JALI AFYA YAKO 24/7
Tunawasaidia na kutoa Elimu lishe kwa watu kujua namna ya kulinda, kukinga na kupambana na magonjwa
07/08/2021
TIBA YA KISUKARI
*ASALI, BASILKUM, MUAROBAIN NA MANJANO*
Mchanganiyo huu wa asali basilikum, muarobain na manjano unamsaidia kuweka Sawa kiwango cha sukari mwilini mwako.
Mahitaji
-asali mbichi kijiko 1
-unga wa basil vijiko 3
-unga wa muarobain vijiko 3
-unga wa manjano vijiko 3
Maandalizi
๐๐พChanganya vizuri unga wa muarobain, basilikum na manjano.
๐๐พWeka Mchanganiyo huo kwenye mkebe na hifadhi vizuri sehem kavu na baridi/iliyopoa.
๐๐พChanganya kijiko kimoja cha mchanganyiko huu na kijiko kimoja cha asali, na kula kila siku asubuhi kabla hujala chochote.
๐๐พTumia tiba hii kwa mwezi mzima utaona matokeo mazuri
06/08/2021
TIBA YA KISUKARI
*ASALI TANGAWINZI NA CHAI YA LIMAO*๐ฏ๐
Asali, Tangawinzi pamoja na limao inavutia kilasiku asubuhi sio๐๐๐คท๐ฝโโ๏ธ
Mahitaji.
-Tangawinzi (inch 2)
Maji ya limao kijiko 1
-asali kijiko 1
-nusu kijiko cha majani ya chai
-Maji Vikombe 4.
Maandalizi
๐๐พChukua birika weka maji, Tangawinzi, na majani ya chai.
๐๐พChemsha mchanganyiko huu kwa dk 15-20
๐๐พToa birika kwenye moto Kisha ongeza maji ya limao na koroga vizuri.
๐๐พChuja vizuri na weka kwenye kikombe Kisha ongeza asali. Furaha chai hii kilasiku asubuhiunapo amka.
๐๐๐Personal SALES REPRESENTATIVES and DISTRIBUTORS for ONLINE Division, NEEDED URGENTLY IN Morogoro and Dar es salaam Tanzania BEFORE Saturday.
(We are not HAILING it's business Opportunity)
REQUIREMENTS
1.MUST BE ABOVE 19 YEARS AND ABOVE
2. MUST HAVE AN ID
3. FLUENCY IN ENGLISH AND KISWAHILI.
(We are not HAILING it's business Opportunity)
TO APPLY SEND YOUR NAME AND LOCATION TO WHATSAPP +255767352962 (SB JAMADA )
(We are not HAILING it's business Opportunity)
We are looking for 10 key players WHO ARE IN DAR ES SALAAM TANZANIA, forward thinking, Highly ambitious, serious minded, Dream driven, interested and qualified individuals, having access to opportunity that allows them to End salary for life and create a strong and stable multiple sources of income, they can be part of our team and can lead our expansion in Dar es salaam Tanzania from February 2021.
If you are interested kindly send the following information via WhatsApp +255767352962 .
1-full name,
2-current location.
4-commitment words like "am ready to be part of the team"
02/12/2020
*MUDA MZURI WA CHAKULA*
*Kifungua kinywa*
-muda mzuri ni saa 1-2 asubuhi.
-usinywe chai baada ya saa 4 asubuhi
-kumbuka chai hunywewa ndani ya dk 30 tangu umeamka.
*Chakula ya mchana*
-Muda mzuri ni saa 6:30-8:00 mchana
-usile baada ya saa 10 jioni
- kumbuka Kuna tofauti ya masaa Manne Kati ya chai na chakula ya mchana.
*Chakula ya usiku*
-mda mzuri ni saa 12-saa3 usiku.
-usile baada ya saa 4 usiku
-chakula ya usiku huliwa angalau masaa matatu kabla ya kulala.
Dr jamada
Je umewahi kuitumia WhatsApp na Facebook yako na ikakuingizia zaidi ya tsh 90,000 kwa siku moja au zaidi ya tsh 300,000 kwa siku.??๐คทโโ๏ธ
k**a hujawahi kufanya hivyo basi andika neno "EC5" kwenye WhatsApp number +255716352961 k**a wewe ni mkazi wa DAR ES SALAAM TANZANIA ili kupata maelekezo ya jinsi ya kuingiza kipato kupitia WhatsApp na Facebook kwa siku na uweze kubadili maisha yako.
๐ธONYO
NI KWA WALE WALIO TAYARI KUWEKEZA MUDA WAO KUJIFUNZA NA KUFANYA
+255767352962 Sim za kawaida
08/09/2020
UMUHIMU WA MBEGU ZA MABOGA
a) Huimarisha afya ya Moyo hii ni kutokana na uwepo wa Magnesium, Zinc na mafuta mazuri ambayo huimarisha kuta za misuli ya moyo na kuupa afya, na pia hususha kiwango cha cholesterol.
b) Zinc na madini ya chuma huweza kuimarisha s***m count kwa wanaume ambao wanatatizo hilo, na pia huweza kutumika k**a kinga ya tatizo tajwa, huzuia uharibifu wa mbegu za kiume kutokana na magonjwa ama aina fulani ya matibabu.
c) Uwepo wa Antioxidant, huweza kuzuia magonjwa mbalimbali hii ikiwamo Cancer na magonjwa yanayoletwa na muwako wa ndani ya mwili (inflamation)
d) Magnesium huweza kuimarisha afya ya Tezi dume (prostate health) pamoja na afya ya kibofu cha mkojo (bladder), inashauriwa sawa kwa wanaume ambao ni active sexually
e) kiwango kikubwa cha nyuzi nyuzi (fibres) huweza kusaidia katika kuimarisha mmengโenyo wa chakula na matitizo ya kukosa choo (constipation), pia husaidia kupunguza hamu ya kula kwa wanaohitaji kupunguza uzito.
Jali Afya yako 24/7
07/09/2020
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.
Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwaga mbegu za uzazi, Kutokumwaga kabisa, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa
CHANZO CHA TATIZO NI NINI?
Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
Kuvuta sigara na unywaji wa pombe
Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
Kisukari
Kuwa na mawazo na wasiwasi
Matumizi ya madawa mbalimbali
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana k**a;
Kuwahi kufika kileleni
Kukosa hamu ya mapenzi
Kushindwa kurudia tendo la ndoa
Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
Tuna dawa ya kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na ukubwa wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki mbili huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa utumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendekea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.
MAWASILIANO
+255767352962
05/09/2020
JINSI NILIVO MUWEZEA
Shemeji yako kamwaga zaidi ya mara tatu mie baomoja tu, Asante saana zamani ilikuwa dakika mbili nyingi. ๐๐พ๐๐พ
Kila baada ya kumaliza, nilipatwa na hasira kwa kuwa nilipoitaji zaidi sikuwa na uwezo wa kuendelea.
Msongo mkubwa wa stress uliniandama hasa zikinijia fikra za kuachwa kwani ni ukweli usio na shaka kabisa kuwa nilikua simtoshelezi.
Mwanzo alinivumilia lakini ilifika kipindi saikolojia yake iliharibika na tendo halali kabisa likawa kero kubwa kwake kwani ilifikia hatua hata nikimuhitaji hataki nimsogelee kwakua alijua sitofanya chochote zaidi ya kumchafua tu.
Niliumia zaidi pale alipoanza kuniita "Mr five seconds"
Natambua kuniita hivo alikua hafanyi utani bali alikuwa akifikisha ujumbe kuwa alidhiki.
Basi hadi ugwadu wote unakata akiniambia hivo.
Kiukweli niliteseka sana.
Kazi zikawa hazifanyiki.
Mchezo wa kupiga puli wakati nipo shule ndio uliosababisha yote haya.
Sikujua kufanya mchezo ule nilikua najiandalia madhara makubwa baadae.
Tatizo langu kubwa lilikua ni kumaliza kabla safari haijafika mwisho. Ila pia uume wang ulikuwa mdogo k**a mtoto.
Nikiupanda tu mnazi dakika tano nyingi, Chali.
Hali ilizidi kuwa mbaya baada ya kufika hatua ya kushindwa kusafiri hata kwa dakika mbili tu.
Nikaanza kuona dalili zote za Jiko langu kunikacha.
Muda wa kulala ukifika, anachukua rimoti, "ananiambia tangulia kuna tamthilia naifuatilia"
Sikua na jinsi, nilianza kujaribu kila kitu nitachosikia kinasaidia kutibu tatizo hili.
Nakumbuka siku moja niliharisha sana baada ya kutumia vi**ra (vidonge vya kuongeza nguvu za kiume) vyenye kemikali kutoka duka moja la mpemba na mwisho wa yote tatizo liliendelea kubaki pale pale.
Kwa kujaribu jaribu nilijikuta natumia pesa nyingi bila mafanikio.
Siku moja wakati naperuzi mitandaoni nikapata kusoma makala moja toka baada ya kusoma nikapata kufahamu kitu ambacho kimepata kurudisha heshima ya nyumba yangu.
Sasa hivi baada ya kumaliza aliniangalia kwa tabasamu nami kwa kujiamini humuuliza, "vipi tuendelee?" Furaha imerejea, siku hizi eti huniita, "TAMU YAKE"
Tatizo kubwa tunalopata wengi tuliopitia mchezo wa kujichua ni kulegea kwa misuli ya mtaimbo,, kuwahi kufika kileleni mapema na kushindwa kurudia tendo,,kukosa hisia za tendo la ndoa,, jambo ambalo husababisha kuwahi kumaliza gemu mapema wakati mwenzio ndio kwanza amepata moto
Katika makala ile nilipata kujua mbinu zote za kurejesha utimamu wa mtaimbo.
Nashukuru amani imerejea katika ndoa yangu,, askari wangu nilomkatia tamaa kuwa amedumaa kutokana na punyeto amekuwa imara na amekuwa mkubwa barabara,, uwingi wa manii umeongezeka,, yaani nipo FIT!!!!!
Ila pia wenye tatizo la ngiri ,,chango,, magonjwa yote ya afya ya uzazi tiba zipo.
โ๐ปNikaona nishare ujumbe huu kwa wahanga k**a nilivyokuwa mimi watakusaidia hakika !!!
Piga/sms 0767352962
Whatsp 0767352962
Watakusaidia inshallah Mungu atafanya wepesi,, hakika !!!!
Kujifunza Bure na tiba bonyeza hii
Link!๐๐พ๐๐พ
https://m.me/102153991404640?ref=MSULI
โ ๏ธTunafanya delivery popote ulipo unalipia nauli tu. Huduma 24 hrs.
28/08/2020
Uchaguzi ni wako kula Chakula k**a Dawa, au Kula Dawa k**a chakula. ๐๐๐ ๐ฅ๐ฅ๐ฝ๐ฅ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
25/08/2020
Zipo Aina kuu Tatu za Matunda na mboga mboga, hakikisha unapata zote kila siku.
๐Carotenoid- ni Aina ya matunda na mboga yenye rangi kuu, njano, nyekundu, kijani, rangi ya caroti NK. ๐๐
๐๐๐ฅ๐ฅ
Matunda haya huongeza Kinga ya mwili na kupambana na Kansa nyemelezi.
๐Flavournoid- haya huwa na rangi ilio kolea saana k**a Maroo, Dar blue, Zambarau n.k๐๐ hupambana na Kansa inayo kua kwa haraka na kuweka mwili salama kutoka a na magonjwa nyemelezi.
๐Curusferous- haya kua na rangi mpauko (nyeupe, light green n.k)๐๐ฐ๐ฅAina hii ya matungmda na mboga mboga ukii kata katikati juu mapaja chini huleta pande mbili zinazo fanana. Mf kitunguu, kabeji n.k.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mikocheni
Dar Es Salaam
0000
Opening Hours
| Monday | 06:00 - 19:00 |
| Tuesday | 06:00 - 19:00 |
| Wednesday | 04:00 - 19:00 |
| Thursday | 06:00 - 19:00 |
| Friday | 06:00 - 19:00 |
| Saturday | 06:00 - 19:00 |