Afya bora

Afya bora

Share

health consultant

09/08/2022

Bawasiri ni nini?

Bawasiri ni kuvimba kwa mishipa ya damu iliyopo ndani ya au katika eneo linalozunguka njia ya haja kubwa. Ni hali ambayo inaweza kusababisha nyama kujitokeza nje. Hivyo bawasiri inaweza kuwa bawasiri ya ndani au bawasiri ya nje. Ugonjwa huu unaweza kusababisha mwasho, maumivu na damu au k**asi kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa ingawa wakati mwingine hauna dalili.1 Madhara ya bawasiri ya ndani ni pamoja na damu kutoka wakati wa kujisaidia, damu kuganda ndani ya mishipa ya damu na maumivu.

Kutokea kwa bawasiri kunaweza kuhusishwa na hali k**a uzee, ujauzito, kuharisha au choo kufunga (constipation), saratani kwenye nyonga au kukaa kwa muda mrefu. Tiba ya bawasiri inategemea aina ya bawasiri na ukubwa wa tatizo. Matibabu ya bawasiri yanaweza kuhusisha matumizi ya dawa au upasuaji mdogo.

CHANZO CHA BAWASILI

Bawasiri hutokea pindi mishipa inayozunguka sehemu ya kutolea haja kubwa kwa ndani kwenye kuta zake kuumia au kukandamizwa kwa kushuka chini na kuvimba.

Bawasiri inaweza kukuza kutoka kwa shinikizo lililoongezeka kwenye puru ya chini kwa sababu ya:

1. Kuwa na Kinyesi kigumu (Constipation)

2. Kuketi kwa muda mrefu kwenye choo

3. Kuharisha (Kuhara) mara kwa mara

4. Kuvimbiwa

5. Kuwa mnene au mzito

6. Kuwa mjamzito

7. Kuingiliwa nyuma kimaumbile

8. Kutokula vyakula vyenye nyuzinyuzi

9. Kuinua/Kunyanyua vitu vizito mara kwa mara

10. Kunyoosha wakati wa haja kubwa

DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI

Ishara na dalili za bawasiri kawaida hutegemea aina ya Bawasiri

BAWASIRI YA NJE
Hizi ziko chini na nje ya ngozi karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa. Ishara na dalili zinaweza kujumuisha:

1. Kuwasha katika maeneo yaliyozunguka sehemu ya haja kubwa

2. Maumivu au usumbufu

3. Kuvimba kuzunguka sehemu ya kutolea haja kubwa

4. Mara nyingine yaweza Kuvujadamu au k**a michubuko

5. Kutokwa na kinyama baada ya kwenda haja

BAWASIRI YA NDANI
Bawasiri ya ndani iko ndani ya sehemu ya kutolea haja. Kawaida huwezi kuziona au kuzihisi, na mara chache husababisha jbisha:

1. Kutoa haja/kinyesi chenye damu na maumivu yasiyo makali. Unaweza kuona kiasi kidogo cha damu nyekundu kwenye haja yako.

2. Maumivu na muwasho sehemu ya haja

MADHARA YA BAWASILI.

1.Upungufu wa damu. Mara chache, upotezaji wa damu sugu kutoka kwa bawasiri unaweza kusababisha upungufu wa damu, ambayo hauna seli nyekundu za kutosha za damu kubeba oksijeni kwenye seli zako.

2.Bawasiri sugu /iliyoshonwa. Ambayo inaweza kusababisha maumivu makali.
3.kupata saratani katika njia ya haja kubwa kutokana na ufanyiwaji wa operation za mara kwa mara.

KWA MAELEKEZO ZAID NA TIBA KWANJIA YA ASILI WASILIANA NASI
CALL; 0672988656
WHATSAPP:0672988656

18/10/2021

Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.

Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa.
CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;

Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo

Kuvuta sigala na unywaji wa pombe

Uzito kupita kiasi na unene uliozidi

Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi

Kisukari

Kuwa na mawazo na wasiwasi

Matumizi ya madawa mbalimbali

Umri hasa wazee

Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili

Kuwa na tatizo la kibofu

Tabia za kujichua kwa mda mrefu

Kutopata usingizi kamili

Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;

Kuwahi kufika kileleni

Kukosa hamu ya mapenzi

Kushindwa kurudia tendo la ndoa

Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha

Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji

Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo

Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)

Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji

JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME

Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku

Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi

Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine

Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi

Balansi usito wako

Usivute sigara

Punguza au acha kunywa pombe

Punguza mawazo

Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali

Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9

Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi

Kunywa maji ya kutosha

Tuna dawa ya kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na ukubwa wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki mbili huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa utumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendekea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.
WhatsApp/ calls 0672988656/0621939099

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mlimanicity
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00