Afyacare_drsuzan

Afyacare_drsuzan

Share

13/05/2026

MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU

1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa

2. Kupata maambukizi ya figo

3. Kupata maambukizi ya Ini

4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)

5. Husababisha uvimbe mwilini

6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)

7. Mvurugiko wa homoni mwilini na kukosa usingizi

8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.

Hivyo detoxilive ni bidhaa muhimu sana kwako tumia k**a kinga ama kutibu

UNAWEZA KULINDA FIGO ZAKO SASA NAKUTOA SUMU MWILINI KWA HARAKA ZAIDI

๐Ÿ‚Inaondoa uric acid ( inazuia kupata gaut)

๐Ÿ‚ Inaondoa mafuta mabaya mwilini

๐Ÿ‚ Inaondoa sumu mwilini

๐Ÿ‚ Inaondoa nyama uzembe na kitambi

๐Ÿ‚ Inapunguza uzito uliozidi

๐Ÿ‚ Inailinda figo na ini

๐Ÿ‚ Inaondoa hali ya kuchoka bila sababu na inaleta usingizi mzuri kwa wasiyo pata usingizi usiku

Inatumika namtu yeyote na haina madhara yoyote kiafya.

Okoa gharama za โ€œDialysisโ€ ya figo kila wiki , tumia bidhaa hii kwa matibabu ya uhakika.

https://wa.me/message/PGSSQOI5Z3KSN1

Kwa Ushauri Zaidi na mahitaji
Mawasiliano 0714100697

07/05/2026

โš ๏ธ FIGO ZIKIHARIBIKA NI HATARI KUBWA KWA MWILI WAKO!

Watu wengi hupuuza dalili za mwanzo k**a:
โ— Kuchoka sana
โ— Kuvimba miguu na uso
โ— Mkojo kubadilika rangi au kuwa na povu
โ— Maumivu ya mgongo wa chini

๐Ÿ‘‰ Ukweli ni kwamba, ukichelewa kuchukua hatua madhara huwa makubwa zaidi hadi kufikia hatua ya dialysis au kupoteza maisha.

โœ… Habari njema: Ukiona dalili mapema, unaweza kuzuia madhara na kurejesha afya yako kwa matibabu sahihi na ushauri wa kitaalam.

๐Ÿ“ž Usisubiri hali iwe mbaya!
Wahi mapema upate msaada.

Dr solution
โ˜Ž๏ธ 0785-180321

04/11/2025

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—ญ๐—ข, ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ:

https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1

Sumu ni kemikali ambazo tunaweza kuingiza ndani ya miili yetu kupitia njia mbali mbali k**a vile ulaji mbovu wa vyakula vyenye Citric Acid kwa wingi, Moshi za viwandani au kuishi karibu na viwanda, kutumia vinywaji vya viwandani k**a vile Bia na Soda, kupendelea kula nyama nyekundu kupita kiasi, Kuvuta sigara au bangi, matumizi ya Dawa za hospitalini kupita kiasi.

Kuishi karibu na vyanzo vya maji vizivyo salama, maji ambayo yanaweza kutumiwa na binadamu kwa namna tofauti kulingana na uwitaji wake kwa muda huo.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ:

โœ… Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele au majipu.

โœ… Kuwa na unene au uzito wa kupindukia.

โœ… Kutopata choo au kupata choo kigumu.

โœ… Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza, kutokwa na jasho jingi usiku wakati wa kulala.

โœ… Kichwa kuuma mara kwa mara.

โœ… Kupata miwasho mzio au allergy kwenye ngozi.

โœ… Maumivu ya viungo na mifupa K**a vile mgongo,goti, nyonga na pingili za shingo.

โœ… Kuwa na hasira ya mara kwa mara na muda mwengine kupoteza hamu ya kula.

โœ… Tumbo kujaa gesi na matatizo ya tumbo k**a vile saratani ya utumbo, vidondonda vya tumbo na bawasiri.

โœ… Kuwa na upungufu wa damu mara kwa mara au Kutapika damu.

https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1

๐—ก๐—” ๐—›๐—”๐—ฌ๐—” ๐—ก๐——๐—œ๐—ข ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ช๐—” ๐—ก๐—” ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ:

โ–ช๏ธ Maumivu ya tumbo hasa unapo kuwa na njaa, Maumivu haya yanaweza yakawa ya upande mmoja tu wa kulia, kushoto au tumbo lote na pindi unapo shiba maumivu haya hupotea unaweza kujihisi ni vidonda vya tumbo kumbe sio vidonda.

โ–ช๏ธUwepo wa Gout au reflex acid nyingi mwilini kuanzia kifuani hadi katika vidole, na muda mwengine huisi ganzi kwa baadhi ya sehemu za mwili wako.

โ–ช๏ธ Maumbikizi ya figo au Figo kuferi kwa kutengeneza tumor (Vimbe zenye maji maji ndani yake ) au Figo kuwa na mawe, Kupanda kwa Creatinine ni kemikali hai inayo simamia ufanisi wa figo.

โ–ช๏ธ wasiliana nasi 0785180321

04/11/2025
28/10/2025

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—ญ๐—ข, ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ:

https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1

Sumu ni kemikali ambazo tunaweza kuingiza ndani ya miili yetu kupitia njia mbali mbali k**a vile ulaji mbovu wa vyakula vyenye Citric Acid kwa wingi, Moshi za viwandani au kuishi karibu na viwanda, kutumia vinywaji vya viwandani k**a vile Bia na Soda, kupendelea kula nyama nyekundu kupita kiasi, Kuvuta sigara au bangi, matumizi ya Dawa za hospitalini kupita kiasi.

Kuishi karibu na vyanzo vya maji vizivyo salama, maji ambayo yanaweza kutumiwa na binadamu kwa namna tofauti kulingana na uwitaji wake kwa muda huo.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ฃ๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ:

โœ… Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele au majipu.

โœ… Kuwa na unene au uzito wa kupindukia.

โœ… Kutopata choo au kupata choo kigumu.

โœ… Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza, kutokwa na jasho jingi usiku wakati wa kulala.

โœ… Kichwa kuuma mara kwa mara.

โœ… Kupata miwasho mzio au allergy kwenye ngozi.

โœ… Maumivu ya viungo na mifupa K**a vile mgongo,goti, nyonga na pingili za shingo.

โœ… Kuwa na hasira ya mara kwa mara na muda mwengine kupoteza hamu ya kula.

โœ… Tumbo kujaa gesi na matatizo ya tumbo k**a vile saratani ya utumbo, vidondonda vya tumbo na bawasiri.

โœ… Kuwa na upungufu wa damu mara kwa mara au Kutapika damu.

https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1

๐—ก๐—” ๐—›๐—”๐—ฌ๐—” ๐—ก๐——๐—œ๐—ข ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ช๐—” ๐—ก๐—” ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—จ ๐—ก๐—ฌ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ ๐— ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐—œ:

โ–ช๏ธ Maumivu ya tumbo hasa unapo kuwa na njaa, Maumivu haya yanaweza yakawa ya upande mmoja tu wa kulia, kushoto au tumbo lote na pindi unapo shiba maumivu haya hupotea unaweza kujihisi ni vidonda vya tumbo kumbe sio vidonda.

โ–ช๏ธUwepo wa Gout au reflex acid nyingi mwilini kuanzia kifuani hadi katika vidole, na muda mwengine huisi ganzi kwa baadhi ya sehemu za mwili wako.

โ–ช๏ธ Maumbikizi ya figo au Figo kuferi kwa kutengeneza tumor (Vimbe zenye maji maji ndani yake ) au Figo kuwa na mawe, Kupanda kwa Creatinine ni kemikali hai inayo simamia ufanisi wa figo.

โ–ช๏ธ Maumbikizi ya Ini, Kupanda kwa ALT na AST na muda mwengine Kupanda kwa total Bilirubin.

โ–ช๏ธ Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba) kutokana na kutoa manii zilizo nyepesi na baridi zilizo kosa joto.

โ–ช๏ธ Mvurugiko wa homoni za uzazi kwa wanaume, kupoteza kabisa Hisia za kushiliki tendo la ndoa.

โ–ช๏ธ Maumivu ya Mifupa na Maungio.

โ–ช๏ธ Hupelekea matatizo ya shinikizo la damu kuwa juu (high blood pressure).

โ–ช๏ธ Mvurugiko wa homoni za uzazi kwa wanawake na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.

โ–ช๏ธ Saratani au kansa mbali mbali k**a vile Kansa ya ngozi, Saratani ya Figo, Saratani ya Ini na saratani ya bandama.

โ–ช๏ธ Matatizo ya moyo, kongosho na mfumo mzima wa damu ikiwemo kuganda ovyo kwa damu(arteriosclerosis, atherosclerosis ,thromboembolisim).

๐—ก๐—œ๐—ก๐—œ ๐—จ๐—™๐—”๐—ก๐—ฌ๐—˜ ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ข๐—ก๐——๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—˜ ๐—ก๐—” ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—จ ๐—›๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—ฃ๐—”๐— ๐—ข๐—๐—” ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—œ๐— ๐—”๐—ฅ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ž๐—ข ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—ข๐—ง๐—˜:

https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1

โœ… Hakikisha unakunywa maji mengi kilasiku, angalau lita mbili hadi tatu kwa siku.

โœ… Fuatilia rangi za mkojo wako je upo katika rangi gani kuna baadhi ya rangi za mkojo zinaashilia uwepo wa Sumu nyingi mwilini mwako lakini pia huonyesha dalili za uwepo wa ugonjwa wa figo au Figo kuferi.

Mfano wa rangi mbaya za mkojo

โ–ช๏ธNjano iliyo kolea sana

โ–ช๏ธRangi ya kahawiya inafanana na soda ya Coca-Cola.

โ–ช๏ธUnapata maumivu kidogo wakati wa kukojoa

Ukiona hivi hakikisha unakunywa maji mengi sana kwa siku ili kusafisha figo zako, INI pamoja na kibofu cha mkojo.

โœ… Hakikisha unakula matunda mengi yenye asili ya maji maji k**a vile Nanasi, Tikiti, Tango na Zabibu.

Matunda haya ni bora zaidi katika upande wa kufanya Detoxification kuondoa sumu lakini pia kusafisha kibofu cha mkojo na kuimarisha afya ya figo na ini kwa ujumla

โœ… Tumia mboga za majani kwa wingi kilasiku katika mlo wako, Mboga za majani ni muhimu sana kuzingatia, ubora wa mboga za majani ni kupandisha kinga ya mwili kutokana na uwepo wa aina mbali mbali ya vitamini, kuzuiya au kuondoa uzalishwaji wa abnormal cells ambazo ni chanzo cha uwepo wa uvimbe wa saratani, kuimarisha afya ya macho na mifupa, kuondoa na kuzuiya Blood pressure au Shinikizo la juu la damu.

โœ… Epukana na matumizi makubwa ya dawa za hospitalini k**a vile Ant-Viral medications dawa za kufubaza maambukizi pamoja na Ant-Biotics dawa za kutibu magonjwa yanayo sababishwa na bakteria k**a vile malaria, Syphilis pamoja kipindi pindu, dawa za kupunguza maumivu.

โœ… Tumia maji ya madafu kwa wingi pamoja na juice za miwa, Tumia chai za tangawizi na limao. Hizi zinasaidia sana katika kuondoa sumu mwilini pamoja na kuimarisha ufanisi wa ogani za mwili zinazo Fanya kazi ya kusafisha Damu k**a vile Figo na INI.

โœ… Tumia vyakula halisi visivyo kobolewa k**a vile mikate na vyakula vinginevyo ambavyo pia vina asili ya nyuzi nyuzi k**a matunda Nk.

Vyakula hivi ni vizuri na bora zaidi katika uboreshaji wa mmeng'enyo wa chakula kuwa sawa zaidi pamoja na kuondoa ukosefu wa choo au kupata choo kigumu kwaiyo Huzuiya saratani ya utumbo, Tumbo kujaa Gesi na Bawasiri.

๐—ž๐—ช๐—”๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—” ๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—˜ ๐—•๐—ข๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ง๐—œ๐—•๐—”:

Ushauri namaelezo zaidi ingia hapo

https://wa.me/message/KYMEQ562NEGFG1

No 0714100697

23/10/2025

Magoti kusagana kunatokea kwa sababu ya uharibifu wa tishu za mfupa, hasa kwenye sehemu za kingo za mfupa zinazokutana katika kiungo cha goti. Hali hii inaweza kusababishwa na mambo mbalimbali, ikiwemo:

1. Osteoarthritis (Ugonjwa wa Degenerative Joint Disease)

Huu ni ugonjwa wa viungo unaosababishwa na kuvaa na kuchakaa kwa cartilage (tishu laini inayofunika ncha za mifupa). Kadri cartilage inavyoharibika, mifupa hukutana moja kwa moja, kusababisha maumivu na kusagana.

2. Matumizi Kupita Kiasi (Overuse)

Shughuli zinazohusisha kuhamisha uzito mwingi kwa muda mrefu, k**a kukimbia, kuruka, au kubeba mizigo mizito, zinaweza kuharibu cartilage na kusababisha kusagana kwa mifupa ya magoti.

3. Ajali au Majeraha ya Goti

Majeraha ya awali k**a kupasuka kwa ligament (mfupa wa kiungo) au meniscus (tishu laini ya kingo ya goti) yanaweza kuongeza hatari ya uharibifu wa cartilage na hatimaye kusagana.

4. Uzito Kupita Kiasi

Uzito mwingi husababisha shinikizo kubwa kwenye magoti, ambalo linaweza kuharibu cartilage na kuchangia kusagana kwa mifupa.

5. Uzee

Kadri umri unavyosonga, cartilage hupungua uimara wake na uwezo wa kujirekebisha, hali inayochangia kusagana kwa mifupa ya magoti.

6. Matatizo ya Maumbile

Watu wenye maumbile yasiyo ya kawaida ya viungo, k**a miguu kuwa na umbo la O au X, wanakuwa na uwezekano mkubwa wa kusagana kwa magoti kwa sababu ya shinikizo lisilo sawa kwenye kiungo cha goti.

7. Magonjwa ya Kinga ya Mwili

Magonjwa k**a rheumatoid arthritis au gout yanaweza kusababisha kuvimba na kuharibu cartilage, hali inayochangia kusagana kwa magoti.

Jinsi ya Kudhibiti au Kuzuia Magoti Kusagana:

Kupunguza uzito ili kupunguza shinikizo kwenye magoti.

Kufanya mazoezi ya kuimarisha misuli inayosaidia magoti.

Kuepuka shughuli zinazochoshashe bora yenye

Karibu nasi 0714100697 njoo tuzungumze!

06/10/2025

*FAHAMU JUU YA TATIZO LA PRESHA YA KUPANDA NA YA KUSHUKA PAMOJA NA MATIBABU YAKE*

*Magonjwa ya moyo, presha ya kupanda/presha ya kushuka/presha.*

*Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.*

*Aina za presha.*

*Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;*
*1๏ธโƒฃPRESHA YA KUPANDA*
*2๏ธโƒฃPRESHA YA KUSHUKA.*

*PRESHA YA KUPANDA.*
*Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.*
*Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.*

*SABABU KUU ZA KUPANDA KWA PRESHA*
*1๏ธโƒฃUtumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.*
*2๏ธโƒฃUnywaji wa pombe/sigara uliokithiri.*
*3๏ธโƒฃMsongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi*
*4๏ธโƒฃFamilia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.*
*5๏ธโƒฃuzito mkubwa,unene na kitambi.*

*DALILI ZA PRESHA KUPANDA*
*1๏ธโƒฃKushikwa na kizunguzungu*
*2๏ธโƒฃKichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida*
*3๏ธโƒฃKuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.*
*4๏ธโƒฃKutokuona vizuri (kuona ukungu).*

*MADHARA YATOKANAYO NA PRESHA KUPANDA*.
*1๏ธโƒฃ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).*
*2๏ธโƒฃMoyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure)*
*3๏ธโƒฃKiharusi(stroke)*
*4๏ธโƒฃ Kuharibika kwa ubongo.*

*Kwa upande mwingine;*

*PRESHA YA KUSHUKA.*
*Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.*
*Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa k**a presha iliyoshuka.*
*Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;*
*๐Ÿ”˜Matatizo ya homoni.*
*๐Ÿ”˜Maradhi ya moyo pamoja na maambukizo ya vishipa vya damu.*
*๐Ÿ”˜Kisukari.*
*๐Ÿ”˜Kubeba Ujauzito.*
*๐Ÿ”˜Ukosefu wa virutubisho mwilini k**a vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k*
*๐Ÿ”˜Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo.*

Wasiliana nasi kwa elimu zaidi
0785180321

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Dar Es Salaam