Stella na afya
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Stella na afya, Health/Beauty, ilala dar es salaam, Dar es Salaam.
20/12/2022
TATIZO LA KUPATA HEDHI NYINGI KUPITA KIASI ( HEAVY ME**ES ), SABABU NA ATHARI ZAKE
Kupata hedhi kupita kiasi ni moja ya matatizo ya uzazi yanayosumbua wanawake wengi. Tafiti zimeonyesha kwa kila wanawake 1000; wanawake 53 kati ya huwa na tatizo la kupata hedhi kupita kiasi.
SABABU ZA KUPATA HEDHI NYINGI KUPITA KIASI.
1).Uvimbe kwenye kuta za mji wa kizazi; vivimbe hivi sio saratani huitwa fibroids
Yai kupevuka bila mpangilio (Irregular ovulation) ; hali hii husababisha kuta za mji wa mimba zivimbe na kuwa nene hivyo kutoa damu nyingi. Hutokea zaidi kipindi cha kuvunja ungo na kipindi cha kukaribia ukomo wa hedhi.
2).Matumizi ya dawa za kuzuia damu kuganda
Baadhi ya wanawake waliotumia vitanzi (IUD) hasa ndani ya mwaka wa kwanza
Maambukizi ya mji wa mimba na mirija ya uzazi (PID)
3).Saratani ya mji wa kizazi; kwa kinamama waliofikia umri wa ukomo wa hedhi. Wakianza kupata hedhi isiyokoma huweza kuwa dalili ya ya saratani ya mji wa kizazi
ATHARI ZA HEDHI NZITO KUPITA KIASI KWENYE AFYA
Hedhi nzito kupita kiasi huchangia wanawake wengi kupata upungufu wa damu
Hedhi kuwa nzito kupita kiasi huweza kuwa ni dalili ambao unahitaji tiba ya haraka
Huweza kuchangia kudhoofisha afya ya akili ya mwanamke ikiwemo kujiamini na wasiwasi
Kwa ushauri na tiba wasiliana nami 0762180088
04/12/2022
21/11/2022
🚨FIXTURES🚨
Michezo Yetu 7 Inayofata Yoote Tutacheza Tukiwa Ugenini📌
RuvuShooting 🆚 Simba Sc
📆 November 19 (JUMAMOSI)
🕐 Saa 1:00 Usiku
🏟 Benjamin Mkapa Stadium
Mbeya City 🆚 Simba Sc
📆 November 23 (JUMATANO)
🕑 Saa 10:00 Jioni
🏟 Sokoine Stadium
Polisi Tanzania 🆚 Simba Sc
📆 November 27 (JUMAPILI)
🕒 Saa 10:00 Jioni
🏟 Ushirika Moshi Stadium
Coastal Union 🆚 Simba Sc
📆 December 3 (JUMAMOSI)
🕓 Saa 10:00 Jioni
🏟 Mkwakwani Stadium
Geita Gold Fc 🆚 Simba Sc
📆 December 18 (JUMAPILI)
🕔 Saa 10:00 Jioni
🏟 CCM Kirumba Stadium
Kagera Sugar 🆚 Simba Sc
📆 December 21 (JUMATANO)
🕕 Saa 10:00 Jioni
🏟 Kaitaba Kagera Stadium
KMC 🆚 Simba Sc
📆 December 26 (JUMATATU)
🕞 Saa 10:00 Jioni
🏟 CCM Kirumba Stadium
Tumuombee Mwenyezi MUNGU Awalinde Wachezaji Wetu Wasipatwe Na Majeraha Ya Mara Kwa Mara💪🏽
Inshaalah Kwa Uwezo Wa MUNGU Tutashinda Michezo Yote 7🤲🏼
🦁
20/11/2022
Mwamba huyu hapa, Enner Valencia amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka huu huko Qatar 🇶🇦
41' Qatar 🇶🇦 0️⃣ - 2️⃣ Ecuador 🇪🇨
Powered by .tz
07/10/2022
Twendeni Twendeni tukaonyeshe ukubwa wetu
Mifupa Kusagana ni hali ya Mifupa Kusagana kwa kuishiwa uteute na gegedu linalo unganisha Mfupa na Mfupa kuishaa, na kupelekea Mifupa Kusagana
Dalili za Mifupa kusagana
✓kushindwa kupanda ngazi
✓kushindwa kuchuchumaa
✓kushindwa kupanda ngazi
✓maumivu ya mgongo
✓kushindwa kutembea umbali mrefuu
✓maumivu ya nyongaa
Chanzo Cha Mifupa kusagana
✓ umri miaka 30+
✓kufanya mazoezi kupindukia
✓uzito mkubwa
✓uraji mbovu
MATHARA YA MIFUPA KUSAGANA
✓Kushindwa kutembea
✓kupata vidonda kwenye mifupa
✓ kuwekewa viungo vya bandia
Piga 0736180088
Mifupa Kusagana ni hali ya Mifupa Kusagana kwa kuishiwa uteute na gegedu linalo unganisha Mfupa na Mfupa kuishaa, na kupelekea Mifupa Kusagana
Dalili za Mifupa kusagana
✓kushindwa kupanda ngazi
✓kushindwa kuchuchumaa
✓kushindwa kupanda ngazi
✓maumivu ya mgongo
✓kushindwa kutembea umbali mrefuu
✓maumivu ya nyongaa
Chanzo Cha Mifupa kusagana
✓ umri miaka 30+
✓kufanya mazoezi kupindukia
✓uzito mkubwa
✓uraji mbovu
MATHARA YA MIFUPA KUSAGANA
✓Kushindwa kutembea
✓kupata vidonda kwenye mifupa
✓ kuwekewa viungo vya bandia
Piga 0736180088
TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO(MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)
Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi hawapati tatizo lolote
NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI
1:UMRI
Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kufa, au kuziba hii husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali k**a miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa safi hivyo ganzi hutokea
2:KISUKARI
Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguuko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya damu halo hii husababisha mishipa kusinyaa ambalo hupelekea hewa ya oksijeni na chakula kutofika kwa ufadsaha maeneo ya mbali sana k**a miguuni na mikononi hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha ganzi
3:DAMU NZITO
Damu inapokua nzito pia hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi kwa ni husababisha kutofika kwa damu kwenye mishipa midogo midogo ya damu hii hupelekea ganzi pia
PIGA NAMBA 0736180088 KUPATA MAEKEZO ZAIDI UBARIKIWE
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Ilala Dar Es Salaam
Dar Es Salaam