ForYou_Online store
Cosmetics store and more
18/04/2023
Brown Orchid perfumes 🏁
🍂Hizi perfume ni nzuri mno na zinakaa muda mrefu kwenye nguo 💯
Perfume ni kubwa ujazo wake ni mls 100
Unapata na body spray yake
Bei ni shs 30,000 tu
Call/Whatsapp #0623710735
21/06/2021
Original Mousuf perfume 🔥🔥
Perfume pendwa 😍😍
Bei yake shs 28,000/= tu
Jumla kuanzia 3 shs 23,000/=
👉 kwa wateja wa dar Unaletewa mpaka ulipo buree ☺️
21/06/2021
Ginseng Conditioner & Shampoo
Vyote shs 12,000/=
👉 Unaletewa bure mpka ulipo dsm
&Conditioner
16/03/2021
☀️☀️Iman Whitening Shower Gel ☀️☀️
Hii Ni whitening shower gel imetengenezwa kwa vitamin na natural oils (Vitamin A and E, rose and carrots oil) ambazo zinasaidia zinasaidia.
👇👇👇👇
💥Kufifisha makovu yanayotokana na chunusi.. michirizi..
💥Kuifanya ngozi yako kuwa nyororo na yenye unyevu na ya kuvutia 🤗🤗
💥Kupambana na chunusi na dalili za uzee
▶️ Bei ... TZS 20,000 rejareja
▶️. Bei ya Jumla @ TZS 15,000 kuanzia piece 3
☀️☀️ Body Spray ☀️☀️
Zina Harufu nzuri ..isiyokera
Aina zilizopo 👇👇👇
Inspire ✅Intimate Desire ✅ Excellency ✅ Weekend Vibe 👍✅ Legend. 👊✅ Fresh 🌼🌼
▶️ Bei ya rejareja TZS 7,000
▶️ Bei ya jumla TZS 30,000 (nusu dozen, piece 6) na TZS 48,000 (dozen, piece 12)
☀️☀️ Rice Milk Soap Original ☀️☀️
Inasaidia kupunguza Mafuta usoni... Kufifisha Makovu yanayotokana na chunusi usoni... Kuifanya ngozi yako kuwa yenye unyevu, nyororo na ang'avu.
▶️ Bei.. TZS 15,000 Sabuni 4
▶️ Bei ya Jumla Ni TZS 30,000 dozen (piece 12)
04/02/2021
💥TCM scars and acne mark removal gel 💥
▶️Inaondoa makovu ya oparation 🌼 Makaovu ya ajali🌼 Makovu ya kuungua n🌼Makovu ya chunusi za usoni na mgongoni
▶️Bei yake ni TZS 25,000
▶️Kuweka order tupigie/WhatsApp number 0623710735
▶️Delivery ni free kwa wateja wa DSM
▶️Mikoa mingine tunatuma kwa uaminifu kabisa..
KARIBU🤗
24/01/2021
💝 Aloe Vera smoothing gel 💝
- Gel kutoka katika mmea wa aloevera inasaidia kuondoa mikunjo usoni, weusi unaotakana na kuungua na jua matumizi yake unapaka usoni
▶️ Inatumika kwa wanawake na wanaume
▶️ Wasiliana nasi kwa namba 📞/ WhatsApp 0623710735
▶️ Tunafanya delivery kwa wateja wetu wa Dar es Salaam na Mbeya mjini.
▪️Mikoa mingine tunatuma kwa uaminifu kabisa. Karibuni 🤗
24/01/2021
💝Dear Body💝 Fragrance Mist Available
Flavour zilipo ⚡vanila 🤩 ⚡ strawberry🤩 harufu yake inakaa muda mrefu mwilini 🤗
▶️ Bei yake ni shs 10,000/=
▶️ Karibu boss wetu ili
▶️ Tupigie 📞/WhatsApp 0623710735
▶️ Tunafanya delivery kwa Dar es Salaam na
▪️Mikoa mingine tunatuma kwa uaminifu kabisa. Karibuni 🤗
24/01/2021
💝Shower Gel💝
Dettol Shower Cream ni shower gel nzuri mno
▶️Ni kubwa inafaa kwa familia 👨👩👦👦 ...ujazo wake ni ml 1200
▶️Bei yake ni shs 15,000
▶️ weka order yako kwa 📞/WhatsApp 0623710735
▶️ Tunafanya delivery kwa Dar es Salaam
▪️Mikoa mingine tunatuma kwa uaminifu kabisa. Karibu 🤗
🚿
24/01/2021
💝 Shower Gel 💝
Dove Shower Gel zenye harufu nzuri 🧡🤗 ⚡ coconut 🥥 ⚡ almond milk⚡orange 🍊pear 🍐 ⚡aloevera⚡banana ⚡ pomegranate⚡ verbena..
▶️ Inafaa kwa familia 👨👩👦👦 ...bei yake ni shs 12,000 tu.
▶️ weka order yako kwa 📞/WhatsApp 0623710735
▶️ Tunafanya delivery kwa Dar es Salaam
▪️Mikoa mingine tunatuma kwa uaminifu kabisa. Karibu 🤗
🚿
🔥Palmers Daily skin therapy🔥
▶️ Palmer's Cocoa Butter Formula (200g) inapatikana kwa bei ya TZS 20,000/=
▶️ Yanafaa kwa wanawake na wanaume 👌
❌Hayachubui ngozi❌
▶️ Wasiliana nasi kwa namba 📞/ WhatsApp 0623710735
▶️ Tunafanya delivery kwa wateja wetu wa Dar na mbeya mjini
▪️Mikoa mingine tunatuma kwa uaminifu kabisa. Karibuni 🤗
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kigamboni
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |