Afya one trend

Afya one trend

Share

Tunawasaidia watu kutatua changamoto ya vidonda vya tumbo, bawasiri, uzito uliopitiliza pamoja na nguvu za kiume.

TUMA UJUMBE AFYA JAMII KWENDA #WHATSAPP +255716374464 AU PIGA SIMU

06/02/2023

Msimu wa nanasi ni msimu mzuri Sana kwetu kwani endapo utakuwa mtumiaji mzuri wa nanasi utanufaika na yafuatayo👇

22/01/2023

Unafahamu athari za uzito mkubwa katika afya yako ya uzazi?

27/10/2022

*CHANZO CHA MAGONJWA YA MENO*

Chanzo cha magonjwa ya meno kwa asilimia kubwa ni mitindo ya maisha tukimaanisha usafi, ulaji, mazingira na tabia mbalimbali, mambo yanayoweza kukusababishia kupata matatizo ya meno ni k**a;

Kuto kusafisha mdomo pamoja na meno
Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
Kuto kupata tiba ya kisukari na ugonjwa wa moyo
Kuvuta sigala
Kuwa na magonjwa yanayopunguza kinga ikiwemo na ukimwi
Kubadilika kwa baadhi ya homoni
Umri
Utumiaji wa madawa yenye kemikali nyingi huharibu mfumo wa vimiminika vinavyofanya mmeng’enyo
Historia magonjwa yanayoambatana na meno katika familia
Mazingira

Kwa usalama zaidi unashauriwa upate dawa ya meno asilia inaitwa Forever Bright toothgel , hii itaweka meno yako kwenye hali safi na salama zaidi.

03/10/2022

MBINU ZA KUONGEZA IDADI YA MBEGU (SPERMS) . .
1. Kula lishe bora Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo hili. Vyakula vingi vya kisasa havina uwezo wa kuongeza uwingi wa mbegu. K**a utarekebisha tu aina ya chakula unachokula kunaweza kupelekea kutibu tatizo lako. Punguza matumizi ya sukari na vyakula vya ngano. Ongeza zaidi matunda, mboga za majani na mafuta yenye afya. Hii inaweza kusaidia kutibu tatizo lako la kuwa na mbegu chache kwa haraka sana.
2. Acha kutumia vinywaji au vyakula vyenye kaffeina K**a una tatizo la kuwa na mbegu chache ni vizuri ukaacha kutumia vinywaji au vyakula vyote vyenye kaffeina kwanza. Navyo ni pamoja na chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi zote, malta, redbull, chokoleti nk. Hivi vitu vyenye kaffeina ni sababu ya kupungua kwa uwingi wa mbegu za kiume.
3. Tumia kitunguu swaumu Kitunguu swaumu ni maajabu ya Mungu mwenyewe. Kitunguu swaumu kina Selenium na pia kinaondoa sumu mwilini vitu viwili mhimu kwa ajili ya kuongeza spidi ya mbegu. Kitunguu swaumu kina kitu kingine kiitwacho ‘Allicin’ ambacho huongeza msukumo wa damu kwenda kwenye uume. Ongeza kitunguu swaumu kwenye chakula unachopika. Pia unaweza kutafuna punje 2 au 3 kila unapoenda kulala au unaweza kukatakata hizo punje 3 vipande vidogo vido (chop) kisha unywe na maji. Usizidishe zaidi ya punje 3 kwa siku.
4. Kula ndizi Ndizi hazifanani tu na uume k**a unavyoweza kuwaza bali pia ni chakula kizuri kwa ajili ya afya ya uume wako. Ndizi zina kimeng’enya kimoja adimu sana kijulikanacho k**a ‘Bromeliad’ ambacho husaidia kuziweka sawa homoni zinazohusiana na tendo la ndoa. Ndizi pia zina Magnesiamu, Vitamini B1 na Vitamini C, vitu ambavyo ni mhimu sana kwa ajili ya kutengeneza mbegu za kiume.
5. Kula mbegu za maboga Mbegu za maboga zina kiasi kingi ccha madini ya Zinki ambayo ni mhimu katika kuundwa au kutengenezwa kwa mbegu za kiume na homoni ya testosterone. Pia zina vitamini B, C, D, E, na K ambazo zote ni vitamini mhimu katika kuongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa na nguvu kwa ujumla. Pia mbegu za maboga zina kalsiamu, potasiaumu, niacin na phosphorous.

29/09/2022

*VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCERS DIESEASE)*
Vidonda vya tumbo ni matokeo ya kuharibika kwa ukuta wa ndani ya ukuta wa tumbo chakula au ndani ya utumbo mdogo wa chakula na matokeo yake ni ukuta wa tumbo kugusana na tindikali iliyoko tumboni ambayo ni kali sana k**a maji ya betri.

>Vidonda vya tumbo husababishwa na maambukizi ya bacteria waitwao *HELICOBACTERPYLORI*, aidha matumizi ya dawa za kutuliza maumivu jamii ya *NON-STEROIDS ANTI INFLAMMATORY DRUGS k**a vile ASPIRIN/DICPLOFENAC* huweza kusababisha uwezekano wa kupata ugonjwa huu.

>Vidonda vya tumbo vinaweza kujitokeza ktk utumbo mdogo na ktk tumbo la chakula na pia mara chache huweza kujitokeza katika koo la chakula ambapo hapakukusudiwa kustahimili tindikali ya tumbo .

>Ni ajabu tu kwamba kimelea cha HELICOBACTERPYLORI kina uwezo wa kuishi ndani ya tumbo la chakula licha ya tindikali iliyomo katika tumbo ni kali sana kiasi kimelea hiki kisingeweza kuishi tumboni ila kuna sababu za kisayansi zinazofanya kimelea hiki kustahimili tindikali na kusababisha vidonda vya tumbo .

*AINA YA VIDONDA VYA TUMBO*

*1.GASTRIC ULCERS*
Hivi ni vidonda ambavyo vinatokea kwenye mfumo wa chakula yaani tumboni.

*2.DUODENAL ULCERS*
Hivi ni vidonda vinavyotokea katika utumbo mdogo.

*3.OESOPHAGEALS ULCERS*
Hivi ni vidonda vinavyotokea katika koo/koromeo la chakula

*HATUA KUU ZA VIDONDA VYA TUMBO*
ugonjwa huu una hatua nne(4) ambazo ni:-
*HATUA YA KWANZA*
Hatua hii ya kwanza ya ugonjwa huu ni ule uvimbe sugu unaotokea sehemu ya ndani ya tumbo.

*HATUA YA PILI*
Hatua hii ya vidonda hujitokeza sehemu zenye uvimbe na taratibu vidonda hivyo huongezeka na kuwa vikubwa katika hatua hii mgonjwa hupatwa na maumivu makali ya tumbo yanayodumu kwa muda mrefu yakiambatana na kiungulia, tumbo kujaa gesi wakati wote, kukosa hamu ya kula,choo kuwa kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu, hata hivyo hali hii ya kukosa choo kwa muda mrefu (CHRONIC DYSPEPSIA) yaani kushindwa kufanya kazi kwa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kutokana na tindikali nyingi inayozalishwa tumboni huingia kwenye mzunguko wa damu hivyo mgonjwa hujisikia uchovu na kizunguzungu cha mara kwa mara katika hatua hii tindikali husababisha magonjwa ya ini na figo kwa kuwa ipo katika mfumo mzima wa damu.

*HATUA YA TATU*
Hii ni hatua ambayo ni ya hatari kwa sababu vidonda vikubwa hupasua mishipa yote midogomidogo ya damu na kusababisha damu kuvia tumboni na kubadilisha rangi ya choo kuwa sio ya kawaida,pia damu nyingi ikivujia tumboni mgonjwa hutapika na kuharisha damu hali hii husababisha mgonjwa kuishiwa damu mara kwa Mara, maumivu mkali ya tumbo, hupata homa, maumivu ya viungo na kukosa hamu ya kula.

*4.HATUA YA NNE*.
Katika hatua hii saratani ya utumbo inahusika Kwani katika hatua hii vidonda ya tumbo hutengeneza tundu katika tumbo au utumbo mdogo na husababisha kuoza kwa viungo vya ndani na matokeo yake ni saratani ya utumbo.

*VISABABISHI VYA VIDONDA VYA TUMBO*
visababishi vya ugonjwa huu vipo vingi sana hivyo yatupasa tuviepuke ili kujiepusha na ugonjwa huu.Vifuatavyo ni visababishi vichache vya ugonjwa huu:-
-Utumiaji wa madawa ya kuondoa maumivu kwa muda mrefu.

-Mawazo na huzuni kwa muda mrefu.

-Kutokuwa na muda maalum wa kula

-Utumiaji wa pombe uliopitiliza

-Utumiaji wa madawa ya kulevya nk

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*
~Dalili za vidonda vya tumbo ni nyingi ila sio wote wanye dalili hizi wana vidonda vya tumbo
•Maumivu makali au kiungulia maeneo ya chembe moyo (EPIGASTIC PAINS).

•Kuvimbiwa au tumbo kujaa gesi,hali hii huweza kuendana na kucheua au kujamba mara kwa mara.

•Kutapika damu

•Mtu mwenye vidonda vya tumbo (GASTRIC ULCERS) hupata maumivu makali pindi anapokula au amalizapo kula.

•Mtu mwenye vidonda vya tumbo katika utumbo mdogo(DUODENAL ULCERS) hupata maumivu makali pindi anapokuwa na njaa.

•Kupoteza hamu ya kula

•Kupungua uzito

•Kupata haja kubwa yenye range ya damu tena chenye harufu mbaya .

*MATIBABU NA JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU*
Matibabu ya ugonjwa huu yanapatikana vizuri nchini mwetu ila tatizo ni tiba yenyewe kutokuwa nawataalam wa kutosha wa kutibu chanzo na kumaliza tatizo pasipo kuleta matatizo mengine kutokana na matibabu yenyewe kuhusisha mfumo wa dawa za kemikali ambazo zina madhara kwa mhusika na pia zina maudhi mengi hivyo tiba bora kwa vidonda vya tumbo ni mlo kamili na dawa zisizo na kemikali pia tunapaswa kuepuka baadhi ya vyakula na kuzingatia masharti

*MAMBO YA KUFANYA KWA*
*MWENYE VIDONDA VYA TUMBO*
1.Epuka kula vyakula vyenye viungo vingi mfano pilau

2.Epuka kutumia pombe

3.Epuka ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi

4.Kula chakula kidogo kwa wakati maalum

5.Kula vyakula vyenye fiber yaani vyakula vyenye nyuzinyuzi ambavyo ni jamii ya mbogamboga

6.Tengeneza juice ya kabichi na karoti ni Tiba tosha ya vidonda vya tumbo

7.Epuka unywaji wa kahawa au kinywaji chochote chenye caffeine kiepuke

8.Epuka vyakula vyenye ngano.

*HABARI NJEMA KWAKO*
Tuzungumze afya wameweza kukuletea bidhaa zenye uwezo mkubwa wa kutatua changamoto za vidonda vya tumbo,hivyo huna haja tena ya kuhofia tena changamoto yako hata k**a uliteseka kwa muda mrefu.

K**A UNASUMBULIWA NA CHANGAMOTO HII WASILIANA NASI UJIPATIE DAWA YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA NAMBA
+255716374464

29/09/2022

Kitendo cha baadhi ya viungo hivyo kutofanya kazi vizuri basi hapo hutokea upungufu katika nguvu za kiume. Upungufu huo unaweza kuwa ni:

1. Kukosa hamu ya mapenzi; au

2. Uume kusimama kwa uregevu; au

3. Kuwahi kufika kileleni; au

4. Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa); au

5. Kushindwa kurudia tendo la ndoa; au

6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo; au

7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji; au

8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu;

Ndugu msomaji, ili uelewe vizuri zaidi labda niseme kwamba, nguvu za kiume ni kiwanda; na ni zaidi ya kiwanda. Ndani ya kiwanda kuna umeme, maji, madawa, watu (wafanyakazi wa kila taaluma na fani), mashine, mitambo n.k.

Ikitokea kitu kimojawapo kukosekana, mathalani umeme, au wafanyakazi wakagoma, au kukakosekana madawa muhimu au maji na kadhaa wakadha, basi bidhaa inayotarajiwa kupatikana sokoni, kwa hakika haitapatikana.

Vivyo hivyo nguvu za kiume, mathalani, ikitokea tezidume kutofanya kazi vyema, basi hapo mwanaume hatoona nguvu za kiume, zitapungua au zitaisha kabisa!
Nakushauri utumie dozi ya virutubisho mapema ili hii miundombinu unayoiona iweze kujengwa vizuri. *Arg plus na Multimaca* vinakuja ku-renew system nzima ili ufanye tendo kwa ufanisi zaidi
TUMA UJUMBE NENO TUZUNGUMZE AFYA kwenda whatsapp +255716374464

25/09/2022

K**A UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE

Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara

Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona k**a hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu.

Sasa k**a unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital

Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe

Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba +255716374464 nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote.

18/09/2022

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.
👇
Pelvic floor muscle Ni msuli ambao umeshikilia Uume ,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu .Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

Msuli huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo.(K**a unavyoona kwenye picha ,Hiyo sehemu iliyozungushiwa duara). Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

Moja, Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa.

Mbili,Kuvimbiwa (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea.

Tatu,Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa.

Nne, Kujichua/punyeto.Punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu.

Ikiwa huu msuli wa pelvic floor Ni imara utakuta shahawa zinatoka kwa Kasi na kwa nguvu zinaruka mbali na kwa Presha kubwa .Basi msuli huu ndio hufanya hiyo kazi.

Ukilegea shahawa zinatoka kwa uvivu , zinadondoka tu chini.

Tano, Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani

Sita; Ni UMRI , yaani kadri umri unavyoongezeka na uhifadhi wa virutubisho mwilini unapungua. Kupungua kwa virutubisho muhimu mwilini kunafanya mifumo yako idhoofike kiutendaji. Hivyo utahitajika upate dozi sahihi ya virutubisho asilia ili kufanya mifumo yako hasa Mfumo wa uzazi urudi kwenye ubora wake

Kwa upande wa Wanawake msuli huu ukilegea husababisha Uke kupanuka Sana na kuwa mlegevu.kubaini K**a anatatizo hili Ni kuingiza kidole ukeni alafu ajaribu kukibana akishindwa Basi misuli ya pc imelegea.

Waathirika wakubwa wa msuli huu wengi wao ni watu wa maofisini wanaokaa muda mrefu sehem moja, madereva wa magari na bodaboda, wanaojichua, wenye uzito uliopindukia, kisukari ,vidonda vya tumbo nk.
Suluhisho linahitajika mapema sana kabla msuli huo haujaaribika sana. Likiwa sugu litakusumbua.

👇👇👇
Suluhisho linahitajika mapema kabla changamoto haijawa sugu

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam