mr.healthy_life

mr.healthy_life

Share

Afya Bora Huanzia ndani
�Pata suluisho la afya yako hapa
�Elimu
�Tiba & Virutubisho

17/10/2022

Kwa mawasiliano zaidi au Ushauri:
WhatsApp/calls:
0693789209

17/10/2022

Je wajua sababu ya maumuvu ya viungo, joints na miguu kuwaka Moto???
Matatizo ya viungo, miguu kuwaka moto, maumuvu ya kiuno na mgongo yamekuwa yakisumbua sana watu wengi kwa sababu tofauti tofauti ikiwemo uzito mkubwa,. Wanaofanya mazoezi, na wazee wenye umri kuanzia 55+ hii ni kwasababu umri unavozidi kwenda mwili unashindwa kuzaalisha uteute katika viungo vya mifupa na hivo basi hupelekea misuguano ya mifupa na husababisha maumivu makali sana hata hupelekea mtu kushindwa kukàa, kuinuka, kukimbia au kutembea kabisa.

Kwa maelezo zaidi na Ushauri:
WhatsApp/calls:
0693789209

14/10/2022

UZITO WA MBEGU ZA KIUME NA UWEZO WA KUCHELEWA KUYEYUKA..
Shahawa/majimaji ya mbegu huwa na mbegu za kiume, na shahawa ni majimaji yanayobeba mbegu za kiume, kazi ya shahawa ni kusafirisha kwa usalama mbegu za kiume mpaka kulifikia yai. Sasa ikiwa shahawa zitakuwa nyepesi (zina yeyuka haraka) basi maana yake kwa haraka sana baada ya kutoka uumeni shahawa na mbegu za kiume zinatengana, na hivyo kuathiri uwezo wa mbegu kusafiri haraka na kulifikia yai. Mfano mdogo ni kwamba k**a ukishafanya kitendo cha ndoa na kisha muda huohuo mbegu za kiume kuanza kuchuruzika kutoka nje ya uke hata k**a mwanamke amelala basi hiyo ni dalili mojawapo ya mbegu kuwa nyepesi na hivyo kuweza kuathiri uwezo wa kutungisha mimba. Kunaweza kuwa na matatizo mengine ya kutoweza kushikilia vizuri mbegu za kiume

kwa maelezo zaidi au ushauri:
whatsaap/calls:
0693789209

14/10/2022

UMUHIMU WA MADINI YA ZINC...
Zinc ni elementi muhimu mno katika afya ya binadamu hivi kwamba ukosefu kidogo unaweza kuleta madhara makubwa.
Zinc ni ya muhimu sana kwa sababu inapatikana ndani ya kila kiungo cha mwili cha binadmu na inahusika kwa karibu sana na kugawanyika kwa seli za mwili. Ni antioxidant yenye nguvu sana, inayosaidia kuzuia kansa, na pia inahusika moja kwa moja katika ufanyaji kazi wa tezi mbalimbali za kutengeneza homoni na kuweka sawa viwango vya homoni katika mwili. Makadiridio yasiyo rasmi yanaonyesha kuwa asilimia 25 ya watu duniani wanakabiliwa na upungufu wa zinc na kwa sababu mwili wa binadamu hauhifadhi zinc, tunalazimika kupata zinc kila siku.

Upungufu wa zinc husababisha ugumba kwa jinsia zote, wanaume na wanawake na kuwasababishia tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa. Kiwango kidogo cha zinc katika mwili hukuza madhara ya msongo wa mawazo katika mwili na kuchochea uzeekaji wa haraka. Upungufu wa zinc hubadili namna ya kusikia ladha na kusababisha kupenda chumvi zaidi, chakula kitamu zaidi. Inaweza kujidhihirisha kwa kuharisha, upungufu wa nguvu za mwili, uchovu sugu, ugumba, upungufu wa kinga za mwili, kukosa kumbukumbu, kushindwa kutuliza mawazo, kuchelewa kupona vidonda, neva kutofanya kazi vizuri, na kuunguruma kwa sauti kwenye masikio.

Zinc ni madini ya lazima katika kuweka testosterone kwenye kiwango kinachotakiwa, na seli za tezi dume ya mwanamme zinahitaji kiwango cha zinc ambacho ni mara 10 zaidi ya mahitaji ya seli nyingine za mwili ili ziwe na afya na zifanye kazi kwa kiwango kinachotakiwa. Upungufu wa zinc kwa wanaume huathiri uzalishaji wa testosterone, na hivo kupelekea ugumba kwa mwanaume kushindwa kumpa ujauzito mke wake, huwaweka wanaume kwenye mazingira hatarishi ya kupata saratani ya tezi dume,. Upungufu wa zinc umehusishwa na kukosa hamu ya kufanya mapenzi.

Kwa maelezo zaidi au ushauri karibu tukusaidie.
Whatsapp/calls:
0693789209

14/10/2022

UFANYAJI KAZI WA UUME WA MWANAUME...
Ili uwe na uwezo mzuri wa kufanya tendo la ndoa ni lazima mifumo hii minene itende kazi sawasawa.

Kwa kawaida mwanaume ili uume uweze kufanya kazi uhitaji ushirikiano wa mifumo minne.
Kwanza ni mfumo wa mishipa ya damu ambao huingiza damu katika uume,
mfumo wa neva za fahamu ambao hutoa taarifa kutoka kwenye ubongo hadi kwenye uume na kurudisha taarifa kutoka kwenye uume kwenda kwenye ubongo.
Pia, kuna mfumo wa homoni na vichocheo vya mwili vinavyohitajika kuchochea mishipa ya damu kutanuka ili uume ufanye kazi na mfumo wa akili na saikolojia.
Kwa kawaida;
uwezo wa ufanyaji kazi wa viungo vya uzazi vya mwanaume hupungua kadri umri unavyokwenda.
Changomoto kubwa iliyopo sasa ni kwamba baadhi ya wanaume wanapoona uwezo wao utendaji kazi wa uume umepungua huamua kujinunulia dawa tofauti tofauti bila kufahamu chanzo cha tatizo.

🚨 Mfumo mmoja ukishindwa kufanya kazi vizuri lazima mwanaume apate shida katika utendaji kazi wa uume.

Kwa maelezo zaidi au ushauri karibu tukusaidie.
Whatsapp/calls:
0693789209

14/10/2022

SABABU KUBWA NI MIFUMO YETU YA ULAJI....
Kutokana na mfumo wetu wa maisha ulivyo kwasasa haumpi support mwanaume kupata virutubisho vyote anavyohitaji kwa ajili ya afya yake ya uzazi.
Hivyo basi humpelekea katika changamoto za kiafya hasa dalili kubwa inaonekana kuathiri mfumo wa uzazi, wengi hudhani mazoezi peke yake ndio yanatumika katika kuupa mwili afya lakini husahau kiwango kizuri cha virutubisho na madini yanayohitajika mwilini hutokana na vyakula tunavyokula kila siku.

Hivi ni baadhi ya vyakula vya kuimarisha afya ya uzazi ya mwanaume..
a. Ndizi
ulaji wa ndizi mbivu unatajwa kusaidia kujenga misuli mwilini na kumfanya mtu aweze kuwa hodari katika tendo la ndoa.
b. Tikiti Maji
Tunda hili lina faida nyingi pamoja na kuwa ni chanzo kikuu cha Protini, Mafuta, Nyuzinyuzi, Wanga,Calcium, Phosphorus, Chuma,Vitamin A,B6,C. Potasium, Magnesium, Carotene, anthocyanins na Virutubisho vingine vingi.
c. Unga wa mbegu za maboga
Kwanza kabisa zinaondoa msongo wa mawazo kitu ambacho ni namba moja katika kusababisha upungufu wa nguvu za kiume. Lakini pia zinashusha lehemu (cholesterol), zinatibu kisukari, zinatibu tezi dume (matatizo k**a ya ngiri nk), zinashusha kisukari, zina protini nyingi ya kutosha na yenye ubora na mbaya zaidi ni kuwa zina madini ya ZINKI madini mhimu kuliko kitu kingine chochote kwenye upande wa nguvu za kiume na kinga ya mwili.
d. Siagi ya karanga
Siagi ya karanga ina kiasi kingi cha mafuta masafi yasiyoweza kusababisha kolesto/lehemu mwilini (unsaturated fats) na kiasi kingi cha protini, vitu hivi viwili vinafanya kazi ya kuongeza nguvu mwilini. Siagi ya karanga ina kalori nyingi zitakazokuwezesha ubaki ni mwenye nguvu kutwa nzima.
Kwakuwa ni chanzo kizuri cha madini ya chuma, shaba, magnesium, na potasiamu, siagi ya karanga husaidia mzunguko mzuri wa damu mwilini.
e. Maji ya kunywa
Mzunguko wa damu ndicho kitu kinachofanya uume USIMAME. Na kabla hujaendelea kusoma tambua jambo moja mhimu; ‘’Asilimia 94 ya damu ni maji’’. Hii ni kusema katika kila lita 10 za damu, lita 9 kati ya hizo 10 ni maji. Kwa kifupi maji ndiyo kila kitu mwilini, nakushauri upendelee Kunywa maji bila KUSUBIRI KIU.

kwa maelezo zaidi au usahuri
whatsapp/calls:
0693789209

13/10/2022

Jinsi ya kupata package hii
Call/WhatsApp:
0693789209

13/10/2022

Kuzingatia afya ni kitu cha muhimu. Je wewe kijana/baba unajua kulinda afya yako???
Tuko katika mfumo wa maisha ambao kuwa na afya bora imekua changamoto, tunakumbana na shida mbali mbali za kiafya zinazopelekea matatizo tofauti tofauti kwenye maisha yetu.
Changamoto nyingi za kiafya zinasababishwa na:
•kutokula mlo kamili
•stress/mawazo
•uzito
•utumiaji wa dawa usiosahihi
•Magonjwa sugu, na nyingine nyingi.

Watu wengi tunaishi na changamoto hizi lakini hatujui suluisho lake ni nini na wengine hupuuzia Hadi changamoto inapoleta madhara makubwa.
K**a utapenda kujifunza, ushauri na maelezo zaidi, tembelea account yetu .healthy_life .healthy_life
WhatsApp/calls:
0693789209

12/10/2022

VYANZO VYA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME….

Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
1. Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
2. Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
3. Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
4. Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
5. Kisukari
6. Kuwa na mawazo na wasiwasi
7. Matumizi ya madawa mbalimbali
8. Umri hasa wazee
9. Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
10. Kuwa na tatizo la kibofu
11. Tabia za kujichua kwa mda mrefu
12. Kutopata usingizi kamili
13. Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine

Kwa maelezo zaidi au ushauri karibu tukusaidie.
Whatsapp/calls:
0693789209

12/10/2022

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI NINI?
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Tatizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa.

Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.
Tatizo hili linapotokea huambatana na athari nyingine k**a matatizo ya kisaikolojia hivyo kusababisha mwanaume kushindwa kujiamini.

Kwa maelezo zaidi au ushauri karibu tukusaidie.
Whatsapp/calls:
0693789209

12/10/2022

Kupiga punyeto au kujichua ni kitendo ambacho huleta matatizo makubwa ya muda mrefu ambayo muathirika huchelewa sana kuyatambua.
• Punyeto inamaliza nguvu za kiume, k**a unapenda kujichua basi sahau kuwa na nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume ni janga la kitaifa miaka ya sasa lakini chanzo kikuu ni vijana wengi wa kiume kuanza kujichua tangu wakiwa mashuleni.
• Punyeto hukufanya uwe dhaifu, inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.
• Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili na kupelekea matatizo ya macho kutokuona vizuri
• Ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi (uume kushindwa kusimama)
• Ni rahisi kuwa mtumwa wa kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara
• Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia
• Huleta matatizo ya kisaikolojia, hukusababishia majonzi na huzuni na kukufanya kujilaumu nafsi mara baada ya kumaliza kujichua
• Punyeto inapelekea tatizo lingine kubwa zaidi nalo ni kuwahi kufika kileleni utakaposhiriki tendo la ndoa na mwenza wako, hii itakuletea shida kwenye mahusiano yako wewe mwenyewe na hata kwa mwenza wako.
• Punyeto inapunguza uwingi wa mbegu (reduces your s***m count) k**a matokeo yake mwanaume hataweza kumpa mwanamke ujauzito. Hili la kuwa na mbegu chache ndilo chanzo kikuu cha ugumba kwa wanaume na ni matokeo ya kupiga punyeto mara kwa mara.
• Raha ya kujichua haibaki akilini kwa kipindi kirefu k**a vile ukishiriki tendo la ndoa kwa na mtu halisi
• Punyeto husababisha ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu, ni vigumu kuwa na akili ya utulivu na kukumbuka vitu k**a tayari umeshakuwa teja wa punyeto.
• Kujichua siyo suluhisho la mwisho la hitaji lako, yaani hutaona kuridhika katika kitendo hicho, kadri unavyofanya ndivyo unavyoendelea kuhitaji zaidi na zaidi mpaka mwisho unakuwa hanithi kabisa bila kujitambua
• Punyeto inaongeza aibu, inapunguza uwezo wa kujiamini.
• Utapoteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
• Halikadhalika Uchovu wakati wote , Maumivu ya nyonga.
Kusinyaa kwa Nywele / Nywele kunyonyoka
Maumivu ya kende na Maumivu ya kiuno

Kwa maelezo zaidi au ushauri
karibu tukusaidie.
Whatsapp/calls
0693789209

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam