heath and beuty

heath and beuty

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from heath and beuty, Health/Beauty, Dar es Salaam.

12/10/2023

K**a unakumbana na changamoto yakukosa choo kwa muda wa siku moja au zaidi
Unakula haja kubwa upati kunamatatizo makubwa Sana kwenye mfumo wa mmenge'nyo wa chakula
Karibu kufahamu madhara yake ya kukosa choo na unawezaje kuepukana na hiyo changamoto ya kukosa choo tembelea inbox kwa whatssap number 0787322197

04/09/2023

*BAWASIRI NI NINI?*
Bawasiri Kwa Kitaalamu ni Ugonjwa Unaitwa *HEMORRHOIDS* Bawasiri ni Kuvimba Kwa Mishipa Ya Damu iliyopo ndani au nje Katika eneo linalozunguka njia ya haja Kubwa. Ni hali ambayo lnaweza Kusababisha nyama Kujitokeza nje.
Ugonjwa huu Unaweza Kusababisha Mwasho, Maumivu na damu au K**asi Kutoka Wakati wa Kujisaidia haja Kubwa lgawa Wakati Mwingine hauna dalili.Madhara ya Bawasiri ya ndani ni Pamoja na damu Kutoka Wakati wa Kujisaidia, damu Kuganda ndani ya Mishipa ya damunl na Maumivu.

*A.NINI KINASABABISHA BAWASIRI?*
Miongoni Mwa Visababishi vya bawasiri ni; Tatizo Sugu la Kuharisha
-Kupata haja Kubwa(Kinyesi )Kigumu
-Uzito Kupita Kiasi(OBERSITY)
-Ngono Ya njia ya Haja Kubwa(ANAL S*X)
-Umri Mkubwa na Mambo yanayoongeza Shinikizo katika Tumbo.

B.*DALILI ZA BAWASIRI*
-Kinyesi Kuchanganyikana na damu Wakati wa Kujisaidia *CHEMATOZECHEZIA*
-Maumivu au Usubufu Katika njia ya haja Kubwa
-Kutokwa na Kinyesi bila Kujitambua(Kuvuja Kinyesi)
-Kijiuvimbe Katika eneo la tundu(Mlango)wa Kutolea haja Kubwa
-Ngozi Katika eneo la tundu la haja Kubwa Kuwasha
-Bawasiri Kutoka Wakati wa Kujisaidia haja Kubwa .

Kwa msaada zaidi tupigie kwenda number ya watssap 0787322197

31/08/2023

Lijue Tatizo La Uvimbe Kwenye Kizazi (Uterine Fibroids) Kwa Wanawake Na Tiba Yake.
Lijue Tatizo La Uvimbe Kwenye Kizazi (Uterine Fibroids) Kwa Wanawake Na Tiba Yake.
February 12, 2023
6 Min Read
2 Comments
Uvimbe kwenye kizazi ni Uvimbe ambao hutokea katika misuli laini ya mfuko wa uzazi wa mwanamke (Uterus). Tatizo la uvimbe kwenye kizazi hujulikana kwa kitaalamu k**a “uterine fibroids/leiomyoma/uterine myoma”.

Uvimbe huu husababisha kubadilika kwa umbo na ukubwa wa kizazi. Mara nyingi Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na tatizo hili. Wakati mwingine mwanamke anaweza kupata tatizo hili akiwa kwenye ujauzito, hali hii inaweza kusababisha shida wakati wa kujifungua na kupelekea mwanamke kujifungua kwa upasuaji.

Tatizo hili huweza kuongezeka ukubwa wakati wa ujauzito kutokana na kiasi kikubwa cha homoni ya estrogen. Kuvuja damu na maumivu ya tumbo pia huweza kutokea kutokana na uvimbe kupoteza damu yake. Kwahiyo madaktari wa wanawake hupendekeza mgonjwa kufanyiwa ultrasound mara kwa mara ili kufatilia maendeleo ya uvimbe.

Tatizo la uvimbe kwenye kizazi ni kubwa na linawatokea wanawake wengi sana. Inakadiriwa kwamba 75% ya wanawake hupata tatizo hili katika kipindi fulani cha maisha yao. Kwa mujibu wa jarida la New England Journal of Medicine, kila mwaka zaidi ya wanawake 200,000 wanafanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi chote (hysterectomy) kutokana na tatizo hili.

Soma pia hii makala: Ujue Ugonjwa Wa Ge***al Warts (Kuota Vinyama Sehemu Za Siri) na Tiba Yake.

Aina Za Uvimbe Kwenye Kizazi:
Kuna aina kuu nne (4) za uvimbe kwenye kizazi kulingana na sehemu unapotokea kwenye mfuko wa uzazi ambao ni pamoja na;

1) Intramural Fibroids.
Hii ni aina ya uvimbe ambayo uwapata sana wanawake. Aina hii ya uvimbe hukua na kumea kwenye misuli ya ukuta wa mfuko wa mimba (uterus). Kadri uvimbe huu unavokua basi husababisha kupanuka au kuvutika kwa kizazi na kusababisha dalili k**a hedhi.

2) Subserosal Fibroids.
Aina hii ya uvimbe hukua nje ya ukuta wa mfuko wa mimba, wakati mwingine kuelekea kwenye kibofu cha mkojo. Aina hii ya uvimbe huweza kusababisha maumivu ya chini ya mgongo kutokana na kwamba uvimbe huu unasukuma neva za uti wa mgongo na kusababisha presha kubwa kwenye eneo la chini ya mgongo.

3) Submucosal Fibroids.
Aina hii ya uvimbe hukua karibu na ukuta wa kizazi. Hii inaweza kusababisha kutokwa na damu kwa muda mrefu wakati wa hedhi na shida kwenye kushika ujauzito.

4) Cervical Fibroids.
Huu uvimbe hukua kwenye tishu za mlango wa kizazi ambao huitwa cervix. Uvimbe hutokea mara chache sana ukilinganisha na aina zingine za uvimbe kwenye kizazi.

aina za uvimbe kwenye kizazi
Uvimbe Kwenye Kizazi Husababishwa Na Nini?
Uvimbe kwenye kizazi husababishwa na wingi wa vichocheo mwilini, homoni ya estrogen ambayo hupelekea mwanamke kupata hedhi, ambapo matumizi ya njia za uzazi wa mpango pia ni vichocheo ambavyo huchangia kuongezeka kwa homoni ya estrogen.

Sababu Za Uvimbe Kwenye Kizazi:
Mambo yafuatayo yanaongeza uwezekano kwa mwanamke kupata uvimbe kwenye kizazi;

1) Kurithi.
k**a mama au dada yako aliwahi kuugua tatizo la uvimbe kwenye kizazi basi wewe pia utakuwa kwenye hatari zaidi ya kupata uvimbe huu.

2) Umri.
Wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 wapo katika hatari ya kupata tatizo hili.

3) Lishe.
Matumizi ya vyakula vya wanga na sukari kupita kiasi huongeza hatari ya kupata tatizo hili.

4) Uzito Mkubwa Na Kitambi.
Wanawake wenye uzito mkubwa na kitambi wako kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili.

5) Matumizi Ya Njia Za Kupanga Uzazi.
Matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango huongeza ukuaji wa fibroids kwani vidonge hivi huweza kupandisha homoni ya estrogen kwa wingi.

6) Kubalehe Mapema.
Wanawake wanaobalehe mapema na kuanza kupata hedhi chini ya miaka 10 wako kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili.

7) Wanawake Wenye Shinikizo Kubwa La Damu.
Dalili Za Uvimbe Kwenye Kizazi:
Zifuatazo ni dalili zinazojitokeza kwa wanawake wengi zaidi wenye uvimbe kwenye kizazi;

1) Kupata hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia siku 7 na zaidi (Prolonged menstrual bleeding).

2) Kupata hedhi nzito (Heavy menstrual bleeding).

3) Kujiskia umeshiba muda mwingi (Abdominal fullness).

4) Maumivu ya nyonga.

5) Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.

6) Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.

7) Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.

8) Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.

9) Madhara mbalimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba kutoka.

Matibabu Ya Uvimbe Kwenye Kizazi:
Matibabu ya uvimbe kwenye kizazi yanaweza kugawinyika katika sehemu tatu (3) ambazo ni pamoja na;

1) Upasuaji (Myomectomy).
Tiba hii hutumika endapo Uvimbe ni mmoja na sio kubwa sana. Matibabu haya hutoa Uvimbe na kubakiza kizazi.

myomectomy
2) Hysterectomy.
Haya matibabu yanahusisha kutoa sehemu ya Uvimbe yote iliyo katika kizazi maana yake kutoa kizazi chote endapo Uvimbe utakuwa mkubwa sana au vivimbe vikiwa vingi vikiwa katika kizazi.

hysterectomy
3) Dawa Za Kutuliza Maumivu.
Madhara Ya Uvimbe Kwenye Kizazi:
Yafuatayo ni baadhi ya madhara ya uvimbe kwenye kizazi kwa wanawake ambayo ni pamoja na;

1) Ugumba (infertility).

2) Kukosa choo (constipation).

3) Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure).

4) Tumbo kuvimba (abdominal distention).

HITIMISHO:
Uvimbe unaweza kujirudia tena endapo vichocheo vinavyosababisha Uvimbe havita sawazishwa. Hivyo tumekuandalia program maalumu itakayokusaidia kuondokana kabisa na tatizo la uvimbe kwenye kizazi, tumekuandalia program
Program 1
Program 2
Program 3
Karibu inbox wasiliana nasi kwa watssap number 225787322197

31/08/2023

Wanaume wanapopoteza Kila kitu wanabaikiza furaha moja tu kwenye familia ambayo ni tendo la ndoa
Tendo la ndoa linampa furaha mwanaume kwa ule mda ambao anakosa Kila kitu
Wewe ni mwanaume unaitaji kujipambania kurejesha hali yako ya uwanaume na kuepukana na fedhea za kina mama
Piga /tuma ujumbe watssap kwenda 0787322197

30/08/2023

Umewahi Kusikia Maajabu Ya Program Hii Inayoitwa , Hii Ni Program ambayo inahusisha Miongozo ya mtindo wa maisha, Mazoezi pamoja na virutubisho Vilivyojaa MADINI NA VIINI LISHE MBALI MBALI KWAAJILI YA KUIMARISHA, KUKINGA NA KUTUNZA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE


1_INAKUSAIDIA KUKAZA MISULI YA UUME NA MISULI YA PELVIC ILIYOLEGEA

2_INAKUSAIDIA KUBORESHA UBORA WA MBEGU ZA KIUME

3_INASAIDIA KUZALISHA MBEGU NYINGI ZENYE UBORA

4_KUKUSAIDIA KWENYE TENDO LA NDOA _USIWAHI KUMALIZA WALA KUCHOKA MAPEMA

5_INAWASAIDIA WATU WALIOATHIRIKA NA PUNYETO WAWEZE KUBALANCE HOMONI ZAO NA KUCONTROL HISIA ZAO


1_INAKUSAIDIA KUBALANCE HOMONI ZAKO ZA K**E

2_INAKUSAIDIA KUONDOKANA NA UKAVU AU UPATE,ULE UTE UTE UNAO KUSAIDIA,KATIKA TENDO

3_ITAKUSAIDIA KUPANGILIA HEDHI YAKO IPASAVYO KWA WALE WANAORUKA RUKA SIKU AU WAMEKOSA HEDHI KWA MUDA MREFU NA HAWAWEZI KUBEBA UJAUZITO

4_KUKUSAIDIA KUONEKANA MREMBO, MWENYE TABIA ZA K**E ((HAPA KUNA WALE WANAWAKE WANAO OTA NDEVU ,SAUTI NZITO,NA KUKOSA SHAPE))
kupata,maelezo zaidi na ushauri .

Wasiliana na Mshauri Wa Afya_loveness

PIGA SIMU/WATSAPP/SMS +255787322197

NIPIGIE/WATSAPP/SMS +255787322197

Pia follow Page Yetu Afya na madam LOVENESS

Kujifunza Zaidi.

28/08/2023

Umewahi Kusikia Maajabu Ya Program Hii Inayoitwa , Hii Ni Program ambayo inahusisha Miongozo ya mtindo wa maisha, Mazoezi pamoja na virutubisho Vilivyojaa MADINI NA VIINI LISHE MBALI MBALI KWAAJILI YA KUIMARISHA, KUKINGA NA KUTUNZA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE


1_INAKUSAIDIA KUKAZA MISULI YA UUME NA MISULI YA PELVIC ILIYOLEGEA

2_INAKUSAIDIA KUBORESHA UBORA WA MBEGU ZA KIUME

3_INASAIDIA KUZALISHA MBEGU NYINGI ZENYE UBORA

4_KUKUSAIDIA KWENYE TENDO LA NDOA _USIWAHI KUMALIZA WALA KUCHOKA MAPEMA

5_INAWASAIDIA WATU WALIOATHIRIKA NA PUNYETO WAWEZE KUBALANCE HOMONI ZAO NA KUCONTROL HISIA ZAO


1_INAKUSAIDIA KUBALANCE HOMONI ZAKO ZA K**E

2_INAKUSAIDIA KUONDOKANA NA UKAVU AU UPATE,ULE UTE UTE UNAO KUSAIDIA,KATIKA TENDO

3_ITAKUSAIDIA KUPANGILIA HEDHI YAKO IPASAVYO KWA WALE WANAORUKA RUKA SIKU AU WAMEKOSA HEDHI KWA MUDA MREFU NA HAWAWEZI KUBEBA UJAUZITO

4_KUKUSAIDIA KUONEKANA MREMBO, MWENYE TABIA ZA K**E ((HAPA KUNA WALE WANAWAKE WANAO OTA NDEVU ,SAUTI N we we tum ujumbe kwenda 0787322197

26/08/2023

👉🏼Wanaume wengi Sana wanashindwa Kupata furaha ya ndoa kwa kushindwa kuwalidhisha wenza wao kwa sababu ya vitu vidogo tu

👉Nimekuandalia program tatu ambazo unaweza kulejesha uwanaume wako na ukawa imara
Tuma neno program kwenda number/watssap number 0787322197

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam