Afya ni maisha
Ukijali afya yako umejali maishaa na kesho yako
26/05/2022
JE U AJUA NINI KUHUSU URIC ACID NA MADHARA YAKE MWILINI ?
Mwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viungo vyote vinaweza kufanya kazi kwa ufasaha kutegemeana na taarifa ambazo zinasafirishwa kutoka katika ubongo na kupelekwa katika kiungo husika.
Ili mwili uweze kufanya kazi vizuri na kusitokee na tatizo lolote, haina budi kila kemikali ya asilia iliyopo mwilini iwe katika kiwango ambacho ni stahiki.
Miongoni mwa kemikali asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu ni hii ijulikanayo kwa jina la kitaalamu la “Uric Acid”.
Uric Acid ni kemikali ya asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu. Kemikali hii hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa kwa vyakula ambavyo ndani yake kuna kundi la kemikali aina ya “Purine” ambayo baada ya kuvunjwa ndipo huzalisha kitu kinachojulikana k**a “Uric Acid”.
Katika mwili wa binadamu, kiwango ambacho ni cha kawaida mtu kuwa nacho ni 2.4-6.0 mg/dL (kwa mwanamke) na 3.4-7.0 mg/dL (kwa mwanamme). Kiwango cha uric acid mwilini hupimwa kwa kutumia njia ya damu.
Kiwango hiki endapo kitazidi mwilini kitasababisha matatizo mwilini na hasa katika maeneo ya mwili ambayo ni maungio ya mifupa/jointi.
Katika maungio ya mifupa au jointi, mtu atapatwa na maumivu makali, kuvimba na kubadilika kwa umbile la maungio ya mifupa na kuwa k**a kumepinda. Hali hii kitaalamu au ugonjwa hujulikana k**a “Gout”.
Pia kuzidi kwa kiwango cha uric acid mwilini kinaweza kuwa ni dalili ya magojwa k**a vile magonjwa ya ini, figo pamoja na saratani. Mwilini kemikali hii ya asilia hutolewa kupitia njia ya mkojo k**a urea, tofauti na wanyama wengine au ndege ambao wao kemikali hii hutolewa kupitia kinyesi na wakati mwingine imekuwa na muonekano k**a chokaa na kuchanganyika na kinyesi mfano cha kuku.
Upatikanaji wa uric acid mwilini ni kupitia ulaji wa vyakula k**a vile maharagwe yaliyokaushwa, maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini au seafood (sardines pamoja na tuna). Pamoja na vyakula, pia uric acid mwilini hupatikana baada ya matokeo ya seli hai za mwili kuvunjika (seli kufa na kutengeneza purine ambazo nazo huvunjika na kutengeneza Uric Acid).
Kwa kuwa kiwango kikubwa cha uric acid kinasababisha matatizo ya kiafya, ni vyema kufahamu ni namna gani ambavyo mtu anaweza kujilinda ili kuhakikisha kuwa kiwango cha uric acid katika mwili kinakuwa siyo cha kuweza kusababisha matatizo ya kiafya.
Miongoni mwa njia za kutumia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilii ni kuepuka vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha “Purine” ambayo ndiyo hupelekea kupatikana kwa uric acid. Vyakula hivyo ni pamoja na maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini k**a vilivyotajwa hapo juu. Pia ni vyema kutumia vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha virutubisho pamoja na vitamin ambavyo kiafya vinasaidia katika kuondoa sumu mwilini.
Virutubisho na vitamini ambazo husaidia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilini ni pamoja na vitamin B6, Vitamin C, madini ya magnesium. Haya hupatikana katika matunda k**a vile ndizi mbivu, machungwa, matikiti maji, maembe pamoja na mananasi. Pia juisi ya limao katika mwili husaidia katika kutengeneza chumvi aina ya calcium carbonate ambayo husaidia kuyeyusha au (Neutralize) tindikali asilia mwilini (Uric acid).
Aidha, sambamba na ulaji wa vyakula hivyo kwa mtu ambaye tayari analo tatizo la kuwa na kiwango kikubwa cha uric acid mwilini (Baada ya vipimo vya kitaalamu), inashauriwa kutumia virutubisho vya kuweka sawa kiwango hicho.
Whatsapp namba 0621060718
25/05/2022
YAJUE MADHARA YA KUVUTA SIGARA
🚫Ukivuta Sigara Unaharibu Mapafu yako:
Hapa ndo utaanza kupata matatizo ya upumuaji hadi kansa ya mapafu. Huweza pia kuwasababisha madhara watu wengine katika jamii.
🚫Ukivuta Sigara Unasababisha Madhara Tumboni :
Uvutaji husababisha vidonda vya tumbo na kuchochea uendelezaji wa matatizo mengine ya afya mwilini.
🚫Utasababisha Matatizo Ya Moyo Na Mzunguko Wa Damu:
Nikotini kwenye sigara husababisha kuziba kwa mishipa ya damu mwili mzima. Hivyo huufanya moyo kufanya kazi kwa nguvu zaidi. pia kusababisha shinikizo la moyo kupanda. Hali hii huweza kupelekea lehemu kusambaa kirahisi katika damu.Kusambaa huku kwa lehemu huathiri ufanyaji kazi mzuri wa moyo.
🚫Huathiri Ubongo Wako:
Kwa kupungua hewa safi (oksijeni) kwenye damu kwa uvutaji hupelekea kujaa hewa chafu (kabonidiokside). Hali hii huleta madhara katika ubongo na kuufanya ushindwe kufanya kazi vizuri.
Ukivuta sigara utaishiwa nguvu wakati wa tendo la ndoa hivyo huto tumia mda mrefu kutokana na kuishiwa pumnzi kwasababu ya kuathirika kwa mapafu
✍️NAMNA YA KUACHA UVUTAJI WA SIGARA.
👉KWANZA FAHAMU KWA NINI UNATAKA KUACHA:
👉FANYA UAMUZI MZITO WA BUSARA:
👉ACHA SASA:
Kwa kupata virutubisho vya kusafisha na kukupa afya kwa tatizo hili, nitafute kwa kutuma neno AFYA ME kwenda WhatsApp 0621060718 au piga simu usaidiwe.
24/05/2022
KWANINI TATIZO LA NGUVU ZA KIUME LINAHITAJI VIRUTUBISHO
Idadi ya wanaume wengi kwa sasa wamekuwa wakipitia changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume tatizo ambalo linasababishwa na vitu vingi mno ila tunavifanya ama kuvitumia visababishi bila kujua ama kwa kudharau na mwisho wa siku tunajikuta tunaingia kwenye changamoto
Ila kuna wengine wata puuzia na kuona kwamba ni jambo la kawaida na hajui chochote kuhusu tiba wengine wanajua kuwa wanachangamoto ila hawajui ni wapi watapata msaada na wengine hutumia njia zisizo sahihi zenye madhara na kujikuta wanaingia kwenye changamoto badala ya kutatua mfano kutumia dawa za madukani ama kutumia mokongo jambo ambalo ni hatari zaidi kwa afya
Njia sahihi ya kuondokana na changamoto yako ni kuijua kwanza kiundaani na ujue sababu zilizo sababisha wewe kuingia kwenye changamoto na upate elimu juu ya vitu vya kuviepuka na vya kufanya ili uweze kujilinda usipate changamoto hii tena.
Sababu zitakazo kufanya utumie virutubisho ni hizi .
Utakapo tumia virutubisho utasahau kuhusu kuwahi kufika kileleni kwahiyo utatumia mda mrefu zaidi ya mwanzo hii ina maanisha kwamba utapata mda wa kutosha kuweza kulifurahia tendo pamoja na mwenza wako
Madini yanayo patikana kwenye virutubisho yatakwenda kujenga mfumo mzima wa hisia kuanzia kwenye ubongo mpaka kwenye mfumo wa uzazi kwahiyo utaweza kurudi kwenye tendo kwa wakati hii ina maanisha kuwa utaenjoy maradufu tendo na hapa lazima mwenza wako afike kileleni bila hata naauli haha
Virutubisho vinahakikisha uume hausimami legelege kinacho fanyika ni kwamba mfumo mzima wa mzunguko wa damu na misuli itajengwa vizuri hapa uume utasimama STRONG kwahiyo utashiriki tendo kwa kujiamini zaidi na hii inamaanisha kuwa utagusa maeneo muhimu yatakayo sisimua hisia za mwenza wako hapa sahau kuhusu kuelea kwenye kisima
Uzuri ni kwamba ni virutubisho pekee ndio njia salama ya kutatua changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume kwasababu haina madhara yoyote kwa mtumiaji na matokeo niya kudumu
Kwa msaada ama ushauri Tuma ujumbe Whatsapp Kwa kuandika neno BABA RIJALI
Whatsapp
0621060718
23/05/2022
HIVI NDIVYO KUJICHUA KUNA HARIBU UUME:
Unavyominya uume kwa nguvu kutafuta msisimko kwa viganja vyako vya mkono unaua Neva,mishipa ya damu ambayo huingiza damu kwenye uume na misuli ya uume ndio Maana uume unakuwa Mwembamba na kuwa mdogo ,uume unajenga usugu kwenye ngozi yake.
punyeto huwezi kufanya muda mrefu Ni sekunde tu tayari unamaliza shughuli yako ,Sasa mwili wako unazoea Hivyo (kuji--condition ).Siku ukifanya mapenzi halisi na Mwanamke unatumia sekunde hizo hizo ulizozoea Wakati wa kufanya Punyeto hutaweza kutembea zaidi ya hapo. Kwa hiyo tunaweza kuona Kwamba punyeto inafupisha muda wa kufanya tendo la ndoa .
Hii inapelekea mwenza unashiriki nae tendo_la_ndoa kutokuridhika ,unamuacha njia panda.
Pia kuchua uume kwa mkono husabisha uume kulegea Sana ,hata kupelekea kutoa shahawa bila kufanya tendo la ndoa .Utajikuta baada ya kusimamisha uume shahawa zinaanza kuvuja zenyewe.
Ukishikwa kidogo tu unasisimka haraka shahawa zinatoka ghafla,na uume unasinyaa .
Cha kufanya Epuka Kujichua .
K**A UNAPITIA CHANGAMOTO HIZI BAADA YA KUPIGA punyeto USIJALI SULUHISHO LAKUDUMU LIPO WASILIANA NASI UPONE SASA.
Whatsapp
0621060718
21/05/2022
*MADHARA YA KUJICHUA(PUNYETO) KWA WANAWAKE*
Wanawake wengi leo hii wamekuwa wahanga wa tatizo hili la kujichua kwa kile wanachodai kuto ridhishwa na wenza wao badala yake hutumia vidole au vitu mbalimbali kujichua na kujiridhisha wenyewe.Kitendo hiki wengi hukifanya wakiwa wanaimani hakina madhara au watafanya kwa mda tu wataacha,lakini uhalisia ni kwamba yapo madhara mengi ya jambo hili,leo tuangalie haya machache.
1; KUKOSA HAMU YA TENDO
Kujichua ni kitendo kinacho husisha ubongo na hormones katika mwili,unapofanya kitendo hiki sehemu zako za siri zitapata sugu ambayo itapelekea ukose hamu na ladha hata pindi unapokutana na mwenza wako.
2.MARADHI
Magonjwa k**a UTI sugu na Fangasi yamekuwa sugu yani hayaponi kwa watu wanaojichua na hii inatokana na usafi wa vitu vunavyotumika kujichua na ulaini wa sehem zako a siri
3.KANSA KATIKA SHINGO YA KIZAZI
kuna baadhi ya wanawake hutumia ndizi,vifaa vya plastiki au chochote kuingia sehem za siri wakati wa kufanya tendo hili,hii ni hatari kubwa kwa maana inaweza kukupelekea kupata kansa katika via vyako vya uzazi.
4.KUSHINDWA KUPATA MIMBA
; K**a utakuwa umefanya kitendo hiki kwa mrefu,kumbuka sehemu zako za siri zitakuwa na sugu na pia zitakosea ule ute wa uzazi unaotumika kusafirisha mbegu za kiume hadi kwenye mji wa mimba,ukifikia kiwango hiki sahau kupata mtoto.
✍MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA;
Hii inatokana na kufa kwa tezi zinazohusika kuzalisha ute pale ukeni,kufa kwa tezi hizi kutafanya sehem yako ya siri iwe kavu,ukavu huu ndio unaopelekea maumivu makali pindi unapofanya tendo la ndoa kutokana na mchubuko mkali unaotengenezwa kwa kukosa ute wakutosha
5.MAAMBIKIZI YA MAGONJWA YA ZINAA
; Mtu alie athirika na punyeto ni rahisi sana kupata maambukizi ya magonjwa ya zinaa pindi akikutana na muathirika hii ni kwasababu uke wake unakuwa hauna ute hivyo msuguano ni mkubwa wakati wa tendo la ndoa,hii itamfanya apate virusi mapema.
*JE KUNA DAWA YA KUACHA KUJICHUA*
✍Wanawake wengi mara baada ya kuona wameathirika na jambo huwa wanatamani kuacha lakini kila wakijaribu huwa aanashindwa,yani anaacha siku chache halafu anarudia tena,hii ni hatari sana kwako..k**a wewe ni miongoni mwao yani umeshindwa kabisa kuacha tabia hii, usijali zipo njia za kufuata kuacha kitendo hiki,karibu
20/05/2022
K**A UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME ANZA NA HII K**A HUKO VIZURI KIUCHUMI
Leo nitatoa program maalum kwa ajili ya kuweka vizuri mfumo wa uzazi na kuimarisha nguvu za kiume huna haja ya kupaka mkongo hii ni program ya vyakula na matunda pamoja na mazoezi ni muhimu sana kwako mwanaume lazima wakuheshimu
1.kukufanya uwe na uume imara
2.kukufanya uwe na uume usiosinyaa ukeni kabla ya kuingiza na baada ya kuingiza
3.kukufanya uume usimame haraka na kudumu ukiwa imara
4.kufanya uchelewe kumwaga shahawa wakat wa tendo la ndoa utachukua dk 15_25
5.kukufanya uwe na shahawa nyingi na bora
6.kukufanya uwe na shahawa zinazookimbia kwa kas wakat wa kusex
7.kukufanya urudie tendo la ndoa zaid ya mara tatu bila kuchoka
8. Hukufanya uwe na hamu ya tendo k**a zaman unaweza ukasex kila siku round mbili na hamu isiishe lakin haikufanyi ikusumbue kutaka mwanamke kila mda hapana unakua kawaida kabisa k**a ulivyo mpaka utakapoamsha hisia zako mwenyewe ndio hamu inakuja kwa ufupi unakua dereva wa hisia zako.
9.kuimarisha mishipa iliharibiwa na punyeto
10kuimarisha misuli ilihoharibiwa na punyeto
11.kuzibua mishipa iliyoziba kwa mafuta yanayoganda mwilin
12.kupandisha uzalishaj wahomone kurudi katika hali ya kawaida.
13.kuchochea usamabazaji wa damu kwenda sehem mbali mbali za mwili
14.kuipa afya njema mishipa ya moyo (artery na vein)
Faida zipo nyingi sana unachotakiwa ni kuzingatia kile nitakacho kuelekeza ili uwe imara zaidi
Hii program nilitoa mwanzo kwa Tsh 45000 lakini leo watu 20 watakao wahi wataipata kwa Tsh 20000 Elfu Ishirini tu Wahi uokoe afya yako uondokane na aibu kitandani
Nitumie ujumbe Whatsapp kwa kuandika neno NAHITAJI
Whatsapp
0746748192 Wahi mapema
19/05/2022
UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO
👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.
👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.
👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.
👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.
👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.
K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,
Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0746748192 au piga simu usaidiwe mapema
18/05/2022
KUSIMAMISHA SIO NJIA PEKEE YA KULIMUDU TENDO LA NDOA
Watu wengi wenye changamoto ya nguvu za kiume wanapo tafuta tiba ya kutatua changamoto zao mara nyingi huwa wanatafuta tiba ya kuufaanya uume usimame kwa muda mrefu na ndio maana wengi wanaingia katika dimbwi la kutumia Mikongo na dawa za dukani kitu ambacho sio sahihi.
Kumbuka kuwa ili mwanaume aweze kushiriki tendo la doa kwa ufasaha ni lazima mwili wake uwe na rutuba ya kutosha ambayo ndio humsaidia kumjenga kihisia pamoja na kisaikolojia Moja ya vitu hivyo ni k**a
MFUMO WA UMEME MWILINI
Licha ya kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume lakini ili uweze kushiriki tendo kwa ufasaha ni lazima mfumo wa nerve system uweze kufanya kazi yake kwa ufasaha kwa maana ya kwamba taarifa zinatakiwaa zitembee kutoka kwenye nncha ya uume kwenye kwenye mfumo wa fahamu ili ziweze kutafsiriwa na kurudi tena ili kuruhusu kupata msisisimko wa kihisia ila ikitokea huu mfumo haujakaa sawa unaweza kupata tatizo la kuwahi kufika kileleni ama kukosa hamu ya tendo
KUKOSA VIRUTUBISHO MUHIMU
Kwa watu ambao wamejichua kwa muda mrefu wanapunguza madini mengi sana mwilini na k**a mtu huyu hatotumia vyakula vyenye hivyo virutubisho ni ngumu sana kuvipata hivyo anaweza kupata changamoto ya kuvurugika kwa hormones ama mnegu zake kuwa zilizo dhoofika na zitakuwa zinatoka kwa uchache mno lakini ambazo hazina uwezo wa kuruka mbali kutokana na kupungukiwa kwa madini muhimu mwilini.
Hivyo ikitoke unashiriki tendo halafu uume unasimama lakini huna hisia ama unawahi kufika kileleni ama pengine unachelewa kurudia tendo jua kuwa mwili wako umepungukiwa na madini muhimu kwa ajili ya mfumo wa uzazi lakini pia mfumo mzima wa nerve za mwili hivyo ili kuweza kuondokana na hizi changamoto ni vema ukatumia virutubisho ili kuweza kurudisha madini yote muhimu
Kumbuka kushiriki tendo ni starehe ambayo kila mmoja anatakiwa aifurahie k**a unashiriki lakini hupati raha yoyote jua kuwa kuna tatizo Tuma ujumbe Whatsapp kwa kuandika neno HISIA
Whatsapp
0746748192
17/05/2022
SABABU ZINAZOPELEKEA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:
✍️Tendo hili hutokea pale mwanaume anapo mwingilia mwanamke kimwili,na humchukua dakika moja ama mbili tu,kumaliza tendo, baada ya hapo hukoswa hamu ya kuendelea tena, na uume wake huwa legelege..
✍️Sababu nyingine ni kupania,kuwa na hamasa kupitiliza,kuwa na uoga na matatizo mengine ya kiseikolojia..
✍️Uwezo mdogo wa ngozi ya uume kuhisi au kupata mguso wakati wa tendo,na matatizo ya neva za mwili..
✍️Sababu nyingine ni uume kushindwa kusimama(erectile dysfunction) kutokana na kulegea kwa msuli wa pelvic floor muscle.
✍️Kiwango kidogo cha homoni,uzalishwaji hafifu wa kemikali kwenye ubongo(neurotransmitters)..
✍️Sababu zingine ni za kijenetiki,maambukizi hususani magonjwa ya zinaa,na matatizo ya vimbe katika mfumo wa uzazi wa mwanaume..
DALILI ZA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:
📍Kumaliza mapema au kabla ya tendo,tatizo hili huweza kuwatokea hata wale wanaofanya punyeto,wana weza kufika kileleni mapema tu,lakini wakati huo huo kufanya punyeto ni sababu moja wapo ya tatizo..
📍Dalili zingine ni,kuboreka,kughadhabika na uoga wa kumkalibia mwenza wako..
Tafiti zinaonesha kuwa kati ya wanaume watatu,mwanaume mmoja ana tatizo la kufika kileleni mapema au kabla, wakati wa tendo la ndoa!!
Hili tatzo kwa kweli linakosesha amani Sana, yaani usikubali kuliacha liwe sugu litakusumbua Sana, litakupatia stress Sana.
Kwa msaada ama ushauri Tuma ujumbe Whatsapp kwa kuandika neno BABA RIJALI
Whatsapp
0746748192
16/05/2022
CHAKULA CHA KUIMARISHA TENDO LA NDOA!
HAUHITAJI KUBEEP TENA💪💪!!! Shida kubwa katika mambo ya nguvu za kiume ni pamoja na tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema, misuli ya uume kulegea hivyo uume kushindwa kusimama vizuri,kushindwa kurudia tendo la ndoa baada ya mzunguko wa kwanza, kukosa hamu kabisa hasa kwa wanandoa limekuwa tatizo la wanaume wengi sana.
Mfumo wa sasa wa maisha watu wengi tunakula vyakula vilivyojaa usasa mwingi sana, Hali ya hewa ya sasa INA uchafuzi mkubwa sana hivyo tunaingiza sumu nyingi sana mwilini ambazo zinaenda kuathiri mfumo wa ndani ya mwili ikiwemo mfumo wa uzazi.
Kujichua/ musturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima pia huchangia MTU kukosa nguvu za kiume.
Zaidi ya asilimia 60% ya wanaume wote duniani wanakumbwa na hili tatizo na limesababisha ndoa nyingi kuvunjika.
Imekuwa dhahiri kuwa ni vigumu mno kwa mwanaume kula mlo uliokamilika KILA SIKU kwa mwezi mzima. Yani mlo wenye virutubisho vyote muhimu kwa ajili ya kuimarisha tendo la ndos. Ndiyo maana unahitaji kupata virutubisho vya nyongeza ili mwili wako usikose kabisa vitu muhimu katika kuimarisha zoezi la tendo la ndoa.
Tayari watu wengi tumewasaidia na leo hii wanafurahia ndoa zao kupitia virutubisho vifuatavyo:
FAIDA ZA ARG PLUS
* inaongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote Mbili akina baba na akina mama stamina na nguvu wakati wa tendo la ndoa
* inasaidia kuondoa msongo wa mawazo
* inasaidia Kuongeza idadi ya mbegu za kiume s***m count na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri( mobility)
* inasafisha mwili na kupunguza kazi ya kuzeeka haraka
* inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini hivyo kuboresha hamu ya tendo la ndoa kwa watu wenye changamoto ya sukari
* husaidia kurekebisha na kujengeka kwa mifupa na kazi za misuli
* husaidia ufanisi mzuri kazi na moyo.
* husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulioganda hivyo kuweka standard pressure
* husaidia damu kusafiri vizuri sehemu mbali mbali za mwili
NI PRODUCTS ASILIA NA SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, HAZINA MADHARA YOYOTE, ZIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI. .
Tuma Ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0746748192 au piga simu
15/05/2022
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.
2)Kuhisi harufu mbaya, kichefuchefu mara tu baada ya Kimwaga mbegu za Kiume.
3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito.
4)Kuhisi maumivu kwenye korodani baada ya kumaliza tendo la ndoa.
5)Mwili kukinai na kuhisi ganzi mwili nzima.
Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na K**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?
Jaribu kuangalia performance yako ya tendo kwa miaka mitatu iliyopita.Alafu lingalisha na performance yako ya sasa, utagundua tofauti kubwa.
Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0746748192 au piga simu usaidiwe haraka
14/05/2022
FAHAMU KUHUSU NGUVU ZA KIUME
Upungufu wa nguvu za kiume :Ni ile hali ya mwanaume kuto kushiriki tendo la ndoa kwa ufasaha, Tatizo hili linapotokea huambatana na athari nyingine k**a matatizo ya kisaikolojia hivyo kusababisha mwanaume kushindwa kujiamini.
Kwa kawaida mwanaume ili Aweze kufanya tendo la ndoa kiufasaha unaitajika ushirikiano wa mifumo minne.
1)Mfumo wa mishipa ya damu ambayo huingiza damu katika uume.
2)Mfumo wa neva za fahamu ambao hutoa taarifa kutoka kwenye ubongo hadi kwenye uume na kurudisha taarifa kutoka kwenye uume kwenda kwenye ubongo.
3)Mfumo wa homoni na vichocheo vya mwili vinavyohitajika kuchochea mishipa ya damu kutanuka ili uume ufanye kazi na mfumo wa akili na saikolojia.
4)Mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, k**a haupo vizuri apa utaanza kupata shida za choo mwisho Bawasili hatimae matatizo mengine yatakuja.
Kwa kawaida; uwezo wa ufanyaji kazi wa viungo vya uzazi vya mwanaume hupungua kadri umri, unavyokwenda.wanaume 100 wenye umri wa miaka 20 hadi 75, changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume huathiri wanaume 16, Kiwango huwa kikubwa kwa wazee , kwa wastani wa asilimia 37 ya wazee wenye miaka 70 hadi 75 wanakabiliwa na tatizo hili.
Changomoto kubwa iliyopo sasa ni kwamba baadhi ya wanaume wanapoona uwezo wao utendaji kazi wa uume umepungua huamua kujinunulia dawa k**a vi**ra au za asili bila kufahamu chanzo cha tatizo.
K**a una changamoto katika mfumo wa Uzazi pata ushauri bure na msaada kwa kutuma neno AFYA ZAIDI kwenda WhatsApp namba 0746748192 au piga simu usaidiwe mapema.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam