tina_afyayako
afya
16/08/2024
Pumzika kwa aman babu
15/04/2024
UKIJIGUNDUA TU UNA UJAUZITO ANZA PREGNANCY KIT MAPEMAA SANA!HII ITAKUSAIDIA KUKUWEKA SAWA NA KUKUEPUSHA NA CHANGAMOTO NYINGI SANA ZA UJAUZITO,K**A KUTAPIKA,KUTEMA MATE,KUISHIWA DAMU,NGOZI KUHARIBIKA,KUVIMBA NK!Pata Package Yako Kwa 0716 061616
12/04/2024
Mvurugiko wa homoni ni changamoto inayowasumbua wanawake wengi siku izi. Ubaya au uzuri wake ukiwa na homoni imbalance unakuwa hauna homa ivyo ni ngumu sana gundua kma una iyo changamoto k**a ujafanya check up .
Kwa ushauri na tiba
Piga au whatsapp π 0716 061616
29/03/2024
JE WEWE NI MAMA ULIETOKA KUJIFUNGUA NA TUMBO LAKO LIMEKUA KUBWA SANA NA KUTEPETA, TUMIA BODY TONER AMBAYO INASAIDIA KUONDOA MAFUTA TUMBONI NA KUKAZA MISULI YA TUMBO.
NA WEWE AMBAE UMENENEPA SANA NA UNATAKA KUPUNGUA NIMEKUANDALIA PROTEIN SHAKE NA MEAL PLAN UTAPUNGUA VIZURI SANA NA MAZIWA YATAZIDI KUMWAGIKA.
0716061616
29/03/2024
KATA KITAMBI NA MANYAMAUZEMBE KWA KUTUMIA BODY TONER AMBAYO INAONDOA MAFUTA TUMBONI NA KUKAZA MISULI YA TUMBO.
0716 061616
23/03/2024
ππ Tumia njia hii rahisi na ya haraka sana Pigia mstari mzunguko wako Kati ya *mizunguko kuanzia mzunguko wasiku (22 Hadi 36)* Angaria dondoo hizi muhimu Kuhusu mzunguko wasiku zako
1οΈβ£ *Line yakwanza inaonyesha mzunguko wasiku zako*
2οΈβ£ *Line ya pili nisiku ya yai kupevuka hii nisiku ambayo yai la mwanamke rasmi uachiliwa Kwahajiri*
3οΈβ£ *Line yatatu nisiku salama za Mwanzoni kablaa yakuingia kwenye Siku za hatari/uzazi*
4οΈβ£ *Line ya nne nisiku zakubeba ujauzito pigia mstari mzunguko wako Angaria Tarehe ambazo unaweza kubeba ujauzito*
5οΈβ£ *Line ya Tano nisiku salama baada yakutoka kwenye Siku zahatari*
π *Je ume elewa hii njia rahisi*
π *K**a ujaelewa niwapi ambapo wewe ujaelewa Ili tueleweshane*
tina_afyacare
23/03/2024
MAMA MJAMZITO UMEANZA KUTUMIA PREGNANCY KIT
INAONDOA MAUDHI YOTE YA MIMBA
UNAKUA NA NGUVU MWANZO MWISHO
HAUVIMBI WALA KUPARARA
INAZUIA MISCARRIAGE
HII KITU NI MUHIMU MNOO K**A UNATAKA KUWA NA SAFARI SMOOTH YA MIMBA
NIPIGIE UJIPATIE PACKAGE YAKO 0716061616
15/03/2024
Fahamu sababu zinazoweza kusababisha ukashindwa kabisa kubeba ujauzito siku za usoni au hata kwa sasa zinaweza kuwa ndio chanzo cha wewe unaangaika kutafuta mtoto bila mfanikio
π Hormone imbalance
πMirija kuziba au kujaa maji
π Uvimbe kwenye kizazi au mayai
πK**a hupati ute wa ovulation
π Magonjwa k**a PID UTI na kutokwa na uchafu ukeni
πK**a unahistoria ya kutoa mimba
π Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango k**a kijiti sindano na vidonge
π Unahistoria ya kutumia P2
π Matumizi ya madawa ya kulevya na sigaran.k
Hizi ni baadhi tu ya vitu ambavyo vinaweza kusababisha mwanamke akashindwa kabisa kubeba mimba hakikisha kila kitu kwenye afya yako ya uzazi kipo sawa ukiona kuna hali uelewi chukua hatua ya kutibu ili iwe rahisi wewe kuitwa mama
Kubwa kuliko ni kwamba ndani ya fertility booster yetu tunatibu hivi vyote kwa iyo dose lakini pia unapata dawa ya kuondoa sumu kwenye mfumo wa uzazi hasa kwa wale waliokuwa wanatumia uzazi wa mpango au wamewahi kutoa mimba inakuwa rahisi sana kupata ujauzito
Kwa ushauri zaidi piga simu au Whatsapp #0716061616
15/03/2024
Unatokwa na maziwa huna mimba hunyonyeshi ila tu yanatoka shida ipo kwenye hormone
15/02/2024
Tuna dawa ya kutibu hili tatizo na kumaliza kabisa ikiwa unapatwa miwasho sehemu za siri mwanamke Unatokwa na uchafu k**a maziwa mtindi na harufu mbaya tutafute tukusaidie suluhisho la kudumu #0716061616
15/02/2024
Mama mjamzito ni muhimu sana kuzingatia matumizi ya VIRUTUBISHO ili kupata faida zifuatazo;
1. Usitapike sana
2. Usipate kichefuchefu cha mara kwa mara
3. hamu ya kula
4. Inasaidia usichoke sana
5. Kiungulia
6. Kukosa hamu ya s*x
7. Usivimba sana
8. Usiishiwe damu
9. Mimba zisiharibike
10. Usizae pre mature baby
11. Mtoto asizaliwe na kasoro ya viungo
12. Mtoto asizaliwe na magonjwa ya kurithi
13. Kumkinga mtoto na mgongo wazi, kichwa kikubwa, mdomo sungura nk
14. Huimarisha ubongo, macho, mifupa, maskio, ngozi ya mtoto na mama.
#0716061616
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Sinza
Dar Es Salaam
16102