Afya Care 255
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya Care 255, Health/Beauty, Mwenge, Dar es Salaam.
12/05/2022
SULUHISHO YA MAGONJWA YA NGOZI.
Kwa kawaida ngozi ya Mwanamke ni tofauti na ya Mwanaume.
Ngozi ya mwanamke inatakiwa kuwa laini, Nyororo na isiyo na Madoa wala Ukavu.
Hii ni kutokana na uwepo wa homoni ya Oestrogen kwa kinsia ya k**e inayozalisha vichocheo kwa ajili ya ngozi nzuri.
Ifahamike ya kuwa ni vigumu sana kupata suluhisho la tiba ya Ngozi endapo hujui aina yako ya ngozi.
Kwa kawaida Kuna Aina Nne(4) za Ngozi;
(i) Ngozi ya kawaida (Normal Skin)
(ii) Ngozi kavu (Dry Skin)
(iii) Ngozi yenye mafuta (Oily Skin)
(iv) Ngozi ya mchanganyiko (Combination Skin)
Hivyo basi..., k**a umekua muhanga wa tatizo la Ngozi kwa muda mrefu niseme tu "HUJACHELEWA KAMWE!!"
Huenda umetumia dawa na bidhaa nyingi mno za Ngozi bila kufahamu ya kuwa sio sahihi kwa ajili ya kutatua tatizo lako la Ngozi.
Jibu ni moja!!
Endapo Utafahamu aina yako ya Ngozi, itasaidia sana kupata Suluhisho la Tiba ya moja kwa moja kwa ajili ya kung’oa mzizi wa tatizo na kulitibia haswa kwa Magonjwa ya Ngozi yenye kujirudia/Sugu (Chronic).
Kwanini usumbuke kujua aina ya Ngozi na Tiba sahihi kwa ajili ya Ngozi yako!!
SAVE NAMBA (0711679666) Afya Care Tz Kisha tuma ujumbe WHATSAPP "Suluhisho la NGOZI” utaskilizwa na Mshauri Wa Afya na kupata Muongozo mzuri kwa ajili ya Ngozi yako Bure.
Pia unaweza piga simu kupitia number 0711679666 na kuongea moja kwa moja na mtaalamu wa magonjwa ya Ngozi kwa haraka zaidi.
Ps. Tangazo hili halitokuwa hewani kwa muda mrefu, wasiliana nasi leo.
Afya Care Tz | Tunajali Afya Yako.
NJIA RAHISI YA KUTOKOMEZA MIWASHO NA HARUFU MBAYA UKENI.
Hakuna kitu kinakera kwa wanawake k**a kutokwa na harufu Mbaya ukeni.
Tatizo hili limewafanya wanawake wengi kushindwa hata kujumuika na wenzao kwenye masherehe, harusini na hata misibani.
Mbaya zaidi limewaondolea hali ya kujiamini kwa wenzao na kujiona k**a ni wanawake wasiokamilika.
Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili litaambatana na uchafu kutoka ukeni, wengi wanashindwa kufurahia tendo la ndoa na hata kuhatarisha usalama wa mahusiano yao.
Kubwa zaidi wengi wamekuwa wakihangaika kupata suluhusho la kudumu bila mafanikio.
Wengine wamekuwa wakipata tiba za matumizi ya antibiotics zinazo ua hata bakteria walinzi wanaolinda uke na ndio maana baada ya muda mfupi tatizo hurudi tena.
K**a wewe ni miongoni mwa wahanga na umekuwa ukihangaika kupata suluhu la tatizo lako, basi nina habari nzuri kwako!!
Nimekuandalia Video maalumu itakayokuonyesha njia rahisi na salama hatua kwa hatua jinsi ya kutokomeza tatizo hili kwa kipindi kifupi tu hata k**a ushahangaika kwa muda mrefu bila mafanikio.
Na hii VIDEO nitakutumia kwenye WHATSAPP YAKO.
Ili kupata video hii kwa urahisi SAVE NAMBA HII 0711679666 (Afya Care Tz) kwenye simu yako kisha tuma ujumbe "WHATSAPP VIDEO" na utatumiwa video yote bure.
P.S Tangazo hilo halitokuwepo hewani mda wote, hivyo ili upate Video/Utaratibu sasa hivi SAVE namba hii 0711679666 (Afya Care Tz) kwenye simu yako kisha tuma ujumbe WhatsApp.
Kwa maelezo zaidi usisite kuwasiliana nasi kupitia namba 0711679666
Afya Care 255 Health/beauty
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Mwenge
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 18:00 |
| Tuesday | 09:00 - 18:00 |
| Wednesday | 09:00 - 18:00 |
| Thursday | 09:00 - 18:00 |
| Friday | 09:00 - 18:00 |