Pandex Herbal tz

Pandex Herbal tz

Share

Tunawasaidia wenye magonjwa mbalimbali kwa kutumia mimea tiba, elimu ya magonjwa na ushauri wa kitabibu

06/01/2022

ZIJUE SABABU ZINAZOWAFANYA WATU WENGI KUTOPONA BAWASIRI LICHA YA KUTUMIA DAWA NYINGI.

Dr.Mapande
0656 198 441

JE WAJUA KWAMBA BAWASIRI INAWEZA KUKUSABABISHIA KANSA YA UTUMBO (Re**al Cancer)??????

⚫ Bawasiri imekuwa ikiwatesa watu wengi sana na kupelekea watu wengi kutapeliwa katika Matibabu kutokana na kuumwa kwao.Hii inatokana na watu wengi wanaojinadi kuwa wanatibu Bawasiri kutoijua Bawasiri vizuri na hivyo KUSABABISHA watu wengi kuamini Bawasiri haina haitibiki.

⚫ Zaidi ya Asilimia 95% ya wagonjwa ambao wamekuja wanaumwa Bawasiri hawajui sababu hasa ya wao kupata Bawasiri na matokeo yake wamekuwa wakidhani dawa pekee ndio suluhilo hali ya kuwa si kwel.

⚫ Bonyeza maandishi yaliyoandikwa "SEND MESSAGE" chini ya picha kuja WhatsApp moja kwa moja kwa maelekezo zaid ama wasiliana nasi moja kwa moja kwa namba 0656 198 441 kuongea na Dr.moja kwa moja kwa msaada zaidi.

⚫Utapata OFA ya kujua njia muhimu za kufuata ili KUPONA Bawasiri yako kiurahisi iliyokusumbuka kwa muda mrefu.

⚫ BAWASIRI INATIBIKA 100% BILA KUFANYA UPASUJI.

🖇️ HUDUMA ZETU UTAZIPATA POPOTE ULIPO NDANI NA NJE YA TANZANIA

06/01/2022

ZIJUE SABABU ZINAZOWAFANYA WATU WENGI KUTOPONA BAWASIRI LICHA YA KUTUMIA DAWA NYINGI.

Dr.Mapande
0656 198 441

JE WAJUA KWAMBA BAWASIRI INAWEZA KUKUSABABISHIA KANSA YA UTUMBO (Re**al Cancer)??????

⚫ Bawasiri imekuwa ikiwatesa watu wengi sana na kupelekea watu wengi kutapeliwa katika Matibabu kutokana na kuumwa kwao.Hii inatokana na watu wengi wanaojinadi kuwa wanatibu Bawasiri kutoijua Bawasiri vizuri na hivyo KUSABABISHA watu wengi kuamini Bawasiri haina haitibiki.

⚫ Zaidi ya Asilimia 95% ya wagonjwa ambao wamekuja wanaumwa Bawasiri hawajui sababu hasa ya wao kupata Bawasiri na matokeo yake wamekuwa wakidhani dawa pekee ndio suluhilo hali ya kuwa si kwel.

⚫ Bonyeza maandishi yaliyoandikwa "CONTACT US" chini ya picha kuja WhatsApp moja kwa moja kwa maelekezo zaid ama wasiliana nasi moja kwa moja kwa namba 0656 198 441 kuongea na Dr.moja kwa moja kwa msaada zaidi.

⚫Utapata OFA ya kujua njia muhimu za kufuata ili KUPONA Bawasiri yako kiurahisi iliyokusumbuka kwa muda mrefu.

⚫ BAWASIRI INATIBIKA 100% BILA KUFANYA UPASUJI.

🖇️ HUDUMA ZETU UTAZIPATA POPOTE ULIPO NDANI NA NJE YA TANZANIA

31/12/2021

MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI

1.🖇️ Uzito kupita kiasi(Overweight)
2.🖇️ Ujauzito
3.🖇️ Unywaji pombe
4.🖇️ Kukaa sana sehemu ngumu
5.🖇️ Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa.
6.🖇️Kujisaidia Choo Kigumu.Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya TUMBO
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
7.🖇️ Kula sana nyama nyekundu
8.🖇️ Presha ya kupanda
9.🖇️ Kula sana pilipili
10.🖇️ Kula udongo(Wajawazito na watoto wadogo)
11.🖇️ Kujisaidia kwenye vyoo vya kukaa
12.🖇️ Kuharisha kupita kiasi.
13.🖇️ Kufanyakaz ngumu/kunyanyua vitu vizito

31/12/2021

ZIJUE SABABU ZINAZOWAFANYA WAGONJWA WENGI WA BAWASIRI KUTUMIA DAWA NYINGI BILA MAFANIKIO

_Kwanza Mgonjwa wa Bawasiri anatakiwa kufahamu ya kwamba,matibabu si dawa pekee.Watu wengi wanaamin kwamba matibabu ni dawa pekee na jambo hili limepelekea wengi kuteseka na matatzo kwa muda mrefu sana bila mafanikio na kupelekea kukata tamaa ya kutafuta tiba na badala yake humuona kila mtoa huduma ni tapeli_

Zifuatazo ni sababu zinazowafanya wagonjwa wengi kuteseka na Bawasiri kwa muda mrefu licha ya kutumia dawa mbali mbali:

1.📎 Kutopata dawa sahihi
-Si kila dawa inayotangazwa kutibu Bawasiri inaweza kutibu Bawasiri bali dawa yenye ufanisi wa kutibu ndio inaweza kutibu Bawasiri.

2.📎 Kutofuata ushaur wa daktari.
-Usipofuata yale ambayo daktari anakuelekeza ili kupata suluhisho la Tatzo lako ni ngumu kupona tatzo lako.

3.📎 Kutoziacha sababu zilizopelekea upate Bawasiri. Katika hili wengi wamefeli kwani haiwezekani ukapona Bawasiri ikiwa sababu zilizopelekea upate Bawasiri hutaki kuziacha mfano;
-Pombe
-Uzito mkubwa
-Ulaji mbovu
-Kuingiliwa kinyume
-Kula sana pilipili
-Kukaa sana chini
-Kunyanyua vitu vizito
-Kutotibu Magonjwa k**a Ngiri na Vidonda vya TUMBO
-Kutokula vyakula vya kulainisha choo k**a vile Mboga za majani & matunda
-Kula udongo(wajawazito)
-Kujisaidia kwenye vyoo vya kukaa.
-Kuharisha mara kwa mara
-Kujisaidia choo Kigumu

Hata utumie dawa zaid ya 100,usipoziacha sababu hizo ni ngumu sana kupona Bawasiri na matokea yake kila mtoa tiba utamuona Tapeli kumbe sababu ni wewe mwenyewe kutofuata miongozo,maelekezo na USHAURI kutoka kwa daktar.

⚫ Ukizingatia hayo utapona Bawasiri kwa muda mfupi sana(week 1 mpaka 3) Biidhnillaah ja wapo wanaopona kwa siku 5 licha ya kukaa na Bawasiri kwa miaka kadhaa .

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Ilala
Dar Es Salaam
1000