe kupita kiasi)
Lishe isiyo bora
Mionzi au kemikali hatari
Historia ya familia
🌿 Kuhusu Broken Ganoderma
Broken Ganoderma (uyoga wa asili unaojulikana pia k**a Lingzhi) hutumika k**a kirutubisho cha asili kusaidia:
Kuimarisha kinga ya mwili
Kusafisha sumu mwilini
Kuboresha mzunguko wa damu
Kusaidia mwili kupambana na magonjwa sugu
🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿
TATIZO LA VIMBE?
🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿
❓ Je una uvimbe usioeleweka?
❓ Unahisi kifundo mwilini?
❓ Una maumivu ya muda mrefu?
❓ Unapungua uzito bila sababu?
⚠️ HIZI ZINAWEZA KUWA DALILI ZA VIMBE
━━━━━━━━━━━━━━━
🔎 DALILI ZA VIMBE
━━━━━━━━━━━━━━━
✔️ Uvimbe/kifundo mwilini
✔️ Maumivu yasiyoisha
✔️ Uchovu wa mara kwa mara
✔️ Kutokwa damu isiyo ya kawaida
✔️ Kuvimba tumbo
✔️ Mabadiliko ya ngozi
━━━━━━━━━━━━━━━
❗ CHANZO CHA VIMBE
━━━━━━━━━━━━━━━
🔹 Mabadiliko ya seli mwilini
🔹 Lishe isiyo bora
🔹 Kemikali na sumu mwilini
🔹 Uvutaji sigara na pombe
🔹 Maambukizi ya virusi
🔹 Historia ya kifamilia
━━━━━━━━━━━━━━━
🌿 SULUHISHO LA ASILI 🌿
━━━━━━━━━━━━━━━
Broken Ganoderma
✅ Huimarisha kinga ya mwili
✅ Husaidia kusafisha sumu mwilini
✅ Huboresha mzunguko wa damu
✅ Husaidia mwili kupambana na magonjwa sugu
Wasiliana na wataalamu na washauri wa tiba zetu kwaajili ya vipimo vya mfumo mzima wa mwili .
Nipigie simu kwa maelekezo 0759382903
13/02/2026
Magonjwa ya macho unapona kupitia virutubisho vyetu. Kwa tiba tuwasiliane.
Habari Ndungu wateja kwa wale ambao husumburiwa na matatizo ya uzazi tunapatikan Tanzania nzima huduma ya haraka na ushauri ni bure kabisa karibu sanaNJIA SALAMA YA KUTIBU UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE
Wanaume wengi wanashindwa kutungisha mimba na wanawake Kutoshika Mimba kutokana na changamoto mbalimbali. Swala la uzazi sio la upande mmoja tu wa mwanamke pia wanaume wengi hawana uwezo wa kutungisha mimba. ✍🏻✍🏻
Tumewasaidia wanaume na wanawake wengi sana kutibu tatizo la ugumba na wamepata watoto. Na wengi wao walikuwa na changamoto k**a hizi👇
✅Kuwa na mbegu chache
✅Kuwa na uvimbe kwenye kizazi au kwenye mayai
✅Mbegu kuwa na uwezo mdogo wa kuogelea.
✅ Mvurugiko wa homoni/ Homone imbalance
✅ Kutokurudia tendo la ndoa
✅ Mirija ya uzazi kuziba
✅ Upunguvu wa nguvu za kiume
✅Kukosa hamu ya tendo la ndoa
✅Dhakari kusimama kwa ulegevu.
✅ Kukosa hedhi/Period
✅ Saratani ya shingo ya kizazi
✅Kuhisi maumivu wakati wa tendo.
✅ Kukosa hisia
✅ Changamoto ya tezi dume.
#.Nanyingine nyingi
Haijalishi changamoto yako wewe imekutesa kwa mda gani,GCAT HEALTH CARE CLINIC Kutoka China ipo kwa ajili ya kutatua changamoto yako.
⚫Tunatoa huduma ya vipimo vya mfumo mzima wa Mwanaume na Mwanamke kwa Tshs 30,000/= tu .
NB: Usitumie dawa yoyote bila kupata vipimo na Ushauri wa daktar.✖️
Je ni wewe unahitaji huduma kwa ofa hii ya vipimo?
K**a ni wewe basi piga simu kwa namba 0768387892Kwa maelekezo zaidi , Tunapatikana dar es salaam Majumba sita na mkoani pia.
Wasiliana nasi kwa0759382903 namba maana ninao mda wa kuongea na wewe ,piga simu sasa 0759382903
09/02/2026
VIDONDA VYA TUMBO
⚠️ Usivipuuzie dalili zake
CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
• Bakteria tumboni (H. pylori)
• Kula vyakula vyenye pilipili kali na mafuta mengi
• Kunywa pombe au kahawa kupita kiasi
• Msongo wa mawazo (stress)
• Matumizi ya dawa za maumivu mara kwa mara
• Mfumo wa chakula kufanya kazi vibaya
DALILI KUU
❌ Maumivu ya tumbo yanayochoma
❌ Kiungulia na gesi nyingi
❌ Kichefuchefu au kutapika
❌ Tumbo kujaa gesi na kuuma
❌ Kukosa hamu ya kula
❌ Tumbo kuwaka moto hasa ukiwa na njaa
SULUHISHO LA ASILI 🌿
ISOMALTO
✔️ Inatibu mfumo mzima wa chakula
✔️ Husaidia vidonda vya tumbo
✔️ Husafisha na kurekebisha mmeng’enyo wa chakula
✔️ Hupunguza gesi, kiungulia na maumivu ya tumbo
✔️ Hurejesha afya ya utumbo
09/02/2026
Chrysanthemum herbal Tea ni chai yenye kusaidia kupungua uzito na kukuondolea mafuta ya kitambi. Ukitumia hii chai pia inasaidia kwenye kupumua vizuri usiku. Na pia kusaidia moyo kufanya kazi vizuri.
02/02/2026
🌿☕ REISHI COFFEE ☕🌿
Kinywaji cha Afya
FAIDA KUU:
✔ Huimarisha kinga ya mwili
✔ Hupunguza stress na uchovu
✔ Huboresha mzunguko wa damu
✔ Hulinda ini (liver)
✔ Husaidia usingizi mzuri
✔ Huongeza nguvu na uchangamfu
✔ Huchangia afya ya moyo
📌 Kinywaji cha asili chenye virutubisho muhimu kwa afya ya mwili mzima.
📞 Wasiliana nasi:
0759 382 903
🏥 GCAT / ETERNAL INTERNATIONAL HEALTHCARE
02/02/2026
CHANGAMOTO ZA UZAZI?
▪️ Hedhi sio za mpangilio
▪️ Uchafu mwingi
▪️ Hedhi ya mabonge-bonge
▪️ Maumivu makali
👉 GCAT INTERNATIONAL HEALTHCARE
Tunafanya vipimo vya mfumo wa mwili mzima kubaini chanzo halisi cha tatizo.
📞 Wasiliana nasi: 0759 382 903
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam