Afyacare_drsuzan
MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe mwilini
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni mwilini na kukosa usingizi
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.
Hivyo detoxilive ni bidhaa muhimu sana kwako tumia k**a kinga ama kutibu
UNAWEZA KULINDA FIGO ZAKO SASA NAKUTOA SUMU MWILINI KWA HARAKA ZAIDI
๐Inaondoa uric acid ( inazuia kupata gaut)
๐ Inaondoa mafuta mabaya mwilini
๐ Inaondoa sumu mwilini
๐ Inaondoa nyama uzembe na kitambi
๐ Inapunguza uzito uliozidi
๐ Inailinda figo na ini
๐ Inaondoa hali ya kuchoka bila sababu na inaleta usingizi mzuri kwa wasiyo pata usingizi usiku
Inatumika namtu yeyote na haina madhara yoyote kiafya.
Okoa gharama za โDialysisโ ya figo kila wiki , tumia bidhaa hii kwa matibabu ya uhakika.
https://wa.me/message/PGSSQOI5Z3KSN1
Kwa Ushauri Zaidi na mahitaji
Mawasiliano 0714100697
07/05/2026
โ ๏ธ FIGO ZIKIHARIBIKA NI HATARI KUBWA KWA MWILI WAKO!
Watu wengi hupuuza dalili za mwanzo k**a:
โ Kuchoka sana
โ Kuvimba miguu na uso
โ Mkojo kubadilika rangi au kuwa na povu
โ Maumivu ya mgongo wa chini
๐ Ukweli ni kwamba, ukichelewa kuchukua hatua madhara huwa makubwa zaidi hadi kufikia hatua ya dialysis au kupoteza maisha.
โ
Habari njema: Ukiona dalili mapema, unaweza kuzuia madhara na kurejesha afya yako kwa matibabu sahihi na ushauri wa kitaalam.
๐ Usisubiri hali iwe mbaya!
Wahi mapema upate msaada.
Dr solution
โ๏ธ 0785-180321
๐๐๐๐๐ ๐จ ๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ฉ๐ฌ๐๐ก๐ญ๐ข, ๐๐๐๐๐๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ญ๐ ๐จ๐ช๐๐ฃ๐ข ๐ช๐ ๐ฆ๐จ๐ ๐จ ๐ก๐ฌ๐๐ก๐๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ก๐:
https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1
Sumu ni kemikali ambazo tunaweza kuingiza ndani ya miili yetu kupitia njia mbali mbali k**a vile ulaji mbovu wa vyakula vyenye Citric Acid kwa wingi, Moshi za viwandani au kuishi karibu na viwanda, kutumia vinywaji vya viwandani k**a vile Bia na Soda, kupendelea kula nyama nyekundu kupita kiasi, Kuvuta sigara au bangi, matumizi ya Dawa za hospitalini kupita kiasi.
Kuishi karibu na vyanzo vya maji vizivyo salama, maji ambayo yanaweza kutumiwa na binadamu kwa namna tofauti kulingana na uwitaji wake kwa muda huo.
๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ญ๐ ๐จ๐ช๐๐ฃ๐ข ๐ช๐ ๐ฆ๐จ๐ ๐จ ๐ก๐ฌ๐๐ก๐๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ก๐:
โ
Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele au majipu.
โ
Kuwa na unene au uzito wa kupindukia.
โ
Kutopata choo au kupata choo kigumu.
โ
Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza, kutokwa na jasho jingi usiku wakati wa kulala.
โ
Kichwa kuuma mara kwa mara.
โ
Kupata miwasho mzio au allergy kwenye ngozi.
โ
Maumivu ya viungo na mifupa K**a vile mgongo,goti, nyonga na pingili za shingo.
โ
Kuwa na hasira ya mara kwa mara na muda mwengine kupoteza hamu ya kula.
โ
Tumbo kujaa gesi na matatizo ya tumbo k**a vile saratani ya utumbo, vidondonda vya tumbo na bawasiri.
โ
Kuwa na upungufu wa damu mara kwa mara au Kutapika damu.
https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1
๐ก๐ ๐๐๐ฌ๐ ๐ก๐๐๐ข ๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ ๐๐จ๐ช๐ ๐ก๐ ๐ฆ๐จ๐ ๐จ ๐ก๐ฌ๐๐ก๐๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ก๐:
โช๏ธ Maumivu ya tumbo hasa unapo kuwa na njaa, Maumivu haya yanaweza yakawa ya upande mmoja tu wa kulia, kushoto au tumbo lote na pindi unapo shiba maumivu haya hupotea unaweza kujihisi ni vidonda vya tumbo kumbe sio vidonda.
โช๏ธUwepo wa Gout au reflex acid nyingi mwilini kuanzia kifuani hadi katika vidole, na muda mwengine huisi ganzi kwa baadhi ya sehemu za mwili wako.
โช๏ธ Maumbikizi ya figo au Figo kuferi kwa kutengeneza tumor (Vimbe zenye maji maji ndani yake ) au Figo kuwa na mawe, Kupanda kwa Creatinine ni kemikali hai inayo simamia ufanisi wa figo.
โช๏ธ wasiliana nasi 0785180321
๐๐๐๐๐ ๐จ ๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ฉ๐ฌ๐๐ก๐ญ๐ข, ๐๐๐๐๐๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ญ๐ ๐จ๐ช๐๐ฃ๐ข ๐ช๐ ๐ฆ๐จ๐ ๐จ ๐ก๐ฌ๐๐ก๐๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ก๐:
https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1
Sumu ni kemikali ambazo tunaweza kuingiza ndani ya miili yetu kupitia njia mbali mbali k**a vile ulaji mbovu wa vyakula vyenye Citric Acid kwa wingi, Moshi za viwandani au kuishi karibu na viwanda, kutumia vinywaji vya viwandani k**a vile Bia na Soda, kupendelea kula nyama nyekundu kupita kiasi, Kuvuta sigara au bangi, matumizi ya Dawa za hospitalini kupita kiasi.
Kuishi karibu na vyanzo vya maji vizivyo salama, maji ambayo yanaweza kutumiwa na binadamu kwa namna tofauti kulingana na uwitaji wake kwa muda huo.
๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ญ๐ ๐จ๐ช๐๐ฃ๐ข ๐ช๐ ๐ฆ๐จ๐ ๐จ ๐ก๐ฌ๐๐ก๐๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ก๐:
โ
Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele au majipu.
โ
Kuwa na unene au uzito wa kupindukia.
โ
Kutopata choo au kupata choo kigumu.
โ
Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza, kutokwa na jasho jingi usiku wakati wa kulala.
โ
Kichwa kuuma mara kwa mara.
โ
Kupata miwasho mzio au allergy kwenye ngozi.
โ
Maumivu ya viungo na mifupa K**a vile mgongo,goti, nyonga na pingili za shingo.
โ
Kuwa na hasira ya mara kwa mara na muda mwengine kupoteza hamu ya kula.
โ
Tumbo kujaa gesi na matatizo ya tumbo k**a vile saratani ya utumbo, vidondonda vya tumbo na bawasiri.
โ
Kuwa na upungufu wa damu mara kwa mara au Kutapika damu.
https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1
๐ก๐ ๐๐๐ฌ๐ ๐ก๐๐๐ข ๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ ๐๐จ๐ช๐ ๐ก๐ ๐ฆ๐จ๐ ๐จ ๐ก๐ฌ๐๐ก๐๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ก๐:
โช๏ธ Maumivu ya tumbo hasa unapo kuwa na njaa, Maumivu haya yanaweza yakawa ya upande mmoja tu wa kulia, kushoto au tumbo lote na pindi unapo shiba maumivu haya hupotea unaweza kujihisi ni vidonda vya tumbo kumbe sio vidonda.
โช๏ธUwepo wa Gout au reflex acid nyingi mwilini kuanzia kifuani hadi katika vidole, na muda mwengine huisi ganzi kwa baadhi ya sehemu za mwili wako.
โช๏ธ Maumbikizi ya figo au Figo kuferi kwa kutengeneza tumor (Vimbe zenye maji maji ndani yake ) au Figo kuwa na mawe, Kupanda kwa Creatinine ni kemikali hai inayo simamia ufanisi wa figo.
โช๏ธ Maumbikizi ya Ini, Kupanda kwa ALT na AST na muda mwengine Kupanda kwa total Bilirubin.
โช๏ธ Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba) kutokana na kutoa manii zilizo nyepesi na baridi zilizo kosa joto.
โช๏ธ Mvurugiko wa homoni za uzazi kwa wanaume, kupoteza kabisa Hisia za kushiliki tendo la ndoa.
โช๏ธ Maumivu ya Mifupa na Maungio.
โช๏ธ Hupelekea matatizo ya shinikizo la damu kuwa juu (high blood pressure).
โช๏ธ Mvurugiko wa homoni za uzazi kwa wanawake na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
โช๏ธ Saratani au kansa mbali mbali k**a vile Kansa ya ngozi, Saratani ya Figo, Saratani ya Ini na saratani ya bandama.
โช๏ธ Matatizo ya moyo, kongosho na mfumo mzima wa damu ikiwemo kuganda ovyo kwa damu(arteriosclerosis, atherosclerosis ,thromboembolisim).
๐ก๐๐ก๐ ๐จ๐๐๐ก๐ฌ๐ ๐๐๐ ๐ข๐ก๐๐ข๐๐๐ก๐ ๐ก๐ ๐ฆ๐จ๐ ๐จ ๐๐๐ญ๐ข ๐ฃ๐๐ ๐ข๐๐ ๐ก๐ ๐๐จ๐๐ ๐๐ฅ๐๐ฆ๐๐ ๐๐๐ฌ๐ ๐ฌ๐๐๐ข ๐ฆ๐๐๐จ ๐ญ๐ข๐ง๐:
https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1
โ
Hakikisha unakunywa maji mengi kilasiku, angalau lita mbili hadi tatu kwa siku.
โ
Fuatilia rangi za mkojo wako je upo katika rangi gani kuna baadhi ya rangi za mkojo zinaashilia uwepo wa Sumu nyingi mwilini mwako lakini pia huonyesha dalili za uwepo wa ugonjwa wa figo au Figo kuferi.
Mfano wa rangi mbaya za mkojo
โช๏ธNjano iliyo kolea sana
โช๏ธRangi ya kahawiya inafanana na soda ya Coca-Cola.
โช๏ธUnapata maumivu kidogo wakati wa kukojoa
Ukiona hivi hakikisha unakunywa maji mengi sana kwa siku ili kusafisha figo zako, INI pamoja na kibofu cha mkojo.
โ
Hakikisha unakula matunda mengi yenye asili ya maji maji k**a vile Nanasi, Tikiti, Tango na Zabibu.
Matunda haya ni bora zaidi katika upande wa kufanya Detoxification kuondoa sumu lakini pia kusafisha kibofu cha mkojo na kuimarisha afya ya figo na ini kwa ujumla
โ
Tumia mboga za majani kwa wingi kilasiku katika mlo wako, Mboga za majani ni muhimu sana kuzingatia, ubora wa mboga za majani ni kupandisha kinga ya mwili kutokana na uwepo wa aina mbali mbali ya vitamini, kuzuiya au kuondoa uzalishwaji wa abnormal cells ambazo ni chanzo cha uwepo wa uvimbe wa saratani, kuimarisha afya ya macho na mifupa, kuondoa na kuzuiya Blood pressure au Shinikizo la juu la damu.
โ
Epukana na matumizi makubwa ya dawa za hospitalini k**a vile Ant-Viral medications dawa za kufubaza maambukizi pamoja na Ant-Biotics dawa za kutibu magonjwa yanayo sababishwa na bakteria k**a vile malaria, Syphilis pamoja kipindi pindu, dawa za kupunguza maumivu.
โ
Tumia maji ya madafu kwa wingi pamoja na juice za miwa, Tumia chai za tangawizi na limao. Hizi zinasaidia sana katika kuondoa sumu mwilini pamoja na kuimarisha ufanisi wa ogani za mwili zinazo Fanya kazi ya kusafisha Damu k**a vile Figo na INI.
โ
Tumia vyakula halisi visivyo kobolewa k**a vile mikate na vyakula vinginevyo ambavyo pia vina asili ya nyuzi nyuzi k**a matunda Nk.
Vyakula hivi ni vizuri na bora zaidi katika uboreshaji wa mmeng'enyo wa chakula kuwa sawa zaidi pamoja na kuondoa ukosefu wa choo au kupata choo kigumu kwaiyo Huzuiya saratani ya utumbo, Tumbo kujaa Gesi na Bawasiri.
๐๐ช๐๐๐จ๐ญ๐๐ก๐๐๐ง๐๐ ๐ ๐๐ง๐๐๐๐๐จ ๐ก๐ ๐๐๐ฆ๐๐ ๐๐ข๐ฅ๐ ๐ก๐ ๐๐๐ง๐จ๐ ๐ญ๐ ๐ ๐ฆ๐๐ก๐๐ - ๐๐๐ง๐๐๐ ๐๐จ๐ง๐ข๐๐ข๐ ๐๐ญ๐ ๐ ๐๐๐ ๐๐จ๐๐๐ญ๐ ๐ก๐ ๐๐จ๐๐ฃ๐จ๐ฆ๐๐ ๐๐๐ง๐๐ฅ๐ ๐ญ๐ ๐ฆ๐๐๐จ ๐ญ๐๐๐๐ญ๐ข:
๐๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ฏ๐ ๐๐๐ธ๐๐ต๐๐ฑ๐๐บ๐ถ๐ฒ ๐ธ๐๐ฎ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ๐บ๐ผ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐ฎ๐ณ๐๐ฎ ๐๐๐ป๐ฎ๐๐ผ๐ฎ ๐จ๐ฆ๐๐๐จ๐ฅ๐ ๐ก๐ ๐ง๐๐๐:
Ushauri namaelezo zaidi ingia hapo
https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1
No 0714100697
Magoti kusagana kunatokea kwa sababu ya uharibifu wa tishu za mfupa, hasa kwenye sehemu za kingo za mfupa zinazokutana katika kiungo cha goti. Hali hii inaweza kusababishwa na mambo mbalimbali, ikiwemo:
1. Osteoarthritis (Ugonjwa wa Degenerative Joint Disease)
Huu ni ugonjwa wa viungo unaosababishwa na kuvaa na kuchakaa kwa cartilage (tishu laini inayofunika ncha za mifupa). Kadri cartilage inavyoharibika, mifupa hukutana moja kwa moja, kusababisha maumivu na kusagana.
2. Matumizi Kupita Kiasi (Overuse)
Shughuli zinazohusisha kuhamisha uzito mwingi kwa muda mrefu, k**a kukimbia, kuruka, au kubeba mizigo mizito, zinaweza kuharibu cartilage na kusababisha kusagana kwa mifupa ya magoti.
3. Ajali au Majeraha ya Goti
Majeraha ya awali k**a kupasuka kwa ligament (mfupa wa kiungo) au meniscus (tishu laini ya kingo ya goti) yanaweza kuongeza hatari ya uharibifu wa cartilage na hatimaye kusagana.
4. Uzito Kupita Kiasi
Uzito mwingi husababisha shinikizo kubwa kwenye magoti, ambalo linaweza kuharibu cartilage na kuchangia kusagana kwa mifupa.
5. Uzee
Kadri umri unavyosonga, cartilage hupungua uimara wake na uwezo wa kujirekebisha, hali inayochangia kusagana kwa mifupa ya magoti.
6. Matatizo ya Maumbile
Watu wenye maumbile yasiyo ya kawaida ya viungo, k**a miguu kuwa na umbo la O au X, wanakuwa na uwezekano mkubwa wa kusagana kwa magoti kwa sababu ya shinikizo lisilo sawa kwenye kiungo cha goti.
7. Magonjwa ya Kinga ya Mwili
Magonjwa k**a rheumatoid arthritis au gout yanaweza kusababisha kuvimba na kuharibu cartilage, hali inayochangia kusagana kwa magoti.
Jinsi ya Kudhibiti au Kuzuia Magoti Kusagana:
Kupunguza uzito ili kupunguza shinikizo kwenye magoti.
Kufanya mazoezi ya kuimarisha misuli inayosaidia magoti.
Kuepuka shughuli zinazochoshashe bora yenye
Karibu nasi 0714100697 njoo tuzungumze!
06/10/2025
*FAHAMU JUU YA TATIZO LA PRESHA YA KUPANDA NA YA KUSHUKA PAMOJA NA MATIBABU YAKE*
*Magonjwa ya moyo, presha ya kupanda/presha ya kushuka/presha.*
*Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.*
*Aina za presha.*
*Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;*
*1๏ธโฃPRESHA YA KUPANDA*
*2๏ธโฃPRESHA YA KUSHUKA.*
*PRESHA YA KUPANDA.*
*Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.*
*Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.*
*SABABU KUU ZA KUPANDA KWA PRESHA*
*1๏ธโฃUtumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.*
*2๏ธโฃUnywaji wa pombe/sigara uliokithiri.*
*3๏ธโฃMsongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi*
*4๏ธโฃFamilia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.*
*5๏ธโฃuzito mkubwa,unene na kitambi.*
*DALILI ZA PRESHA KUPANDA*
*1๏ธโฃKushikwa na kizunguzungu*
*2๏ธโฃKichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida*
*3๏ธโฃKuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.*
*4๏ธโฃKutokuona vizuri (kuona ukungu).*
*MADHARA YATOKANAYO NA PRESHA KUPANDA*.
*1๏ธโฃ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).*
*2๏ธโฃMoyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure)*
*3๏ธโฃKiharusi(stroke)*
*4๏ธโฃ Kuharibika kwa ubongo.*
*Kwa upande mwingine;*
*PRESHA YA KUSHUKA.*
*Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.*
*Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa k**a presha iliyoshuka.*
*Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;*
*๐Matatizo ya homoni.*
*๐Maradhi ya moyo pamoja na maambukizo ya vishipa vya damu.*
*๐Kisukari.*
*๐Kubeba Ujauzito.*
*๐Ukosefu wa virutubisho mwilini k**a vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k*
*๐Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo.*
Wasiliana nasi kwa elimu zaidi
0785180321
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Address
Dar Es Salaam