Afya yetutz

Afya yetutz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya yetutz, Health/Beauty, pangani, Dar es Salaam.

Photos 03/12/2021

JE! WE NI MIONGONI MWA WANAO SUMBULIWA NA BAWASIRI KWA MDA MREFU BILA YA MAWANIKIO

*Usikate tamaa* , njoo hakala upewe suluhisho la bawasiri kwa mda mfupi sana

▶️Bawasiri sio ugonjwa wa kuambukiza.

▶️Bawasiri ukifanya upasuaji mdogo hospitali inarudi kwa uraisi sana.

▶️Asilimia 93% ya wagonjwa wote wenye tatiz hili hawajui chanzo chake, Na ivyo upelekea kutokupona mala baada ya kutumia dawa mbali mbali.

▶️ *Ofa hii ni bure* . Utapatiwa njia nyepesi kabisa kutatua tatiz lako vizuri kabisa.

🚫Hakikisha unabofya link pale kwenye profile yetu, Uingie kwenye whtspp yetu moja kwa moja ili kupata suluhisho kwa halaka. Au piga simu hii upate msaada kwa halaka sana
( *0752962267* )

03/12/2021

*FAHAMU SIRI KUBWA YA BAWASIRI YA NDANI NA NJE NA TIBA YAKE*

*BAWASIRI NI NINI?*

*>* Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kupelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

*CHANZO CHA BAWASIRI NI*

■Kukaa sehemu moja kwa muda mrefu *mfano* madereva

■Tatizo sugu la kuharisha.

■Uzito wa mwili kupita kiasi.

■Kufanya tendo la ndoa kupitia tundu la haja kubwa *(kulawitiwa)*

■Kupata haja kubwa ngumu.

■Kuwa na mgandamizo mkubwa tumboni.

■Kunywa pombe.

■Kula sana nyama nyekundu.

■Vidonda vya tumbo.

■Ngiri(Chango/Hernia

■Kula sana pilipili.

■Kunyanyua vitu vizito.

*DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI*

■Kupata muwasho mkali katika eneo la juu ya haja kubwa

■Kujitokeza kwa kinyama katika eneo la haja kubwa.

■Kutokwa na kiuvimbe katika tundu la haja kubwa.

■kujisaidia kinyesi chenye damu.

■Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa.

■kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa.

■Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa.

■Uume kusinyaa. *(unapoteza urefu na ukak**avu)*

*MADHARA YA BAWASIRI*

■Upungufu wa damu mwilini.

■Kutokwa na kinyesi bila kujitambua.

■Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.

■Kupungukia nguvu za kiume *(kwa wanaume)*

■Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu.

■Kupata tatizo la kisaikolojia.

■Kutopata ujauzito.

■Mimba kuharibika.

■Kuwepo na wezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo *(Cancer)* kwasababu ya kile kinyama kinachokaa k**a kidonda.


Kwanini uendelee kuteseka na tatizo ili?

*Bofya hapa kupata SULUHISHO la BAWASIRI*

Wa.me/255752962267

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Pangani
Dar Es Salaam
1234