Ushauri wa afya
Tunashughulikia matatizo yote ya uzazi wa mwanaume na mwanamke
17/06/2023
KWAKO MWANAU'ME
IMARISHA AFYA YA UZÀZI NA TENDO.
Je' Umekuwa ukishindwa kumridhisha mwenzi wako mpaka kukupelekea kuanza kuwa muoga wa kukutana na mwenzi wako kwa kuogopa kurudia makosa yale yale ya KUWAHI KUFIKA KILELENI, KUSHINDWA KURUDIA TENDO, DHAKARI KUWA LEGEVU, KUTOA KIWANGO KIDOGO SANA CHA MBEGU au MBEGU KUWA NYEPESI SANA n.k?
Hii PACKAGE INAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO:
- KUWA NA UWEZO. KURUDIA TENDO VIZURI.
-KUONGEZA IDADI YA MBEGU
-KUSIMAMISHA UU'ME VIZURI.
- KUBORESHA MZUNGUKO WA DAMU.
-KUIMARISHA MISULI
-KUPATA HAMU YA KUFANYA TENDO
-KUTOFIKA MAPEMA KILELENI
-KULINDA AFYA YA TEZI DUM'E
TUNAFANYA DELIVERY TANZANIA NZIMA NA NCHI JIRANI MZIGO UTAKUFIKIA POPOTE ULIPO.
Vunja ukimya usikubali changamoto ndogo ndogo zivunje HESHIMA YAKO, wengi tumewasaidia na wako sawa SASA karibu tukushauri.
Call/SMS/WhatsApp +255692413246
KWAKO MWANAU'ME
IMARISHA AFYA YA UZÀZI NA TENDO.
Je' Umekuwa ukishindwa kumridhisha mwenzi wako mpaka kukupelekea kuanza kuwa muoga wa kukutana na mwenzi wako kwa kuogopa kurudia makosa yale yale ya KUWAHI KUFIKA KILELENI, KUSHINDWA KURUDIA TENDO, DHAKARI KUWA LEGEVU, KUTOA KIWANGO KIDOGO SANA CHA MBEGU au MBEGU KUWA NYEPESI SANA n.k?
TUNA PACKAGE INAYOMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO:
- KUWA NA UWEZO. KURUDIA TENDO VIZURI.
-KUONGEZA IDADI YA MBEGU
-KUSIMAMISHA UU'ME VIZURI.
- KUBORESHA MZUNGUKO WA DAMU.
-KUIMARISHA MISULI
-KUPATA HAMU YA KUFANYA TENDO
-KUTOFIKA MAPEMA KILELENI
-KULINDA AFYA YA TEZI DUM'E
TUNAFANYA DELIVERY TANZANIA NZIMA NA NCHI JIRANI MZIGO UTAKUFIKIA POPOTE ULIPO.
Vunja ukimya usikubali changamoto ndogo ndogo zivunje HESHIMA YAKO, wengi tumewasaidia na wako sawa SASA karibu tukushauri.
Call/SMS/WhatsApp +255692413246
10/06/2023
Tumia kila siku haya matunda ongeza na mbegu za maboga bila shaka mwanamume unayesumbuliwa na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume utakuwa sawa kabisa baada ya muda mfupi
Changamoto ya upungufu wa nguvu za tendo la ndoa, ni tatizo linakoikumba dunia nzima, inakadiliwa pengine wanaume 7 kati 10 wanasumbuliwa na tatizo hili. Ni vizuri kujua vitu vya kuzingatia kabla ya kutafuta dawa ya hii changamoto.
1. Unapaswa ujue k**a una tatizo kweli au ni shida tu ilitokea siku moja labda ulikuwa na msongo wa mawazo au maandalizi na mazingira ya mwenza wako hayakuwa mzuri siku hiyo.
2. Unapaswa kujua ukubwa wa tatizo lako na sababu zilizopelekea kupata hilo tatizo, hii itakurahishia kutibu kwa uhakika na haraka zaidi.
Na tunatambua unatatizo pindi uonapo dalili kadhaa ikiwemo Kukosa hamu ya tendo, kushindwa kusimamisha vizuri, kuwahi kumaliza na kushindwa kurudia raundi inayofuata kwa wakati, kutoa mbegu chache na nyepesi nk.
Kuna sababu kadhaa zinazopelekea kuwa na tatizo hili ikiwa ni pamoja na vinywaji na vilaji tunavyotumia kila siku, kutofanya mazoezi, uzito mkubwa, uangaliaji wa picha na video za ngono na upigaji wa punyeto pamoja na matumizi holela ya madawa ya kubust ( vi**ra, vumbi la kongo nk) bila ushauri wa daktari. Sababu nyingine ni magonjwa yasiyo ambukizi k**a presha, kisukari vidonda vya tumbo, bawasili, pamoja na maumivu ya mifupa na viungo.
K**a utajua chanzo cha tatizo lako ni vizuri kuanza kuishughulikia kwanza hiyo changamoto, k**a ni uzito punguza, k**a ni vinywaji na vilaji achana navyo, pia k**a ni video na punyeto ni bora ukakaa navyo mbali lakini pia k**a ni magonjwa yatibu. Na habari njema tuna virutubisho vizuri kabisa vinavyotibu na kumaliza kabisa magonjwa k**a kisukari presha vidonda vya tumbo au bawasili kwa muda mfupi mpaka maumivu ya viungo na mifupa.
Lakini pia hata k**a hujui chanzo cha tatizo lako bado kwetu sio sababu ya kushindwa kukutibu sababu virutubisho vyetu vina madini yote muhimu kwa afya ya mwanaume k**a madini ya zink, potasium, Calcium, omega3 nk pamoja na vitamini zote muhimu ikiwa pamoja na Vitamini A,B, B6, C nk ambavyo vinasaidia uzalishwaji wa homoni ya kiume ya testosterone kwa wingi.
Tuna bidhaa bora kabisa kutoka nchini Marekani zinazomaliza changamoto mbalimbali mwilini.
Tupo Makumbusho Dar_es_Salaam pia tunatuma ulipo.
0692413246.
22/12/2022
HABARI NJEMA KWAKO EWE MWANAUME
FOREVER BEDROOM PACK
Hii dozi inayomaliza changamoto zote upungufu wa nguvu za tendo
Usikimbilie tu kununua dawa bila kujuwa inaenda kutibu nini kumbuka upungufu wa nguvu za kiu.me
Huletwa na sababu nyingi k**a magonjwa, ulaji mbovu, kujichua nk.
Karibu upate ushauri wa kitaalam na tiba sahihi kutokana na chanzo cha tatizo lako.
Hii ni tiba rishe maalumu kwa wenye shida ya
• Kukosa hamu ya tendo
• Kuwahi kumaliza
• Askari kuregea na kushindwa kurudia
• Kutoa mbegu chache
• Askari kushindwa kabisa kusimama
Ofisi yetu ipo Makumbusho Dar es Salaam
Kwa maelezo zaidi njoo WhatsApp au piga simu 0692413246.
16/11/2022
JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
1.Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
2.Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
3.Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine
4.Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi
5.Balansi usito wako
6.Usivute sigara
7.Punguza au acha kunywa pombe
8.Punguza mawazo
9.Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
10.Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9
11.Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi
12.Kunywa maji ya kutosha
TIBA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Hili ni tatizo ambalo huwanyima raha watu wengi kwasababu linaashiria upungufu flani wa kimwili, tunawashauri watu wengi wafanye mazoezi, kula chakula bora hasa asilia na pia wanywe maji mengi ili kuimarisha afya zao. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaondolewa japo ni kwa mda mrefu kidogo, wengi hudanganywa na kupewa dawa za kuongeza nguvu pale unapoenda kujamiiana na sio dawa ya kutibu.
Tuna dawa ya kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na ukubwa wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki mbili huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa utumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendekea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.
Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutuponya, Mungu hakuumba dawa nyingine zaidi ya mimea na vitu vingine vya asili, japo wengi hudharau. Mungu tunaomba utuokoe na kutuponya.
16/11/2022
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DALILI ZAKE
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;
1.Kuwahi kufika kileleni
2.Kukosa hamu ya mapenzi
3.Kushindwa kurudia tendo la ndoa
4.Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
5.Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
6.Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
7.Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
8.Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji.
16/11/2022
UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.
Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.
Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa
CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
1.Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
2.Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
3.Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
4.Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
5.Kisukari, pleasure vidonda vya tumbo
6.Kuwa na mawazo na wasiwasi
7.Matumizi ya madawa mbalimbali
8.Umri hasa wazee
9.Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
10.Kuwa na tatizo la kibofu
11.Tabia za kujichua kwa mda mrefu
12.Kutopata usingizi kamili
13.Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine.
06/11/2022
K**a kuna tiba umetumia na hukupata matokeo mazuri basi nikutoe tu hofu hii sio ya majaribio ni mwisho wa tatizo lako, utapona na kusahau kabisa aibu uliyokuwa unaipata ya.
* KUKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO KIKAMILIFU
* KUSIMAMA KWA ULEGEVU ASKARI WAKO
* KUWAHI KUMALIZA NA KUSHINDWA KURUDIA MAPEMA
* KUTOA MBEGU CHACHE NA NYEPESI
* KULALA ASKARI WAKO KATIKATI YA SAFARI
* KUCHOKA SANA NA KUPATA USINGIZI BAADA TU YA TENDO
* KUPATA MAUMIVU CHINI YA KITOVU BAADA TU YA TENDO
* KUSHINDWA KABISA ASKARI KUSIMAMA.
Wahi mapema utibiwe kabla tatizo halijawa kubwa na kusababisha kupata kansa ya tezi dume itakayokulazimu ufanyiwe upasuaji.
Tunapatika Dar es Salaam Tandika lakini tuna wakala mkoa wa Mwanza Igoma na tunatuma mikoa mingine kwa uaminifu mkubwa.
Kumbuka hivi ni virutubisho hivyo havina madhara yoyote kwa mtumiaji na matokeo ni ya uhakika.
13/10/2022
Faida za kuruka kamba kwa afya yako
1- Boresha uratibu
2- Hupunguza majeraha ya mguu na kifundo cha mguu
3- Husaidia kuchoma kalori zaidi
4- Aina ya raha inayobebeka
5- Inaboresha msongamano wa mifupa
6- Inaboresha afya ya moyo na mishipa
7- Uboreshaji wa ufanisi wa kupumua
8- Ongeza akili
9- Inaboresha uwezo wa kukaa utulivu
10- Huongeza kimetaboliki ya nishati
11- Profaili iliyoboreshwa ya homoni
12- Kuboresha uwezo wa kupona
13- Husaidia kujenga misuli
14- Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari
15- Kamba ya kuruka ni zoezi bora kwa mfumo mzuri wa limfu
16- Inaboresha hali ya ngozi
13/10/2022
Kula chakula cha mafuta mengi sio tatizo, shida ni kwamba baada ya kula hayo mafuta unayatoaje mwilini?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam