Nash Vipodozi

Nash Vipodozi

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Nash Vipodozi, Beauty, cosmetic & personal care, Dar es Salaam.

https://chat.whatsapp.com/DRDeINtjQQR6pxBnRYFcOn
kwa ngozi Nzuri, yenye kujiamini, na yenye mvuto, rangi moja mwili mzima ;
Tunapatikana K/koo mtaa wa mafia na jangwani
📞WhatsApp 0655686042
Tunauza jumla na Rejareja

25/05/2026
25/05/2026

Karibuni Nash Vipodozi ujipatie bidhaa original na za kipekee kwa jumla na rejareja.
Hapa namfungia oda mteja wangu wa Rwanda 🇷🇼. Tunatuma bidhaa nje ya nchi na mikoani kwa uaminifu mkubwa sana.

Karibuni kwenye group la jumla ujipatie bidhaa nzuri na very unique. Nash Vipodozi, uongo kwetu ni mwiko.

Tunapatikana Kariakoo, mtaa wa Mafia na Jangwani. Karibuni sana 🙌

21/05/2026

JAW WHITE EGG CRYSTAL SKIN 3.0 plus 650mg

➡️➡️PRICE 200,000/=

🔥🔥🔥 ni suppliment ya kung’arisha sanaaa imetengenezwa (formulated) in Japan ina vile virutubisho vizuri kabisaa (premium) vyoote ambavyo vinamaliza changamoto zote za ngozi
Ni injection treatment (IV drip) ya kwanza kubadilishwa kwenye mfumo wa vidonge. Namba moja kwa kutakatishaaa na kumaliza madoa ya aina yoyote pamoja na hyperpigmentation kwa uharaka sana

Inafanya kazi kwa ngozi za aina zote na matokeo yanawahi sana baada ya kutumia vidonge vitatu tu matokeo unayaona
Inamaliza changamoto zote za ngozi k**a chunusi,madoa,makovu,ngozi za mafuta na ngozi ambazo rangi hazijabalance inabalance rangi

➡️➡️ni Namba Moja kwa kumaliza makunyanzi na ile mikunjo migumu kunyooka shingoni,usoni,Mkononi na sehemu zingine
➡️➡️inalinda ngozi isiharibike na mionzi ya jua ivyo inazuia melasmaa na sunburn

➡️➡️inachochea uzalishwaji wa collagen chap chap ivyo ukitumia hii mikunjo inaisha chap chap Ngozi inakuwa laini k**a ya Mtoto

😆😆MSISAHAU İNABADİLİSHA RANGII HUTAKİ KUTAKATA SANA HII KITU USITUMIE

Ziko capsules 20

Unatumia siku 40

Unatumia leo Moja kesho unaruka unatumia tena kesho kutwa

Pia tuna collagen za aina tofauti tofauti, tunakupa kulingana na mahitaji yako.

Call WhatsApp/0655686042

14/05/2026

NOOHOOH WHITENING FACE AND BODY LOTION 140,000

Naomba nikutajie umuhimu wa hii lotion

📌Inaondoa white dots miguuni na mikononi
📌inaondoa weusi mwilini na usoni
📌Inang’arisha ngozi mnooo
📌haiachi sugu kabisa
📌inaongeze unyevu kwenye ngozi mnoo

Wahi kabla ya sold out ni raha sana kuuza vitu orginal jamani uwiii

Tunapatikana Kariakoo mafia na jangwani
Whatsapp/call 0655686042y

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Dar Es Salaam