Rejesha Urijali

Rejesha Urijali

Share

Boresha afya yako kupitia virutubisho

Photos from Rejesha Urijali's post 16/03/2026

๐ŸŒ… Habari za Asubuhi Wapendwa!

Je, umeanza siku yako kwa kujali afya yako?
Afya njema ndiyo msingi wa nguvu, furaha na mafanikio ya kila siku.

Bidhaa za Forever Living zimetengenezwa kwa kutumia Aloe Vera halisi kusaidia: โœ… Kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
โœ… Kuongeza kinga ya mwili
โœ… Kusaidia ngozi kuwa na muonekano mzuri
โœ… Kusaidia mwili kupata nguvu na afya bora

Anza siku yako na Forever Aloe Vera Gel au bidhaa nyingine za Forever, ujionee tofauti katika mwili wako

10/02/2026

FOREVER MULTIMACCA

Inatokana na mmea uitwakao maca au ledium meyeni kutoka nchi ya peru wenye history ya zaidi ya miaka 2000 kuongeza stamina mwilini .Haina madhara inafaida kubwa kwa mwanaume na mwanaume .Wanawake wa Peru wanaaanza kutumia wakiwa na umri wa miaka 3 ili wawe na nanguvu na hamu ya tendo la ndoa na uwezo wa kuzaa. Inaprotein nyingi katika mfumo wa amino Acid na virutubisho vingi vinavyosaidia kazi ya kuamsha ishara za hamu ya tendo la ndoa.

Ina maca (root)-500gm, Ina tribulus terrestsris(fruit 0-200gm, Munra puam(root)-200gm. Catuaba (bark)-200gm, Larginine -150gm,Saw palmetto (fruit)-150gm, Pygeum Africanum(back)-50gm, Co-Enzyme, Q-10-10gm, Soy Extract -10gm.

:FAIDA:

Aphrodiasiac activity_INAONGEZA HAMU YA MAPENZI KWA KINA MAMA NA KINA BABA KWA ASILIMIA ZAIDI YA 180 STAMINA NA NGUVU .

-Inasaidia kuondoa Depression (Msongo wa mawazo).

-Inasaidia kuondoa madhara ya kukomaa hedhi- menopause (homoni imbalance na kusikia joto kali- hot flashes)

-Inarutubisha mayai.

-Inaongeza Idadi ya mbegu za kiume(sperm count)kwa asilimia 200 na uwezo wa kuogelea vizuri (mobility).

-Inabalance kiwango Cha chuma Kwenye damu.

-Inasaidia kupromote matumizi ya Glucose kwenye damu kubadilishwa kuwa na nguvu na si kugeuzwa kuwa mafuta......

:โœ๏ธMatumizi ni mwezi mmoja siku 30 karibu niwewe uweze kujipatia Yako Sasa.

Kwa mawasiliano
๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž0712120284
๐Ÿคณ๐Ÿคณ๐Ÿคณโœ๏ธ WhatsApp+255712120284

23/12/2025

TENDO LA NDOA LINAPASWA KUDUMU KWA MUDA GANI?
(Sasa hapa nitaongea vitu vya kiume. Emotional stuff. Deep things. Lengo ni kukuamsha)
Kumfikisha mwanamke kileleni ,lazima mwanaume awe na uume wenye nguvu na uliosimama imara.Tatizo kwa wanaume wengi hasa wale ambao wameshawahi kujichua huwa wanashindwa kusimamisha uume mda wote wa tendo la ndoa.wengi uume unalegea au kusinyaa ndani au kabla ya kuingiza uume ukeni.

Maana alizoea dakika 5 umechoka ukijitutumua sana robo saa au nusu sasa. But now anashangaa k**a muda upo mfano weekend upo nyumbani ni mwendo wa dakika 45 na kuendelea uume haujalaa. Unajua uume kushiriki tendo la ndoa kwa dakika 45 tu kwa wengi ni IMPOSSIBLE.
Why?
Sababu ili uume uwe imara lazima misuli iwe na nguvu na mishipa minene ambayo huingiza damu kwa wingi ndani ya uume ili usisinyae wakati ukiwa unashiriki tendo la ndoa. Sasa mishipa kuendelea kuihold damu kwa 45 minutes hadi lisaa na zaidi inabidi uume wako uwe na misuli imara kweli kweli. Wengi misuli ya uume ishachoka.
Hayo ni matokeo ya mishipa na misuli ya uume kulegea ,hivyo huwa na uwezo wa kusimama mda mfupi tu kisha unasinyaa au kulala.Pia misukosuko ndani ya uke k**a mwanaume hana uume imara misuli huchoropoka haraka mara baada tu ya kuingiza uke au kabla.Hivyo bao la mapema na uume kulala! Ndo unakuta mtu dakika 5 tu tayari. Mwingine 15 tu.

Solution unayo wewe. Take responsibility like a man! Fanyia kazi tatizo lako ukampe mchezo wa uhakika hadi asiwaze chochote tena bali wewe K**a huwezi kufanya tendo kwa dakika hata 30 tu mfululizo bila uume kulala yani hapo umemaliza round bado uume usilale labda ukaenda na karound kengine kamoja bado uume usilale basi ujue una hali mbaya. Wengine hatabrobo saa haifiki chalii.

Ni muhimu kurekebisha tatizo kwa haraka kabla halijawa out of control.
Tumewasaidia wengi mno kurejesha urijali na kuimarisha mahusiano. Stress ya mwanaume hu0ngezeka pale ambapo hawezi kumudu tendo hasa anapozidi kuona mwenza wake ana furaha tu kula siku ndipo huanza kuhisi labda mwenzake anafikishwa na wanaume wengine. Hapo hali ya stress na kutojiamini (insecurity) huongezeka na kuathiri hata utafutaji8 wa maisha nk.

KARIBU TUKUHUDUMIE

๐Ÿ‘‰ Nipigie 0712120284

๐Ÿ‘‰ Whatsap +255712120284

06/12/2025

Hellow Habari yako!!!!

Hivi tumzungumzie kuhus hili tatizo la uzito kitambi manyama uzembe kiukweli watu wengi leo hii wamekuwa wakiaumbuliwa na changamoto ya uzito na walejaribu njia nyingi za kupunguza Uzito na Unene uliopitiliza kiwepesi lakini wengi wamekosa kupata matokeo mazuri.

Kuna sababu nyingi sana ambazo hupelekea kushindwa kupunguza vizuri moja wapo yasababbu hizo ni ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

๐Ÿ‘‰ Kuwa na sumu nyingi mwilini - hii ndio imekuwa chanzo kikubwa sana cha mtu kushindwa kupungua kiwepesi kutokana na uwepo wa sumu mwilini mwako ambazo sumu hizi tunazipata kwenye vyakula tunavyokula vinywaji tunavyokunywa Pamja na hewa chafu tunayovuta na mionzi.

๐Ÿ”ฅSasa leo nataka kukupa msaada wa kupungua kitambi na manyama uzembe kwa njia rahisi Sana kuusaidia mwili wako uweze kupata tabia nzuri ya Control ya chakula na kuyeyusha mafuta mabaya yaliyo mwilini.

Tumeandaa Group maalumu la mafunzo ya kupungua kwa muda siku 9 tu na unaweza kupungua na kupata muonekano mzuri hii tumeipa Jina La C9 challenge.

๐Ÿ‘‰ Nipigie 0712120284

๐Ÿ‘‰ Whatsap +255712120284

12/01/2024

Kuhusu Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi kwanza unapaswa kufahamu mfumo wa uzazi wa mwanaume Una Viungo vikuu Vitatu.... 1. Uume - ambao kumetawaliwa na mishipa midogo midogo ambayo imeushikilia uume kwa zaidi ya Asilimia 100% kuuwezesha kufanya kazi vizuri na ikitokea mishipa hii kufeli kwenye kupitisha damu vizuri bhasi inaweza kuwa chanzo kikuu cha kushindwa kuperfom kikamilifu kwenye tendo la ndoa, kuathirika na kujichua au mishipa yako kuziba n.k

Na kiungo namba mbili ni korodani am ambacho chenyewe kazi yake ni kuzalisha mbegu za kiume na kuzalisha homoni za kiume ziitwazo testosterone ambazo husaidia sana Katika kuleta hisia nzuri wakati wa tendo Endapo hormones zako zikiwa hazizalishwi vizuri eidha kwasababu ya Vyakula au madawa ya kuongeza ama kujichua Basi kwako itakuwa ngumu kulifanya tendo kwa ufanisi unahisi kupata suluhisho mapema

Na kiungo cha 3. Tatu ni tezi dume ambacho Kazi yake kubwa ni Kutoa maji maji yanayosaidia mbegu za kiume kusafiri vizuri na kuzalisha virutubisho Kamili kwenye mbegu za kiume mara tu baada ya kutoka kwenye korodani. Na madhara ambayo huweza kuathirika hi tezi ni endapo mtu atakuwa amepata tatizo la upungufu wa kwa muda huweza kupelekea tezi dume yake kutanuka na kusababisha tatizo la upungufu wa nguvu na hata Kansa ya tezi๐Ÿ˜ญ.

Sasa tunao uwezo wa kukusaidia kurejesha mfumo wa uzazi ukarudi hali yake kawaida yaaani kurejesha uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu zaidi kuanzia raundi ya kwanza na kuwa na uwezo wa kuunganisha raundi bila kusimamisha mechi, kuboresha mbegu za kiume na kuongeza idadi ya mbegu na kubwa Zaid ni kuongeza Kinga ya mwili na mfumo wako mzima wa uzazi. Ni simple sana na rahisi kuanzia siku 7 hadi 30 utakuwa sawa.

โœ…โœ…โœ… Tuma ujumbe neno "" AFYA YANGU"" kwa WhatsApp +255759643581 au piga ๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž+255712120284

16/11/2023

Sababu Kubwa 3 Za Mwanaume Kuwahi Kumwaga Wakati Wa Tendo.

Kupitia Jarida la Afya Lijulikanalo K**a "The Journal Of Health and Allied Science"

Madaktari Kutoka Harvard Walichapisha Utafiti Wao Unaothibitisha kwamba,

70% Ya wanaume Husumbuliwa na Changamoto ya NGUVU ZA KIUME.

Na Katika Hao 70% Asilimia 85% Yao wanasumbuliwa na Tatizo la Kuwahi Kumwaga.Yaaani."PREMATURE EJ*******ON"

Hii ni ile hali ya mwanaume kutoa mbegu CHAPCHAP.Na tatizo hili linatofautiana ukubwa. Kuna wale ambao wao mbegu zinaweza kutoka hata wakiwa wamekaa bila mwanamke.

Wengine wakishikwashikwa kidogo tu kabla hata hawajaingiza uume ukeni zinatoka.Afu kuna wale ambao wao zinatoka punde tu baada ya kuingiza uume kunako uke.

Changamoto ya namna hii inatokana na sababu nyiingi sana...hapa chini nitaelezea sababu kubwa 3.

Sababu ya Kwanza; Intense Sexual Urges (Hamu ya Kushiriki Tendo Iliyokithiri)

Ikitokea, Mwanaume akakaa muda mrefu bila kushiriki tendo mbegu zinakuwa nyingi mnoo.

Hivyo...akikutana na mwanamke ni lazima ziwahi kutoka Na kwa sababu hamu ni nyingi ni lazima uume uwahi kuamka ili kuendelea.

Kwa sababu hamu zinakuwa BADO ZIPO.Na kadri hamu zinavyopungua ndivyo muda wa kumwaga unaongezeka.
Hii inaweza tokea kwa namna mbili,

ya kwanza ni hali ya mwanaume kuwa na hamu kubwa kwa mwanamke fulani.

Na ya pili ni Hamu inayotokana na kukaa muda mrefu bila kushiriki tendo, huwa tunaita Ukame๐Ÿ˜€

Sababu Ya Pili; Vessels Loosen Up (Kulegea Kwa Mishipa)

Wakati mwingine kuwahi kumwaga kunaweza kutokana na hali ya mishipa kulegea.Hii mara nyingi huwapata watu wazima sana (kuanzia miaka 45) na wazee

(japo inaweza mpata hata kijana au mtu wa makamo)
Mtu ambae mishipa imelegea yeye kila mara anawahi kumwaga, awe na hamu asiwe na hamu lazima.amwage haraka.

Yaani hata k**a atas*x kila siku ni lazima atawahi tu kumwaga.

Hawa ndo wale ambao akishikwa kidogo tayari, akinyonywa kidogo wazungu hao.Wengine wakibambia mwanamke wakati wa muziki (kwa wanaoendaga disko) wanajimwagia ndani ya suruali)

Na kwa sababu mishipa inakuwa imelegea wakati mwingine hata kuzuia mkojo huwa hawawezi.

3. Fear & Inferiority (Kutokujiamini, Hofu, Mashaka & Wasiwasi)

Hii huwapata zaidi wale ambao hawana uzoefu kwenye s*x.

Ukweli ni kwamba, zaidi ya 95% ya wanaume wakati wanaanza s*x WALIZINGUAGA.Wengi walijikuta wanamwaga chapchap.Hii ni kwa sababu ya kupungukiwa na uzoefu (Lack Of Experience)

Na kwa sababu ya kupungukiwa uzoefu ile hali inawafanya wasijiamini, wawe na hofu na mashaka.

Ukweli ni kwamba, hali hii ni ya kisaikolojia inayompata kila mwanaume mwanzoni
Na wakati mwingine inaweza mpata mwanaume anapokutana na...

MWANAMKE MREMBO ZAIDI ambae akili yake inakuwa k**a HAIAMINIAMINI k**a ando anapewa๐Ÿ˜€Ila uzuri ni kwamba, Mbeleni Huwa Inaisha na kutoweka kabisa, na k**a ikiendelea,

Basi ujue shida ni ingine na inaweza kuhitaji dawa ili kuondoa tatizo la namna hiyo.

By The Way, Ukiona Una Hiyo Changamoto, Au Yoyote Ile Inayohusu NGUVU ZA KIUME Na Inakukwamisha Wakati Wa Tendo,

Whatsapp Yangu Iko Wazi, Nichek Kupitia Namba +255712120284

Nitakusaidia Kuitatua na UTABORESHA MAHUSIANO YAKO Kupitia TENDO.

q

22/10/2023

UMEKUWA UKIWAHI KUMWAGA WAKATI UKIMUANDAA MWENZA WAKO AU DAKIKA MOJA TU BAADA YA KUANZA TENDO?๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ

โœ๏ธ Pre mature ej*******on ni nini?
Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.

๐Ÿ“ž0712120284

๐Ÿ”ฅTatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada ya hali hii kutokea.
Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.

๐Ÿ”ฅTatizo hili huweza kutokea mara tu baada ya kubalehe,{primary pre mature ej*******on} mda mrefu baada ya kubalehe{secondary PE} au kutokana na aina ya mwanamke uliompata.{situational PE}

โœ๏ธ Chanzo ni nini?
Tatizo hili halina sababu za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti zikakakubalika ila wanasayansi wanaamini sababu zifuatazo zinaweza kua chanzo kikuu cha tatizo hilo.

โœ…Kupiga punyeto au kujichua;
โœ…Kukaa muda mrefu bila kushiriki tendo la ndoa;
Kukaa muda mrefu sana bila kushiriki tendo la ndoa husababisha mkusanyiko mkubwa wa mbegu za kiume ambazo zinaleta msisimko mkubwa na ukichelewa sana kushiriki tendo la ndoa zitatoka kwenye ndoto nyevu.
โœ…Kuwa na wasiwasi wakati wa tendo la ndoa
โœ…Madhara ya dawa zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu;

SULUHISHO
Welcome๐Ÿ‘‰ Afya kwanza

CALL/SMS/WHATSAPP
+255712120284

Photos from Rejesha Urijali's post 03/10/2023

Hello Afya kwanza Napenda kukutakia maamuzi sahihi katika afya yako ...

karibu sana TUKUHUDUMIE wasiliana 0712120284 whatsapp +255712120284

09/05/2023

Umuhimu wa Kumtosheleza mwenza wako wakati wa tendo la ndoa ni kitu muhimu sana...... Wanaume woote wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume na wasio na changamoto leo tuna kikao kwenye group letu la *AFYA_KWANZA Muda ni saa mbili usku usikose kuwepo mwanaume*..

๐Ÿ‘‰Andaaa kabisa maswali yako nitakuwa live kujibu maswali yoote na k**a ukipitwa na kikao chetu kilichopita angalia juu kbaisa Kuna voice note na ujumbe unaofanunua vyema swala zima la kurejesha urijali........ Au njoo inbox ni kutumia tuweze kwenda sawa.

๐Ÿ‘‰ Kikao chetu chetu cha leo kitalenga zaidi kuhusu Tiba sahihi ya kumaliza tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kupitia vyakula, mazoezi na mfumo mzuri wa maisha unaokufaa.

K**a mwanaume upo hapa na huna haupo kwenye group letu bhasi njoo inbox haraka nikupe link ๐Ÿ”— mapema naww uweze kushiriki kikao chetu muhimu sana hiki kinawahusu wanaume tu

*Note* :

๐Ÿ‘‰ Zingatia muda ni saa mbili kamili 08:00pm usiku na muda wa kumaliza ni saa tatu kamili 09:00pm usiku.

Usipange kukosa kumbuka kuwepo kwenye group ni Bure na mafunzo ni Bure kbisa......

Kuhusu Tiba na suluhisho la kudumu unahitaji kuandaa pesa uweze Kupatwa suluhisho kamili.

Nakutakia asubuhi njema

Kwa maelezo zaidi

๐Ÿ“žโ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ฑ 0712 120 284

21/04/2023

HIVI NI MARA NGAPI TUNAWAWEZESHA WAKE ZETU KUFIKA KILELENI ?

Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali nilizosoma, zinaonesha kuwa wengi wetu hutumia wastani wa sekunde 30 hadi dakika 2 tu shughuli inakuwa imeisha.

Najaribu kufikiria hivi ingekuwa sisi ni wao na wao ndiyo sisi halafu hawatufikishi hali ingekuaje?

Tatizo ni kwamba tunashindwa kuwafikisha kileleni kwa sababu sisi tunawahi kufika,

Je kwanini tunawahi kufika?

Sababu zipo nyingi sana na kila mmoja anayo yake,

Lakini jambo muhimu zaidi ambalo ningependa ufahamu leo ni hatua hizi tatu (3) ambazo ni za msingi sana katika kukabili changamoto hii;

Kwanza, Uondoaji wa sumu ambazo zimetokana na ulaji wa vyakula na vinywaji vyenye kemikali.

Pili, Uimarishaji wa mzunguko wa damu ili ifike ya kutosha kwenye mashine kuiwezesha isimame muda mrefu bila kulala

Tatu, Uongezaji uwezo wa kushiriki tendo muda mrefu bila kuchoka haraka.

๐Ÿ‘‰๐Ÿฝ Ukinipigia simu moja kwa moja kwa namba hii 0712 120 284 au ukibonyeza hapa

https://bit.ly/3mz6ar9

๐Ÿ‘‰ NIPIGIE 0712120284

๐Ÿ‘‰ WHATSAPP +255712120284

nitakufahamisha zaidi namna hatua hizi tatu zinavyoweza kusaidia kumaliza changamoto hii moja kwa moja bila kujirudia.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Temeke Buza
Dar Es Salaam