Maisha NI AFYA BORA
Tunaboresha afya kwa virutubisho. Wengi wameponywa na kurejesha furaha yao iliyopotea. Ni zamu yako
01/10/2022
.
UYOGA WA GANODERMA k**a uonekanavyo kwenye picha ni wa muhimu Sana kwa afya kutokana na faida zake nyingi mwilini...leo tutazisoma chache tu ambazo zitakusaidia kufahamu ni kwanini utumie uyoga mwekundu k**a sehemu mojawapo ya lishe yako ya kila siku...
______________________________________
______________________________________
ππππππππππππππ
FAIDA ZAKE KATIKA MWILI WAKO
π Inasaidia kuongeza Kinga ya mwili kwa mtu yeyote na inawafaa Sana wenye upungufu wa CD4 k**a wagonjwa wa Ukimwi na wengineo wenye tatizo la upungufu wa Kinga.
π Inasaidia kusafisha damu na kuzuia damu kuganda hivyo kusaidia damu iwe kwenye mzunguko mzuri.
π Inasaidia kuondoa uchovu na maumivu ya viungo na kichwa ya mara kwa mara.
π Inasaidia kuimarisha afya ya mtu ambaye tayari ameumwa au anaumwa Sana na Hali yake ni mbaya...anapotumia Uyoga huu Inasaidia kurudisha afya yake mapema.
π Inasaidia kusafirisha hewa ya oxygen ya kutosha mwilini hivyo kupelekea oxygen ifike Kila mahali katika mwili vizuri.
π Inasaidia kuimarisha afya ya mfumo wa upumuaji kutokana na uwezo wake wa kusaidia mapafu kufanya kazi yake vizuri.
π Inasaidia sana kusafisha ini pamoja na figo hivyo huzuia na kuondoa mawe kwenye figo pamoja na kulifanya ini kuwa jipya na kulisaidia lifanye kazi vizuri.
π Inasaidia kuondoa kabisa tatizo la kukosa Usingizi kea wale wanaosumbuliwa na Insomnia kwa muda mrefu.
π Inasaidia kuondoa tatizo la vidonda vya tumbo hata liwe ni la muda mrefu.
π Inasaidia sana kuimarisha afya ya mgonjwa wa cancer ambaye tayari ameishaanza kutumia mionzi kwa ajili ya tiba na amepata athari zake k**a kuchoka kwa ngozi, kupungua Kinga au nywele kutoka n.k....
π Inzuia na inaondoa vimbe aina zote katika mwili bila upasuaji.
ππππππππππππππ
Baada ya kufahamu hayo Sasa unaweza kutumia Uyoga huu ambao kampuni yetu kupitia maabara bora ya kisasa imeweza kuweka katika vidonge na utavipata popote pale ulipo. Usisahau kulike, kukoment na kushare ili elimu hii iwafikie watu wengi zaidi.
Tupigie 0752805036. Au 0658050366
01/10/2022
KAZI ZA FIGO NA UMUHIMU WAKE
0752805036
# #
#
1. Kuondoa uchafu.
Kusafisha damu kwa kutoa uchafu ni kazi muhimu sana ya figo. Vyakula tunavyokula huwa na protini. Protini ni muhimu kwa kukua na kurekebisha mwili. Lakini jinsi protini invyotumika na mwili hutoa uchafu. Mkusanyiko wa uchafu huu ni k**a sumu kwenye mwili. Figo huchuja damu na uchafu hatari (wa sumu) na hutolewa kwa njia ya mkojo.
2. Kutoa maji(fluid) mengi
Kazi ya pili muhimu ya figo ni kulinganisha fluid kwa kutoa maji zaidi k**a mkojo na kubakiza kiwango muhimu cha maji katika mwili. Kwa hivyo figo huweka kiwango kamili cha maji yanayohitajika katika mwili.
Figo zinaposhindwa, hushindwa kutoa maji zaidi k**a mkojo. Maji mengi mwilini huchangia kuvimba kwa mwili.
3. Kusawazisha madini na kemikali
Figo hufanya kazi ya kusawazisha madini na kemikali k**a sodium, potassium, hydrogen, calcium, phosphorus, magnesium na bicarbonate na husawazisha kiwango kamili. Kubadilika kwa kiwango cha potassium huweza kuwa na madhara makubwa kwa mapigo ya moyo na kufanya kazi kwa mishipa. Kuweka kiwango sawa cha calcium na phosphorus ni muhimu kwa afya ya mifupa na meno.
4. Kuchunga Shinikizo la damu
Figo hutoa hormoni mbalimbali (rennin, angiotensin, aldosterone , prostaglandin β¦.nk) na kusawazisha maji na chumvi kwenye mwili ambayo hufanya kazi muhimu kwa kulinda msukumo wa moyo. Usumbufu wa kutoa hormoni na kusawazisha chumvi na maji kwa mgonjwa mwenye ugonjwa wa figo huongeza msukumo wa damu kwenye moyo ( shinikizo la damu / high blood pressure).
5. Uzalishaji wa chembechembe za damu nyekundu
Erythropoietin inayotolewa kwenye figo hufanya kazi muhimu katika kutoa chembechembe za damu nyekundu (RBC).Figo likishindwa husababisha figo hilo kutoa erythropoietin kidogo ambayo baadaye husababisha kupungua kwa RBC na matokeo yake huwa hemoglobin kidogo (anemia).
Kwa sababu ya kutoa erythropoietin kidogo kwa wagonjwa ambao wana shida ya kushindwa kwa figo, hemoglobin haiwezi kuongezeka hata k**a itaongezewa kwa madini ya chuma na vitamin.
6. Kuendeleza mifupa yenye afya
Figo hubadilisha vitamin D katika hali yake ya kutumika, ambayo n muhimu kwa kunyonya calcium kutoka kwenye chakula, kukua kwa mifupa na meno na kuweka mifupa yenye afya. Katika hali ya figo kushindwa kufanya kazi,na kwa sababu ya upungufu wa vitamin D kunafanya kukua kwa mifupa kunapunguzwa na kuwa hafifu. Kushindwa kukua inaweza kuwa ishara ya kwanza kwa watoto walio na shida ya kushindwa kwa figo.
Usikubali mpaka FIGO zako zishindwe kufanya kazi ndipo uanze kutaabika. Tumewasaidia watu wengi kuondokana na changamoto hizi. Usisahau kulike, kukoment na kushare ili elimu hii iwafikie watu wengi zaidi.
Kwa elimu au kujipatia tiba hizi wasiliana nasi kupitia 0752805036 au 0658050366 sasa
01/10/2022
MOYO MPANA
Dalili Zinazoashiria Moyo Umetanuka
1. Kukosa Pumzi
2. Mapigo Ya Moyo Kwenda Kasi Sana
3. Kusikia Mlio Wa Moyo Ukidunda
4. Kuhisi Uchovu Kupitiliza
5. Kuvimba Baadhi Ya Maeneo Ya Mwili Kutokana na Kujaa Maji (Edema).
Tatizo la moyo kutanuka linatibika ikiwa utakuwa tayari kutumia virutubisho maalum. Virutubisho hivi vimewasaidia wengi na wameondokana na matatizo yao.
Kwa maelezo zaidi, ushauri au kupata tiba tupigie 0752805036 au 0658050366
Usisahau kulike, kucoment na kushare ili elimu hii iwafikie watu wengi zaidi.
01/10/2022
???
FUATANA NAMI KTK MAKALA HII:
0752805036 au 0658050366
π
Ugonjwa wa moyo unajumuisha matatizo ambayo yanaathiri muundo na kazi za moyo. Ugonjwa wa moyo mara nyingi huhusishwa na kujibana au kukazika kwa mishipa ya damu, au mkusanyiko wa taka katika kuta za mishipa ya damu ambako hupelekea kupungua kipenyo cha mishipa ya damu na hivyo kuzuia mzunguko ulio huru wa damu, na hatimaye kukupa hatari ya kupata shambulio la moyo na stroke.
Ugonjwa wa moyo unahushisha matatizo k**a matatizo ya mishipa ya moyo, matatizo ya kurithi ya moyo, mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida, moyo kufeli kufanya kazi, matatizo ya valve za moyo, moyo mpana au mkubwa na matatizo mengine mengi katika moyo.
Chanzo na dalili za ugonjwa wa moyo hutofautiana mtu mmoja hadi mwingine kutegemea na ania ya ugonjwa wa moyo. Baadhi ya dalili za kawaida ni pamoja na pumzi fupi, maumivu ya kifua, mapigo ya chini ya moyo, kichwa kizito, uchovu na udhaifu wa mwili kwa ujumla.
Vitu vingine vinavyo weza kuongeza kupatwa na ugonjwa wa moyo ni pamoja na :
1) Shinikizo la juu la damu
2) Kolesto
3) Kisukari
4) Uzito kupita kiasi
5) Uvutaji sigara
6) Unywaji pombe kupita kiasi
7) Matumizi yaliyozidi ya kaffeina
8) Utumiaji wa madawa ya kulevya
9) Uzee
10) Kurithi
11) Mfadhaiko wa akili
Maisha NI AFYA BORA tumewasaidia wengi kuepukana na maradhi haya kupitia tibalishe zetu. Karibu leo tukuhudumie.
Usisahau kulike, kukoment na kushare ili elimu hii iwafikie watu wengi zaidi.
!!
katika kusherehekea sikukuu ya Maulid iliyoko mbele yetu tumeweka Ofa kabambe sana kwenye tiba zetu zote. Ofa hii inaanzia Jumatatu ya tarehe 3/10/2022 hadi Ijumaa ya tarehe 7/10/2022. Karibu urejeshe furaha yako au ya ndugu yako msimu huu wa sikukuu ya Maulid.
Kwa msaada zaidi, elimu au kupata tiba hizi tupigie au WhatsApp
0752805036 au 0658050366
01/10/2022
!!
.
Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine kwenye njia ya haja kubwa na kusababisha kutoka kinyama au uvimbe. Tatizo hii huathiri watu wote ila zaidi huathiri watu wazima kuliko watoto, na inakadiriwa kuwa asilimia 50 ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30 mpaka 40.
AINA ZA BAWASIRI
Kuna aina mbili za bawasiri ambazo ni Bawasiri ya ndani na bawasiri ya nje.
1. BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa wana tatizo hili.
2. BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu na husababisha mishipa ya damu kupasuka na damu kuganda.
CHA TATIZO LA BAWASIRI
Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha ugonjwa wa bawasiri ambavyo ni :
1. Kupata choo kigumu
2. Kukaa kitako muda mrefu
3. Gesi kujaa tumboni
4. Magonjwa ya moyo na figo
5. Uzito kupita kiasi
6. Kufanya mapenzi kinyume na maumbile
7. Matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu
1. Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
2. Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
3. Kutoka uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
4. Kujitokeza kinyama katika eneo la tundu la haja kubwa
5. Choo kigumu k**a cha mbuzi
6. Kutopata choo kwa muda mrefu
7. Kutoka damu wakati wa kupata haja kubwa
MATATIZO YATOKANAYO NA BAWASIRI
1. Kupata upungufu wa damu
2. Kupata tatizo la kutoweza kuhimili choo
3. Kupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa
4. Kuathirika kisaikolojia
5. Kukosa morari ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali
Zipo njia 2 ambazo zitakusaidia kuondoa tatizo la bawasiri pasipo upasuaji ndani ya siku 30 tu kwa kutumia tibalishe pekee. Njia hizi ni :-
1. Kurekebisha mfumo wa chakula na kuondoa choo kigumu
2. Inaondoa uvimbe wa bawasiri pasipo upasuaji
!
Katika kuadhimisha sikukuu ya maulidi tunalo punguzo kabambe la bei kwa bidhaa zetu zote. Punguzo hilo linaanza kuanzia Jumatatu ya tarehe 3/10/2022 hadi Ijumaa ya tarehe 7/10/2022. Karibu unufaike na offer hii na urejeshe furaha yako iliyopotea.
Call/Whatsapp/sms
0658050366
0752805036
??
Hili ni tatizo linaloathiri viungo linalotokanana umri. Tatizo hili huathiri viungo na baadae huathiri mfupa/mifupa.
π Hutokea baada ya gegedu (cartilage) kulika kwenye viungo pia uteute kuisha.
π Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za ute wa mgongo, nyonga, magoti n. k
1. Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (Mfupa na mfupa)
2. Katikati ya viungo kuna gegedu (cartilage), hii ni plastiki ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo.
3. Pia kwenye viungo kuna uteute unaoitwa synovial fluid
4. hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo.
1. Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucoseamine
π Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda
π Inasemekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu (cartilage)
Sababu zinazoongeza kasi ya kutokea kwa osteoarthritis
1. Uzito uliopindukia
2. Historia ya familia
3. Ajali
4. Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, wana mazoezi n. k
Yafuatayo ni yanayowafanya watu wengi waendelee kusumbuliwa na matatizo ya mifupa na maungio:
1. Watu wengi wanatumia dawa za maumivu
πDawa za maumivu hupooza/hutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza uteute wala gegedu (cartilage)
2. Watu wengi wanafanyishwa mazoezi
π Mazoezi pia huwa yanawasaidia watubkwa muda mfupi sana na baadae shida inajirudia pale pale.
ππ Kwa hiyo watu wengi ambao wana shida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana.
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1.
π Maumivu kwenye magoti
π Magoti kushindwa kujikunja
πKushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
πKusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti
2. /uti wa mgongo
π₯ Maumivu kwenye magoti
π₯Kushindwa kuinama
π₯Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
π₯Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni
3. (SHOULDER JOINT)
π
kshindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega.
πππ Ikiwa unasumbuliwa na tatizo hilo basi habari njema ni kuwa suluhisho lipo. Tunavyo virutubisho ambavyo vitakusaidia kuondoa tatizo hilo kwa haraka. Virutubisho hivi vinafanya kazi zifuatazo pasipo hata mgonjwa kuhitaji kufanyiwa upasuaji ambao ni gharama kubwa sana.
π Vinatengeneza gegedu, kurejesha ute ute (maana imetengenezwa kwa glucoseamine na chondroitin ambavyo ni virutubisho vinavyosaidia kurejesha gegedu na kurejesha uteute)
πKuimarisha mifupa na kutibu majeraha ya ndani.
Usikubali kuendelea kuteseka wakati suluhisho la uhakika lipo.
πVinawezesha mzunguko wa damu na kuondoa hali ya ganzi na viongo kuwaka moto.
!
Katika kusherekea sikukuu ya MAULID iliyoko mbele yetu tunayo ofa kabambe kwa bidhaa zetu zote. Ofa hii inaanza Jumatatu ya tarehe 3/10/2022 hadi Ijumaa ya tarehe 7/3/2022. Njoo tukuhudumie msimu huu wa sikukuu.
Kwa ushauri zaidi na tiba juu ya tatizo hili usisite kuwasiliana nasi kupitia:
0658050366 au 0752805036
01/10/2022
KARIBU SANA KWENYE UKURASA HUU WA maisha ni afya bora. TUNA BIDHAA BORA ZINAZOTATUA CHANGAMOTO MBALIMBALI K**A VILE:-
1.π₯Vidonda vya tumbo Sugu.
2.π₯ Mifupa, viungo na mgongo
3.π₯ Bawasiri
4.π₯Tezi dume
5.π₯Blood pressure
6.π₯ Kisukari
7.π₯ Nguvu za kiume na mbegu
8.π₯Uzazi Kwa jinsia zote
9.π₯Mivimbe na matezi.
10.π₯ Kuongeza kinga ya mwili.
11.π₯Matatizo ya watoto
12.π₯Magonjwa ya Ngozi.
13.π₯Kutoa sumu mwilini.
15.π₯Kupunguza uzito na tumbo
16.π₯ U.TI sugu, Fangasi, miwasho na P.I.D
Maisha NI AFYA BORA tumewasaidia na tunaendelea kuwasaidia watu wengi kuondokana na maradhi yanayowakumba kupitia tibalishe zetu. Huenda leo ikawa zamu yako.
KARIBU.
0752 805036 AU 0658 050366
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
2222