Afya yetutz
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya yetutz, Health/Beauty, pangani, Dar es Salaam.
03/12/2021
JE! WE NI MIONGONI MWA WANAO SUMBULIWA NA BAWASIRI KWA MDA MREFU BILA YA MAWANIKIO
*Usikate tamaa* , njoo hakala upewe suluhisho la bawasiri kwa mda mfupi sana
▶️Bawasiri sio ugonjwa wa kuambukiza.
▶️Bawasiri ukifanya upasuaji mdogo hospitali inarudi kwa uraisi sana.
▶️Asilimia 93% ya wagonjwa wote wenye tatiz hili hawajui chanzo chake, Na ivyo upelekea kutokupona mala baada ya kutumia dawa mbali mbali.
▶️ *Ofa hii ni bure* . Utapatiwa njia nyepesi kabisa kutatua tatiz lako vizuri kabisa.
🚫Hakikisha unabofya link pale kwenye profile yetu, Uingie kwenye whtspp yetu moja kwa moja ili kupata suluhisho kwa halaka. Au piga simu hii upate msaada kwa halaka sana
( *0752962267* )
03/12/2021
*FAHAMU SIRI KUBWA YA BAWASIRI YA NDANI NA NJE NA TIBA YAKE*
*BAWASIRI NI NINI?*
*>* Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kupelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*CHANZO CHA BAWASIRI NI*
■Kukaa sehemu moja kwa muda mrefu *mfano* madereva
■Tatizo sugu la kuharisha.
■Uzito wa mwili kupita kiasi.
■Kufanya tendo la ndoa kupitia tundu la haja kubwa *(kulawitiwa)*
■Kupata haja kubwa ngumu.
■Kuwa na mgandamizo mkubwa tumboni.
■Kunywa pombe.
■Kula sana nyama nyekundu.
■Vidonda vya tumbo.
■Ngiri(Chango/Hernia
■Kula sana pilipili.
■Kunyanyua vitu vizito.
*DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI*
■Kupata muwasho mkali katika eneo la juu ya haja kubwa
■Kujitokeza kwa kinyama katika eneo la haja kubwa.
■Kutokwa na kiuvimbe katika tundu la haja kubwa.
■kujisaidia kinyesi chenye damu.
■Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa.
■kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa.
■Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa.
■Uume kusinyaa. *(unapoteza urefu na ukak**avu)*
*MADHARA YA BAWASIRI*
■Upungufu wa damu mwilini.
■Kutokwa na kinyesi bila kujitambua.
■Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
■Kupungukia nguvu za kiume *(kwa wanaume)*
■Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu.
■Kupata tatizo la kisaikolojia.
■Kutopata ujauzito.
■Mimba kuharibika.
■Kuwepo na wezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo *(Cancer)* kwasababu ya kile kinyama kinachokaa k**a kidonda.
Kwanini uendelee kuteseka na tatizo ili?
*Bofya hapa kupata SULUHISHO la BAWASIRI*
Wa.me/255752962267
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Pangani
Dar Es Salaam
1234