Paulina na Afya
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Paulina na Afya, Health/Beauty, Ilala, Dar es Salaam.
Tunawahudumia watu wenye changamoto mbalimbali za kiafya kwa kutumia tibalishe bora kabisa zinazowapatia virutubisho na hatimaye kuondoa magonjwa yanayowakabili.
07/02/2023
KIBOKO YA MATATIZO YA MIFUPA NA VIUNGO
INAYOSHUGHULIKA NA CHANZO
Watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na matatizo ya mifupa haswa Nyonga, Mgongo, na Magoti bila kupata suluhisho la kudumu
Wameishia kuchomwa sindano na kutumia dawa za kuchua ,na dawa za maumivu Ila tatizo linabaki palepale
Ukweli nikwamba huwezi kupona kwa kutumia njia hizo kwakuwa haziondoi chanzo Cha tatizo Hilo
Ili upone lazima utumie virutubisho maalumu kwa ajili ya kuondoa chanzo Cha matatizo ya mifupa K**a kukosa uteute gauti au uric acid
Wasiliana NASI tuweze KUKUSAIDIA kabla ya tarehe 24/10/2022 ili kuzipata tibalishe hizi kwa bei ya punguzo inayoendelea kwa sasa
0712 702628
12/07/2022
3 !
Homoni ni kemikali zenye nguvu ambazo huzalishwa na matezi. Kemikali hizi huamrisha viungo tofauti tofauti vya mwili vifanye kazi yake iliyokusudiwa.
Mfano wa kazi zinazofanywa na homoni ni:
a. Kumsaidia mwanaume awe na tabia za kiume k**a vile ndevu, besi, nguvu, misuli n.k
b. Humfanya mwanamke awe mwanamke mfano sauti nyororo, ngozi laini, nywele za kuvutia, kiuno dondora.
Kiwango cha homoni kinapozidi au kupungua huathiri mwili kwa hali ya juu sana.
DALII ZA UJUMLA ZINAZOPELEKEA KUVURUGIKA KWA HOMONI KWA WANAWAKE/ MWANAUME
1. Kuongezeka uzito kupindukia
2. Kuota nuru la mafuta k**a la ngombe katikati ya mabega
3. Kupungua uzito kwa haraka kusikokuwa kwa kawaida
4. Kuchoka bila sababu na misuli kuuma
5. Kupungua au kuongezeka kwa mapigo ya moyo
6. Maumivu na kuvimba kwa viungo
7. Kutopata choo
8. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
9. Kutoshika mimba na kutokumpatisha mimba mwanamke
10. USO kuvimba na kuwa wenye kunona
11. Kupata michirizi yenye rangi ya purple na pink
DALILI KUU NA MADHARA YA KUVURUGIKA KWA HOMONI KWA WANAWAKE
1. Kutoka hedhi nzito, kukosa hedhi, hedhi kuruka na kutoka hedhi mfululizo
2. Kuota nywele zisizo za kawaida kwenye kidevu, usoni na sehemu nyingine za mwili.
3. Kuota chunusi usoni, kifuani na mgongoni upande wa juu
4. Kupoteza nywele
5. Ngozi kuwa nyeusi hususani shingoni, chini ya mapaja
6. Kupata maotea kwenye ngozi (skin tags)
7. Uke kuwa mkavu
8. Kuvimba kwa uke
9. Kuvimba kwa kuta za uke
10. Maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa
11. Maumivu ya kiuno, mgongo na tumbo chini ya kitovu.
12. Kutokwa jasho jingi usiku
13. Maumivu ya kichwa Mara kwa Mara
14. Kutoshika mimba
NINI KINAWEZA KUSABBABISHA KUVURUGIKA KWA HOMONI KWA WANAWAKE??
Zipo njia nyingi zinazowapelekea wanawake kupatwa na tatizo la kuvurugika kwa homoni. Miongoni mwa njia hizo ni pamoja na zifuatazo:
1. Matumizi ya njia za uzazi k**a vile sindano na vidonge vya majira
2. Ujauzito
3. Kunyonyesha
4. Kukoma kwa hedhi
5. Stress au msongo wa mawazo
6. Ulaji mbovu
7. Matumizi ya tiba za Kansa k**a vile mionzi
8. Matumizi ya homoni za bandia
9. Kisukari
10. Goita
11. Mlo mbaya usio kamili
Mwanamke yeyote mwenyewe tatizo la hormone Imbalance anakabiliwa na madhara yafuatayo:
1. Kutoshika mimba
2. Mimba kuchoropoka Mara kwa Mara (mimba kutoka)
3. Siku za hedhi kuvurugika (Kutokuwa na mpangilio maalumu unaoeleweka)
4. Kukaribisha magonjwa katika mfumo wa uzazi
HABARI NJEMA KWA WANAWAKE WOTE.
Ikiwa umehangaishwa na tatizo hili kwa muda mrefu, leo ni siku ya pekee kwako kwani tatizo lako linaenda kufika mwisho. Zipo tibalishe bora kabisa ambazo zitakusaidia na kukuwezesha kuondokana na changamoto hii. Tibalishe hizi zitakuwezesha kufanya yafuatayo:
1. Kurekebisha homoni (kuweka homoni sawa)
2. Kuleta uzazi kwa mwanamke kwa kuondoa maambukizi ya bacteria wabaya mfano: U.T.I na PID
3. Kusaidia mayai ya mwanamke anayehitaji mtoto /uzazi.
.
Kuanzia Jumatano ya tarehe 13/7/2022 hadi Ijumaa ya tarehe 15/7/2022 unaweza kuzipata tibalishe hizi kwa bei ya punguzo la 20%. Hii yote ni kwa ajili ya kurejesha furaha maishani mwa mwanamke mmoja au wawili waliochoka kutokana na kuhangaishwa na tatizo hili. Tumia OFA hii kabambe urejeshe furaha yako leo.
Simu/ WhatsApp 0712702628 au 0767202628
12/07/2022
Karibu sana kwenye ukurasa wa Paulina na afya sehemu ambapo utapata elimu mbalimbali ya jinsi ya kujikinga na magonjwa yanayomkabili binadamu. Pia tunazo tibalishe bora kabisa ambazo zinamsaidia mtumiaji kurejesha virutubisho na hatimaye kuondokana na ugonjwa unaomkabili.
TUNA BIDHAA (TIBALISHE) ZINAZOTATUA CHANGAMOTO MBALIMBALI K**A VILE:-
1.🥊Vidonda vya tumbo Sugu.
2.🥊 Mifupa, viungo na mgongo
3.🥊 Bawasiri
4.🥊Tezi dume
5.🥊Blood pressure
6.🥊 Kisukari
7.🥊 Nguvu za kiume na mbegu
8.🥊Uzazi Kwa jinsia zote
9.🥊Mivimbe na matezi.
10.🥊 Kuongeza kinga ya mwili.
11.🥊Matatizo ya watoto
12.🥊Magonjwa ya Ngozi.
13.🥊Kutoa sumu mwilini.
15.🥊Kupunguza uzito na tumbo
16.🥊 U.TI sugu, Fangasi, miwasho na P.I.D
WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA +255 712 702 628 au +255 767 202 628
POPOTE ULIPO TUTAKUFIKISHIA HUDUMA. FURAHA YAKO, FURAHA YETU.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Ilala
Dar Es Salaam
2222