Global Health Clinic
ELIMU, USHAURI NA SULUHISHO LA,.
#CHOO_KIGUMU.
#BAWASIRI.
#GESITUMBONI.
#VIDONDA_TUMBO.
09/07/2024
NJIA 16 ZA KUONDOA SUMU MBALIMBALI MWILINI...
Kupitia elimu hii mara baada ya kusoma kwa makini..Utakwenda kupata muongozo mzuri wa kutoa sumu mwilini.
IPO HIVI...
Mwili unaweza kupatwa na sumu kwa namna kuu mbili,
1. kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi N.k).
2. kupitia vyakula na vinywaji ambavyo tunatumia kila siku.
Pia sumu, zinaweza kuingia mwilini kupitia dawa mbalimbali, tunazotumia kujitibia magonjwa kilasiku.
Mwili huzalisha hizi sumu, (free radicals) kila mara kunapofanyika mmeng’enyo wa chakula mwilini mwako.
ISHARA ZITAKAZOKUONYESHA MWILI WAKO UNA SUMU NYINGI:
》Uchovu sugu.
》Maumivu ya maungio.
》Kuumwa kichwa kila mara.
》Tumbo kujaa gesi.
》Kufunga choo au kupata choo kigumu.
》Kukosa utulivu.
》Matatizo mbalimbali ya ngozi ikiwemo chunusi.
》Pumzi mbaya.
》Mzunguko wa hedhi usio sawa.
》Mwili kuishiw nguvu.
》Kushindwa kupungua uzito.
》Kupenda kula kula kila mara.
NB: Hakikisha Umenifolo, Turn on my post notification
09/07/2024
06/07/2024
No fast food no Constipation.
05/07/2024
Jaribu hii juice usiichuje kwao wewe Ambae unasumbuliwa na choo kigumu au kukaa na choo kwa muda mrefu, lakini hakikisha unapunguza vyakula vya wanga na fast foods.
04/07/2024
Je mwanao ana Tatizo la choo kigumu, bawasiri au ana kaa na choo kwa muda mrefu. Wasiliana nasi kwa Ushauri na Matibabu
Tupigie simu kwa no +255718738448
Dr Alfred
04/07/2024
Huwezi Kupona kwenye mazingira yale yake yaliyo pelekea ugonjwa, ili upone unapaswa kubadilisha unacho kula na kuwa na utaratibu mzuri kwenye kuzingatia kanuni za afya.
03/07/2024
Tatizo la choo kigumu (constipation) linaweza kusababishwa na mambo kadhaa, ikiwa ni pamoja na:
1. **Lishe isiyo na nyuzinyuzi**: Ulaji wa vyakula vichache vya nyuzinyuzi k**a matunda, mboga, na nafaka nzima unaweza kuchangia choo kigumu.
2. **Kutokunywa maji ya kutosha**: Upungufu wa maji mwilini unaweza kufanya kinyesi kiwe kigumu na kigumu zaidi kupita.
3. **Kutokufanya mazoezi ya mwili**: Kukaa muda mrefu bila kufanya mazoezi au shughuli za mwili kunaweza kupunguza harakati za utumbo.
4. **Kuchelewesha kwenda chooni**: Kukaa muda mrefu bila kwenda chooni baada ya kuhisi haja kubwa kunaweza kusababisha choo kigumu.
5. **Matumizi ya dawa fulani**: Baadhi ya dawa, k**a vile zile za maumivu (opioids), antacids zenye kalsiamu au alumini, na dawa za shinikizo la damu, zinaweza kusababisha choo kigumu.
6. **Magonjwa au hali za kiafya**: Magonjwa k**a ugonjwa wa diverticula, ugonjwa wa Hirschsprung, au matatizo ya tezi ya tiroidi yanaweza pia kusababisha choo kigumu.
Ikiwa tatizo la choo kigumu linaendelea au linakuwa kali, ni vyema kumuona daktari kwa uchunguzi na matibabu sahihi.
03/07/2024
Choo kigumu na bawasiri:
Kuna watu wamekula matunda,wanakunywa maji ya kutosha lakini bado choo kigimu kwao imekuwa Ni shida na kinae delea kueatela madhara K**a kuota kinyama katika njia ya haja kubwa
Hiyo ni kwa sababu huna bacteria walinzi(normal flora)
Bacteria walinzi Ni wa muhimu Sana kwenye mmeng'enyo wa chakula..lazima wawe wa kutosha ilinkazi nyingi ziendelee.
Ili kuondoa hiyo CHANGAMOTO Ni lazima tikusaidie kupata hao bacteria walinzi.
Kuna wakati k**a ulichelewa kufuata kanuni za afya na ukapata tatizo,unapozifuata kanuni hizo unakuwa unafanya vizuri lakini usitegemee matokeo ya haraka.
Ili upate matokeo ya haraka unapaswa kupata msaada wa virutubisho vinavyoweza kukusaidia.
Ili kupata virutubisho kwa ajili ya tumbo lako na mmeng'enyo wa chakula piga.
30/06/2024
FAHAMU FAIDA YA KUTUMIA MAZIWA MTINDI.
Imeandaliwa na.....
Dr Alfred
● Maziwa mtindi inafahamika ndio chakula bora miongoni mwa vyakula duniani.
imethibitika kuwa mtindi ni chanzo kizuri cha ‘Calcium’, ‘Phosphorus’, ‘Riboflavin (vitamin B2), ‘Iodine’, ‘vitamin B12’, ‘Pantothenic acid (vitamin B5) ‘Zinc’, ‘Potassium’ na ‘Molybdenum’. Mbali ya virutubisho hivyo, ndani ya mtindi kuna ‘bakteria hai’ ambao ni muhimu kiafya katika mwili.
FAIDA ZAKE NI K**A.........
_ Kinga kwa wakina mama kwa maana huondoa na kupambana dhidi ya maambukizi kwenye via ya uzazi (vaginal infections).
_ Kuongeza kinga ya mwili.
_ Kupunguza uzito kwa maana ni bora sana kuondoa mafuta (fat).
_ Kuondoa lehamu nyingi mwilini (cholesterol ).
_ Kurefusha maisha na kumfanya mtu kuwa na muonekano mzuri
(ant aging).
_ Pia kuongeza misuli kuwa imara.
N.k
Call/Whatsapp +255718738448
29/06/2024
Asanteni kwa kuendelea KUFUATILIA UKURASA wangu 🙏🙏🙏
24/06/2024
SABABU 2 UNATAKIWA KUTUMIA JUISI YA KAROTI
1) Huboresha afya ya viungo: Juisi ya Karoti huwezesha hasa mapafu, mioyo na figo kufanya kazi kwa viwango bora.
Juisi ya Karoti inaweza kupunguza hatari yako ya maambukizo ya moyo na kiharusi.
2) Hukuza uwiano wa sukari kwenye damu.
ya karoti kila mtu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Ilala Sokoni
Dar Es Salaam
10/07/2024