mwanaume jali afya yako

mwanaume jali afya yako

Share

.. AFYA YA UZAZI KWA WANAUME
.MWONGOZO WA CHAKULA NA MAZOEZI
.TBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

29/01/2024

*Dr Kennedy hongera sana kwa kuanza biashara Rasmi siku ya Leo Mimi binafsi nikupongeze sanaa maana umeona ni vyema mbali na Mshaara wako ila ukahitaji kuongeza mkondo mwingine Wa kipato binafsi nikupongeze sanaaaaaaaa

29/01/2024

Dada angu mpendwa hongera sana kwa KUANZA biashara Rasmi siku ya Leo na hakika Mimi Niko Tayari kukupatia support inayotakiwa ili nawe uweze kufika pale kunakotakiwa nawe kutimiza malengo yako*

29/01/2024

Mbarikiwe sana ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Alafu mara nyingi baadhi Yao hawali sana sijui wanashibaga Harufu jikoni ๐Ÿ˜

Mtag rafiki yako chibonge apokee maua yake hapa

Photos from mwanaume jali afya yako's post 27/01/2024

*Ni vile Niko na smile kubwa kwa vile Sina Kitambi ila sasa ningekuwa na kitambi ama nyama uzembe ningejoin Haraka sana kwa C9 CHALLENGE AMBAYO INAANZA TAREHE 1 FEBRUARY UTAPATA Kuungwa kwa Group ambalo utapata support ya pamoja huku ukipewa mwongozo wa kuweza kutimiza lengo Lako la kupungua Uzito feel free kunichek inbox Nikupatie information Zaidi kuhusu C9 CHALLENGE*

23/01/2024

*Baada ya kutoka Kenya sasa basi kesho siku ya Jumatano Saa Saba mchana Tutapata kujifunza zaidi Namna gani Unaweza kutumia Mfumo wetu wa biashara kutengeneza kipato kingine au kiwe kipato kikuu na kutimiza malengo yako Je uko Tayari kujifunza? K**a ndio nichek inbox Nikupatie information Zaidi*

23/01/2024

KIUKWELI NILIKOTOKA NI MBALI SANA MPAKA NIKIJIANGALIA NASEMA AHSANTE SANA MUNGU KUNIPATIA HII FURSA FOREVER LIVING PRODUCTS MAANA imenipa maisha na Afya zaidi... bye The way watu tunatoka uzeeeni na kuwa vijana hapa Mimi nimeamini*

Photos from mwanaume jali afya yako's post 22/01/2024

Aise kwa kuambiwa kwamba "we wish you success in your business" haya ni maneno mazuri na mazito sanaaa na kuwa recognized mbele ya NCHI zaidi ya 6 kwa kufanya Biashara vizuri nchini Tanzania hii ni heshima kubwa sanaaaaaaa AM LOOKING FORWARD TO MANAGER LEVEL Thank you so much my leader kwa kuwa kiongozi mzuri kwa Biashara yangu lakini pia kwako kwa kuwa kiongozi wetu kwa ujumla bila kukusahau baba kabisa hakika you guys Mungu Awabariki sanaaaaaaaaaaaa๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ*

Photos from mwanaume jali afya yako's post 21/01/2024

East Africa Rally DAY ONE ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅโœŒ๐ŸปโœŒ๐Ÿปwas Amazing for Sure โœ๐Ÿปโœ๐Ÿป ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ

Now kilichopo mbele yetu ni kazi maana tumepata shibe yakutosha tunalishwa kichwani๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅthen tunaingia kupigania malengo๐Ÿ’ช๐Ÿป

usiendeleee kuangalia kwa Mbali huu ni muda wako wakuamua kua ndani na kupiga kazi kweli kweli

20/01/2024

FOREVER EAST AFRICA SUCCESS WEEKEND ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

19/01/2024

FOREVER NA ENJOYMENT ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Photos from mwanaume jali afya yako's post 10/01/2024

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟTANZANIA 2024 BUSINESS TOUR ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Upo DAR ES SALAAM / DODOMA / MOROGORO . If YES na umeona hii post basi SIO BAHATI MBAYA mana Naamini ni wewe pia Una MALENGO YA 2024
Naamini mwaka mpya umeuanza vizuri kabisa na Tumshukuru Mungu kwa hilo ๐Ÿ™
So , personally NAKUALIKA Kwenye Hizi business events za Dar ijumaa hii / Dodoma Jumapili / Morogoro Jumanne
Lengo ni kupeana Mafunzo Namna Ya jinsi ya Kuanza na Kufanya Biashara Kwa Mda Wa Ziada ili kutimiza Malengo ya 2024
Hizi business events zitaendeshwa na *VERONICA KUNDYA* Kati Ya Wanawake Walio fanikiwa kwenye Sector ya Biashara .
Veronica ni Mtanzania , amesoma hapo UDSM , COMPUTER SCIENCE Ila Akamua kujikita kibiashara na sasa amejenga BIASHARA zaidi ya nchi 12 Duniani kwa kutumia zaidi MITANDAO ya kijamii hivyo ukija utapata chance ya kujifunza amefanya vipi mana anachofanya , KILA MTU ANAWEZA
Ila pia , Ijumaa hii Ya Tarehe 12 Utapata nafasi ya Kusikia Kutoka Kwa Watanzania Wengine Ambao Wamepiga Hatua Sana Kimaisha Kupitia Biashara
Ninauhakika utajifunza na Kuhamasika Kuanza MWAKA 2024 Kwa Nguvu na Kufanyia kazi Malengo Yako Kupitia Biashara.
USIKOSE NAFASI HII
Kwa DAR ni Siku ya IJUMAA TAREHE 12 JAN 2024
SAA 9 ALASIRI | WAKILI HOUSE - OPPOSITE VODACOM.
ENTRANCE - 10,000/=TSH
KARIBU SANA ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
DM mkoa uliopo K**a unatamani kuhudhuria one of these events na K**a unahitaji tuonane in person especially km umekua ukifuatilia posts zangu hapa instagram kwa muda , THIS IS YOUR CHANCE , MALENGO YAKO YA 2024 ARE VALID !!

Call 0747928286

Photos from mwanaume jali afya yako's post 09/01/2024

Hongera sana Mzumbe pamoja na morogoro mjini kuweza kuanza biashara Mimi binafsi niwapongeze sanaaaaaa zaidi ya sana. Maana hapa ndo sehemu sahihi ha kuwajenga na kuanza kutengeneza kipato

Call 0747928286

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam