IJUE AFYA YAKO

IJUE AFYA YAKO

Share

Nawasaidia wanaume kutibu Magonjwa ya Nguvu za kiume,Tezi dume, vidonda vya Tumbo na Bawasili.

19/09/2023

Kazi zipo ila hajira sasa tufanyaje 🤔🤔.
Kuna kampuni kubwa inatafuta mawakala 1000 nikiwa mmoja wapo ipo vizuri kwa kila kitu.

K**a upo tayari nicheki WhatsApp no:0699213233.

08/08/2023

Wanaume wengi waliopitia mitindo ama mazoea ya kujichua (punyeto) wamekuwa wakipatwa na tatizo muda wakumuingia mwanamke kujikuta wamefika kileleni ndani ya dakika moja Mara tu anapokuwa kwenye faragha ile na kujikuta anamwacha mke wake njia panda .Hali hii humfanya mwanaume kushindwa kurudia tena awamu ya pili na kujikuta anapatwa na usingizi hivyo heshima kutoweka kwani mwanamke hubaki na mawazo na manung'uniko pia akihisi k**a vile anaonewa na mumewe .pia hii imekuwa ikitesa wanandoa wengi kwasababu tatizo la punyeto walikuwa wakifanya kabla hawajawa na ndoa.

MADHARA YA KUPIGA PUNYETO

1⃣kukosa hisia kabisa Mara baada ya kufika kileleni kwenye mzunguko wa kwanza.

2⃣kutoa mbegu hafifu na nyepesi kunapelekea kushindwa kumpa mkeo ujauzito.

3⃣kupata bao lenye maumivu hasa kwenye bao la pili na kuendelea.

4⃣uume kusinyaa na kutosimama tena baada ya mzunguko wa kwanza.

5⃣kufika kileleni haraka na kushindwa kurudia round nyingine.

JE? UMEPATA MADHARA BAADA YA KUPIGA PUNYETO MUDA MREFU.Tuma neno punyeto kwenda WhatsApp namba 0699213233.

07/08/2023

Je? Wewe ni mwanaume ambaye unasumbuliwa na changamoto za afya ya uzazi

Na umekuwa ukihangaika kwa muda mrefu bila kupata suluhisho .

Basi tunahabari njema juu yako

Pata suluhisho ya changamoto yako hapa bila ya upasuaji

Kwa Mawasiliano zaidi unaweza kuwasiliana nasi kupitia namba unazoziona hapa.

0699213233

03/08/2023

Faida ya kula matango mwilini.
1⃣Huimarisha afya ya akili.
2⃣Huboresha kinga ya mwili.
3⃣ Hupunguza Uzito.
Na hizo ndo baadhi ya faida ya matango mwilini.
Kwa ushauri zaidi tupigie kupitia 0699213233.

02/08/2023

Mfumo wa uzazi wa mwanaume tumefikiwa 😳😳 wallah serikali itatumaliza .kwa ushauri nasaha na tiba.wasiliana nasi
0699213233

02/08/2023

Vyakula vya kukaanga na mtindo wa maisha wa sasa unapelekea kuathiri afya ya uzazi kwa mwanaume hadi kupelekea kuathiri saikolojia muda mwingine kupata hofu hadi kushindwa kumridhisha mwenzi wake wakati wa tendo la ndoa .

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi
0699213233.
Dr.winled Laizer

01/08/2023

Ushauri nasaha kuhusu upungufu wa nguvu za kiume .

Wasiliana nasi: 0699213233
Dr.winled Steven.

01/08/2023

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI NINI?
Hii ni hali ya kupatikana dalili za udhaifu katika tendo la ndoa ambapo mtu hushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha uume vizuri.

Kwakuwa tendo la ndoa huhusisha hisia (emotions) na mwili, kupatikana athari kati ya vitu viwili hizi ndizo sababu kuu zinazopelekea tatizo la nguvu za kiume.

Tatizo hili ni kubwa, ambapo watafiti wanaripoti ya kwamba wanaume wengi wenye umri kati ya miaka 35 na kuendelea ndio wanaosumbuliwa kwa kiasi kikubwa,

ambapo asilimia ishirini (20%) ya wanaume wanakabiliwa na tatizo hili.

Tatizo hili lina athari nyingi sana zikiwemo za kisaikolojia na kifamilia pia, ikiwemo kupelekea mahusiano kutokuwa imara na mara nyengine kuvunjika kabisa.

Hata hivyo tatizo hili linatibika na kupona kabisa k**a mtu alieathrika na tatizo hili atakuwa tayari kufuata maelekezo vizuri yatakayo elezwa kwa upana hapo chini ikiwemo kuzifahamu sababu na taratibu za kulitibu tatizo hili.

SABABU ZA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Zifuatazo ni sababu kuu zinazopelekea tatizo la upungufu wa nguvu za kiume :

Magonjwa:
Magonjwa k**a vile kisukari, shinikizo la damu, kupooza kwa mwili (paralysis) n.k.

Umri mkubwa:
Wazee wenye umri mkubwa ni waathirika wakubwa wa tatizo hili.

Sababu za kisaikolojia (Emotional reasons)
Msongo wa mawazo (stress & depression), hasira na huzuni huchangia tatizo hili kwa kiwango kikubwa.

Vyakula:
Vyakula vya kemikali k**a vile soda na vyakula vya mafuta pia sukari huchangia kwa upande mwengine utumiaji wa vyakula vya asili na matunda k**a vile parachichi pamoja na unyawaji wa maji ya kutosha huimarasha siha na kukupa matokeo mazuri kwenye tendo la ndoa.

Pombe na uvutaji wa sigara
Kotokufanya mazoezi
Athari zinazotokana na madawa ya kemikali
Matatizo ya Majini (Mahaba):
Majini Mahaba humuingia mwanaadamu kwa lengo la kufanya nae mapenzi,

k**a alivyo binaadamu wa kawaida majini wana wivu, kutokana na wivu humdhoofisha muathirika ili asifanye mapenzi na mtu mwengine.

Kuangalia picha za uchi (X) pia kuangalia wanawake walio vaa utupu
Punyeto
Kuwa bize sana kimwili na kiakili
upungufu wa nguvu za kiume
TIBA (DAWA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME)
Tatizo hili hutibiwa kulingana na sababu ya tatizo k**a ilivyoelezwa hapo juu.

Zifuatazo ni baadhi ya hatua zinazoweza kuchukuliwa kukabili tatizo la nguvu za kiume kulingana na sababu ya tatizo:

Kufanya Mazoezi:
Mazoezi huimarisha afya ya mwili na akili, hivyo kuboresha uwezo wa kufanya tendo la ndoa.

Kuacha vilevi (pombe na sigara)
Kutumia madawa ya asili Zaidi kuliko kemikali
Kupumzika muda wa kutosha
Kutumia vyakula vya asili na matunda ikiwemo asali na parachichi
Kufanya ibada sana ili kuepuka majini mahaba (k**a umeshaarika utibiwe)
Kuepuka kuangalia picha za xx na wanawake waliovaa utupu
Kujitahidi kuondoa mawazo, hasira na huzuni ikiwemo kusamehe alie kukosa
VYAKULA VINAVYOONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA HARAKA.
Vyakula tunavyokula vinamchango mkubwa katika kuimarisha nguvu za kiume, hivi ni baadhi ya vyakula vilivyothibitika kuwa na matokeo mazuri sana na ya haraka katika kuimarisha nguvu za kiume:

1.Ndizi Mbivu
Kuwa na stamina ni muhimu katika ufanyaji mapenzi. Ndizi ni chanzo kikubwa cha vitamini B ambayo husaidia sana katika kuongeza stamina na nguvu mwilini hasa wakati wa kufanya kazi nzito.

Ndizi ina kimeng‟enyo cha Bromelain ambacho huongeza nguvu za kiume na ashki ya mapenzi (libido).

Kwa matokeo mazuri , kula ndizi 2 hadi 3 zilizoiva kila siku.

2. Tikiti Maji
Ulaji wa Tunda hili pamoja na kutafuna kokwa zake mara kwa mara una matokeo mazuri katika kuimarisha nguvu za kiume.

3. Kitunguu Swaumu
Kitunguu saumu kina allicin, kiambato kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi. Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kuongeza stamina ya kufanya mapenzi.

Kwa ujumla vipo vyakula vingi venye mchango mkubwa katika kuongeza nguza kiume

vikiwemo pia:

Siagi ya Karanga
Parachichi
Pilipili
Pweza
Maji ya Kunywa kwa wingi
Komamanga n.k

Kwa Ushauri Tibawasiliana nasi kwa namba
0699213233.

25/10/2022

Tiba ya matatizo ya uzazi
Kwa wanawake na wanaume
Wasiliana nasi 0699213233.

25/10/2022

Kwa ushauri. na tiba
Wasiliana nasi
0699213233

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Uhuru Street, Ilala Boma
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00