Shafan_afya_na_uzazi
PATA SULUHISHO LA MAGONJWA SUGU,KAMA,KISUKARI,MOYO PRESSURE,HOMONI IMBALANCE PID,FUNGAS,CANCER,UVIMBE
18/12/2023
*LIJUE TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS ) KWA WANAWAKE NA TIBA YAKE .*
Uvimbe kwenye kizazi ni uvimbe ambao hutokea katika misuli laini ya mfuko wa uzazi wa mwanamke (Uterus).
Tatizo la uvimbe kwenye kizazi hujulikana kwa kitaalamu k**a uterine fibroids/leiomyoma/uterine myoma.
Uvimbe huu husababisha kubadilika kwa umbo na ukubwa wa kizazi. Mara nyingi Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na tatizo hili. Wakati mwingine mwanamke anaweza kupata tatizo hili akiwa kwenye ujauzito, hali hii inaweza kusababisha shida wakati wa kujifungua na kupelekea mwanamke kujifungua kwa upasuaji.
Tatizo hili huweza kuongezeka ukubwa wakati wa ujauzito kutokana na kiasi kikubwa cha homoni ya estrojeni. Kuvuja damu na maumivu ya tumbo pia huweza kutokea kutokana na uvimbe kupoteza damu yake. Kwahiyo madaktari wa wanawake hupendekeza mgonjwa kufanyiwa ultrasound mara kwa mara ili kufatilia maendeleo ya uvimbe.
Tatizo la uvimbe kwenye kizazi ni kubwa na linawatokea wanawake wengi sana. Inakadiriwa kwamba 75% ya wanawake hupata tatizo hili katika kipindi fulani cha maisha yao. Kwa mujibu wa jarida la New England Journal of Medicine, kila mwaka zaidi ya wanawake 200,000 wanafanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi chote (hysterectomy) kutokana na tatizo hili.
01/08/2023
GHARAMA ZA KUREKEBISHA NGUVU ZA KIUME HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA NI TSH. 6,000,000
"Hii ni kwa wanaume"
Je,unavuta picha Gani mama,dada juu ya hii gharama katika maswala ya uzazi??.
Chukua hatua mapema uzazi siyo kitu cha masihala.
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo, Dkt. Alphonce Chandika, amesema Huduma imeanzishwa baada ya kubainika kuna changamoto kubwa ya Wanaume wenye tatizo la nguvu za Kiume
-
-
Mwaka 2021, Serikali iliagiza kufanyika utafiti ili kubaini sababu na ukubwa wa tatizo la nguvu za Kiume Nchini baada ya kuonekana kuna ongezeko kubwa la Vijana wenye chini ya Miaka 35 wenye tatizo hilo
-
06/07/2023
Ni Admin .afya.ya.uzazi
Kwanza asanteni Kwa kuendelea ku follow page yangu pia Kwa kuendelea kuniamini.
Upita muda nipo kimya sijapost chochote,ni changamoto za kawaida nilikuwa nazo.
Sasa nmerudi,nasubiri oda zenu pia endelea kufatilia updates za masomo mbalimbali kuhusu uzazi was mwanamke ili tuweze kujinasua katika janga hili la maradhi yanayotokana na infection.
Nipo hapa kuhakikisha unatatua changamoto zote.
Asanteni,I missed U.
22/03/2023
My dear wewe unatumia njia gani kuzuia mimba.?je wajua kuwa mbali na njia hizi zinafaida kwa kupanga uzazi pia Zina athari katika uzazi wako wewe mwanamke??. comment njia gani unatumia na mimi nitakueleza madhara yake.
22/03/2023
Kwa nini unateseka kwa kusikia maumivu makali wakati wakati wa tendo la ndoa??
Je unajua sababu ni nini?
22/03/2023
22/03/2023
JE UNAUJUA UTE WA UVULATION.??.
Utaanza kuona dalili za ovulation siku Tano kabla ya kuovulate.
Kujaribu kuelewa mzunguko Kwa kutumia tarehe za mzunguko wako pekee haitakupa majjibu sahihi.hii ndo mana ya kuwa na uwezo wa kugundua dalili za mwili wako kipindi upo kwenye ovulation na unauwezo was kupata ujauzito ni mhimu.
UTAJUAJE KUWA UPO KWENYE OVULATION.
Kuna dalili na viashiria kadhaa ambavyo vitakufanya kujua k**a upo kwenye ovulation.
..mabadiliko ya ute katika mlango was uzazi..kuonezeka joto la mwili...maumivu ya tumbo...maumivu ya maziwa yanapoguswa...kuwa na hamu ya mapenzi kuliko kawaida.
22/03/2023
TATIZO LA UKE KUWA MKAVU.
Uke kuwa mkavu ni tatizo ambalo linasababishwa na upungufu was homoni(kichocheo Cha homoni ya aestrogen) ambayo jukumu lake kubwa ni kutengeneza virainishi vya uke.
Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na Ute WA wastani ambao hufanya uke kubana,kuleta joto,na Raha katika tendo..
K**a tayari unachangamoto hii aidha unaskia maumivu wakati wa faragha na mwenza basi nitafute niweze kukupa sulusho.
Piga/Whatsapp
0747846664
17/03/2023
Tunavyopambana Kupunguza vifo vya akina mama vitokanavyo na UZAZI,Mimba Inapokuwa CHANGA Hofu kubwa,HATARI kubwa ambayo huwezi Kuiacha KUIONGELEA ni Mimba kutunga Nje ya kizazi,Yaan ECTOPIC PREGNANCY.
Wafuatao wapo hatarin zaidi kupata mimba iliyotungwa Nje ya kizaz;
1.mwanamke mwenye PID au ambae amewahi pata PID-Huziba mirija,huacha makovu na mikunjo kwenye Mirija(Adhesions) hivyo Kufanya Yai Lililorutubishwa Kukwama njian kwenye mrija na Mimba kutunga HAPO.
2.mwanamke aliewahi pata mimba iliyotungwa kwenye mirija yupo hatarin kupata tena mimba iliyotungwa nje ya kizazi(na hii ndo Hufanya wanawake Kukatwa Mirija yoteðŸ˜) matumain ya uzazi Inabaki IVF tu
3. Kitanzi ni kizuri sanaaaa kuzuia mimba kwa 99%,Chance ya mtu kupata mimba NDOGO mno au haipo kabisa,Sema ikitokea Mwanamke akapata Mimba,Uwezekano wa Mimba Kutunga Njebya kizazi ni Mkubwa
4.dawa za kuzuia mimba,P2 specifically inaongeza uwezekano wa Mimba kutunga Nje ya kizazi.
Dalili za Kwamba Mimba Imetunga Nje ya kizazi Kubwa ni 3(Unaweza pia usiwenazo,wanawake 50% ndo wanakuwa na hizi zote)
Tumbo kuuma,unakuwa UMEVUKA haujaona siku zako(Amenorrhoea) na Kuanza kutoka Damu Uken(damu Kidogo tu).
HATARI:mimba Inapozidi kuwa Kubwa mrija UNAPASUKA na hii hufanya Damu nyingi sana Kumwagika hapo,mwanamke huyu asipopata huduma ya haraka(kupasuliwa) anaweza poteza maisha(Tumewapoteza wanawake Wengi kwa Hili).
UNASHAURIWA: UNAPOPATA MIMBA,Basi Piga picha ya KWANZA yaan ULTRASOUND kuhakikisha MIMBA imetunga MAHALI PENYEWE yaan ndani ya Kizazi.na K**a imetokea Umepiga Picha mimba imetunga Nje ya kizazi,Basi Utapasuliwa mapema na kupata huduma mapema kabla Mrija Haujapasuka na kuhatarisha Uhai.
Kwa ushauri zaidi kuusu afya yako 📞+255747846664
17/03/2023
Madhara ya Kutokwa na Uchafu ukeni
Saratani ya shingo ya kizazi
Ugumba
Mirija kuziba
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kigamboni
Dar Es Salaam