Africa HealthCare
Nasaidia watu wenye changamoto k**a PID,Vimbe kwenye kizazi,Tezidume,Bawasiri,Mifupa na maungio,Sukar
28/10/2022
DALILI ZA FANGASI
●Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara
●Vipele vidogo vidogo ukeni
●Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya
●Vidonda au kuwa na michubuko ukeni
●Kutokwa na harufu mbaya ukeni
Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa au tumbo La chini
●Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.
●Kuwaka moto ndani na nje ya uke.
Fangasi Isipotibiwa huingia mpaka kwenye kizazi na kusababisha pid
Nina Dawa Ya Kutibu na kuzuia Fangasi
Mawasiliano 0786551476
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam