Fit body Tz

Fit body Tz

Share

Ninasaidia watu Kupunguza uzito ili kuwa na muonekano mzuri na kuvutia
Darasa ni bure!!.

Photos from Fit body Tz's post 15/04/2024

Baada ya kufanya mazoezi wewe huota maji baridi au maji moto??

Kujifunza zaidi piga/ ama kwa 0789729700

13/03/2024

Kitambi ni matokeo ya kile unachokula. Pia ni taarifa ya kwamba unakula zaidi ya kiwango kinachohitajika mwilini mwako😎😎

Darasa la diet bure wasiliana nasi 0789729700

06/03/2024

Ni kweli kitambi hakiwashi wala kuuma. Lakini vipi umewahi kujiuliza unaonekaje pindi unapotupia mikato yako ya fashion!!???!!

Njoo nikusaidie kupata muonekano bomba kila wakati unapofupia mavazi upendayo bila ya kuwaza inaonekana mbele za watu
Piga 0789729700 kwa maelezo zaidi

05/03/2024

Unashauriwa kufanya chaguo sahihi wakati unachagua kitu gani ule.
Wengi kwa maisha ya sasa hukimbilia kunywa energy drinks

Piga 0789 729 700 kujifunza zaidi

Photos from Fit body Tz's post 19/02/2024

Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo vinaweza kukujengea tabia bora na kupata matokeo mazuri ya kupungua

K**a unapata changamoto ya kushindwa kupungua au kushindwa kumaintain uzito wasiliana nasi kupitia namba 0789729700 kujifunza zaidi

12/02/2024

Usishinde na njaa kwa kigezo cha kupungua uzito yaani kuondoa kitambi, madhara yake ni makubwa unaweza kujitengenezea vidonda vya tumbo bure.

Unachotakiwa kufanya ni kujua ule nini na wakati gani ili kufikia malengo ya kupunguza uzito na kubaki na afya njema kabisa

Kujifunza zaidi tuma sms WhatsApp au piga 0789729700

07/02/2024

Kujiandaa kisaikolojia pale unapoamua kuanza safari ya kupunguza uzito kwa kupangilia mlo wako( Diet) ni hatua ya kwanza na muhimu sana.

Usipozingatia hatua hii utajikuta unakula milo ambayo si sahihi kila mara yaani cheat meals na kushindwa kufikia malengo ya kupungua.

Nitumie ujumbe WhatsApp +255 789 729 700 nikupe muongozo rahisi utakao kusaidia kupunguza kilo 4 hadi 9 kwa siku 10 tu.

27/01/2024

Je wajua k**a chakula hiki ni wanga mtupu?

Maharage ni chakula cha wanga k**a ilivyo mahindi, hivyo unapochagua chakula hakikisha unakula kiwango kidogo sana cha wanga ili kuzuia kunenepa ovyo

Unapokula wanga kwa kiwango kikubwa mwili kufyonza virutubisho kidogo ambavyo husaidia kujenga mwili na kinachobaki hugezwa kuwa mafuta na kujitunza sehemu mbali mbali za mwili

Kujifunza zaidi WhatsApp/Call 0789729700

09/01/2024

Je wajua k**a maharage ni aina moja wapo ya vyakula vya wanga yaani carbohydrates?

Tumekuwa tunakula sana wanga hasa wali maharage, chapati maharage, Makande, mseto n.k

Ili uweze kupungua ni lazima kupunguza au kuacha kabisa vyakula vya wanga.

Kwa elimu zaidi wasiliana nasi kwa namba 0789729700

15/12/2023

Afya yako jukumu lako....

Call/Whatsapp 0789729700 for more details

08/10/2023

Sio siri tena......

Kupunguza mafuta mwilini kinaanzia mdomoni....

Unachokula ndio msingi wa afya yako.

05/10/2023

Unatakiwa kujenga utaratibu wa kudetox angalau mara tatu kwa mwaka...

Wewe unafanya kitu gani ambacho kinakupa matokeo mazuri ya kutoa taka mwili?

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Victoria
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 21:00
Tuesday 09:00 - 21:00
Wednesday 09:00 - 21:00
Thursday 09:00 - 21:00
Friday 09:00 - 21:00
Saturday 09:00 - 21:00