Maisha ni afya
Tunasaidia kuimarisha afya yako kwa kukupatia bidhaa asili toka kwa mimea k**a Aloevera nk.
BORESHA HESHIMA YA YAKO KWA VIRUTUBISHO LISHE ARGI+ & MACA.
Tumia Argi+ & maca vitakusaidia kuondokana na matatizo yote ya mfumo wa wa mwanamke / mwanaume
FAIDA ZA ARGI+ & MACA
1- Inaongeza hamu ya tendo kwa jinsia zote akina mama na akina baba, STAMINA, na NGUVU wakati wa tendo.
2- Inasaidia kuongeza idadi ya mbegu na uwezo kuogelea vizuri (mobility)
3- Inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini, hivyo huboresha hamu ya tendo kwa wenye changamoto ya kisukari.
4- Husaidia kwa wenye changamoto ya kuwahi kufika kileleni, na kushindwa kurudia. Husaidia..
5- Husaidia ufanisi wa kazi za moyo.
6- Husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulio ganda, hivyo kuweka standard presha na Kisukari.
7- Inasaidia misuli kuwa imara na yenye nguvu, hivyo ni nzuri sana pia kwa watu wanaofanya mazoezi, n.k
8- Husaidia ku control mood na kukusaidia kua vizuri kwenye Ubongo kwa kusaidia hewa ya Oxygen kusafiri vizuri ,kukusaidia kurudisha kumbukumbu
9-Husaidia kukupa nguvu na kua Active mda wothusaidia kukuondolea uchovu.
10-Husaidia kuimarisha mifupa /meno na kukuondolea maumivu ya mifupa/mgongo
-Husadia kwenye mfumo wa kinga mwilini/ husaidia uzalishaji wa Cell za ngozi
11-Bidhaa hizi zitakupa vitamin,Zinc, Calcium C,D3,K2,B6,B12 ,Folic acid,Carbohydrates, sugar, ambazo ni muhimu sana katika uzalishaji wa mbegu za kiume na kuzifanya kua na Afya.
12- Maca husaidia mwanamke kumuondolea ukavu kwa kuongeza Ute Ute na kufurahia tendo la ndoa vizuri. zaidi
NI PRODUCT SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, IMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.
Kwa walio serious kupata package
PIGA/ WhatsApp
0627 529896
CLICK LINKI HII 👇👇👇HAPA CHINI ITAKULETA MOJA KWA MOJA WHATSAPP
https://wa.me/255627529896?text=Naomba%20maelezo%20kuhusu%20Argi%2B%20na%20maca
*KUTOKANA NA CHANGAMOTO YA MAISHA NA MFUMO MZIMA WA ULAJI WATU WENGI WANAKUMBWA NA TATITO LA KUTOFURAHIA TENDO LA NDOA NA KUTO MUDU KUFANYA VYEMA TENDO*.
*MULT-MACA - ni mchanganyiko kati ya mmea wa maca na mimea mingine asilia. *"MACA" ni mmea Uliogundulika Miaka 2000 iliyopita nchini *"PERU"* na mizizi yake ilikua ikitumika k**a chakula kikuu kwa mashujaa wa *INCAN* kabla ya kwenda vitani ili kuwapa nguvu, stamina na kuondoa wasi wasi.
Mmea unaushuhuda mwingi ambapo wanawake nchini South Africa wamekuwa wakiutumia kuweka bofy shape nzur na yenye mvuto pia kuleta ute mzito unaofaa wakat wa tendo la ndoa pia kuleta nguvu na hamu kubwa lakini pia kuimarisha muscles na ukuaji wa mifupa.
*FAIDA ZA KUTUMIA MULT-MACCA*
1. Huongeza hamu ya tendo la ndoa kwa kina mama na kina baba kwa asilimia zaidi ya 180 kwani,Huongeza Nguvu na Stamina
2. Inasaidia kuondoa depression (msongo wa Mawazo).
3. Inasaidia kuondoa madhara ya kukoma hedhi - menopause(homoni na kusikia joto kali
4.Inarutubisha mayai kwa mwanamke na Inaongeza idadi ya mbegu za kiume )kwa asilimia 200,na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri ( ili kulifikia yai.
6.Inabalance kiwango cha chuma Kwenye damu, ambacho husaidia utengenezaji wa damu na kuboresha mzunguko wake.
7.Inasaidia kupromote matumizi ya glucose kwenye damu na kubadili mafuta kuwa nguvu.
Nb:
*BIDHAA HII NI VIRUTUBISHO NA SIYO DAWA AMBAVYO VITAKUSAIDIA ,KULIKO KUTUMIA DAWA KALI ZENYE MAKEMIKALI HATARISHI.*
Piga/sms/whatsApp/:+255 627529896
BORESHA HESHIMA YA YAKO KWA VIRUTUBISHO LISHE ARGI+ & MACA.
Tumia Argi+ & maca vitakusaidia kuondokana na matatizo yote ya mfumo wa wa mwanamke / mwanaume
FAIDA ZA ARGI+ & MACA
1- Inaongeza hamu ya tendo kwa jinsia zote akina mama na akina baba, STAMINA, na NGUVU wakati wa tendo.
2- Inasaidia kuongeza idadi ya mbegu na uwezo kuogelea vizuri (mobility)
3- Inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini, hivyo huboresha hamu ya tendo kwa wenye changamoto ya kisukari.
4- Husaidia kwa wenye changamoto ya kuwahi kufika kileleni, na kushindwa kurudia. Husaidia..
5- Husaidia ufanisi wa kazi za moyo.
6- Husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulio ganda, hivyo kuweka standard presha na Kisukari.
7- Inasaidia misuli kuwa imara na yenye nguvu, hivyo ni nzuri sana pia kwa watu wanaofanya mazoezi, n.k
8- Husaidia ku control mood na kukusaidia kua vizuri kwenye Ubongo kwa kusaidia hewa ya Oxygen kusafiri vizuri ,kukusaidia kurudisha kumbukumbu
9-Husaidia kukupa nguvu na kua Active mda wothusaidia kukuondolea uchovu.
10-Husaidia kuimarisha mifupa /meno na kukuondolea maumivu ya mifupa/mgongo
-Husadia kwenye mfumo wa kinga mwilini/ husaidia uzalishaji wa Cell za ngozi
11-Bidhaa hizi zitakupa vitamin,Zinc, Calcium C,D3,K2,B6,B12 ,Folic acid,Carbohydrates, sugar, ambazo ni muhimu sana katika uzalishaji wa mbegu za kiume na kuzifanya kua na Afya.
12- Maca husaidia mwanamke kumuondolea ukavu kwa kuongeza Ute Ute na kufurahia tendo la ndoa vizuri. zaidi
NI PRODUCT SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, IMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.
Kwa walio serious kupata package
PIGA/ WhatsApp
0673 151212
CLICK LINKI HII 👇👇👇HAPA CHINI ITAKULETA MOJA KWA MOJA WHATSAPP
https://wa.me/255673151212?text=Naomba%20maelezo%20kuhusu%20Argi%2B%20na%20maca
FAHAMU TATIZO LA KUTOKUPATA CHOO KWA WAKATI, KIGUMU, CHA DAMU NA KUOTA KINYAMA NJIA YA HAJA KUBWA.(BAWASILI).
WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles
~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri
(A) BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne
(1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pale panapohusika
(2)DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia.
(3)DARAJA LA TATU :hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe.
(4)DARAJA LA NNE :hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi
(B)BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni Ă·
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia.
~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia
👉KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA
👉KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6/12 Kwa siku
👉EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU
MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali
KWA USHAURI ZAIDI WASILIANA KWA
CALL/WHATSAPP
+255 627529896
BONYEZA LINK HAPA CHINI
ITAKULETA WHATSAPP
https://wa.me/255627529896?text=Naomba%20maelezo%20zaidi.
Unafahamu njia sahihi za kupunguza uzito ndani ya mwili wako???
Call/text +255 627529896
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam